Huo ndio ukubwa kuwa mkweli nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe kiba kaua mond kachemka
Uko vizuli kaka
Oya meno karibu zanji
Mino karibu zanji
Show ya alikiba ilikua inaanza asubui mwisho sahaa 3 ucku bro na ck nzima alikua anapanda msanii Moja TU.
Wakwanzaa
Kiba aliperform wa mwisho na ilikuwa ni saa 2 hadi 3 ucku, huku summer time jua linachelewa kuzama,wakati mwingine saa 4 ucku Kuna mwanga, kwenye ratiba yy ndiye aliyefunga AfroFest 2024, hakukuwa na mwendelezo wa ratiba nyingine hadi 2025. Waandishi ili kushibisha wasikilizaji wenu tafuteni usahihi wa habari na iwe kwa kina, usirukie tu jambo na kulirusha mkiwa hamna details, angalau iwe hta nusu basi
@@Hancy_barrowamakweli wewe ziro Sasa Kama umeshindwa kuelewa apo uelewi tena 🤕 sikia king 👑💪ame ua
@@WahuBoth 🤣🤣🤣🤣Tena ziro brain kwakweli team King 👑 tujuane Kwa like
Nakaa ukijua kumaliza show sio poa inahitaji vibe sana maana watu wanakuwa wamechoka so King 👑 iz KingKiba
Kutoka Gikombaa Nairobi Dudu Baya Ukitaka Tusifuatie Mahojiano Yako Usimsifie Mwambino
Bila ya kupiga hodi mtoni unafufua na kuoga ovyo ovyo lazima umchokeze mamba tuu.😅😅😅😅😅😅
Natoka kenya.ila huyu jamaa anaongea poa alikiba kafanya vizuri .ushabiki kando
👊
😂😂😂👍👑
Ndo nini sasa
KinG
Nkonki ana ongea eleza na kufafanua vizuri sana msani mdogo ndo ana funguwa show ili watu wa ingie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Duduu ndiyo amekuwa mchambuzi wawasanii saivii
Chid Benz aliongea tayar kuusu alikiba so ndo hvyo😂😂