BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.05
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 เม.ย. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761
Ii inafaa kuruka kila siku bonge la stori bwana balozi
Huyuuuu jama mtambo sana Kwa South Africa Protolia sany saidi
Nasigala hizo jina ilikuwa stavistent leo ni R 3 ile ya 5bobo ni VIP
Capetown fresh sana ukijielewa vizuri nakufanya kazi sana , kunamaisha sema ni mhimu kujielewa vizuri.
Iyoo life unayoo iongeleya 24:14 sisi waburundii ndioo tunayoo ichii hadileo ukuu durbun saudh africa big up broo salut 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Uyu mwana mtangazaji anajua sana kumsapoti mtoa story 😂
🤣🤣🤣🤣 ety nae anaongea kisela, yaaan nacheka kama zuzu
Nawafatilia since day one..Safi sana kuna mengi tunajifunza
Dah sema jamaaa huyu anastori sana😊
Hii story nzuri sana
Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana
Daah unatupa fundisho kubwa Sana kwenye maisha
👏👏Simulizi hii ninzuri sana na inafundsha pia tukopamoja sana dar24 media 👍👍
Huyu mwamba ametufundisha sana, nimemfwatilia tangu mwanzo
Jamaaa na mtangazaji mmenogesha interview
Huyu mwamba anaswaga sana
Mayfair mgundini miaka hiyo 1994 na kina Marehem Gooda (Lutazamba)
Ma beach boy wanastori sana
Sema mtangazaji hanaaamshaamsha yan msimuliaji hanafunguka had raha
Oyooooo mzee wa old zonga
😅😅😅😅😅😅 bongo ukipigwa inakuja deffender 😅😅😅😅
Yaaani hapo Tax Renky Amenikumbusha Mbali Sana Lazma nipite hapo kwenda maghetoni Tableview
🔥🔥
😂😂😂Huyu jamaa comedy sana duh
Tuliokulia kulia kinondoni miaka 89,90 tunakuelewa sn baharia
Kenneth Benjamin kino maenro gani?
@@rasjamal9854 nlikuliaga kino mitaa kea Boyz,nlishatokaga hko
Mwana anavunja mbavu sana
hahahahahahahahaahhhhahhaha kinyumenyme
ambulence inakuja londo
😆😆😆
Sema story inaambatana na anayehoj saport inampa emotional msimuliaji sema mwamba kapambana aseee..
Et watu wanaenda uku na sisi tunaenda uku
Hii story haichoshi 😂💪🔥
Next boss
Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa
Nyieee mtanganzaji kaoa? Nimepen nmb hahahha
Mwamba nimemkubali sana 😂😂😂
Mi mbu inakugombania 🤣
Jiwe konzi😂😂😂
Issa paka 😁
Safi
Dizonga ndio sauzi sio
Yeah mon
Badala ya Ambulance inakuja gari ya 50 😅😅😅😅😅 kweli tunaishi kinyume sanaa.
😂😂😂😂😂tushasahau Kufunga mlango tunalala nje kama Magar
Mwana kaishi kaburu
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝💪
Hiyo sehemu ya Kula Cape town mwaka 94 tulikuwa tuna Kula Kwa cent 5 Rand Nyuma ya pared
Mtangazaji punguza mdomo,unaharibu stori
🤣🤣🤣
Uhakika bro 😂😂😂
Anatumia nafaasi yake vzzur hili sio jungu kuu tbc
Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa
Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana