DIAMOND AGEUKA MBOGO AKASIRIKA AMGOMBEZA JAMAA HUYU USIKU WA 'PRIVATE PARTY', SALLAM AINGILIA KATI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2023
- Ni headlines za Msanii na Mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz ambapo Novemba 19, 2023 ameandaa private party inayofanyika Elements Masaki Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kumkutanisha Msanii wake mpya aitwae D Voice na mashabiki wa Bongo Fleva.
Hapa nimekusogezea ushuhudie pale Diamond alichokwazika baada ya Jamaa kuleta usumbufu mahali ambapo D Voice alipokuwa akichezea Santuli.
Diamond platnumz keep moving forward my g much love from 🇳🇬
😘
❤❤❤❤
d voice n multi talented kweli maan kumbe n dj pia
D Voice anahitaji confidence ndogo sana, namuona akiupeleka Mziki wa Singeli kwenye jukwaa la kimataifa #SwahiliSoundToTheWorld💥
Mute sound😅😅
Singeli haiendi kokote hata uwe WCB labda iende Kenya😂
@@djhdscratchmaster4110 mbona kama Iko personal 😅😅😅
@@stephanojohn7266 Siyo kwa ubaya,huyo itabidi ajifunze mziki mwingine hizo singeli jau sana
Simba we love you, always!❤
D Voice yko n Vibe i like it ❤❤❤😊🇰🇪😘😉
Mondi kuwa makini na vinywaji vyako bro waliokuzunguka wengi wanafki kukuzuru simpo sn mkuu na gemu la bongo bado linakuitaji sana
Uyu ni ngumu mzeee
@@jonasibraysoni1859ugumu upo wapi sasa mzee? mi naona ushauri wa mshkaji ni mzuri we usiweke maswala ya ushabiki
Leo nimekuwa first viewers like leo sizitaki lkn tia tuh
Hapo mama Amina wanaitikiaje vile, yote kwa yote nakubali jamaa anavyoitafuta pesa kwa nguvu zote, big up sana,
🤣🤣unataka tutukane kwenye koment😂
@@nancyg8664 hivie dah! ndio vioo vyetu vya jamii
@@MichaelJames-tp6co hahah we acha tu
Uyu kijana mpya wa WCB anajua kuchezea izo vitu apo mbele sijui vinaitwaje mimi ni nomaa
Anatumia pc hapo hizi mashine hajatumia
@@Djdiortz ooo ok thanks
Msanii we2 mpya mbn miwan ileile kila cku,anaua brand bana
Kwani miwani chupi we mwananyamalaposta vp
Mody tafadhali chunga vikombe vyako wengi wako siwazuri apo utaekewa sumu siombi
Thubutu hapo kuna mizizi Ya kila aina kama nywaya Za tanesko
@@sonnyr1899😂😂😂😂😂 kabisaaa
SimbaLaMasimba You inspire us bro we umemtoa kionde Na ray 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Huyo ndo Simba la masimba dangote🎉
Simßaaaaahhh🔥🔥🔥🔥🔥🦁🦁🦁🦁🙌🙌🙌Haujuiiiii🤙🤙🤙
Daaa security ipo weakness sana maadui wanaweza kutumia kama chance ya kumdhuru
Anapasukaaa kama kanaleta ujuaji 😂
Labda na yy analindwa na mungu wake ..........😮 Kam mwanae zuchu😅
Simba mzee umechina kuma la mama yko amina
Huyo mwana sound engineer
Daimondi platinum ❤❤❤❤❤❤❤
we zombie. haujui ❤❤
Mond ni noma!
❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯🙌🙌🙌
Mondi utawekewa sumu naww maan ilo likikombe limekaa sana hapo
Exactly 💯 from 🇿🇲🇿🇲
Sawa ila kuna dawa ipo kigoma mtu akikupa sumu ukishika kitu kinaanguka automatically kwa kuwa mondi ni mtu wa kigoma nadhani anayo iyo dawa
D voice kumbe ni Dj pia
Nama Simba Nama Simba dangote hakika unatisha
Dogo yupo vizur
Wcb for life
DJ D VOICE🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa alikua sahihi kulinda kifaachake kisiingie kinywaji atakama atalipwa hatukumuelewa tu
Mond mnyama sanaa😂
Kweli ujakisea
Kumbee mondii anamakasikoo hivio😂😂😂sijawahi kumuon😂😂
Mpitie na kwangu
Jamaa wamemsign DJ wa Visingeli hatofautiani na DJ Tito
Nzuri, lakin D unamzika JM kihuni sana
Ninacho kijua Dunia ii auwez pendwa nawatu wote
Hili jamaa Lina roho mbaya Sana hapendi kuona wenzake wakiwa juu kimuziki hasa mmakonde,,umeshashindwa
sasa mafanikio ya mondi ni ya kumaindi mafanikio yapi ya harmo na ww
WA kwanza
Huyu ni DJ mwenzetu mbona kasajiliwa kama msanii kwenye lebel😁😁
aseeh yaan
Safii Dogo ❤❤❤❤❤
anakuja n kasi sana huyu kaka
Jamaa ana wivu sana
Mbona maneno anayoongea jamaa mnakata mnazingua huenda kuna kitu hakiko sawa
3:00 save
Anaenjoy sana udj mbona?😂
Hata mimi nimeona hiyo
Huyo konde bila Simba asingekua konde kwahiyo hishima ibaki Kwa Simba konde haez shindana na simba
Sas hapo Kuna konde?
Acha uongo😂😂 hapo Konde kaingiaje 😅😅😅
Ata yeye kuna watu walimtoa
Simba nae nani kamshika mkono?
@@user-qq6mv6vh3e bob junior
Hiki alichofanya D voice angefanya kabla ya kuingia WCB wangemtoa kama mbwa umo juu ndo ukubwa wa lebo 😂😂🙌🏿
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Unatukana vipi na mic umeshika wew jamaa
KWA MTAZAMO WANGU NA SIO KWA UBAYA, SIONI KIJANA HUYU AKIENDA MBAAAALI SANAAA KUTOKANA NA AINA YA MZIKI WAKE NA LEVEL WANANYOTAKA KUMPELEKA
Singeli yaeza fika mbali ikipata muwekezaji, rhumba yapendwa hadi ulaya na hawaimbi kizungu,.... Alafu ujue singeli nkama tu house music au nkama tu Teckno music wazungu wapenda saana Wallah
Nyie gombaneni tu uko,,sisi Giant tupo konde village na mmakonde leo tunatafuna mbuzi choma hapa🎉
Unateseka
Mondi nakubar sana
He nchi hii nqona vijana wao starehe ndy nqmba 1
Fika nairobi utafurahi🤣
Mond mond mond ckuelewi kaka unapoelekea we mwenyewe utafanya watu wakuchukulie kawaida..
😢😢😢😢😢
we zombieeee!! aujuiiii
Zichunge sana achana nauzembe unaacha kikombe chako hapo usiwe unaamini Watu plz msani wangu 😢😢😢 chunga Sana kikombe chako uko unatumia plz.
Kamrinde wewe unajifanya uko makini irinde famiria yako
@@majutoeliasi😂😂😂
Kikombe unacho nyuma
@@majutoeliasi😅😅😅
@@majutoeliasi😂😂😂😂
FA atakuwa kamtuma huyo jamaa ✋🏾✋🏾
Hujui kituu don’t comment kitu hujui usichukulie mambo juuu juuu
MKIAMBIWA DAI MSWAHILI HAMTAKI,,,MSANII MKUBWA UNA WATU KIBAO,,UNABWATUKA BWATUKA...
We ni mzungu au😂😂😂
Apo chacha 😂😂😂watu Weng bwan
Unajua uswahil ww ..😂😂 tulia😊
Simba mtandale uyuu 😂
Kumbe mnajua Simba ni msanii mkubwa ila mnajizima data2
Mond kua makin shaur yko
Kwann utumie mic private violence c kujizalilisha simba..sio kila tabia yako watu waijue
Sa itakuaje
Diamond naomba huyodogo umfundishe mziki wasafi nasingeli wapinawap chibu unazingua
😂😂😂
Hovyo sana mnd
Tena we lijinga
@@malianonicass7029 lijinga Nani wewe au mond
Kwahyo ingekuwa ww ungefanyaje
anagoma na mic😂😂😂😂
Jama timu mpinzani ndio ipi mi sijaelewa.....team gani tena
Konde yuko juu Sana
Kwani mlisign dj ama😂
Is the full package brother
Amna lolote sofa tu kunamdemu anataka ajioneshe kuwa anajua kumaindi ushamba uo
2:58
Usicheze na tabia za singeli. Umeualika mziki wa singeli jiandae na tabia zake usipokaa vizuri unakutoa kwenye reli. 😟
Nmemuelawa dj ana msimamo
Angekua jini basi auvipi mana mondi mungu mtu atakua sasa
Nisanueni tatizo ni nini hapo
Kumbe mond hukasirika
We mirlad ayo andika kuhusu bandari zetu ZIIMEUZWA ZOOTE acha ujinga
😂😂😂😂😂😂
😂😂 uhakika
Mbn cjaelewa 🤔
Ushamba
Mama amina nini🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣
Af Millard sjui hajaisikiliza vzr🤣🤣🤣🤣inakuaje hajakata hizo sauti za "k*mamak*"
@@letshavealiltalk2313 🤣🤣🤣🤣🤣 acha kbx nmecheka kama mazur
@@makkamakka9171 🤣🤣🤣tumuombee basata wasisikie
@@letshavealiltalk2313 itakula kwake huyo dogo na alivyo mwembamba 😂😂
@@makkamakka9171 🤣🤣🤣🤣eti mwembamba
Eti team pinzani
Hii ishu yakupanga
Imepangwaaa hiyooooo aooooo
Mimi hata sishangai mwamba kuacha kikombe popote najiuliza anakunywa nini na haiishi😅😅
Wamepanikiiiii
Simba kama simba
Piga kazi Mond
Du e bana e😂😂 body guard kaona aingie pale
Haaaa
Hajafanya kitu kizur ata sas ndio mpaka amtukanie kwenye mic na n msanii mkubwa anauangalizi pia management watu wa usalama wapo si ushamba huo ili apate v edline vingi vingii kwenye party moja kam hivi😢
Hii imepangwa tu. Hakuna Lolote hapo. Wanatuchezea Akili tu
@@jumbalasauti ili wateke mitandao hawa watangazaji si wanalipwa sikuizi ukimpaisha mtangazaji sas apo ttzo llkua n nini inaboa kwel ktu kdg kukfanya kkubwa wakt s tunaona kbsa n kdogo
Huo jamaa alitumwa na Mawana Fa kuvuruga party ya Diamond Platnumz...Chuki inatawala Tanzania 🤞😭
Mwana FA kamtuma? Acha basi
😂😂😂dah! Ila bongo mwe😂😂
🤣🤣🤣 kah
We hauna akili em muombe radhi FA
Mchapeni makofi
😅
Plz plz plz simba msani wetu we still need you achaana na uzembe boardgard wako anafanya nini mbone hakusimamie nakukuonyesha makosa unaofanya usiwe unaamini Watu I mean kikombe unakiachia anywhere..... Natena uko unakitumikisha 😢😢😢.
Ninachoojuaa diamondi kwa saasa ata nyamaza katika majukumu yakee ata mpambania d voic
Simba ❤️
U chokooo mondi
Uyo domo mshamba 2
Jmn
nakubali mondi
Mond anapenda content jamaniiii😂😂😂😂😂😂 yaan ishu kbsaaa imepangwa
Ahsanteh kwa kutusanua 😢😢😢 ka ugomvi kamchongo.
😂😂😂😂😂
Sasa Hyo Nayo Ni Content?? …Imsaidie Kufanya Nn Labda Kwenye Carrier Yake ?? …. Hivi Nyie Bado Tu Hamjakubali Kwamba Mondi Tayar Ndio Superstar Namba 1 Tanzania Hana Haja Ya Kujipromote Kijinga 😂🚮…HateIsReal
Niliitafuta hii comment sana🤗
Punk baya😂
platnumz acha zarau pesa makaratasi😂
BAUNSA ANAKUMBUKA SHUKA KUMEKUCHA😂😂😂
😂