Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

ความคิดเห็น • 315

  • @mhagamakonge9493
    @mhagamakonge9493 8 ปีที่แล้ว +34

    hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu

    • @godfreymwandulusya2437
      @godfreymwandulusya2437 5 ปีที่แล้ว +1

      Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni

    • @MozesPaul-h6i
      @MozesPaul-h6i 5 หลายเดือนก่อน

      Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema

    • @PilliItambi
      @PilliItambi 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa. Allh hakunagu. Ya mungu mengi. 😂

  • @xiganzacharia6464
    @xiganzacharia6464 8 ปีที่แล้ว +12

    Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.

  • @BON357
    @BON357 5 หลายเดือนก่อน +6

    Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa

    • @EliteFresh
      @EliteFresh 4 หลายเดือนก่อน

      Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
      Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi

    • @SeifSeif-c5d
      @SeifSeif-c5d 4 หลายเดือนก่อน

      Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 4 หลายเดือนก่อน

      Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?

  • @TonnyMaleko
    @TonnyMaleko 5 หลายเดือนก่อน +3

    Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 5 หลายเดือนก่อน

      Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏

  • @shukranimtulo5857
    @shukranimtulo5857 8 ปีที่แล้ว +12

    Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo

    • @daudmwamboma5911
      @daudmwamboma5911 5 ปีที่แล้ว

      Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko

  • @Mjeru5631
    @Mjeru5631 8 ปีที่แล้ว +13

    poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga

  • @asiminana4097
    @asiminana4097 8 ปีที่แล้ว +10

    poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 ปีที่แล้ว +9

    Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki

  • @JohnMasadu
    @JohnMasadu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana, mmerudi kuonana na family zenu, mkatoe sadaka makanisani na misikitini

  • @Paulinawilliam-n8f
    @Paulinawilliam-n8f 6 หลายเดือนก่อน +1

    Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 8 ปีที่แล้ว +14

    Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni

    • @leinaamos9559
      @leinaamos9559 6 ปีที่แล้ว +2

      Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 5 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa mpnz.

    • @Bashirubakarisalala
      @Bashirubakarisalala 5 หลายเดือนก่อน +1

      Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 13 วันที่ผ่านมา

      😢😂 Yan we​@@Bashirubakarisalala

  • @JamilaJuma-dl4rh
    @JamilaJuma-dl4rh 13 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana kaka zangu mungu amewapigania

  • @EsterMjamaa-gw4be
    @EsterMjamaa-gw4be หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana jamani watanzania wenzetu daaah mpk nimelia sana jamani kaka zetu mungu yupo na anatenda

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 4 หลายเดือนก่อน +1

    God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 5 ปีที่แล้ว +2

    poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 22 วันที่ผ่านมา

    Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 5 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.

  • @T.M.GTumbage
    @T.M.GTumbage 6 วันที่ผ่านมา

    Poleni Sana ndugu zangu

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni ila ndio wanaume jikaze

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 หลายเดือนก่อน +6

    Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
    (Jeshi la Congo hilo )
    Daahhh Poleni sana Watz wenzentu

  • @shekhahamed7625
    @shekhahamed7625 6 ปีที่แล้ว +6

    Poleni nikumshukuru mungu

  • @saidkhalfan1607
    @saidkhalfan1607 8 ปีที่แล้ว +13

    poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa

  • @LovenessElias-v5j
    @LovenessElias-v5j 5 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana mungu awasaidie

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 8 ปีที่แล้ว +5

    Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 5 ปีที่แล้ว +1

      Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 8 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.

  • @ernestisokolo-mx3hg
    @ernestisokolo-mx3hg 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva

    • @Maimunasimon
      @Maimunasimon 2 หลายเดือนก่อน

      namim pis dereva wa Kik niombee

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 ปีที่แล้ว +3

    Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍

  • @fadhilaamiri8498
    @fadhilaamiri8498 8 ปีที่แล้ว +8

    poleni sana Mungu ni mwema

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 4 หลายเดือนก่อน

    Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 8 ปีที่แล้ว +2

    polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo

  • @Fatma-tx4os
    @Fatma-tx4os 8 ปีที่แล้ว +8

    Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah

  • @salamuushawji2044
    @salamuushawji2044 2 หลายเดือนก่อน

    poleni sana jaman.....vita c nzur hili tunalisikia je wenzetu walioshuhudia ..

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 5 ปีที่แล้ว +3

    Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu

  • @EmilyGithua
    @EmilyGithua 14 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana 🇰🇪

  • @HelenaMatiasi
    @HelenaMatiasi 14 วันที่ผ่านมา

    Usikute ni kiboko ya wachawi, ndo alifanya connection.

  • @HashimRajabu
    @HashimRajabu 4 หลายเดือนก่อน

    daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 6 ปีที่แล้ว +6

    Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 3 ปีที่แล้ว

    Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 6 ปีที่แล้ว +3

    mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano

  • @beatreasmgonja1735
    @beatreasmgonja1735 8 ปีที่แล้ว +9

    daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu

  • @BartonRogers-d6z
    @BartonRogers-d6z 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +5

    Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed6730 5 ปีที่แล้ว +4

    Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu hashindwi, poleni

  • @AugustyKessy
    @AugustyKessy 15 วันที่ผ่านมา

    pole ni sana

  • @LucasMwijage-oc5nx
    @LucasMwijage-oc5nx 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 5 ปีที่แล้ว +2

    Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 8 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana ndg zetu

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani

  • @jannerysharongaza9469
    @jannerysharongaza9469 8 ปีที่แล้ว +4

    poleni sana...

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 8 ปีที่แล้ว +1

    poleni sana ndg zetu

  • @estergidbosta3014
    @estergidbosta3014 15 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢Mungu kama hajapanga kifo huezi kufa

  • @princessjudith4417
    @princessjudith4417 6 ปีที่แล้ว +2

    Polen ndugu zetu mungu ni mwema

  • @harunncheye8817
    @harunncheye8817 8 ปีที่แล้ว +3

    one people one nation thanks Allah madereva wetu

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 8 ปีที่แล้ว +4

    Poleni sana ndugu zetu

  • @robertnickson389
    @robertnickson389 7 ปีที่แล้ว +2

    poleni sana kaka zangu

  • @theodorasamweli1136
    @theodorasamweli1136 8 ปีที่แล้ว +6

    thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!

  • @jumamaincharacter2107
    @jumamaincharacter2107 6 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji

  • @happychipanyanga2021
    @happychipanyanga2021 8 ปีที่แล้ว +4

    mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati

  • @dianaraymond2967
    @dianaraymond2967 8 ปีที่แล้ว +2

    poleni xana hakika mungu ni muweza

  • @adammasunga6382
    @adammasunga6382 5 ปีที่แล้ว +3

    Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
    Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe

  • @johngabrielgabriel4177
    @johngabrielgabriel4177 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema sisi madreva mungu atutangulie

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 6 ปีที่แล้ว +3

    Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki

  • @HarunaFursana
    @HarunaFursana 9 วันที่ผ่านมา

    Uhakika mimi japo nimearibika ila nilikuwa nawahurumia saanmadera

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 19 วันที่ผ่านมา

    polen sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu Ni mwema

  • @Maimunasimon
    @Maimunasimon 2 หลายเดือนก่อน

    mung tusaidie madereva jamn ningekuwepo mim sind ningebakw kwanza😂

    • @HussinAbdallah-v4b
      @HussinAbdallah-v4b 12 วันที่ผ่านมา

      Ahaaa sana lazima wangekula zigo Hilo kwanza

  • @mahesenitunduma2438
    @mahesenitunduma2438 8 ปีที่แล้ว +9

    Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!

  • @jumamwinyimkuu9409
    @jumamwinyimkuu9409 8 ปีที่แล้ว +2

    Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.

  • @gastosecha4713
    @gastosecha4713 8 ปีที่แล้ว +7

    Hakuna kama BWANA YESU

  • @dominathakokubelwa9801
    @dominathakokubelwa9801 4 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi

  • @esthernyanchama3522
    @esthernyanchama3522 6 ปีที่แล้ว +2

    Poleni

  • @mnyakyusahalisi2049
    @mnyakyusahalisi2049 8 ปีที่แล้ว +1

    Dah polen saana ndugu zangu

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo 6 ปีที่แล้ว +8

    Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu

  • @alexmadaraka840
    @alexmadaraka840 6 ปีที่แล้ว +1

    Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au

  • @philipompene9968
    @philipompene9968 8 ปีที่แล้ว +4

    mungu amewaokoa

  • @SalmaHamisi-ly1ip
    @SalmaHamisi-ly1ip 2 หลายเดือนก่อน

    jamani kwani ni wapi hapo

  • @mudytondo3130
    @mudytondo3130 5 ปีที่แล้ว +1

    poreni sana braza zangu kwa majanga

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ni mkongomani ila nawapa pole ndugu zetu wa Tanzania kwa yale mlio pitia yaani Mimi mwenyewe roho ina niuma sana sijue inchi ina rogwa kiasi Gani hakuna muelewano kati ya serikali na wana inchi

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 ปีที่แล้ว +3

    ajali kazini

  • @davisjuma5887
    @davisjuma5887 4 หลายเดือนก่อน

    dah mwanaume sikuzote tunatafutakilakitu kwa shida aisee hongereni sanaa jeshi la kongo

  • @banimulengwa7837
    @banimulengwa7837 8 ปีที่แล้ว +8

    sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!

    • @petermichael9513
      @petermichael9513 6 ปีที่แล้ว

      daaaaa polenisana

    • @kakurutv7262
      @kakurutv7262 5 ปีที่แล้ว +1

      Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 ปีที่แล้ว +4

    maskin mungu hamtupi mja wake

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 4 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana kaka zangu

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 5 หลายเดือนก่อน

    Big up sana kwa huyo kiongozi wa kundi

  • @janinnekaneza8780
    @janinnekaneza8780 8 ปีที่แล้ว +1

    Polen sana mungu nimkubwa

  • @ashamwaulambo2997
    @ashamwaulambo2997 8 ปีที่แล้ว +2

    pole sana ndug zang

  • @fatumaomari8115
    @fatumaomari8115 6 ปีที่แล้ว +1

    Poleni san ndugu zang

  • @hassanmwalubanje9289
    @hassanmwalubanje9289 8 ปีที่แล้ว +2

    pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.

  • @ridiayohana9311
    @ridiayohana9311 7 ปีที่แล้ว +1

    Polen sana kwan maisha nipopote

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 4 หลายเดือนก่อน

    Pat 2

  • @sedckiaaloyce1611
    @sedckiaaloyce1611 5 ปีที่แล้ว +1

    polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 14 วันที่ผ่านมา

    Polen sana

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 8 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema, poleni sana

  • @erasmusshauritanga8485
    @erasmusshauritanga8485 3 หลายเดือนก่อน

    Nilitamani kuendelea kusikiliza hii habari ningependa kujua hata yule alitoroka mwanzo mwisho wake ulikuwaje.

  • @SalumMtesa
    @SalumMtesa 4 หลายเดือนก่อน

    Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 4 หลายเดือนก่อน

    HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana