KUMBE DUDUBAYA ANAISHI KWENYE MAGOFU/NINA PICHA ZA UTUPU ZA MANGE/ MR NICE NIMSHAMBA/ HAKUNA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • ‪@dudubayaofficial3146‬ ‪@allyrehanitz‬ ‪@nice_asmr‬ ‪@Wasafi_Media‬ ‪@connectiononlinetv_tz‬ onlin

ความคิดเห็น • 286

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 8 หลายเดือนก่อน +33

    Dudubaya ana upeo mkubwa Sana, tofauti na watu wanavyomchukulia.

    • @yudanziku6030
      @yudanziku6030 7 หลายเดือนก่อน +3

      Sana kabisa

    • @HabibuMalima
      @HabibuMalima 3 หลายเดือนก่อน +2

      Nikweli sema watu kama hawa wanadidimizwa ktk jamii

    • @ShabiniAmri
      @ShabiniAmri หลายเดือนก่อน

      Lazima awe naupeo, mana maisha yamempiga,maisha ya watuwote anayajua nikufuatilia maisha ya watu,bado ananafasi yakufanya, hatamchicha unatoa ,waandishi wahabari wanamfanyia kusudi maana washamjua kadata kimaisha,

  • @BobErick-er6qm
    @BobErick-er6qm 8 หลายเดือนก่อน +18

    From Nairobi Kenya God give u more strength dudu baya uko na elimu bora

  • @Angel-h1t7j
    @Angel-h1t7j 3 หลายเดือนก่อน +4

    Napenda Sana kumsikiliza na kutizama interview za Dudu baya, konki master.. genius man,bravo bro you always speaking point.❤🇬🇧

  • @FelixHatungimana-f2w
    @FelixHatungimana-f2w 29 วันที่ผ่านมา +1

    Raiya wa burundi 🇧🇮 dudu baya wakweli nakuthamini sana sinakitu msanii wangu nigekutumiya zawadi kwakweli una stori safi

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 6 หลายเดือนก่อน +15

    Dudubaya nimagufuli lakini hatujuwi tu.jamaa yupo vizuri sana .na tutamsifu akisha kufa kama ilivyo desturiyetu

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 8 หลายเดือนก่อน +17

    From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!!
    Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe...
    Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS

    • @chiefndatu1895
      @chiefndatu1895 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ilibid awe basata huyu!

    • @SimoniThomasi
      @SimoniThomasi หลายเดือนก่อน

      Ye
      S❤

  • @MosesCharles-v2o
    @MosesCharles-v2o 8 หลายเดือนก่อน +22

    🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk

    • @Byme6434
      @Byme6434 6 หลายเดือนก่อน

      Huyu Muongeaji wa Ukweli kwahiyo hiyo Wizara Ya Sanaa Hawawezi Kumpa Ingekuwa kipindi Cha Magufuli sawa ila so Kwa kipindi Hiki

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 8 หลายเดือนก่อน +25

    Dah Jamaa Nilikuwa Namuona Siyo Kumbe Makini Sanaaaa, Aisee Nimempenda Bure

  • @charlesmbori88
    @charlesmbori88 7 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani napenda jinsi DUDU huwa na information,,, kajua hapa kwetu Kenya kuwa prezzo ametokea familia tajiri...We like u so much konki 🇰🇪

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 9 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu manzee anafaa apewe ulinzi sanaa na akifa ajengewe sanamu. Salut sana kaka konki konki konki master. Much love from Kenya 🇰🇪

  • @ImanipeterMlelwa
    @ImanipeterMlelwa 20 วันที่ผ่านมา

    Dudu umetuvimbua meng sana big up kwako

  • @aminkasim7731
    @aminkasim7731 8 หลายเดือนก่อน +20

    Dudu baya Kila interview lzma ataje Mungu,,,big up brother

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo 5 หลายเดือนก่อน +3

    Akili kubwa sana kaka Dudu hongera sana

  • @maxwellnjehu2425
    @maxwellnjehu2425 7 หลายเดือนก่อน +8

    Didn't know dudu is this wise and informative! Long live

  • @AlombweChabene-j9h
    @AlombweChabene-j9h หลายเดือนก่อน

    Konki master umenifunguwa ubongo sasa nimehelewa, hongera sana

  • @jibririjamshidi
    @jibririjamshidi หลายเดือนก่อน

    Makini sana

  • @sawiabatenga3554
    @sawiabatenga3554 6 หลายเดือนก่อน +3

    Sikujua kama Dudu baya anaakili kama hii. Hongera sana.

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 7 หลายเดือนก่อน +15

    Naibu waziri mwana fa kaa Na konki master atakuwa anakupa ushauri mzuri sana jamaa anajua mambo mengi sana

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 8 หลายเดือนก่อน +13

    Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 4 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana Mtumishi wa Mungu yafanye mapenzi ya Mungu tu ndo kila kitu usikubali mtu kuitikisa imani yako kisa pesa❤

  • @mercymkami7647
    @mercymkami7647 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dude baya ni kichwa sana hajawahi kurupuka kwanza ni mwanamziki anayejutambua ipo siku Mungu atamkumbuka.vumilia yatapita tu.

  • @EliahKayombo
    @EliahKayombo 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wabongo flavor legend wakikuwa wanaspend sana life bila kuwekeza

  • @CerndyHaile
    @CerndyHaile 2 หลายเดือนก่อน

    Konki Master big up

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mama samia mpe ukuu wa wilaya dudu baya

  • @LindaMwanzi-f8i
    @LindaMwanzi-f8i 8 หลายเดือนก่อน +3

    I respect dudu baya!!! Big up

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 7 หลายเดือนก่อน +6

    Kaka una madini sana unajua kupambanua ishu wachache sana Wana uwezo wa kufikiri kihivyo hasa hawa wasanii wetu.

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ndio mtetezi wa wasanii tz big up dd by

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 8 หลายเดือนก่อน +12

    Mimi ni mwanamuziki nimemuelewa sana konki leo

    • @timothntanwa1990
      @timothntanwa1990 25 วันที่ผ่านมา

      Naomba naomba ya dudu baya

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu wewe ni mahili katika katika fani yako. Big up.

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sikuwahi kufatilia interview yako hata moja, najuaga ni dudu baya ila sijuagi kama una mapoint hivi. Big up

  • @wilbertnyambi1036
    @wilbertnyambi1036 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr broo nakukubali sna una madini

  • @NeemaMangushi
    @NeemaMangushi 3 หลายเดือนก่อน

    Much love bro

  • @humphreychristopher8577
    @humphreychristopher8577 8 หลายเดือนก่อน +8

    Kwa mara ya kwanza namuelewa DUDU BAYA NA NAMPIGIA SALUTE. Hii ni observation na uelewana mpana sana kwenye tasnia ya sanaa ya muziki.

  • @JonasNestory
    @JonasNestory 6 หลายเดือนก่อน

    Big up bro........attractive stories,,

  • @ashasalim-l6h
    @ashasalim-l6h 14 วันที่ผ่านมา

    Duh Leo.nimemkubali

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 หลายเดือนก่อน

    Dudu bayaaa anavochekaaaa ujinga wa Mr. Nice utadhani ni mazuri

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 หลายเดือนก่อน

    Kichwa sana hiki ✍

  • @steveodero3455
    @steveodero3455 3 หลายเดือนก่อน

    This man is full of wisdom.

  • @RehemaMaluba
    @RehemaMaluba 4 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sasa Huduma baba respect 💪💪neema Mungu awe nawe

  • @tyterbrainer1975
    @tyterbrainer1975 6 หลายเดือนก่อน +2

    Uko vzr mdogo wangu Tumaini

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 7 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu baya ana stori sana na huchoki kumsikiliza

  • @avedimurunga722
    @avedimurunga722 หลายเดือนก่อน

    Dudu ,mtu safi sana.

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 6 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu koki namuelewa sana ,ni watu wachache wa namnahii .Anaupeo mkubwa sana .maana ushahidi wa maneno yake pia anawo
    Gonga like tumuunge mkono.

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 7 หลายเดือนก่อน +2

    Afya bado haijakaa vizuri 😮 Mungu akuponye tuu 🙏

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 7 หลายเดือนก่อน +8

    Konki master ana akili sana huyu mtu, sikumdhani kabisa

  • @Ibrahim.Katera.
    @Ibrahim.Katera. 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa umetisha sana na pia kama ni kutangaza unaweza kaka na mimi naomba ufanye vipindi hivi hivi vya burudani.

  • @SaidiMkinga
    @SaidiMkinga 9 หลายเดือนก่อน +18

    DUDU WACHA WAKUCHUKIE TU . ILA UNASEMA KWEL SANA WASANII WA BONGO WANATESEKA SANA MADOGO VICHWA PANZI WENGI✊✊

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nashindwa kumchukia konk master maanake nampenda buree

  • @samweljuma585
    @samweljuma585 6 หลายเดือนก่อน

    wasanii wa zamani wana uelewa mpana sana sikiliza maishairi yao ndo utajuwa.

  • @suzanarupia6484
    @suzanarupia6484 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 6 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa sana 👏👏👏👏

  • @12322879
    @12322879 8 หลายเดือนก่อน +20

    Naombeni namba ya simu ya Mamba nimrushie hela ya maji meupe.

  • @tumainiamanyisye8334
    @tumainiamanyisye8334 8 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂dah dudu noma sana bro

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa vizuri sana dudu baya

  • @godsson5954
    @godsson5954 8 หลายเดือนก่อน +7

    huyu dudubaya alipaswa aapewe ajira kitengo cha basata au wizara ya tamaduni sanaa na michezo tena position ya operation haki

  • @henribwema2778
    @henribwema2778 7 หลายเดือนก่อน +7

    Kumbe Dudu baya una akili hivi! Nakupata ni kiwa DRCongo.

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman 7 หลายเดือนก่อน +17

    Dudu chafu imekubali kirahisi Sana kichwa inafanya kazi huyu kakosa sapoti anafaa kuwa mwanasiasa %95

    • @mzeemombasa.3456
      @mzeemombasa.3456 7 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni mwanasiasa sijui anapoteza mda Kwa nini kwenye usanii.

    • @RoseHillary-j7t
      @RoseHillary-j7t 4 หลายเดือนก่อน

      . true

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 7 หลายเดือนก่อน

    Konki master yupo vizuri sana

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu bayanfor ever

  • @ValentinoSingano
    @ValentinoSingano 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe dudu ni mtu muhimu sana kwetu

  • @SamiaHussein-t5m
    @SamiaHussein-t5m ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu wetu

  • @ValentinoSingano
    @ValentinoSingano 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka dudu baya
    Nimekukubali

  • @Johnhamad-bz7go
    @Johnhamad-bz7go 8 หลายเดือนก่อน +1

    aisee dud umeongea vizuri sana mN

  • @yusuphkiponza4542
    @yusuphkiponza4542 3 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anaongea point sana

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx 8 หลายเดือนก่อน +13

    Jamaa kama ana madin iviiiii au wenzangu mnaonajeee

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 7 หลายเดือนก่อน

      Tena madini yakutosha

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 6 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya Genius sana

  • @ErickJoseph-mo9ix
    @ErickJoseph-mo9ix 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sema hili jamaa linaakili 🫡

  • @M7-Band
    @M7-Band 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila Dudu eti kafunika show ila mfukoni kafunikwa

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana mwanetu

  • @lemmychea
    @lemmychea 6 วันที่ผ่านมา

    Tuonyeshe kwenye waishi mzee

  • @RichardChatta
    @RichardChatta 7 หลายเดือนก่อน +9

    Daah inaumiza sana mm sio msanii lkn wanapigwa sana....!,kaka umenena ukweli mtupu...!

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 7 หลายเดือนก่อน +3

    we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya

  • @WilsonAmosi
    @WilsonAmosi หลายเดือนก่อน

    Wawoo

  • @aloycesjoseph2652
    @aloycesjoseph2652 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu uko vizuri snaa

  • @UpendoLema-bx9ji
    @UpendoLema-bx9ji 3 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia amtazame huyu mtu kwa jicho la tatu kwakweli❤

  • @eliaschibuga
    @eliaschibuga 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa ndivyo ulivyo nakupenda tu big hope TUMAINI WILLIAM

  • @ScolaMwamlima
    @ScolaMwamlima 6 หลายเดือนก่อน

    Dudu nimtu mwenye upeo mkumbwa sana nimkweli daima

  • @habillahimsokela6708
    @habillahimsokela6708 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu dudubaya ni lulu awekwe sehemu asikilizwe kwa umakini anavitu vingi sana vya kueleweka

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya nenda kwa maombi utapona. Ushawapiga sana watu especially wanga sasa wanakuumiza afya yako

  • @richardchristopher589
    @richardchristopher589 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu umetisha sana. Hala baby😂

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya uko vizuri sana

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢usimdharau usiyejua mjua.dudu baya ana kitu.

  • @salimomari150
    @salimomari150 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa achukue nchi tu... Anajua kila dhuluma Ya watanzania😢

  • @cyrusnovel198
    @cyrusnovel198 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya tumpe kazi are wakala wa konyagi tanzania

  • @chezariboy
    @chezariboy หลายเดือนก่อน +1

    Unafaa upate elimu ya kisiasa nzuri upate uongozi utafaa sana

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya your hero

  • @AsendeNyota
    @AsendeNyota 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaaa dah akili defuu saaana ❤❤❤

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 หลายเดือนก่อน

    Kati ya watu wanajua kuongea uwazi ni huyu hapa jamani😅😅😅😅

  • @fadhilinanyanga2048
    @fadhilinanyanga2048 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekupata konki master

  • @MabelaShija
    @MabelaShija 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona ngosha leomkali sana.

  • @shikuhata
    @shikuhata 2 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya ana uwezo mkubwa sana asichukuliwe poa

  • @joelnamkwahe5928
    @joelnamkwahe5928 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba Konki nakubali sana

  • @jackmajura6514
    @jackmajura6514 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mkubwa. mwamba kabisa🙌🙌kisima cha madini

  • @BrunosMjuti
    @BrunosMjuti 8 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,

    • @BarakaOmaryy
      @BarakaOmaryy 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa jamaa ❤

  • @NtahondiRhode
    @NtahondiRhode 3 หลายเดือนก่อน

    Dudubaya umeongea ukweli nakubali kabisa

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 8 หลายเดือนก่อน +1

    Respect dudu baya 🇹🇿🙏

  • @SimonMelon-k9p
    @SimonMelon-k9p 3 หลายเดือนก่อน

    Likiwa halijalewa lina point sana

  • @OmegaChurch-t5g
    @OmegaChurch-t5g 6 หลายเดือนก่อน

    Hahaaaaa nimecheka Sana kweli Mr nice ni mbwa

  • @OmaryChombo
    @OmaryChombo 11 วันที่ผ่านมา

    Dudubaya anatema madini Sana nashangaa tu watu mnamchukulia eazy