BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-08
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ธ.ค. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Mwamba nakuelewa sana ..uwez amin episode zote nime ziweka kwenye flash
Wa pili like zangu kama unafatilia mzigo huu
Kelele tatu kwa yuzo wakeeeee🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Asante sana nilikuà naitafta sana huu muendelezo mungu akubariki duba mdupange❤❤❤❤
Hyu bahari kanifunze neno Deck boss ambao wale mabaharia wengine wazamiaji wanapaita bosenideki ... huyu anawatamka.kitaalam kumbe bi boss on the deck( hili neno alielezea ktk episod za nyuma )
Wa kwanza kulike
Aya mi wa mwisho. Umefaidika nn
Nakubali baharia
Nakubari baharia
Mapezi ya papa wanatengenezea nyuzi za kishonea vidonda hospital
Kipindi kimekua kifupi sana mpaka kinachosha kufutilia boss
Mbanga kwa hewa🔥🔥🔥🔥
Mtangaji hayo maswali yako yanachelewesha story!hacha jamaa aongee mwisho wa story ndo uulize maswali yako sisi tunataka story tuu
Dupa kipindi kiongezwe.muda
Dumpa jaribu kuongea na uongozi kipindi kiongezwe mda.......