WAZIRI BASHE, KIJAJI WAFIKA KIWANDA KILICHOUA WATU 11 KWA AJALI" CHA SIMAMISHA SHUGHULI SIKU TATU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 27 วันที่ผ่านมา +5

    Mwenyezi Mungu awapokee na awajaalie huruma zake

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 27 วันที่ผ่านมา +4

    Eeee MUNGU MWENYEZI ALIYEHAI
    Faraja yako kubwa tunaihitaji Watanzania
    Poleni sana familia na kwa Taifa la Tanzania,

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 27 วันที่ผ่านมา +5

    Dash!! Ulikuwa ni mlipuko wenye mshindo mkubwa mno usiku ule, ambao ulisikka zaidi ya umbali wa kilometa thelathini na kuzua hofu has a maeneo jirani.Jamani hizi tekinolojia za kigeni no vema zisimamiwe na wanaoziunda vinginevyo madhara yangekuwa ni makubwa mno

  • @JuxOmmy
    @JuxOmmy 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awalaze mahali pema peponi.

  • @DavidMlaga
    @DavidMlaga 26 วันที่ผ่านมา

    Polen ndugu zetu ajar huyo mungu awatie nguvu wafiwa

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 27 วันที่ผ่านมา +2

    Jamn" wapumzike kwa Aman Marehem wote😭🙏

  • @princejosephat8316
    @princejosephat8316 27 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana ndg zetu kwa ajali hiyo na Mungu awajalie majeruhi wapone haraka,very sad

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 24 วันที่ผ่านมา

    Inalillahi wainailahi rajuun. Subuhanallah

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 27 วันที่ผ่านมา +1

    😪😪😪😪😪😪 mungu azilaze mahali pema peponi🙏 kazi ya mungu haina makosa🎚

  • @KonjiKabasa
    @KonjiKabasa 27 วันที่ผ่านมา +1

    Raha ya milele uwape eebwana na mwanga wa milee uwaangazie

  • @AndreaMgimba-nl9lt
    @AndreaMgimba-nl9lt 27 วันที่ผ่านมา +1

    Amen

  • @HaikaBeatrice
    @HaikaBeatrice 27 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana jamani

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 27 วันที่ผ่านมา

    Duuu! Poleni ndugu zetu mbele yetu.😢

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 27 วันที่ผ่านมา +1

    jamani mbona wamefariki wengi hivyo

  • @AmedeusMbanda-gh4rj
    @AmedeusMbanda-gh4rj 27 วันที่ผ่านมา

    Jamani poleni wanafamiliya 🙆🙆

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 27 วันที่ผ่านมา +1

    Shida nini jamani

  • @faudhiaisiaka6350
    @faudhiaisiaka6350 27 วันที่ผ่านมา +1

    Innalilaah wainnailaih rajiun

  • @revocatusclavery3562
    @revocatusclavery3562 27 วันที่ผ่านมา

    Hata sijui nasikia ajari ajari sielewi 😢😢

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 26 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo wamekufa kwa mvuke"si ndiyo?

  • @FredrickBamila
    @FredrickBamila 27 วันที่ผ่านมา

    Tunamuombea baba mdogo apumzike kwa aman na tunawaombea marehemu wote wapumzike kwa aman, bwana ametwaa na bwana ametoa jina la bwana lihimidiwe

  • @EsterMsuya-kn7tm
    @EsterMsuya-kn7tm 26 วันที่ผ่านมา

    Wapumzike kwa Amani

  • @jacklinehaule9784
    @jacklinehaule9784 27 วันที่ผ่านมา

    Dah ila maelezo Yao simple Yan 🥺

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 26 วันที่ผ่านมา

    Jamn

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 27 วันที่ผ่านมา

    Pole familia pole kiwanda pole tanzania

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 27 วันที่ผ่านมา

    Me cjaelewa ni ajal gan ya nn poleni jaman

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 27 วันที่ผ่านมา

      Moto

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 27 วันที่ผ่านมา

      Ajali ya gari

    • @latwibujuma
      @latwibujuma 26 วันที่ผ่านมา

      Bomba la kupitishia mvuke lilipasuka ndo huo mvuke ukawaua hawo watu

  • @revocatusclavery3562
    @revocatusclavery3562 27 วันที่ผ่านมา

    Hata sijui nasikia ajari ajari sielewi 😢😢

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 27 วันที่ผ่านมา

      Kuna mitambo ya mvuke imelipuka ktk kiwanda cha mtibwa sukari.