KUMBE DUDUBAYA ANAISHI KWENYE MAGOFU/NINA PICHA ZA UTUPU ZA MANGE/ MR NICE NIMSHAMBA/ HAKUNA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • ‪@dudubayaofficial3146‬ ‪@allyrehanitz‬ ‪@nice_asmr‬ ‪@Wasafi_Media‬ ‪@connectiononlinetv_tz‬ onlin

ความคิดเห็น • 203

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 3 หลายเดือนก่อน +12

    From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!!
    Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe...
    Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS

    • @chiefndatu1895
      @chiefndatu1895 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ilibid awe basata huyu!

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 2 หลายเดือนก่อน +10

    Naibu waziri mwana fa kaa Na konki master atakuwa anakupa ushauri mzuri sana jamaa anajua mambo mengi sana

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 3 หลายเดือนก่อน +17

    Dudubaya ana upeo mkubwa Sana, tofauti na watu wanavyomchukulia.

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 หลายเดือนก่อน +4

    Dudubaya nimagufuli lakini hatujuwi tu.jamaa yupo vizuri sana .na tutamsifu akisha kufa kama ilivyo desturiyetu

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman 2 หลายเดือนก่อน +15

    Dudu chafu imekubali kirahisi Sana kichwa inafanya kazi huyu kakosa sapoti anafaa kuwa mwanasiasa %95

    • @mzeemombasa.3456
      @mzeemombasa.3456 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni mwanasiasa sijui anapoteza mda Kwa nini kwenye usanii.

  • @user-qh9cy9lu4h
    @user-qh9cy9lu4h 3 หลายเดือนก่อน +17

    🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk

    • @Byme6434
      @Byme6434 หลายเดือนก่อน

      Huyu Muongeaji wa Ukweli kwahiyo hiyo Wizara Ya Sanaa Hawawezi Kumpa Ingekuwa kipindi Cha Magufuli sawa ila so Kwa kipindi Hiki

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 3 หลายเดือนก่อน +23

    Dah Jamaa Nilikuwa Namuona Siyo Kumbe Makini Sanaaaa, Aisee Nimempenda Bure

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo 13 วันที่ผ่านมา +1

    Akili kubwa sana kaka Dudu hongera sana

  • @charlesmbori88
    @charlesmbori88 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani napenda jinsi DUDU huwa na information,,, kajua hapa kwetu Kenya kuwa prezzo ametokea familia tajiri...We like u so much konki 🇰🇪

  • @sawiabatenga3554
    @sawiabatenga3554 หลายเดือนก่อน +3

    Sikujua kama Dudu baya anaakili kama hii. Hongera sana.

  • @BobErick-er6qm
    @BobErick-er6qm 3 หลายเดือนก่อน +12

    From Nairobi Kenya God give u more strength dudu baya uko na elimu bora

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu koki namuelewa sana ,ni watu wachache wa namnahii .Anaupeo mkubwa sana .maana ushahidi wa maneno yake pia anawo
    Gonga like tumuunge mkono.

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 4 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu manzee anafaa apewe ulinzi sanaa na akifa ajengewe sanamu. Salut sana kaka konki konki konki master. Much love from Kenya 🇰🇪

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.

  • @humphreychristopher8577
    @humphreychristopher8577 3 หลายเดือนก่อน +8

    Kwa mara ya kwanza namuelewa DUDU BAYA NA NAMPIGIA SALUTE. Hii ni observation na uelewana mpana sana kwenye tasnia ya sanaa ya muziki.

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kaka una madini sana unajua kupambanua ishu wachache sana Wana uwezo wa kufikiri kihivyo hasa hawa wasanii wetu.

  • @aminkasim7731
    @aminkasim7731 3 หลายเดือนก่อน +16

    Dudu baya Kila interview lzma ataje Mungu,,,big up brother

  • @suzanarupia6484
    @suzanarupia6484 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.

  • @EliahKayombo
    @EliahKayombo 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wabongo flavor legend wakikuwa wanaspend sana life bila kuwekeza

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 2 หลายเดือนก่อน +7

    Konki master ana akili sana huyu mtu, sikumdhani kabisa

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 28 วันที่ผ่านมา +1

    Dudu wewe ni mahili katika katika fani yako. Big up.

  • @henribwema2778
    @henribwema2778 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kumbe Dudu baya una akili hivi! Nakupata ni kiwa DRCongo.

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 3 หลายเดือนก่อน +10

    Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi ni mwanamuziki nimemuelewa sana konki leo

  • @Ibrahim.Katera.
    @Ibrahim.Katera. หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa umetisha sana na pia kama ni kutangaza unaweza kaka na mimi naomba ufanye vipindi hivi hivi vya burudani.

  • @maxwellnjehu2425
    @maxwellnjehu2425 2 หลายเดือนก่อน +4

    Didn't know dudu is this wise and informative! Long live

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน +1

    Nashindwa kumchukia konk master maanake nampenda buree

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu baya ana stori sana na huchoki kumsikiliza

  • @12322879
    @12322879 3 หลายเดือนก่อน +14

    Naombeni namba ya simu ya Mamba nimrushie hela ya maji meupe.

  • @godsson5954
    @godsson5954 3 หลายเดือนก่อน +5

    huyu dudubaya alipaswa aapewe ajira kitengo cha basata au wizara ya tamaduni sanaa na michezo tena position ya operation haki

  • @tyterbrainer1975
    @tyterbrainer1975 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uko vzr mdogo wangu Tumaini

  • @SmartDigital-j6s
    @SmartDigital-j6s 14 วันที่ผ่านมา +1

    huwa namuelewa sana huyu jamaa mkuu wa takwimu. tusichokijua ni kwamba amebeba takwimu zote za muziki na wanamuziki. tatizo watanzania tunachekelea sana ujinga na kupuuza mambo ya msingi. watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 2 หลายเดือนก่อน +3

    we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx 3 หลายเดือนก่อน +12

    Jamaa kama ana madin iviiiii au wenzangu mnaonajeee

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน

      Tena madini yakutosha

  • @user-nf5vl4sb9d
    @user-nf5vl4sb9d 3 หลายเดือนก่อน +3

    I respect dudu baya!!! Big up

  • @SaidiMkinga
    @SaidiMkinga 4 หลายเดือนก่อน +19

    DUDU WACHA WAKUCHUKIE TU . ILA UNASEMA KWEL SANA WASANII WA BONGO WANATESEKA SANA MADOGO VICHWA PANZI WENGI✊✊

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ndio mtetezi wa wasanii tz big up dd by

  • @sumbawangafinest3817
    @sumbawangafinest3817 20 วันที่ผ่านมา

    Kuna muda Alikuwa ni wa Tanzania but respect Homeboy

  • @MabelaShija
    @MabelaShija 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona ngosha leomkali sana.

  • @RichardChatta
    @RichardChatta 3 หลายเดือนก่อน +9

    Daah inaumiza sana mm sio msanii lkn wanapigwa sana....!,kaka umenena ukweli mtupu...!

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sikuwahi kufatilia interview yako hata moja, najuaga ni dudu baya ila sijuagi kama una mapoint hivi. Big up

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa sana 👏👏👏👏

  • @wilbertnyambi1036
    @wilbertnyambi1036 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr broo nakukubali sna una madini

  • @SalesDodoma
    @SalesDodoma 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hichi ni kichwa sana anajielewa mno

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 หลายเดือนก่อน +1

    Afya bado haijakaa vizuri 😮 Mungu akuponye tuu 🙏

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 3 หลายเดือนก่อน +4

    Unakosea hapo kwenye kumponda babaake ambae hausiki na ugomvi wenu na huyo mange.Hivyo hana hatia

  • @samweljuma585
    @samweljuma585 หลายเดือนก่อน

    wasanii wa zamani wana uelewa mpana sana sikiliza maishairi yao ndo utajuwa.

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 หลายเดือนก่อน

    Nilichogundua ma interviewer wengi wa Tanzania hawana Extended knowledge about to investigate journalism matters, zaidi ya ushabiki wa mambo yasiyoumiza kichwa.

  • @khamis9187
    @khamis9187 25 วันที่ผ่านมา

    Busara huna, unamuitaje mwenzako mbwa!!!! Mr, pimbi kakwambia uende kwa mr,manguruwe ukasafishe mavi ya nguruwe ukajinunisha!!!!sura kama nungunungu!!!.

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya Genius sana

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu bayanfor ever

  • @Johnhamad-bz7go
    @Johnhamad-bz7go 3 หลายเดือนก่อน +1

    aisee dud umeongea vizuri sana mN

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa vizuri sana dudu baya

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya uko vizuri sana

  • @aloycesjoseph2652
    @aloycesjoseph2652 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu uko vizuri snaa

  • @danielmwakyambiki3135
    @danielmwakyambiki3135 หลายเดือนก่อน

    Bonge la interview Mungu akutunze sana

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana mwanetu

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 2 หลายเดือนก่อน

    Konki master yupo vizuri sana

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ila dudubaya unakaa sijui kwenye gofu. Inshort hata wewe hali yako ya uchumi na afya ni mbaya ila kutwa kuongelea wengine

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน

      Msikilize vizuri analaani unyonyaji.

  • @YohanaCharles-zx3py
    @YohanaCharles-zx3py 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hoongera sana mambo

  • @jackmajura6514
    @jackmajura6514 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mkubwa. mwamba kabisa🙌🙌kisima cha madini

  • @fadhilinanyanga2048
    @fadhilinanyanga2048 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekupata konki master

  • @ScolaMwamlima
    @ScolaMwamlima หลายเดือนก่อน

    Dudu nimtu mwenye upeo mkumbwa sana nimkweli daima

  • @Gamyalian
    @Gamyalian 3 หลายเดือนก่อน +8

    Dudu baya anaongea ukwel hahaha

  • @SantiezLumona
    @SantiezLumona 10 วันที่ผ่านมา

    Tanzania akuna music

  • @richardchristopher589
    @richardchristopher589 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu umetisha sana. Hala baby😂

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila wanaume jamani.. Mmesikia story ya Mr. Nice.... MLA MLA LEO MLA JANA KALANI

  • @tumainiamanyisye8334
    @tumainiamanyisye8334 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂dah dudu noma sana bro

  • @jacobkaiza4969
    @jacobkaiza4969 หลายเดือนก่อน

    Heee huyu mbwa ana mdomo mchafu. Kama choo cha stend walah😂😂

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya your hero

  • @12322879
    @12322879 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mwamba sana aise

  • @joelnamkwahe5928
    @joelnamkwahe5928 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba Konki nakubali sana

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 หลายเดือนก่อน

    Clouds majizi sana majambaz

  • @danyflavourd5491
    @danyflavourd5491 3 หลายเดือนก่อน +2

    Fact tupu

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kafunika na kafunikwa mfukoni ...dudu unaongea point xna😅😅

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 3 หลายเดือนก่อน +2

    Unaye m intevew dudu hujasomea amekufunika

  • @user-ij3dx3xc2w
    @user-ij3dx3xc2w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,

    • @BarakaOmaryy
      @BarakaOmaryy หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa jamaa ❤

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio maana wakamuuwaa tuachie. Hapo 😂😂

  • @beatusharald56
    @beatusharald56 2 หลายเดือนก่อน +2

    Rungwe hiyo kunduchi silver send

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 3 หลายเดือนก่อน +1

    Respect dudu baya 🇹🇿🙏

  • @snakekobra6943
    @snakekobra6943 27 วันที่ผ่านมา

    APEWE. Maua.yake🙏🙏🙏🙏

  • @JonasNestory
    @JonasNestory หลายเดือนก่อน

    Big up bro........attractive stories,,

  • @SantiezLumona
    @SantiezLumona 10 วันที่ผ่านมา

    Ambaye Atabisha snijibie

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzungu hawezi kumfuatilia Mange kwa sababu mange anawasema watanzania. Hawasemi wazumgu kwa hiyo hawana sababu ya kumsikiliza

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka eti wanakula wao. Umechomoa betlii konki konki konki

  • @GodfreyMwita-q9u
    @GodfreyMwita-q9u 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂 kwamba show za sugu hazina hela au sio😂

  • @khamis9187
    @khamis9187 25 วันที่ผ่านมา

    Wanamuita putin au anajiita putin!!!!! Kenge uyo!!!

  • @mangulasix899
    @mangulasix899 หลายเดือนก่อน

    Argument zake zinamashiko sana....but hakuna mseminari asiyekuwa greatthinker

  • @user-lv5np3ys1j
    @user-lv5np3ys1j หลายเดือนก่อน

    Hahaaaaa nimecheka Sana kweli Mr nice ni mbwa

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa ni kichwa Sana watu hawajajua tu,anaeleza vitu majini kabisaa

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji na Dudubaya wameclick poa sana

  • @fadhilileonardmariki5962
    @fadhilileonardmariki5962 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ana I.Q kubwa sana

  • @francismillinga4591
    @francismillinga4591 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dudubaya ana akili sana

  • @snakekobra6943
    @snakekobra6943 27 วันที่ผ่านมา

    Wasanii. Wananyonywa😭😭😭😭

  • @alikhamic4177
    @alikhamic4177 หลายเดือนก่อน

    mr blue katokea kwenye ela

  • @sabiimohamed6560
    @sabiimohamed6560 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msema ukweli kashasema😊

  • @athumankagoro4187
    @athumankagoro4187 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde koknk

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania wagepatikana watu kama hawaa.ingefika mbali hongera konk mastar .unaongea.ukweli sio biyashara ya mahindi wala Korosho😂😂😂😂😂😂😂😂😂konk konk. Konk Master❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MohammedMzee-e5f
    @MohammedMzee-e5f 21 วันที่ผ่านมา

    Konki master...alie na akili atamuelewa tu....Hali halisi

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli hatumfatiliagi mange uku ulaya😂😂😂😂😂😂😂