We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏 Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤
Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen
Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
Huwa nasikia wanasifiwa wamama sanaaa nikadhania na nikazoea kuwa wababa huwa hatuna kitu cha kusifiwa nacho. Basi leo nmejua..😂😂😂. Kumbe na wababa nao huwa tunaupiga mwingi.......😂😂😂😂😂
We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏
Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤
Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen
Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu
Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
Hongera sana kwa kuwapa shukran wakiwa hai..WAZAZI WANGU NAENDELEA KUWAOMBEA UMRI MREFU WALLAH!
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭
Mungu akutie nguvu na akupe hekima ya kuitunza familia atakayowajalia vema.
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!
Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele
The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️
Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu
Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin
Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI
Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu
Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭
😢😢Pole dear😢
Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu
Mashaallh thabrk allh mungu awalindie hiì family ❤❤❤🎉🎉🎉🎉congratulations 🎊
Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤
Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊
Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!
Am proud 4 u
Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌
Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin
Amempa mkono sema alikua anamwambia mwanae aache kulia
@@DM.2200ndo na Mimi nimeona hivi
Ni mkwe😢
Umbea2
Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema
Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉
Be blessed❤
Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii
Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏
Jamani
Hongera sana kk kwa hatua hii
May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .
Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo
Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
Hongela San ndg Kwa maneno mazuli
Congratulations brother
Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh
Hadi raha
Hongera sana Katokisha
I'm so proud of you
All the best in your marriage
❤❤❤
Hongera sana bro
Hongera saana
🎉❤😢 congratulations my bro
Another day to cry with the stranger 😢😢very touching
Barikwa sana
Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian
😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako
Ilove my parents ❤🙏❣️
Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢
Anaogop labda make up itafutka
😅😅
@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂
Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong
umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu
Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau
Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza
Nimelia sana😭😭
Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu
@@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap
Pole sana😢😢
@@LucySanga-du9fd Asante
❤❤❤❤sana
Daaah nimelia sana
Daah
Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭
Muuuh😢😢😢
❤❤❤❤❤
Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema
Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅
Baba ameliaaa aiseeeeee
I love you mom and dady
MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI
Mungu awatuze jmn
Dah! Kanilizaa
Hakuna kama mzazi❤❤❤
So adorable🎉🎉 hongera sana mc
Inagusa sana😢.
Hongera sana kaka
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
Machozi yametoka bila kujijuwa
Machozi yamenitokaaaa😢
Missing you Daddy 💔💔😭😭
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
Dah umenitoa machozi jamani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……
Baba kama baba hana baya mzee kato
Neema
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏
Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏
An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako
Huwa nasikia wanasifiwa wamama sanaaa nikadhania na nikazoea kuwa wababa huwa hatuna kitu cha kusifiwa nacho. Basi leo nmejua..😂😂😂. Kumbe na wababa nao huwa tunaupiga mwingi.......😂😂😂😂😂
Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni
Nimelia jamani
Dada!! Usiende kuvuruga hio familia
Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.
Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida
Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.
4D Studio your the best🎉
Wababa mnaelewa sijui
Nimeishia kulia jamani😢
Nimelia kiukweli 😢😢
Kwan naliaa nini aty 😢😢