Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi. Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
(Jeshi la Congo hilo )
Daahhh Poleni sana Watz wenzentu
hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu
Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni
Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema
Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.
poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.
poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana
Kabisa mpnz.
Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.
daaaaa poleni SANA MUNGU WETU ashidwi NAKITU CHOCHOTE..BWANA YESU ASIFIWE
Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo
Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn
Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?
Polenii Sanaa ndugu zangu
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Poleni Sana madereca
Poleni madereva wenzangu
Sasa unawapa pole baada ya myaka 7 tayari
poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa
inchi zingine zina roho mbaya
Mungu azidi kuwatetea
Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.
Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva
polen sana Allaah hashndw nak2
Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍
poleni sana Mungu ni mwema
poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.
Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.
Ebi Salum mbavu zangu 🤣
Kbs🤣🤣
😂😂
Nawashukuru sana wanajeshi waliojitoa kuwaokoa ndugu zetu. ..mungu awabariki
daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu
poleni Sana mungu ni mwema
Polen sana
Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.
Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?
Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.
Poleni nikumshukuru mungu
Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana
Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.
Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏
Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!
Hongereni ila ndio wanaume jikaze
Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah
polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo
Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali
Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake
thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!
one people one nation thanks Allah madereva wetu
daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu
poleni sana ndg zetu
Ooh allah tupe ulinzi waja wako mola wangu mtukufu tuondolee kila shida kwa uwezo wako rasulillah klah
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
daaaaa polenisana
Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa
Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah
Waislam nitelorist
MUNGu ni MUNGU tuuu anaokoa
poleni sana kaka zangu
poleni sana...
Poleni sana ndg zetu
Mungu hashindwi, poleni
Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!
mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani
Hakuna kama BWANA YESU
Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu
Poleni sana
Poleni sana ndugu zetu
jamani. mungu nimwema. ila poleni sana
Iragi Barume pokeni
Polen ndugu zetu mungu ni mwema
Porenisan
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Dah polen saana ndugu zangu
Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu
Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki
mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano
poleni sana
Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati
Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani
Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa
poleni xana hakika mungu ni muweza
maskin mungu hamtupi mja wake
ajali kazini
Poleni sana Mungu ni mwema kawaokoa
From @Usangu logistics natoa pole kwa madeleva wenzangu
Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji
Pole ni sanaajamani ndugu zetu
Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi
Daaah nimeiangalia hii video utazani imetokea jana maana, taarifa zao za kutekwa zilizungumziwa sana
poreni sana braza zangu kwa majanga
Poleni sana kaka zangu
Dhuuu poleni sana eti banakuya bebeni Batu
kweli tanzania ni ndugu ukisoma izi comment utakubali
Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe
Waislamu wabaya
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
Polen sana mungu nimkubwa
Big up sana kwa huyo kiongozi wa kundi
Poleni
Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au
Lakin mbon wao hatuwafanyi hivi wakati kila siki wanapita
Polen ndugu zetu na hongeren jeshi la congo
pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.
Polen sana jamaa zangu mbwana nakuona hapo unamwambia Mzee nanii asain
Mungu Ni mwema
Poleni Sana
Be sorry for that !!
Unakiyuwa muzuri kiswaili ya Congo eti tunakuya kubaokowa
HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana
pole sana ndug zang
Poleni san ndugu zang
Pl
Pole sana kamanda zangu
Mungu nimkubwa sana Congo magaidi niwengi sijui wanatoka wap
Polen sana kwan maisha nipopote
dah mwanaume sikuzote tunatafutakilakitu kwa shida aisee hongereni sanaa jeshi la kongo
polen sana
poleni sana mungu ni mkubwa