Lazima awe naupeo, mana maisha yamempiga,maisha ya watuwote anayajua nikufuatilia maisha ya watu,bado ananafasi yakufanya, hatamchicha unatoa ,waandishi wahabari wanamfanyia kusudi maana washamjua kadata kimaisha,
From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!! Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe... Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS
🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk
Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.
Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂
Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.
we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya
Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,
Dudubaya ana upeo mkubwa Sana, tofauti na watu wanavyomchukulia.
Sana kabisa
Nikweli sema watu kama hawa wanadidimizwa ktk jamii
Lazima awe naupeo, mana maisha yamempiga,maisha ya watuwote anayajua nikufuatilia maisha ya watu,bado ananafasi yakufanya, hatamchicha unatoa ,waandishi wahabari wanamfanyia kusudi maana washamjua kadata kimaisha,
From Nairobi Kenya God give u more strength dudu baya uko na elimu bora
Napenda Sana kumsikiliza na kutizama interview za Dudu baya, konki master.. genius man,bravo bro you always speaking point.❤🇬🇧
Raiya wa burundi 🇧🇮 dudu baya wakweli nakuthamini sana sinakitu msanii wangu nigekutumiya zawadi kwakweli una stori safi
Dudubaya nimagufuli lakini hatujuwi tu.jamaa yupo vizuri sana .na tutamsifu akisha kufa kama ilivyo desturiyetu
From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!!
Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe...
Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS
Ilibid awe basata huyu!
Ye
S❤
🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk
Huyu Muongeaji wa Ukweli kwahiyo hiyo Wizara Ya Sanaa Hawawezi Kumpa Ingekuwa kipindi Cha Magufuli sawa ila so Kwa kipindi Hiki
Dah Jamaa Nilikuwa Namuona Siyo Kumbe Makini Sanaaaa, Aisee Nimempenda Bure
Yaani napenda jinsi DUDU huwa na information,,, kajua hapa kwetu Kenya kuwa prezzo ametokea familia tajiri...We like u so much konki 🇰🇪
Huyu manzee anafaa apewe ulinzi sanaa na akifa ajengewe sanamu. Salut sana kaka konki konki konki master. Much love from Kenya 🇰🇪
Dudu umetuvimbua meng sana big up kwako
Dudu baya Kila interview lzma ataje Mungu,,,big up brother
Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.
Akili kubwa sana kaka Dudu hongera sana
Didn't know dudu is this wise and informative! Long live
Konki master umenifunguwa ubongo sasa nimehelewa, hongera sana
Makini sana
Sikujua kama Dudu baya anaakili kama hii. Hongera sana.
Naibu waziri mwana fa kaa Na konki master atakuwa anakupa ushauri mzuri sana jamaa anajua mambo mengi sana
Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂
Big up sana Mtumishi wa Mungu yafanye mapenzi ya Mungu tu ndo kila kitu usikubali mtu kuitikisa imani yako kisa pesa❤
Dude baya ni kichwa sana hajawahi kurupuka kwanza ni mwanamziki anayejutambua ipo siku Mungu atamkumbuka.vumilia yatapita tu.
Wabongo flavor legend wakikuwa wanaspend sana life bila kuwekeza
Konki Master big up
Mama samia mpe ukuu wa wilaya dudu baya
I respect dudu baya!!! Big up
Kaka una madini sana unajua kupambanua ishu wachache sana Wana uwezo wa kufikiri kihivyo hasa hawa wasanii wetu.
Huyu ndio mtetezi wa wasanii tz big up dd by
Mimi ni mwanamuziki nimemuelewa sana konki leo
Naomba naomba ya dudu baya
Dudu wewe ni mahili katika katika fani yako. Big up.
Sikuwahi kufatilia interview yako hata moja, najuaga ni dudu baya ila sijuagi kama una mapoint hivi. Big up
Uko vzr broo nakukubali sna una madini
Much love bro
Kwa mara ya kwanza namuelewa DUDU BAYA NA NAMPIGIA SALUTE. Hii ni observation na uelewana mpana sana kwenye tasnia ya sanaa ya muziki.
Big up bro........attractive stories,,
Duh Leo.nimemkubali
Dudu bayaaa anavochekaaaa ujinga wa Mr. Nice utadhani ni mazuri
Kichwa sana hiki ✍
This man is full of wisdom.
Mbarikiwe sasa Huduma baba respect 💪💪neema Mungu awe nawe
Uko vzr mdogo wangu Tumaini
Dudu baya ana stori sana na huchoki kumsikiliza
Dudu ,mtu safi sana.
Huyu koki namuelewa sana ,ni watu wachache wa namnahii .Anaupeo mkubwa sana .maana ushahidi wa maneno yake pia anawo
Gonga like tumuunge mkono.
❤
Afya bado haijakaa vizuri 😮 Mungu akuponye tuu 🙏
Konki master ana akili sana huyu mtu, sikumdhani kabisa
Jamaa umetisha sana na pia kama ni kutangaza unaweza kaka na mimi naomba ufanye vipindi hivi hivi vya burudani.
DUDU WACHA WAKUCHUKIE TU . ILA UNASEMA KWEL SANA WASANII WA BONGO WANATESEKA SANA MADOGO VICHWA PANZI WENGI✊✊
Nashindwa kumchukia konk master maanake nampenda buree
wasanii wa zamani wana uelewa mpana sana sikiliza maishairi yao ndo utajuwa.
Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.
Akili kubwa sana 👏👏👏👏
Naombeni namba ya simu ya Mamba nimrushie hela ya maji meupe.
😂😂😂😂dah dudu noma sana bro
Nimekuelewa vizuri sana dudu baya
huyu dudubaya alipaswa aapewe ajira kitengo cha basata au wizara ya tamaduni sanaa na michezo tena position ya operation haki
Kumbe Dudu baya una akili hivi! Nakupata ni kiwa DRCongo.
Dudu chafu imekubali kirahisi Sana kichwa inafanya kazi huyu kakosa sapoti anafaa kuwa mwanasiasa %95
Huyu ni mwanasiasa sijui anapoteza mda Kwa nini kwenye usanii.
. true
Konki master yupo vizuri sana
Dudu bayanfor ever
Wewe dudu ni mtu muhimu sana kwetu
Mungu wetu
Kaka dudu baya
Nimekukubali
aisee dud umeongea vizuri sana mN
Jamaa anaongea point sana
Jamaa kama ana madin iviiiii au wenzangu mnaonajeee
Tena madini yakutosha
Dudu Baya Genius sana
Sema hili jamaa linaakili 🫡
Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila Dudu eti kafunika show ila mfukoni kafunikwa
Nakupenda sana mwanetu
Tuonyeshe kwenye waishi mzee
Daah inaumiza sana mm sio msanii lkn wanapigwa sana....!,kaka umenena ukweli mtupu...!
we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya
Wawoo
Dudu uko vizuri snaa
Mama Samia amtazame huyu mtu kwa jicho la tatu kwakweli❤
Mzee wa ndivyo ulivyo nakupenda tu big hope TUMAINI WILLIAM
Dudu nimtu mwenye upeo mkumbwa sana nimkweli daima
Huyu dudubaya ni lulu awekwe sehemu asikilizwe kwa umakini anavitu vingi sana vya kueleweka
Dudu Baya nenda kwa maombi utapona. Ushawapiga sana watu especially wanga sasa wanakuumiza afya yako
Dudu umetisha sana. Hala baby😂
Dudu baya uko vizuri sana
😢😢😢usimdharau usiyejua mjua.dudu baya ana kitu.
Jamaa achukue nchi tu... Anajua kila dhuluma Ya watanzania😢
Dudu baya tumpe kazi are wakala wa konyagi tanzania
Unafaa upate elimu ya kisiasa nzuri upate uongozi utafaa sana
Dudu baya your hero
Uyu jamaaa dah akili defuu saaana ❤❤❤
Kati ya watu wanajua kuongea uwazi ni huyu hapa jamani😅😅😅😅
Nimekupata konki master
Mbona ngosha leomkali sana.
Dudu baya ana uwezo mkubwa sana asichukuliwe poa
Mwamba Konki nakubali sana
Kaka mkubwa. mwamba kabisa🙌🙌kisima cha madini
Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,
Kweli kabisa jamaa ❤
Dudubaya umeongea ukweli nakubali kabisa
Respect dudu baya 🇹🇿🙏
Likiwa halijalewa lina point sana
Hahaaaaa nimecheka Sana kweli Mr nice ni mbwa
Dudubaya anatema madini Sana nashangaa tu watu mnamchukulia eazy