THE CLASSIC DUDU BAYA : KIINI CHA BEEF YAKE NA MR NICE,CHIDI BENZI NA KALAPINA/MIMI SISHINDWI LOLOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Karibu Katika episode nyengine muhimu katika historia ya Bongofleva,Dudubaya ni moja ya wasanii ambao walipambania kuua dhana ya muziki ni uhuni chino,hii ni interview ambayo itakupa taswira ya upande wa pili wa maisha ya nyota huyu alieripotiwa kua na migogoro mingi.

ความคิดเห็น • 142

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo 9 หลายเดือนก่อน +15

    Dudubaya kichwan yupo timamu sana, napenda interview zake

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli dudu BAYA anajuaa kujielezea kuliko wasanii wote Africa mashariki na kati respect Dudu baya

  • @fadhilishomari133
    @fadhilishomari133 9 หลายเดือนก่อน +11

    Sijawahi kuangalia interview kali ya DUDUBAYA zaidi ya hii

  • @Goofyahh-t2b
    @Goofyahh-t2b 8 หลายเดือนก่อน +10

    Dudu baya ulitamba sana kenya kwetu na,mziki mzuri kama nampenda mpenzi asie penda doo,na nakupenda tu,kwa maredio na matatu ulitisha sana mwanangu ,I really miss the old good days 😢

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani3822 9 หลายเดือนก่อน +9

    Watu kama Dudubaya, TID , Chid Benz hauwezi kukuta wanaongea pumba kama tuu watahojiwa na watangazaji makini mfano wa Jabir Saleh aisee kazi nzuri sana wakuu wa kazi 🔥🔥🔥🔥🔥🤝🏿🤝🏻

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  9 หลายเดือนก่อน +2

      asante sana brother

    • @orafaomary2605
      @orafaomary2605 8 หลายเดือนก่อน +3

      Katika list hapo na sky akihoji huwa unainjoi interview

  • @reymekay1
    @reymekay1 9 หลายเดือนก่อน +9

    Hyu ndio vigilante” wa kwel kwenye game .... vivaDUDU LEGEND ..!!

  • @AmbeleJames-cb1el
    @AmbeleJames-cb1el 9 หลายเดือนก่อน +5

    Dudu baya anaongea vitu ambavyo vipo na mkweli hapepesi maneno Big up Buyola Musiuem

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 9 หลายเดือนก่อน +10

    Jabir we ni mtu muhimu sana kwenye hii tasnia

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  9 หลายเดือนก่อน

      asante sana kaka

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dudu baya anajua sana Kuadithia

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 9 หลายเดือนก่อน +8

    Hii Ndiyo interview safi, real sio udaku. Dudu baya napenda sana kila mara huachi kutaja utatu mtakatifu 🫡

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 9 หลายเดือนก่อน +23

    Mtafute jamaa mmoja anaitwa Voice wonder amesumbua sana Radio one kwa Ebby D...Nimpende nani. Ilibamba sana.

    • @selemanimsangi7805
      @selemanimsangi7805 9 หลายเดือนก่อน +1

      Nimpende nani mwenzenu naalia kisa maskini, anaaanikatalia.... ausiyo hiyo nini mkuu

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@selemanimsangi7805ixi. 🐅xv😗😃😗

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 9 หลายเดือนก่อน

      Amekufa huyo

    • @nmasare9364
      @nmasare9364 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@yusuphrashidi-dr1kbVoice yupo anamaisha safi kabisa ni mwana namjua mpaka ofisi kwakr

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 9 หลายเดือนก่อน

      Tatizo ana hit mbili tu 1.nimpende nani
      2. Hajazaa

  • @jeremiahchilumba115
    @jeremiahchilumba115 9 หลายเดือนก่อน +6

    What a interview! The best interview in 2023

  • @stavystunnah
    @stavystunnah 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mtu wa Mungu Godfrey Tumaini ( Dududabaya )

  • @masungajp3
    @masungajp3 8 หลายเดือนก่อน +3

    We need to give some money to the OGs when they come to your interviews.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mambo ya zamani ugomvi mnataka kuyarudisha

  • @Chidygwantaman
    @Chidygwantaman 6 หลายเดือนก่อน +1

    Brother wngu wa family kabisa nkumbuka tulikuwa kahama kwenye shoo yke na ss tulikuwa wasanii wadogo sna kipindi icho sehem ya shoo ilikuwa kagongwa... Nkumbuka tulivyo maliza shoo si tulipata tabu usafir Akuna mi na RFK yngu kwakuwa tulikuwa na Dudubaya mda mwingi sna pale Alitupenda sna

  • @robertmgulunde5069
    @robertmgulunde5069 9 หลายเดือนก่อน +6

    Dudu ana kumbukumbu sana

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nimekipenda sana hiki kipindi,kinakumbusha mambo mengi ya zamani.

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na muziki mzuri wa zaman unaishi sio siri

  • @masungajp1
    @masungajp1 9 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu anatumia yaliyopita kukufundisha. This guy is awesome. Big up Konki

  • @hhurbert
    @hhurbert 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kaza buti dah amenikumbusha mbali sana dudu .salute

  • @user-fu2gz2lq1j
    @user-fu2gz2lq1j 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya kipenzi cha wa Tanzania Big up Bro

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 9 หลายเดือนก่อน +5

    Old is gold...meno kam Ngirii ilitisha sana

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 9 หลายเดือนก่อน +5

    Mrudishe tena DuduBaya

  • @dominicmremi5730
    @dominicmremi5730 9 หลายเดือนก่อน +4

    Great show mzee baba

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ni story teller mzuri sana😅

  • @hassnasuleiman6923
    @hassnasuleiman6923 3 หลายเดือนก่อน

    I love Dudu Nzuri

  • @abdulazizahmed7756
    @abdulazizahmed7756 9 หลายเดือนก่อน +4

    Unyama sana Konki Master

  • @mwalabuznes
    @mwalabuznes 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mtafute roho 7 atubless na interview moja japo hafanyi mziki kwa sasa

  • @abrahammlangwa5038
    @abrahammlangwa5038 9 หลายเดือนก่อน +4

    This dude ni Legend 🙌

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli asee tuleteeni Mr nice na Saida Karoli

  • @Lugongam
    @Lugongam 9 หลายเดือนก่อน +5

    Tunahitaji vipimdi kama hivi vingi asee sababu wakati wanatuburudisha hapakuwa na teknolojia ya kutosha kutunza kumbukumbu zao, hawa watu sio wakupotea kirahisi rahisi. Big up jabir

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 4 หลายเดือนก่อน

    Kaza Buti! 🇰🇪

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 7 หลายเดือนก่อน

    MAPAFU YA MBWAA?? DUHHH ILA KWELI UMETISHA SANA TANGU ZAMANI❤❤❤❤

  • @eliusnchimbi716
    @eliusnchimbi716 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dah bonge moja la interview

  • @richardtimoth7865
    @richardtimoth7865 8 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzur....sasa fanya kuwaalika wote kwa pamoja (Dudu baya na Kalapina, Dudu baya na Mr Nice, Chid benz Kalapina na Dudubaya n.k) inaweza ikabamba

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mnyamwez #DUDUBAYA 🔥🔥🔥

  • @abdulazizahmed7756
    @abdulazizahmed7756 9 หลายเดือนก่อน +3

    Good hiphop music history in TZ

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 5 หลายเดือนก่อน +1

    WEBF mpo wapi jamani tutambuane bana ng'wanza

  • @AllyMwanike
    @AllyMwanike 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaka naikubali sana 😮😮

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy 4 หลายเดือนก่อน

    Nime kuja kugundua uki hitaji historia ya bongo fleva.. Kati ya watu top 3 ambao una takiwa kuongea nao Dudu Baya lazima awe kwenye hio orodha. Sugu,Dudu Baya, Jay Dee.

  • @reubenpaulomabula6098
    @reubenpaulomabula6098 5 หลายเดือนก่อน

    Much respect brother Dudu baya

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nakubali hii ngoma ilinisaidia kutulia maana ilkuwa tabu mtaani😂

  • @petermaro9852
    @petermaro9852 9 หลายเดือนก่อน +3

    Tuletee TID on the next episode on the classic.

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 9 หลายเดือนก่อน +1

    ina onekana mukono wakulia wa Dudu Baya haufanyi kazi vizuri

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 9 หลายเดือนก่อน +2

    Respect

  • @hamadynjama9954
    @hamadynjama9954 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka tunaomba utuletee LUCAS MKENDA jamaa aliiteka sana east africa

  • @godsson5954
    @godsson5954 9 หลายเดือนก่อน +3

    bonge la interview aise aitwe tena ndugu hahahhaha

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 9 หลายเดือนก่อน +2

    Bonge la show the dudu😂

  • @MoBakar-jl3pk
    @MoBakar-jl3pk 9 หลายเดือนก่อน +2

    Good show unacheka,unajifunza😂😂😂😂😂

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hakili mingi huyu Dudu✊🏿👮🏿‍♂️

  • @abdulazizahmed7756
    @abdulazizahmed7756 9 หลายเดือนก่อน +3

    Akili mingi

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 8 หลายเดือนก่อน

    Kumbe dudu ndio maana una penda sana haki,,,umefunzwa haki ya mungu

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka respect mungu akuweke sana

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 8 หลายเดือนก่อน

    Jamaa kapungua sana.....hadi misuli ya mikono imekwisha

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 8 หลายเดือนก่อน +1

    Chid Benz anatakiwa ajifunze hapa maana analialia sana

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 9 หลายเดือนก่อน +1

    KUV FACT nasikiliza hii na JR TUU nawakubari sana 1..kuv 2.. Jr

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 9 หลายเดือนก่อน +3

    One love Dudu baya

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 8 หลายเดือนก่อน +1

    kuna ngoma inaitwa SAFARI NJEMA, yupo JAY MOE, marehemu COMPLEX, na DUDUBAYA ,Inaenda:
    nasema nachofanya ,nafanya ninachosema,
    kavipandilia ,mithili bado mapema
    tumesota sana ,muda wetu kuhema
    kama zali, ukishindwa tema baba safari njema.
    Humu ndani Dudubaya aliua bonge moja ya verse, nilianza kumkubali hapo..

    • @jiwefurniture1128
      @jiwefurniture1128 8 หลายเดือนก่อน

      Dudu baya alifanya unyama na nusu kwenye iyo ngoma

  • @MisanaMomba
    @MisanaMomba 9 หลายเดือนก่อน +2

    Perfect❤

  • @abdulazizahmed7756
    @abdulazizahmed7756 9 หลายเดือนก่อน +3

    Creativity in full

  • @josephatmatanga9708
    @josephatmatanga9708 5 หลายเดือนก่อน

    Msapotieni huyo jamaa ana ujumbe mzuri kwa Jamii.

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 9 หลายเดือนก่อน +2

    Joseeee mtambo akuje

  • @johndismaselias5609
    @johndismaselias5609 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya ninamkubari saaaana

  • @salminsaid5377
    @salminsaid5377 9 หลายเดือนก่อน +1

    Interview Ya Fa umeipandisha kitofaut tunashindwa kudownload

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dudubaya ni moja ya wasanii wenye akili sana.

  • @violamicaela7418
    @violamicaela7418 8 หลายเดือนก่อน

    konk konk konk konk masterrrrrrrrrrrrrrr…

  • @salehhamad4628
    @salehhamad4628 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubali konki 3

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 9 หลายเดือนก่อน +1

    Konki ❤

  • @hassnasuleiman6923
    @hassnasuleiman6923 3 หลายเดือนก่อน

    Can u tell him that's I like him

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 9 หลายเดือนก่อน +3

    Great show kaka, salute..!

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  9 หลายเดือนก่อน

      asante sana kaka

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq 7 หลายเดือนก่อน

    Dudu anajiamin sana

  • @echagwhy4442
    @echagwhy4442 9 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 6 หลายเดือนก่อน

    Tunamtaka tena dudu baya

  • @alexkagaali2997
    @alexkagaali2997 9 หลายเดือนก่อน +1

    😊😊

  • @Kibasumba02
    @Kibasumba02 9 หลายเดือนก่อน +2

    #DUDUBAYA

  • @lawilupenza4056
    @lawilupenza4056 4 หลายเดือนก่อน

    Mamba

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 8 หลายเดือนก่อน

    KuviFact nitaanza kumfuatilia... mlete Mr Nice

  • @MrSokwe
    @MrSokwe 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mchizi kapungua sana

  • @masungajp3
    @masungajp3 8 หลายเดือนก่อน

    I wanna have this kinda studio. Nifanyeje? I'm a BARIADI guy

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 7 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anahitajika na Mungu. Ana akili sana. He is very real. And that's hip hop.

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq 7 หลายเดือนก่อน

    Dudu anasaut mkwaluzo

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 9 หลายเดือนก่อน +3

    Tunamuomba na Mr Nice kuvfact

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 9 หลายเดือนก่อน

    Mtafute GK

  • @2116-n
    @2116-n 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu ana akili sana

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 9 หลายเดือนก่อน

    Kweri broo turibeba kideo sebureni tukatia uzuni famiria mda wa kutest tuchukue maokoto kikaungua

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 7 หลายเดือนก่อน

    By the way ana exposure kubwa sana kwenye mziki kuliko Chidi. Chidi kutwa kutamba mtoto sijui wa Ilala sijui mjini. 🗑️

  • @danielmwita2136
    @danielmwita2136 8 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka, hauwezi kuiangusha dola ya mambaz.

  • @elismadunsdon
    @elismadunsdon 8 หลายเดือนก่อน

    Mlete jose mtambo man

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa nmeelewa kitu dudu,kanisani ndio ilikuwa njia yako japokuwa mafanikio yalikuja ila roho ilikufa

  • @RobbyRunnerON3
    @RobbyRunnerON3 8 หลายเดือนก่อน

    MAMBA #ON3

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 9 หลายเดือนก่อน

    The Game wa Tz

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yaaaani hii interview naicheki inaishaa nainzaa tenaa inaishaa haiishi utamu aiseeee😅😅😅😅

  • @fundiseremalamohammedmdoe3711
    @fundiseremalamohammedmdoe3711 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna jamaa alikua anaitwa SONERI umlete

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc 8 หลายเดือนก่อน

    Halla

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 9 หลายเดือนก่อน

    Nataman kumsikia msanii mmoja anaitwa Kilalu alifanya nyimbo na mr blue-nikabaki hoi

    • @allychilinga1958
      @allychilinga1958 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli maaa umeondoka maaa huku nyuma moyo umeuchoma sio Siri maa tangu uende maa nikabaki hoi..

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yani dudu uwakalishe kikosi cha mizinga😂😂

    • @omarykabonga908
      @omarykabonga908 หลายเดือนก่อน

      Tatizo unaogopa stori za kalapina😂😂

  • @rasgeorges9459
    @rasgeorges9459 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo hamidu alienda wapii?

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna msanii anaitwa j4c aliimbaga wimbo inaitwa siamini yalonikuta mm ohoo juu ya binti nlompenda mm ohh Leo niende halusini ,mtafteni ase ata sura simkumbuki ,,wakongwe

  • @abdibuddy7583
    @abdibuddy7583 9 หลายเดือนก่อน

    Reporting live #2pacWithoutNoseRing

  • @King-Buda
    @King-Buda 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mambaz tujuane