PABLO ALMAS afunguka kisa chakuondoka MANARA TV nakwenda CROWN MEDIA, MANARA wameni BLOCK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
- Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba zetu ni +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
.
FACEBOOK / minotv
INSTAGRAM / minotv_tz
TIKTOK / minotv_tz .
please naomba kujua Pablo anauwezo wakuongea lugha ngapi na nizipi hizo pia ajaribu kujieleza japo kidogo kwakila lugha please
Si kiingera kifaransa na kiswahili si Amekua akihoji watu kwa lugha hizo na tumeona
Kama mond anavomkubali jamal April ndivo kiba anavomkubali pablo, hawa washikaji wote ni watu poa
Pablo Namkubali Xana Anajuw 🎉❤🎉
Big up pablo
Pablo ni mzima sana
Uko vizuri dogo
Pablo yupo visuri
sound mbovuuuuuuu
Twaskia Alikiba sai ako na gari mpya kwa mjibu wa mwijaku so please fatilia tujue ni gari aina gani
Duuh 😅😅
Itakua n carina hiyo gar
Hivi Kiba anaonyeshaga gari zake kweli km wengine?
Haonyeshi bt utaliona wakati akiwasili eneo la tukio
@@Official83640 hana tu ndo maana