Nimemuelewa sana baba yake yaani ana vinasaba vyote vya kiafrika namna anavyotaka mwanae ajifunze maisha especially ya kiafrika namna yalivyo yaweze kumsaidia kwao ku - achieve chochote maana maisha ya kwao ni tofauti na kwetu especially kwenye kupitia changamoto
Kudos to the interviewer iliyoenda qhule. Sijipata moaka dahari ya kuasikiliz wengi. Kuna kituo kikubwa na kina umunimu Sana KWA soka letu lkn interviews zake ni tatizo. Ni copy and paste. Ukiacjia tatizo la lugha am also silijali Sana lkn naamini ni skills na confidence. Vunashangaa fursa nxuri lkn kinachoulizwa mmmhhh. Wa. Naoajiri wanaangalia ushabiki na analetwa na Nani. Hilolipo mpaka wenye timu. Lkn wanasema usimuamshe aliyelala utaishia kulala ww Hongera Maara tv' Hongera saa interviewer. Nakuona mba'i Sana ukizingatia maadili na uwezo. Si'ulipaya Jina Sina uhakika in. Almasi? Kama 'imekowe SAMAHANI. Jalicontet yake. Ubari' iwe ww na Maara tvoline
You are the best interviewer wa kiingereza. Keep good work bro
Huyu mwamba Yuko vizuri kweny kingereza 🤝
Good job Pablo!! Nimeipenda sana hii. Wengi wanatakiwa wajifunze kwako. Hongera kijana
Broo unaupiga mwingiii👏👏👏👏
Uko njema sana ndugu mhojiji nafurahi sana ukihoji kwa kifaransa waaaaaaoooo fantastic
Babro uko poah sana hii kazi imekuchagua wewe cyo wewe umechagua kazi very nice interview
Fantastic interview skills
Big up sana.mwandishi saaafi.good interview
Mtangazaji yupo vizuri sana. Hongera
Interviewer so good
Nimemuelewa sana baba yake yaani ana vinasaba vyote vya kiafrika namna anavyotaka mwanae ajifunze maisha especially ya kiafrika namna yalivyo yaweze kumsaidia kwao ku - achieve chochote maana maisha ya kwao ni tofauti na kwetu especially kwenye kupitia changamoto
Kudos to the interviewer iliyoenda qhule. Sijipata moaka dahari ya kuasikiliz wengi. Kuna kituo kikubwa na kina umunimu Sana KWA soka letu lkn interviews zake ni tatizo. Ni copy and paste. Ukiacjia tatizo la lugha am also silijali Sana lkn naamini ni skills na confidence. Vunashangaa fursa nxuri lkn kinachoulizwa mmmhhh. Wa. Naoajiri wanaangalia ushabiki na analetwa na Nani. Hilolipo mpaka wenye timu. Lkn wanasema usimuamshe aliyelala utaishia kulala ww Hongera Maara tv' Hongera saa interviewer. Nakuona mba'i Sana ukizingatia maadili na uwezo. Si'ulipaya Jina Sina uhakika in. Almasi? Kama 'imekowe SAMAHANI. Jalicontet yake. Ubari' iwe ww na Maara tvoline
Her smile🥳❤️🥰💞
Hakika kweli mshikaji Yuko vizuri anaongea kiingereza vizuri
Mr kiemba na Thomas Morris walikiwasha sana hawa
Very nice welcome to yanga
Hongera sana braza ,super english
Duh kingereza kilishanishindaga Mimi🤣
Nenda Shule Tena😢😢
Jamaaa uko vzur sanaaa bga up
Ukiona mzungu anakuja kucheza Tanzania ujuwe huyo ni masikini kiasi kwamba huko anakotoka hana thamani yoyote
Uko vizur kamanda rugha unajitahidi ata namna unavvyouliza maswali safi sana
MLTE MDHUNGUUU 😂😂😂😂 WATANIII
Interview nzuri
Interviewer uko vzur
tumamzungu jaman wanchitunaweza ❤kurachuma ikooooooooo
Noma noma sana salimia Thomas Moris
mmh unastahili bro mpeni mau yake💐💐
Tunao sikia kiingereza kama kelele za chura tujuane kwa like apa😅😅
Lazim Muhandishi Ujuwe Lugha Ya Kingereza
Kweli na ziada
Respect kaka kingereza chako kimenyoka
Huyu jamaa Yuko vizuri hata kifaransa
Very nice
Nauliza nimeskia powa Jina LA Amei Kiemba is my uncle ???
😂ata mm nimesikia...mzungu anaflow kingereza huyoo
Mnao fatilia comment ajitokezo mmoja atutafsirie jamani
We mwamba lugha ngapi unachapa mzee?
Nomaaa 👍👍👍
Kweli kingereza kimekolea Alf anatumia misamiati ambayo inaeleweka
Mwandishi upo vinzuri kwa tz ww no 1 kwa tz maana unapiga lugha nyingi sana kifaransa upo bgp sana 😂😂
Sasa kama manara anaweza kuajiri presenter anajielewa hivi why majizo kajaza mbuzi nyingi pale efm kwenye kipindi cha michezo?
Kiemba yule mchambuz au kuna mwingne
Ndo huyo huyo ,amri kiyemba SI alicheza yanga Tena ni mwanachama kbsa wa yanga yule
Kielbasa mchambuzi ndiye huyo aliyecheza mpira. No other
Mwenda zake angekuwepo usingeleta miguu huku tz.
Kuna muunganiko sahihi wa mawasiliano,yaani wanaelewana.
Ungemuuliza hivi yuko kwenye mahusiano ????
Bado hajasema😅😅
Sio mbaya mzungu atatufaa
🖤💚💛✔️✔️
Watanzania bhana mtu akiongea kingereza anaonekana wa maana
Je anaye nena kwa lugha ??
Nikijua account name tu kaisha
Mlete Mzungu Yanga🎉🎉🎉🎉
kuna watu wanamumunya maneno hata wakiwa kwenye shughuli za kitaifa.atafutwe huyu dogo awasaidie siyo! kusema ya ya
Kaka ukovizuri
Kazuriiii
simba zamu yenu sasa muende shule ili mupate mzungu
Miaka 17 vigezo vipi vimetumika au kaja likizo
Mm nimempenda hayo mengine baadae akijua kiswahili 😅😅
😂😂😂😂😂😂
Mwamba usisahau kunichukulia namba 😂😂😂
17, bado..subiri au unataka kulozea kwa ndimu😂
Bro uko Smart sana kaika hukoji mtu
Interview iliyokwenda shule!
Good english haina mbambamba
Haka kadada kazuri jaman
Kademu kachagamfu
😂jua Kali
Interviewer she is very terrible 💚💪