Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2016
  • Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

ความคิดเห็น • 278

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 หลายเดือนก่อน +5

    Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
    (Jeshi la Congo hilo )
    Daahhh Poleni sana Watz wenzentu

  • @mhagamakonge9493
    @mhagamakonge9493 7 ปีที่แล้ว +27

    hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu

    • @godfreymwandulusya2437
      @godfreymwandulusya2437 5 ปีที่แล้ว

      Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni

    • @user-sn9yp3sc2f
      @user-sn9yp3sc2f 2 หลายเดือนก่อน

      Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema

  • @xiganzacharia6464
    @xiganzacharia6464 7 ปีที่แล้ว +9

    Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.

  • @asiminana4097
    @asiminana4097 7 ปีที่แล้ว +10

    poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.

  • @stevemselle5631
    @stevemselle5631 7 ปีที่แล้ว +11

    poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga

  • @jumamwinyimkuu9409
    @jumamwinyimkuu9409 7 ปีที่แล้ว +2

    Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 หลายเดือนก่อน +1

    God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪

  • @bishaaibrahim8802
    @bishaaibrahim8802 7 ปีที่แล้ว +8

    mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 ปีที่แล้ว +8

    Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 7 ปีที่แล้ว +13

    Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni

    • @leinaamos9559
      @leinaamos9559 6 ปีที่แล้ว +2

      Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa mpnz.

    • @Bashirubakarisalala
      @Bashirubakarisalala หลายเดือนก่อน +1

      Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.

  • @florencekiza9889
    @florencekiza9889 5 ปีที่แล้ว +3

    daaaaa poleni SANA MUNGU WETU ashidwi NAKITU CHOCHOTE..BWANA YESU ASIFIWE

  • @shukranimtulo5857
    @shukranimtulo5857 7 ปีที่แล้ว +8

    Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo

    • @daudmwamboma5911
      @daudmwamboma5911 4 ปีที่แล้ว

      Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations หลายเดือนก่อน

    Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.

  • @BON357
    @BON357 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa

    • @user-zq1ux3xs7l
      @user-zq1ux3xs7l หลายเดือนก่อน

      Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
      Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi

    • @user-wf2yg7sl4v
      @user-wf2yg7sl4v หลายเดือนก่อน

      Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 หลายเดือนก่อน

      Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?

  • @JofreyMwakajila
    @JofreyMwakajila 5 วันที่ผ่านมา

    Polenii Sanaa ndugu zangu

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.

  • @KabulaJoin
    @KabulaJoin วันที่ผ่านมา

    Poleni Sana madereca

  • @SNAIBSTAR
    @SNAIBSTAR หลายเดือนก่อน +2

    Poleni madereva wenzangu

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 หลายเดือนก่อน

      Sasa unawapa pole baada ya myaka 7 tayari

  • @saidkhalfan1607
    @saidkhalfan1607 7 ปีที่แล้ว +12

    poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa

  • @Anifanusura
    @Anifanusura 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu azidi kuwatetea

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 7 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.

  • @ernestisokolo-mx3hg
    @ernestisokolo-mx3hg หลายเดือนก่อน +1

    Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva

  • @ayshaal6979
    @ayshaal6979 7 ปีที่แล้ว +9

    polen sana Allaah hashndw nak2

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 ปีที่แล้ว +3

    Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍

  • @fadhilaamiri8498
    @fadhilaamiri8498 7 ปีที่แล้ว +7

    poleni sana Mungu ni mwema

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 4 ปีที่แล้ว +1

    poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 6 ปีที่แล้ว +6

    Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.

  • @abdillahimahamed1814
    @abdillahimahamed1814 4 ปีที่แล้ว +5

    Nawashukuru sana wanajeshi waliojitoa kuwaokoa ndugu zetu. ..mungu awabariki

  • @beatreasmgonja1735
    @beatreasmgonja1735 7 ปีที่แล้ว +9

    daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 7 ปีที่แล้ว +4

    Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว +1

      Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +5

    Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.

  • @shekhahamed7625
    @shekhahamed7625 6 ปีที่แล้ว +5

    Poleni nikumshukuru mungu

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um หลายเดือนก่อน +1

    Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana

  • @TonnyMaleko
    @TonnyMaleko หลายเดือนก่อน +1

    Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y หลายเดือนก่อน

      Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏

  • @mahesenitunduma2438
    @mahesenitunduma2438 7 ปีที่แล้ว +9

    Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 15 วันที่ผ่านมา

    Hongereni ila ndio wanaume jikaze

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 3 ปีที่แล้ว

    Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 7 ปีที่แล้ว +2

    polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed6730 4 ปีที่แล้ว +4

    Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali

  • @user-lz1qj6ck3m
    @user-lz1qj6ck3m 3 หลายเดือนก่อน

    Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake

  • @theodorasamweli1136
    @theodorasamweli1136 7 ปีที่แล้ว +6

    thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!

  • @harunncheye8817
    @harunncheye8817 7 ปีที่แล้ว +3

    one people one nation thanks Allah madereva wetu

  • @HashimRajabu
    @HashimRajabu หลายเดือนก่อน

    daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 7 ปีที่แล้ว +1

    poleni sana ndg zetu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt หลายเดือนก่อน

    Ooh allah tupe ulinzi waja wako mola wangu mtukufu tuondolee kila shida kwa uwezo wako rasulillah klah

  • @banimulengwa7837
    @banimulengwa7837 7 ปีที่แล้ว +8

    sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!

    • @petermichael9513
      @petermichael9513 6 ปีที่แล้ว

      daaaaa polenisana

    • @kakurutv7262
      @kakurutv7262 4 ปีที่แล้ว +1

      Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa

  • @Fatma-tx4os
    @Fatma-tx4os 7 ปีที่แล้ว +7

    Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah

  • @robertnickson389
    @robertnickson389 7 ปีที่แล้ว +2

    poleni sana kaka zangu

  • @jannerysharongaza9469
    @jannerysharongaza9469 7 ปีที่แล้ว +4

    poleni sana...

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 7 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana ndg zetu

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu hashindwi, poleni

  • @LucasMwijage-oc5nx
    @LucasMwijage-oc5nx หลายเดือนก่อน

    Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!

  • @happychipanyanga2021
    @happychipanyanga2021 7 ปีที่แล้ว +4

    mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani

  • @gastosecha4713
    @gastosecha4713 7 ปีที่แล้ว +16

    Hakuna kama BWANA YESU

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 4 ปีที่แล้ว +2

    Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu

  • @momylaviel
    @momylaviel 26 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 ปีที่แล้ว +4

    Poleni sana ndugu zetu

  • @princessjudith4417
    @princessjudith4417 6 ปีที่แล้ว +2

    Polen ndugu zetu mungu ni mwema

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 หลายเดือนก่อน

    Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno

  • @mnyakyusahalisi2049
    @mnyakyusahalisi2049 7 ปีที่แล้ว +1

    Dah polen saana ndugu zangu

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo 5 ปีที่แล้ว +8

    Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 6 ปีที่แล้ว +3

    Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 6 ปีที่แล้ว +2

    mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano

  • @adinanichadadee530
    @adinanichadadee530 7 ปีที่แล้ว +3

    poleni sana

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 4 ปีที่แล้ว +2

    Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa

  • @dianaraymond2967
    @dianaraymond2967 7 ปีที่แล้ว +2

    poleni xana hakika mungu ni muweza

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 7 ปีที่แล้ว +4

    maskin mungu hamtupi mja wake

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 ปีที่แล้ว +3

    ajali kazini

  • @mevicemwasuku8884
    @mevicemwasuku8884 7 ปีที่แล้ว +3

    Poleni sana Mungu ni mwema kawaokoa

    • @leefunnyclip4721
      @leefunnyclip4721 5 ปีที่แล้ว

      From @Usangu logistics natoa pole kwa madeleva wenzangu

  • @jumamaincharacter2107
    @jumamaincharacter2107 6 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji

  • @dominathakokubelwa9801
    @dominathakokubelwa9801 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 หลายเดือนก่อน

    Daaah nimeiangalia hii video utazani imetokea jana maana, taarifa zao za kutekwa zilizungumziwa sana

  • @mudytondo3130
    @mudytondo3130 5 ปีที่แล้ว +1

    poreni sana braza zangu kwa majanga

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana kaka zangu

  • @modestgbah8877
    @modestgbah8877 6 ปีที่แล้ว +1

    Dhuuu poleni sana eti banakuya bebeni Batu

  • @anonymous-ps8iu
    @anonymous-ps8iu 7 ปีที่แล้ว +7

    kweli tanzania ni ndugu ukisoma izi comment utakubali

  • @adammasunga6382
    @adammasunga6382 4 ปีที่แล้ว +3

    Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
    Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe

  • @user-jk6mr5lv4l
    @user-jk6mr5lv4l หลายเดือนก่อน

    Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli

  • @janinnekaneza8780
    @janinnekaneza8780 7 ปีที่แล้ว +1

    Polen sana mungu nimkubwa

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 หลายเดือนก่อน

    Big up sana kwa huyo kiongozi wa kundi

  • @esthernyanchama3522
    @esthernyanchama3522 6 ปีที่แล้ว +2

    Poleni

  • @alexmadaraka840
    @alexmadaraka840 5 ปีที่แล้ว +1

    Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au

  • @danielkiwanga2853
    @danielkiwanga2853 หลายเดือนก่อน

    Lakin mbon wao hatuwafanyi hivi wakati kila siki wanapita

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 4 ปีที่แล้ว

    Polen ndugu zetu na hongeren jeshi la congo

  • @hassanmwalubanje9289
    @hassanmwalubanje9289 7 ปีที่แล้ว +2

    pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.

  • @abdimaulid5569
    @abdimaulid5569 4 ปีที่แล้ว

    Polen sana jamaa zangu mbwana nakuona hapo unamwambia Mzee nanii asain

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu Ni mwema

  • @tausikassim5258
    @tausikassim5258 7 ปีที่แล้ว +3

    Poleni Sana

  • @modestgbah8877
    @modestgbah8877 6 ปีที่แล้ว +1

    Unakiyuwa muzuri kiswaili ya Congo eti tunakuya kubaokowa

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 หลายเดือนก่อน

    HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana

  • @ashamwaulambo2997
    @ashamwaulambo2997 7 ปีที่แล้ว +2

    pole sana ndug zang

  • @fatumaomari8115
    @fatumaomari8115 6 ปีที่แล้ว +1

    Poleni san ndugu zang

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kamanda zangu

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan4707 6 ปีที่แล้ว

    Mungu nimkubwa sana Congo magaidi niwengi sijui wanatoka wap

  • @ridiayohana9311
    @ridiayohana9311 6 ปีที่แล้ว +1

    Polen sana kwan maisha nipopote

  • @davisjuma5887
    @davisjuma5887 หลายเดือนก่อน

    dah mwanaume sikuzote tunatafutakilakitu kwa shida aisee hongereni sanaa jeshi la kongo

  • @kelvilyimo4062
    @kelvilyimo4062 7 ปีที่แล้ว +2

    polen sana

  • @user-mt4ff5fi8s
    @user-mt4ff5fi8s 7 ปีที่แล้ว +2

    poleni sana mungu ni mkubwa