Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi. Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
Mimi ni mkongomani ila nawapa pole ndugu zetu wa Tanzania kwa yale mlio pitia yaani Mimi mwenyewe roho ina niuma sana sijue inchi ina rogwa kiasi Gani hakuna muelewano kati ya serikali na wana inchi
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu
Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni
Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema
Kwa. Allh hakunagu. Ya mungu mengi. 😂
Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn
Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?
Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.
Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏
Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo
Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko
poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga
poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.
Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki
Poleni sana, mmerudi kuonana na family zenu, mkatoe sadaka makanisani na misikitini
Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana
Kabisa mpnz.
Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.
😢😂 Yan we@@Bashirubakarisalala
Poleni sana kaka zangu mungu amewapigania
Pole sana jamani watanzania wenzetu daaah mpk nimelia sana jamani kaka zetu mungu yupo na anatenda
God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪
poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.
Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Poleni Sana ndugu zangu
Hongereni ila ndio wanaume jikaze
Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
(Jeshi la Congo hilo )
Daahhh Poleni sana Watz wenzentu
Poleni nikumshukuru mungu
poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa
inchi zingine zina roho mbaya
Poleni sana mungu awasaidie
Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.
Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?
Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.
Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva
namim pis dereva wa Kik niombee
Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍
poleni sana Mungu ni mwema
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo
Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah
Waislam nitelorist
MUNGu ni MUNGU tuuu anaokoa
poleni sana jaman.....vita c nzur hili tunalisikia je wenzetu walioshuhudia ..
Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu
Poleni sana 🇰🇪
Usikute ni kiboko ya wachawi, ndo alifanya connection.
daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu
Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.
Ebi Salum mbavu zangu 🤣
Kbs🤣🤣
😂😂
Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah
Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana
mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano
daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu
poleni Sana mungu ni mwema
Polen sana
Poleni sana
Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.
Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali
Mungu hashindwi, poleni
pole ni sana
Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa
Poleni sana ndg zetu
Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani
poleni sana...
poleni sana ndg zetu
😢😢😢Mungu kama hajapanga kifo huezi kufa
Polen ndugu zetu mungu ni mwema
Porenisan
one people one nation thanks Allah madereva wetu
Poleni sana ndugu zetu
jamani. mungu nimwema. ila poleni sana
Iragi Barume pokeni
poleni sana kaka zangu
thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!
Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji
Pole ni sanaajamani ndugu zetu
mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani
Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati
poleni xana hakika mungu ni muweza
Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe
Waislamu wabaya
Mungu ni mwema sisi madreva mungu atutangulie
Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki
Uhakika mimi japo nimearibika ila nilikuwa nawahurumia saanmadera
polen sana
Mungu Ni mwema
mung tusaidie madereva jamn ningekuwepo mim sind ningebakw kwanza😂
Ahaaa sana lazima wangekula zigo Hilo kwanza
Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
Hakuna kama BWANA YESU
ebitoke
yupo Alie muumba huyo yesu
yupo ni Allah
Hakika Yesu ndie kimbilio letu
@@helenhongerababaamosj5848 acha ujinga Yesu mwenyewe kaumbwa na Allah
Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi
Poleni
Dah polen saana ndugu zangu
Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu
Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au
mungu amewaokoa
jamani kwani ni wapi hapo
poreni sana braza zangu kwa majanga
Mimi ni mkongomani ila nawapa pole ndugu zetu wa Tanzania kwa yale mlio pitia yaani Mimi mwenyewe roho ina niuma sana sijue inchi ina rogwa kiasi Gani hakuna muelewano kati ya serikali na wana inchi
ajali kazini
dah mwanaume sikuzote tunatafutakilakitu kwa shida aisee hongereni sanaa jeshi la kongo
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
daaaaa polenisana
Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa
maskin mungu hamtupi mja wake
Poleni sana kaka zangu
Big up sana kwa huyo kiongozi wa kundi
Polen sana mungu nimkubwa
pole sana ndug zang
Poleni san ndugu zang
Pl
pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.
Polen sana kwan maisha nipopote
Pat 2
polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe
Polen sana
Mungu ni mwema, poleni sana
polen sana ndugu
Nilitamani kuendelea kusikiliza hii habari ningependa kujua hata yule alitoroka mwanzo mwisho wake ulikuwaje.
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana