MWANANCHI AMKOMALIA MAKONDA MBELE YA WANANCHI /MIMI MTATA/UNANITISHIA KUNIROGA/SIWEZI KUMRUDISHIA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Makonda unajuwa kuwabana aiseee Mungu akupe maisha marefu uendelee kytutumika wananchi
😂😂😂😂😂mikutano ya Makonda inafundisha sana
Licha yakufunfdisha inasaidia wanyonge kupata haki zao laiti kiongozi Mkuu wanchi angekuwa hivi natumaini kuwa hakuna ufisadi hakuna utapeli hakuna mwananchi mdogo kuonewa migogoro ya mashamba viwanja kubomolewa majumba kwakwe ingekuwa hakuna kila mwananchi angepata haki
@@DAVIDLUTHA😢😅😢😢😢
¹@@godfreyopiyo4840
dad naomba namba yako
Vßq@@godfreyopiyo4840uy😅 be
Makonda unajua unajua na unajua tena hongera sana
Mungu akulipe makonda unafanya kazi kubwa sana😂😂😂😂
Nakuelewa saana Paul makonda na tunakuelewa wananchi wa chini saaana Mungu akulinde makonda❤
Yani angepata uraisi huyu aseee
Kiukweli mm moyo wangu unatamani awe na urahisi
Ndg Paul Makonda nakuelewa sana Mungu akulinde na Kukuongoza kaka
Makonda umeisha mshika huyo amekubali mil6 na 8. Makonda kashika tayari huyo. Hongera mh makonda
Ndio muelewe mijizi hinakimbiliaga ccm kuficha maovu yao,,
Mitapeli na kila takataka ipo ccm
@@stellahwilfred5762chadema poleeeeee😂😂😂😂😂😂
yeah nimegundua kule wanajificha ili waogopwe kwa sababu ya umaarufu wao wa kwenye chama
Wamekutana janja na janjaule..
Unafaa kuwa Raisi wa tanzania 😂😂
Unatete nchi baba makoda nimekubari sana dogo
😊
Makonda na Mimi napendaa kuwa kama wewe nifanyie mpango hapo
Hiyo ni neema na elimu pekee
Makonda Asante Sana kwakuwepo ukovizuri sna
Arafu yanatokea majizi yanajitokeza kusema Makonda anaalibuchama. Makonda piga kazi
Makondo MUNGU akutunze mimi mtani wako (gogo) nakuombea sana ni kazi njema kusikiliza kelo za wananchi.
Viongozi wetu mtutembelee ss wananchi wenu kamahivi makonda ww mungu akuongoze
binafs namuelewa muenezi kazi ipo
Makonda MTU makini mno.Maswali yako ni hakika na yaliyonyooka.pokea🎉🎉🎉🎉
Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa hoja kuwazidi wasomi wengi mno
Nampenda sn Makonda, piga kazi Baba!
Pmoooo
Mungu akulinde mhe.Makonda ..Mhe.mama yetu Samia Mungu akulinde.tutatua matatizo ya wananchi.5 Tena mama
Nimeipenda hiyo
nitapeli huyo maana anavyo jikanyanga😂
Makonda akili nyingi sana mtu wa kawaida kawaida tu hii kazi haiweziii uuwii 🙌, ku deal na jamii face to face na muafaka unapatikana hapohapo siyo rahisi, makonda for everybody makonda forever 🔥
Nakuombea sana ufike mbali
Hii aibu kwa mahakama na polisi watu hatuna imani nao maana haki ni pesa
I love this guy makonda the spirit of Magufuli lives
Hongera sana mheshimiwa a
Huyo mzee ni kibaka kabisa.❤❤❤🎉😢😢😢😅😅😅
Asiye na shule anafanya makuu,Hongera RC Poul Makonda,mtu ana aibu eti usichanganye mkuu hataaoni haya ukweli siku zote utabaki na huongo unadhirika waziwazi,na rudi tena kusikiliza tena siasa baada ya Jpm .
Fanya kazi Makonda nimekubali uko vizuri
A
Nakuona magufuli wa sasa❤❤❤😂😂😂😂
Mtapeli Huyo
@qonquererqanquerer178achha wivu weweeee😂😂😂😂😊1
Bongo hakuna sharia kabisa mambo ya zamani sana
Hii kesi ningepewa kuiamua mmi angependa huu mzee tapeli
Haya ni maigizo ya wazi😂
Ccm oyeeee kazi iendelee
Mimi nilishadhurumiwa kiwanja na kuuziwa na mwenyekiti wa kijiji ila kwa sasa ni marehemu Mwenyezimungu amsamehe dhuruma ni mbaya sana nikikumbuka nilivyoitafuta hiyo hela kwa shida daaah!
Pole sana
Pole Sana😭
Tusaidie baba, Mungu akutunze baba.
Matatizo ya kesi za majukwaani, kangaroo courts.!?😂🤣🤣
Patamu sana apo😂😂🎉🎉🎉🎉
Rais Rais Rais ninakuomba umpe Makonda cheo awasemee wananchi Hawa, tazama Bado tuna Imani kubwa na chama cha Mapinduzi.❤❤❤❤❤❤
Uyo jamaa ni tapelii
Sema unaiman na Chama usitujumuishe na sisi bhaana
Huyu jamaa yupo juu SANA kiuongozi!!
Makonda mungu akupe maisha marefu umefata nyao za magufuli twakupenda sana
Mbona Watu Mnasema Habari Za Mahakama Nyerere Alisema Muda Mwingine Kiongozi Uwe Kama Chizi Ndipo Watu Wakuelewe Sasa Kama Mahakamani Shelia Za Kesho Keshokutwa Wacha Raisi Apitishe Kauli Yake Na Ya Chama Alafu Vizuli Zaidi Wananchi Ndio Wako Kwa Ajili Ya Kujua Tuliowapa Zamana Wanafanya Mambo Gani Haki
Wezi tu watumishi 😂😂😂
baada ya makufuri ni wew kazi kazi
Makoda mdogo wangu pigakazi wengi nimatapeli wanatuaribia chama wanyonyoe hao
Makonda bana😢
Alisema hajapewa hata senti moja😂😂😂😂😂
Chaps kazi kaka nakukubali
Sheria ifuate mkondo
Kazi safi 💪💪💪💪
Matapeli ni wengi TANZANIA
Makonda ni mtu na nusu❤❤😂😂🔥
Nakupeda sana makonda washa toshi makongoroshi chunya 15:54 😅
MH MAKONDA USIRUDI NYUMA WANANCHI TUNAKUPENDA
Mungu akulinde sana faza makonda
Kunawatu wana yatimba live live
Mungu akulinde makonda mimi naamini utafika mbali
Makoda ww ni makofuli munqu akubarki baba😊😊
Unafaa sana❤❤
Hahaha😂😂😂😂 hyo ndyo tunduma usikute mzee wawat kavurugwa
Mzee wa watu kavurugwa eti eeh😅😅
Sahih
Uliaandikaje mkataba bila kupewa pesa
Kumbe unafanya Kampeini siyo kuwa unafanya kusaidia watu matatizo kumbe ni njama tu. Pole sana
Na mimi nimewasha ukuu sijui kama imeonekana.
Makonda Fanya Kaz baba Mnguhakulinde Hakuzidishie Nguvu
MUNGU akutanguliye n'a maman asani
Kwani hamna sheria.such cases are handled by courts
VYOMBO KUKOSEKANA KUWASAIDIA WATU, WAMEKUWA KAMA KONDOO WASIO NA MCHUNGAJI..
Mungu akubariki makonda
Mungu akupe maisha marefu mwenexi
Uko Sawa
Baba gombea urais tutakupa, yaan
Makonda oyeeeeeee
VGS.koronge.kumarizika.katikakiwanjacha.mageze.koronge
Good approach
2:25 safii😂😂😂
Kazi kazi makonda
Makonda Mungu akutunze
Asante kiongozi bora
Me naomba viongozi wapuuzi wenye kuonea wanyonge wachapwe na viboko
Chama ccm kimejigeuza kuwa mahakama? Jaji mkuu upo wananchi tusiojua sheria tunaomba ufafanuzi wako
Mahakama hawafany kazi
Wewe nawe unatakiwa kupigwa Spana
Makonda mkuu ubarikiwe sana
Wisdom leader ❤
Hahahahaha kwa hiyo hapo ndiyo mahakamani???!!!! Tanzania Elimu bado sana!
Sio mahakaman bali wanatoa Kero zao Kwa uongoz wao
Samia tena aaah
Washa toshi😅😅😅😅😅
Fanya KAZI baba ❤❤
Ubarikiwe
Tunanyanyasika sanaa kuhusu viwanja jaman yaan mtusaidie tu kwa kweli tunatesekaaa wananchi jamoniii😢😢😢😢
Sana jembe mungu awe mbele yako
Hii nimeipenda😂😂😂😂
Kaka yangu ilimtokea kapoteza eneo kachukua mtu tumemwachia Mungu tulizunguka kote yan inauma
😂dah,taratibu baba ila makonda htree
Nakuombea mnoo
Makonda bigapu😅😮
Makonda namimi kesi yangu hiyohiyo naphtali baba
😂😂Nacheka jinsi jamaa alivyo jichanganya mwenyewe
😢mzee kajichanganya kapewa hela kumbe .
Kuna Watu Eti Ho Kwanini Mambo Yanaishia Jukwaano Wakati Wana Shelia Wapo Na Shelia Zipo Sasa Kama Wanashelia Mpo Mbona Watu Wanalalamika Mambo Yao Ya Muda Mlefu Ana Awajapewa Izo Shelia Iweje Sasa Rungu Kutoka Kwa Raisi Liko Njiani Mkoa Kwa Mkoa Ndipo Mnasema Shelia Acheni Kauli Ya Raisi Ifanye Kazi Yake
Kabisa
Hatari sana
Makonda jamn. Kuna zawadi yako mbinguni
Mahakama za mikutanoni haziwezi kumaliza malalamiko ya watu, kila mtu atimize wajibu wake, inawezekana.Ya Mh Makonda uwe ni mfano.
Uyo ametumwa wewe uwezi kumpangia ccm wamezoea kuwachezea wananchi
@@jakobongwara3038 😂