MWANANCHI AMKOMALIA MAKONDA MBELE YA WANANCHI /MIMI MTATA/UNANITISHIA KUNIROGA/SIWEZI KUMRUDISHIA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 447

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman8764 หลายเดือนก่อน +12

    Makonda unajuwa kuwabana aiseee Mungu akupe maisha marefu uendelee kytutumika wananchi

  • @hosianaminja7034
    @hosianaminja7034 5 หลายเดือนก่อน +30

    😂😂😂😂😂mikutano ya Makonda inafundisha sana

    • @DAVIDLUTHA
      @DAVIDLUTHA 4 หลายเดือนก่อน

      Licha yakufunfdisha inasaidia wanyonge kupata haki zao laiti kiongozi Mkuu wanchi angekuwa hivi natumaini kuwa hakuna ufisadi hakuna utapeli hakuna mwananchi mdogo kuonewa migogoro ya mashamba viwanja kubomolewa majumba kwakwe ingekuwa hakuna kila mwananchi angepata haki

    • @godfreyopiyo4840
      @godfreyopiyo4840 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@DAVIDLUTHA😢😅😢😢😢

    • @calvin849
      @calvin849 หลายเดือนก่อน

      ¹​@@godfreyopiyo4840

    • @nicebeautyfragrance6575
      @nicebeautyfragrance6575 หลายเดือนก่อน

      dad naomba namba yako

    • @daudsalim6665
      @daudsalim6665 หลายเดือนก่อน

      Vßq​@@godfreyopiyo4840uy😅 be

  • @topmanyota6760
    @topmanyota6760 4 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda unajua unajua na unajua tena hongera sana

  • @user-jg7tr4cc4m
    @user-jg7tr4cc4m 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akulipe makonda unafanya kazi kubwa sana😂😂😂😂

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema2123 5 หลายเดือนก่อน +16

    Nakuelewa saana Paul makonda na tunakuelewa wananchi wa chini saaana Mungu akulinde makonda❤

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 5 หลายเดือนก่อน +2

      Yani angepata uraisi huyu aseee

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kiukweli mm moyo wangu unatamani awe na urahisi

  • @raymondkaria1451
    @raymondkaria1451 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ndg Paul Makonda nakuelewa sana Mungu akulinde na Kukuongoza kaka

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 5 หลายเดือนก่อน +7

    Makonda umeisha mshika huyo amekubali mil6 na 8. Makonda kashika tayari huyo. Hongera mh makonda

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 5 หลายเดือนก่อน +23

    Ndio muelewe mijizi hinakimbiliaga ccm kuficha maovu yao,,

    • @stellahwilfred5762
      @stellahwilfred5762 5 หลายเดือนก่อน +3

      Mitapeli na kila takataka ipo ccm

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@stellahwilfred5762chadema poleeeeee😂😂😂😂😂😂

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 หลายเดือนก่อน

      yeah nimegundua kule wanajificha ili waogopwe kwa sababu ya umaarufu wao wa kwenye chama

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n หลายเดือนก่อน +4

    Wamekutana janja na janjaule..

  • @user-pw9pz5gj3s
    @user-pw9pz5gj3s 5 หลายเดือนก่อน +14

    Unafaa kuwa Raisi wa tanzania 😂😂

  • @JaneBukuku-sy5pc
    @JaneBukuku-sy5pc 5 หลายเดือนก่อน +13

    Unatete nchi baba makoda nimekubari sana dogo

  • @Richardkomanya
    @Richardkomanya 3 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda na Mimi napendaa kuwa kama wewe nifanyie mpango hapo

  • @user-pw9pz5gj3s
    @user-pw9pz5gj3s 5 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda Asante Sana kwakuwepo ukovizuri sna

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 5 หลายเดือนก่อน +9

    Arafu yanatokea majizi yanajitokeza kusema Makonda anaalibuchama. Makonda piga kazi

  • @user-yy1qr5bx9m
    @user-yy1qr5bx9m 5 หลายเดือนก่อน +4

    Makondo MUNGU akutunze mimi mtani wako (gogo) nakuombea sana ni kazi njema kusikiliza kelo za wananchi.

  • @ramadhanseif4178
    @ramadhanseif4178 5 หลายเดือนก่อน +5

    Viongozi wetu mtutembelee ss wananchi wenu kamahivi makonda ww mungu akuongoze

  • @awdhiamiri7451
    @awdhiamiri7451 5 หลายเดือนก่อน +15

    binafs namuelewa muenezi kazi ipo

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 5 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda MTU makini mno.Maswali yako ni hakika na yaliyonyooka.pokea🎉🎉🎉🎉

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 หลายเดือนก่อน

      Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa hoja kuwazidi wasomi wengi mno

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 5 หลายเดือนก่อน +13

    Nampenda sn Makonda, piga kazi Baba!

  • @VictoriaKetegwe
    @VictoriaKetegwe 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde mhe.Makonda ..Mhe.mama yetu Samia Mungu akulinde.tutatua matatizo ya wananchi.5 Tena mama

  • @TitoHalinga
    @TitoHalinga 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeipenda hiyo

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 5 หลายเดือนก่อน +4

    nitapeli huyo maana anavyo jikanyanga😂

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 24 วันที่ผ่านมา

    Makonda akili nyingi sana mtu wa kawaida kawaida tu hii kazi haiweziii uuwii 🙌, ku deal na jamii face to face na muafaka unapatikana hapohapo siyo rahisi, makonda for everybody makonda forever 🔥

  • @zuwenaissa8628
    @zuwenaissa8628 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nakuombea sana ufike mbali

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hii aibu kwa mahakama na polisi watu hatuna imani nao maana haki ni pesa

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 22 วันที่ผ่านมา

    I love this guy makonda the spirit of Magufuli lives

  • @ElidaimaMsuya
    @ElidaimaMsuya หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mheshimiwa a

  • @charlesmarwa6448
    @charlesmarwa6448 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mzee ni kibaka kabisa.❤❤❤🎉😢😢😢😅😅😅

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asiye na shule anafanya makuu,Hongera RC Poul Makonda,mtu ana aibu eti usichanganye mkuu hataaoni haya ukweli siku zote utabaki na huongo unadhirika waziwazi,na rudi tena kusikiliza tena siasa baada ya Jpm .

  • @DAVIDLUTHA
    @DAVIDLUTHA 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fanya kazi Makonda nimekubali uko vizuri

  • @user-bt3wt6nt4z
    @user-bt3wt6nt4z 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuona magufuli wa sasa❤❤❤😂😂😂😂

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 3 หลายเดือนก่อน

      Mtapeli Huyo

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 3 หลายเดือนก่อน

      ​@qonquererqanquerer178achha wivu weweeee😂😂😂😂😊1

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 5 หลายเดือนก่อน +2

    Bongo hakuna sharia kabisa mambo ya zamani sana

  • @user-vy6vq2fp5w
    @user-vy6vq2fp5w หลายเดือนก่อน +1

    Hii kesi ningepewa kuiamua mmi angependa huu mzee tapeli

  • @edgarmbegu1974
    @edgarmbegu1974 5 หลายเดือนก่อน +3

    Haya ni maigizo ya wazi😂

  • @KornelioAlexander
    @KornelioAlexander 4 วันที่ผ่านมา

    Ccm oyeeee kazi iendelee

  • @abdurazackimimu7743
    @abdurazackimimu7743 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nilishadhurumiwa kiwanja na kuuziwa na mwenyekiti wa kijiji ila kwa sasa ni marehemu Mwenyezimungu amsamehe dhuruma ni mbaya sana nikikumbuka nilivyoitafuta hiyo hela kwa shida daaah!

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 5 หลายเดือนก่อน +6

    Tusaidie baba, Mungu akutunze baba.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 หลายเดือนก่อน +3

    Matatizo ya kesi za majukwaani, kangaroo courts.!?😂🤣🤣

    • @Zubaiba
      @Zubaiba 4 วันที่ผ่านมา

      Patamu sana apo😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 5 หลายเดือนก่อน +5

    Rais Rais Rais ninakuomba umpe Makonda cheo awasemee wananchi Hawa, tazama Bado tuna Imani kubwa na chama cha Mapinduzi.❤❤❤❤❤❤

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 9 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa yupo juu SANA kiuongozi!!

  • @user-xr8qv9mw9v
    @user-xr8qv9mw9v 27 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akupe maisha marefu umefata nyao za magufuli twakupenda sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mbona Watu Mnasema Habari Za Mahakama Nyerere Alisema Muda Mwingine Kiongozi Uwe Kama Chizi Ndipo Watu Wakuelewe Sasa Kama Mahakamani Shelia Za Kesho Keshokutwa Wacha Raisi Apitishe Kauli Yake Na Ya Chama Alafu Vizuli Zaidi Wananchi Ndio Wako Kwa Ajili Ya Kujua Tuliowapa Zamana Wanafanya Mambo Gani Haki

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wezi tu watumishi 😂😂😂

  • @IbraZeboy-fu3js
    @IbraZeboy-fu3js 5 หลายเดือนก่อน +2

    baada ya makufuri ni wew kazi kazi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 5 หลายเดือนก่อน +6

    Makoda mdogo wangu pigakazi wengi nimatapeli wanatuaribia chama wanyonyoe hao

    • @VianaKokutensa
      @VianaKokutensa 2 หลายเดือนก่อน

      Makonda bana😢

  • @JoyceMziray
    @JoyceMziray วันที่ผ่านมา

    Alisema hajapewa hata senti moja😂😂😂😂😂

  • @KakaVds-k5j
    @KakaVds-k5j 12 วันที่ผ่านมา

    Chaps kazi kaka nakukubali

  • @PAULNZUYU
    @PAULNZUYU 5 หลายเดือนก่อน +4

    Sheria ifuate mkondo

  • @djbahangala4729
    @djbahangala4729 หลายเดือนก่อน

    Kazi safi 💪💪💪💪

  • @pilladtradersupdates6568
    @pilladtradersupdates6568 5 หลายเดือนก่อน +2

    Matapeli ni wengi TANZANIA

  • @esterMahenge
    @esterMahenge หลายเดือนก่อน

    Makonda ni mtu na nusu❤❤😂😂🔥

  • @JaneBukuku-sy5pc
    @JaneBukuku-sy5pc 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupeda sana makonda washa toshi makongoroshi chunya 15:54 😅

  • @user-zu9jg8hx5l
    @user-zu9jg8hx5l 5 หลายเดือนก่อน +3

    MH MAKONDA USIRUDI NYUMA WANANCHI TUNAKUPENDA

  • @workshopMayunga
    @workshopMayunga 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde sana faza makonda

  • @cristianamos8790
    @cristianamos8790 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kunawatu wana yatimba live live

  • @b.firinga2739
    @b.firinga2739 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde makonda mimi naamini utafika mbali

  • @NeemaMassawe-qg6kf
    @NeemaMassawe-qg6kf หลายเดือนก่อน +1

    Makoda ww ni makofuli munqu akubarki baba😊😊

  • @peninahjames-oq5iv
    @peninahjames-oq5iv 4 วันที่ผ่านมา

    Unafaa sana❤❤

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha😂😂😂😂 hyo ndyo tunduma usikute mzee wawat kavurugwa

  • @EliakimKibiki-wl8yb
    @EliakimKibiki-wl8yb 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sahih

  • @ElizabethMushi-cl5jc
    @ElizabethMushi-cl5jc 5 หลายเดือนก่อน +4

    Uliaandikaje mkataba bila kupewa pesa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน

    Kumbe unafanya Kampeini siyo kuwa unafanya kusaidia watu matatizo kumbe ni njama tu. Pole sana

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na mimi nimewasha ukuu sijui kama imeonekana.

  • @NgongwaNasoro
    @NgongwaNasoro หลายเดือนก่อน

    Makonda Fanya Kaz baba Mnguhakulinde Hakuzidishie Nguvu

  • @RashidiNdoe-
    @RashidiNdoe- 27 วันที่ผ่านมา

    MUNGU akutanguliye n'a maman asani

  • @user-ss3hx9pf8n
    @user-ss3hx9pf8n 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hamna sheria.such cases are handled by courts

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 5 หลายเดือนก่อน +3

    VYOMBO KUKOSEKANA KUWASAIDIA WATU, WAMEKUWA KAMA KONDOO WASIO NA MCHUNGAJI..

  • @GebsonrobatGebsonrobat
    @GebsonrobatGebsonrobat หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki makonda

  • @gracemwaikuka8726
    @gracemwaikuka8726 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu mwenexi

  • @lomunyaklesikar
    @lomunyaklesikar 26 วันที่ผ่านมา

    Uko Sawa

  • @user-kz2lu7yo3f
    @user-kz2lu7yo3f 26 วันที่ผ่านมา +1

    Baba gombea urais tutakupa, yaan

  • @zuwenaissa8628
    @zuwenaissa8628 5 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda oyeeeeeee

  • @JUMAAKISHOME
    @JUMAAKISHOME 6 วันที่ผ่านมา +1

    VGS.koronge.kumarizika.katikakiwanjacha.mageze.koronge

  • @NazirWaijaa
    @NazirWaijaa หลายเดือนก่อน

    Good approach

  • @CharlesMapinda
    @CharlesMapinda 3 หลายเดือนก่อน

    2:25 safii😂😂😂

  • @SumakuSasa
    @SumakuSasa 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi kazi makonda

  • @aframhenga8705
    @aframhenga8705 8 วันที่ผ่านมา

    Makonda Mungu akutunze

  • @JacobKipamba
    @JacobKipamba 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kiongozi bora

  • @JamalDaudlulyeho
    @JamalDaudlulyeho หลายเดือนก่อน +1

    Me naomba viongozi wapuuzi wenye kuonea wanyonge wachapwe na viboko

  • @willymtewele1869
    @willymtewele1869 5 หลายเดือนก่อน +4

    Chama ccm kimejigeuza kuwa mahakama? Jaji mkuu upo wananchi tusiojua sheria tunaomba ufafanuzi wako

    • @mussakeston5768
      @mussakeston5768 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mahakama hawafany kazi

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 หลายเดือนก่อน

      Wewe nawe unatakiwa kupigwa Spana

  • @KwenyegemKwenyegem
    @KwenyegemKwenyegem หลายเดือนก่อน

    Makonda mkuu ubarikiwe sana

  • @user-vz8gg1yd4e
    @user-vz8gg1yd4e 27 วันที่ผ่านมา

    Wisdom leader ❤

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahaha kwa hiyo hapo ndiyo mahakamani???!!!! Tanzania Elimu bado sana!

    • @IrenaFrance-zk8sf
      @IrenaFrance-zk8sf วันที่ผ่านมา

      Sio mahakaman bali wanatoa Kero zao Kwa uongoz wao

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 5 หลายเดือนก่อน +3

    Samia tena aaah

  • @peterodilo5253
    @peterodilo5253 5 หลายเดือนก่อน +1

    Washa toshi😅😅😅😅😅

  • @IreneWoisso
    @IreneWoisso 2 หลายเดือนก่อน

    Fanya KAZI baba ❤❤

  • @NdayisabaWilson
    @NdayisabaWilson หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @mwajumajuma1797
    @mwajumajuma1797 หลายเดือนก่อน

    Tunanyanyasika sanaa kuhusu viwanja jaman yaan mtusaidie tu kwa kweli tunatesekaaa wananchi jamoniii😢😢😢😢

  • @EmmanuelKamank
    @EmmanuelKamank 3 หลายเดือนก่อน

    Sana jembe mungu awe mbele yako

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 4 หลายเดือนก่อน

    Hii nimeipenda😂😂😂😂

  • @mercyherbert8978
    @mercyherbert8978 วันที่ผ่านมา

    Kaka yangu ilimtokea kapoteza eneo kachukua mtu tumemwachia Mungu tulizunguka kote yan inauma

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 25 วันที่ผ่านมา

    😂dah,taratibu baba ila makonda htree
    Nakuombea mnoo

  • @SaidiSaidi-zx5kj
    @SaidiSaidi-zx5kj 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda bigapu😅😮

  • @peninahjames-oq5iv
    @peninahjames-oq5iv 4 วันที่ผ่านมา

    Makonda namimi kesi yangu hiyohiyo naphtali baba

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂Nacheka jinsi jamaa alivyo jichanganya mwenyewe

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 11 วันที่ผ่านมา

    😢mzee kajichanganya kapewa hela kumbe .

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna Watu Eti Ho Kwanini Mambo Yanaishia Jukwaano Wakati Wana Shelia Wapo Na Shelia Zipo Sasa Kama Wanashelia Mpo Mbona Watu Wanalalamika Mambo Yao Ya Muda Mlefu Ana Awajapewa Izo Shelia Iweje Sasa Rungu Kutoka Kwa Raisi Liko Njiani Mkoa Kwa Mkoa Ndipo Mnasema Shelia Acheni Kauli Ya Raisi Ifanye Kazi Yake

    • @FatmaChezo
      @FatmaChezo 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

  • @JohnStephano-cy3bo
    @JohnStephano-cy3bo 2 หลายเดือนก่อน

    Hatari sana

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 5 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda jamn. Kuna zawadi yako mbinguni

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mahakama za mikutanoni haziwezi kumaliza malalamiko ya watu, kila mtu atimize wajibu wake, inawezekana.Ya Mh Makonda uwe ni mfano.

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 5 หลายเดือนก่อน

      Uyo ametumwa wewe uwezi kumpangia ccm wamezoea kuwachezea wananchi

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@jakobongwara3038 😂