KAULI YA ALLY KAMWE BAADA YA DROO YA CAFCL KUTOKA | AZIZ KI, CHAMA, PACOME WAANGUA KICHEKO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #AllyKamwe
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 319

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i 20 วันที่ผ่านมา +110

    Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 19 วันที่ผ่านมา +2

      Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 20 วันที่ผ่านมา +119

    Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 20 วันที่ผ่านมา +101

    Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 19 วันที่ผ่านมา

      Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo

    • @aishafranco1055
      @aishafranco1055 18 วันที่ผ่านมา

      @@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BakariShabani-nf4rz
    @BakariShabani-nf4rz 20 วันที่ผ่านมา +8

    Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 20 วันที่ผ่านมา +42

    Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 20 วันที่ผ่านมา +46

    Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 วันที่ผ่านมา +1

      In Shaa Allah utaenda kaka!

    • @RACHELATHANASIDAUDI
      @RACHELATHANASIDAUDI 19 วันที่ผ่านมา

      Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu 20 วันที่ผ่านมา +63

    leo mimi wakwanza nipeni like zangu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 20 วันที่ผ่านมา +12

    Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen

  • @AberyMathias
    @AberyMathias 20 วันที่ผ่านมา +16

    Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 20 วันที่ผ่านมา +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @user-vq5vn4gi9t
    @user-vq5vn4gi9t 20 วันที่ผ่านมา +32

    Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤

  • @AfidhaAlfan
    @AfidhaAlfan 20 วันที่ผ่านมา +17

    Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 20 วันที่ผ่านมา +6

    Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 20 วันที่ผ่านมา +11

    Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿

  • @frankfulgence
    @frankfulgence 20 วันที่ผ่านมา +25

    Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉

  • @bongodata
    @bongodata 20 วันที่ผ่านมา +22

    Jamani njooni tuangalie bongo data

    • @dataduel100
      @dataduel100 20 วันที่ผ่านมา +2

      nimesubscribe

    • @foreveryu247
      @foreveryu247 20 วันที่ผ่านมา +2

      nimesubscribe..kazi nzuri

    • @kinghuojlund-un2nb
      @kinghuojlund-un2nb 20 วันที่ผ่านมา +2

      bongo data kazi nzuriiii

    • @hectorfunny
      @hectorfunny 20 วันที่ผ่านมา +2

      vizuri data za uhakika

    • @Maddison-fp3nu
      @Maddison-fp3nu 20 วันที่ผ่านมา +2

      noma sana

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp 20 วันที่ผ่านมา +16

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @MasudiUledi
    @MasudiUledi 20 วันที่ผ่านมา +15

    ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤

    • @ezrageofrey9668
      @ezrageofrey9668 20 วันที่ผ่านมา

      💚💚💚💛💛💛

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 20 วันที่ผ่านมา +15

    Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZarafiAlly
    @ZarafiAlly 20 วันที่ผ่านมา +5

    Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa

  • @nickolassimion
    @nickolassimion 20 วันที่ผ่านมา +6

    Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.

  • @user-qn8mh2el2d
    @user-qn8mh2el2d 20 วันที่ผ่านมา +19

    Naikubali sana yanga

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia

  • @paulhenry6253
    @paulhenry6253 20 วันที่ผ่านมา +15

    Yanga BINGWA

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey7105 20 วันที่ผ่านมา +19

    Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani

    • @SadikYommary
      @SadikYommary 20 วันที่ผ่านมา

      Hawa vitaloo watakula 5-0

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 วันที่ผ่านมา

      Watakufa jumla home and away
      7-1

  • @husseinabdallahmkupulo1784
    @husseinabdallahmkupulo1784 20 วันที่ผ่านมา +12

    Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii

  • @Pox_media
    @Pox_media 20 วันที่ผ่านมา +11

    KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥

  • @comfortkitiwi2879
    @comfortkitiwi2879 20 วันที่ผ่านมา +7

    Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 20 วันที่ผ่านมา +8

    Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka

  • @EliamgendaMasunga
    @EliamgendaMasunga 19 วันที่ผ่านมา

    I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti961 19 วันที่ผ่านมา

    ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮

  • @sabiyozeissa689
    @sabiyozeissa689 20 วันที่ผ่านมา +6

    mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga ya moto 🔥🔥

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 19 วันที่ผ่านมา

    I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @samychomakantastymela7175
    @samychomakantastymela7175 20 วันที่ผ่านมา +4

    Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 20 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni KOLO WAHID
      BACCA ANA DHARURA
      KAUZWA WAPI??😢

  • @MosesWilliam-oh8tt
    @MosesWilliam-oh8tt 20 วันที่ผ่านมา +7

    Injinia uish miaka mia😊

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 20 วันที่ผ่านมา +4

    Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha.
    Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.

  • @user-if2yf3gp6k
    @user-if2yf3gp6k 20 วันที่ผ่านมา +5

    kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 20 วันที่ผ่านมา

    Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 20 วันที่ผ่านมา +2

    nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤‍🔥

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 20 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +3

    Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 20 วันที่ผ่านมา +2

    Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnas 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 20 วันที่ผ่านมา +8

    Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 20 วันที่ผ่านมา

      Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 20 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo 19 วันที่ผ่านมา

    LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee

  • @GodfreyHenryDaimon-yo6ix
    @GodfreyHenryDaimon-yo6ix 20 วันที่ผ่านมา +3

    Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb 20 วันที่ผ่านมา +1

    Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 20 วันที่ผ่านมา +2

    Innshahrah

  • @JadonKuyokwa-oe7mp
    @JadonKuyokwa-oe7mp 20 วันที่ผ่านมา +1

    Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥

  • @BangutuErick
    @BangutuErick 16 วันที่ผ่านมา

    mungu ibariki yanga daim❤

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 20 วันที่ผ่านมา +2

    Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 20 วันที่ผ่านมา

      Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.

  • @OkimasterO
    @OkimasterO 20 วันที่ผ่านมา +2

    Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 20 วันที่ผ่านมา +3

    😅😅😅kweli yanga ina sifa sana

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 20 วันที่ผ่านมา +2

    huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 20 วันที่ผ่านมา

    Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.

  • @abdulzanzibar7154
    @abdulzanzibar7154 20 วันที่ผ่านมา

    Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 20 วันที่ผ่านมา +1

    Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛

  • @MRJ1308
    @MRJ1308 20 วันที่ผ่านมา +2

    Burundi tunaenda wote

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 20 วันที่ผ่านมา

    Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game

  • @dkasfilmstudio4641
    @dkasfilmstudio4641 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊

  • @LilyKoba-wx2pj
    @LilyKoba-wx2pj 20 วันที่ผ่านมา

    Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 20 วันที่ผ่านมา

    Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn 19 วันที่ผ่านมา

    Kama waipenda yanga weka like 👍

  • @rehemaothaman486
    @rehemaothaman486 19 วันที่ผ่านมา

    Naipenda sana yanga

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m 20 วันที่ผ่านมา +2

    Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli

  • @NaftalyNgeze
    @NaftalyNgeze 19 วันที่ผ่านมา

    mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq 20 วันที่ผ่านมา +1

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x 18 วันที่ผ่านมา

    Allah atufanyie wpc

  • @claratango9262
    @claratango9262 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @FaridaMhagama-fc1kr
    @FaridaMhagama-fc1kr 20 วันที่ผ่านมา +1

    naipenda sana yanga

  • @BraytnessYese-j7h
    @BraytnessYese-j7h 19 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze

  • @kanyeshahigirimana5686
    @kanyeshahigirimana5686 20 วันที่ผ่านมา +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @AziziKimbeJeradyJR
    @AziziKimbeJeradyJR 20 วันที่ผ่านมา +3

    Dream team

  • @johanesahmed5876
    @johanesahmed5876 20 วันที่ผ่านมา

    Yanga yangu naipenda sana

  • @DamaIbra-gk4lr
    @DamaIbra-gk4lr 19 วันที่ผ่านมา

    Tumwombee chama akafanye vzr zaidi

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 20 วันที่ผ่านมา

    Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 20 วันที่ผ่านมา +2

    WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga 20 วันที่ผ่านมา

    Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅

  • @NasriAshel
    @NasriAshel 20 วันที่ผ่านมา +1

    we are going to be biggest club in Africa

  • @MauBonde
    @MauBonde 20 วันที่ผ่านมา +2

    Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz 20 วันที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉 finally yetu

  • @ObeidPaul
    @ObeidPaul 20 วันที่ผ่านมา

    Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛

  • @KennedyJohn-p1i
    @KennedyJohn-p1i 20 วันที่ผ่านมา

    Nipigieni makolo kumi tareh 8

  • @patrickmallya4516
    @patrickmallya4516 20 วันที่ผ่านมา

    my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi....
    walah kuna watu watakufa...

  • @law93king
    @law93king 20 วันที่ผ่านมา

    aiseee yanga rahaaa sana

  • @MourinhoKey
    @MourinhoKey 19 วันที่ผ่านมา

    Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq 19 วันที่ผ่านมา

    Mola atatusimamia na tutapata ushindi inshaallah

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 20 วันที่ผ่านมา +4

    Yanga oyeeeeee

  • @saidifaraji9743
    @saidifaraji9743 19 วันที่ผ่านมา

    Mambo ni fire 🔥

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 20 วันที่ผ่านมา +4

    Ni zaidi ya matokeo

  • @AbdallahMussa-zl3wx
    @AbdallahMussa-zl3wx 20 วันที่ผ่านมา +4

    Wananchiii🎉🎉🎉🎉

  • @lelasule2608
    @lelasule2608 20 วันที่ผ่านมา +2

    💚💚💛💛