MC KATOKISHA AMWAGA MACHOZI NA KUWALIZA MAMIA YA WATU UKUMBINI USIKU WA HARUSI YAKE |DENIS & ALBERTA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 172

  • @user-ox4ty7ib8m
    @user-ox4ty7ib8m 2 วันที่ผ่านมา +2

    We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏
    Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 2 วันที่ผ่านมา

      Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 18 วันที่ผ่านมา +17

    Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethCharles-xt7hv
    @ElizabethCharles-xt7hv 16 วันที่ผ่านมา +12

    Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu

  • @Naju645
    @Naju645 17 วันที่ผ่านมา +11

    Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema

  • @juliejaph3331
    @juliejaph3331 4 วันที่ผ่านมา +1

    kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo2366 2 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kwa kuwapa shukran wakiwa hai..WAZAZI WANGU NAENDELEA KUWAOMBEA UMRI MREFU WALLAH!

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh 19 วันที่ผ่านมา +26

    Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢

    • @aminajuma-rw2rt
      @aminajuma-rw2rt 13 วันที่ผ่านมา

      Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭

  • @ibrahimmwita2213
    @ibrahimmwita2213 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutie nguvu na akupe hekima ya kuitunza familia atakayowajalia vema.

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa 19 วันที่ผ่านมา +9

    Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako

    • @EdithTelemark
      @EdithTelemark 17 วันที่ผ่านมา

      hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!

  • @user-ms3di6qt7r
    @user-ms3di6qt7r 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele

  • @angellazaro9291
    @angellazaro9291 18 วันที่ผ่านมา +3

    The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️

  • @NeemaBoazi
    @NeemaBoazi 19 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo

  • @vincenthatungimana
    @vincenthatungimana 19 วันที่ผ่านมา

    Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !

  • @user-wm5xr1hr2c
    @user-wm5xr1hr2c 19 วันที่ผ่านมา +2

    Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu

  • @husnamwinyi8295
    @husnamwinyi8295 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 11 วันที่ผ่านมา

    Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI

  • @rosenoah2190
    @rosenoah2190 14 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu

  • @user-xl6ye5xx4j
    @user-xl6ye5xx4j 16 วันที่ผ่านมา +7

    Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭

  • @Mary-q8f
    @Mary-q8f 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu

  • @salamaalihemed6220
    @salamaalihemed6220 วันที่ผ่านมา

    Mashaallh thabrk allh mungu awalindie hiì family ❤❤❤🎉🎉🎉🎉congratulations 🎊

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w 18 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤

    • @patyisaya4217
      @patyisaya4217 15 วันที่ผ่านมา

      Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @JulietDama-dj7qs
    @JulietDama-dj7qs 12 วันที่ผ่านมา

    God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊

  • @lucyotieno6485
    @lucyotieno6485 19 วันที่ผ่านมา +2

    Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!

  • @user-id8bu6lw8x
    @user-id8bu6lw8x 19 วันที่ผ่านมา +4

    Am proud 4 u

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 18 วันที่ผ่านมา +6

    Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌

    • @DM.2200
      @DM.2200 17 วันที่ผ่านมา

      Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin

    • @FadhilaIbrahim-wu6ve
      @FadhilaIbrahim-wu6ve 16 วันที่ผ่านมา

      Amempa mkono sema alikua anamwambia mwanae aache kulia

    • @FadhilaIbrahim-wu6ve
      @FadhilaIbrahim-wu6ve 16 วันที่ผ่านมา

      ​@@DM.2200ndo na Mimi nimeona hivi

    • @kemmymartine4884
      @kemmymartine4884 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ni mkwe😢

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 7 วันที่ผ่านมา

      Umbea2

  • @magdalenapeter5622
    @magdalenapeter5622 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema

  • @vero57
    @vero57 19 วันที่ผ่านมา +2

    Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉

  • @farajalyanda8019
    @farajalyanda8019 17 วันที่ผ่านมา

    Be blessed❤

  • @esternaftari9032
    @esternaftari9032 15 วันที่ผ่านมา +5

    Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii

  • @SalomeEmanueli
    @SalomeEmanueli 15 วันที่ผ่านมา +4

    Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏

  • @youngb8672
    @youngb8672 19 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana kk kwa hatua hii

  • @liyloveonimakeuptv2400
    @liyloveonimakeuptv2400 8 วันที่ผ่านมา

    May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .

  • @salomesawira2069
    @salomesawira2069 16 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo

  • @saraphinaramso6387
    @saraphinaramso6387 18 วันที่ผ่านมา +2

    Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 14 วันที่ผ่านมา +1

    Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f 19 วันที่ผ่านมา

    Hongela San ndg Kwa maneno mazuli

  • @VeronicaShallo
    @VeronicaShallo 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Congratulations brother

  • @user-rh3fe3cs7g
    @user-rh3fe3cs7g 18 วันที่ผ่านมา

    Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh

  • @tumainmasele2501
    @tumainmasele2501 12 วันที่ผ่านมา

    Hadi raha

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 19 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Katokisha

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 14 วันที่ผ่านมา

    I'm so proud of you

  • @luluwillium1364
    @luluwillium1364 13 วันที่ผ่านมา

    All the best in your marriage

  • @mercychelangat_
    @mercychelangat_ 19 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤

  • @user-nx6wi7sl4y
    @user-nx6wi7sl4y 14 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana bro

  • @HappyFireDragon-hl7hw
    @HappyFireDragon-hl7hw 19 วันที่ผ่านมา

    Hongera saana

  • @leahnyamle4179
    @leahnyamle4179 16 วันที่ผ่านมา

    🎉❤😢 congratulations my bro

  • @jacklinstanley7932
    @jacklinstanley7932 11 วันที่ผ่านมา

    Another day to cry with the stranger 😢😢very touching

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 13 วันที่ผ่านมา +1

    Barikwa sana

  • @beatricethomas4061
    @beatricethomas4061 14 วันที่ผ่านมา +1

    Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian

  • @user-gd8cx2ig9p
    @user-gd8cx2ig9p 17 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako

  • @VeroMwingira
    @VeroMwingira 16 วันที่ผ่านมา

    Ilove my parents ❤🙏❣️

  • @lovenesszedekia7814
    @lovenesszedekia7814 17 วันที่ผ่านมา +4

    Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢

    • @user-nq1fc3uo8b
      @user-nq1fc3uo8b 17 วันที่ผ่านมา

      Anaogop labda make up itafutka

    • @kemmymartine4884
      @kemmymartine4884 16 วันที่ผ่านมา

      😅😅

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 16 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂

    • @florencemseja530
      @florencemseja530 14 วันที่ผ่านมา +3

      Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 17 วันที่ผ่านมา +1

    umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 15 วันที่ผ่านมา

    Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau

  • @jumakaugatz9017
    @jumakaugatz9017 12 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza

  • @sulleRuth
    @sulleRuth 19 วันที่ผ่านมา +2

    Nimelia sana😭😭

  • @NeemqSitta
    @NeemqSitta 15 วันที่ผ่านมา

    Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 18 วันที่ผ่านมา +3

    Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.

    • @zuuh-ge1cu
      @zuuh-ge1cu 18 วันที่ผ่านมา

      polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu

    • @isackmbade3181
      @isackmbade3181 17 วันที่ผ่านมา

      @@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap

    • @LucySanga-du9fd
      @LucySanga-du9fd 9 วันที่ผ่านมา

      Pole sana😢😢

    • @isackmbade3181
      @isackmbade3181 8 วันที่ผ่านมา

      @@LucySanga-du9fd Asante

  • @HhosnaRashid
    @HhosnaRashid 19 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤sana

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f 19 วันที่ผ่านมา

    Daaah nimelia sana

  • @salmajuma4300
    @salmajuma4300 15 วันที่ผ่านมา

    Daah

  • @vero57
    @vero57 19 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭

  • @SesiliahBundala
    @SesiliahBundala 9 วันที่ผ่านมา

    Muuuh😢😢😢

  • @HonestaAloyce
    @HonestaAloyce 19 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @ElvinGaspar
    @ElvinGaspar 8 วันที่ผ่านมา

    Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema

  • @sund2553
    @sund2553 19 วันที่ผ่านมา +1

    Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅

  • @mariamtutui9729
    @mariamtutui9729 วันที่ผ่านมา

    Baba ameliaaa aiseeeeee

  • @user-he5by2hk6p
    @user-he5by2hk6p 6 วันที่ผ่านมา

    I love you mom and dady

  • @elinahlawrancemwaipopo7633
    @elinahlawrancemwaipopo7633 8 วันที่ผ่านมา

    MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI

  • @NsiaUrasa
    @NsiaUrasa 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatuze jmn

  • @cathbert39
    @cathbert39 18 วันที่ผ่านมา

    Dah! Kanilizaa

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 14 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kama mzazi❤❤❤

  • @agapeelias740
    @agapeelias740 19 วันที่ผ่านมา +2

    So adorable🎉🎉 hongera sana mc

  • @rehemambilinyi9452
    @rehemambilinyi9452 19 วันที่ผ่านมา +4

    Inagusa sana😢.
    Hongera sana kaka

    • @user-tm7qi4kv9l
      @user-tm7qi4kv9l 16 วันที่ผ่านมา

      Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 7 วันที่ผ่านมา

    Machozi yametoka bila kujijuwa

  • @mariamtutui9729
    @mariamtutui9729 วันที่ผ่านมา

    Machozi yamenitokaaaa😢

  • @nadiahassan1359
    @nadiahassan1359 17 วันที่ผ่านมา

    Missing you Daddy 💔💔😭😭

  • @NeemaSebastian-gy1nt
    @NeemaSebastian-gy1nt 16 วันที่ผ่านมา

    Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady

  • @gracemathayo7221
    @gracemathayo7221 19 วันที่ผ่านมา +1

    Dah umenitoa machozi jamani

  • @user-pf2bu4hn1j
    @user-pf2bu4hn1j 6 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o 10 วันที่ผ่านมา

    Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……

  • @McNgoliga
    @McNgoliga 7 วันที่ผ่านมา

    Baba kama baba hana baya mzee kato

  • @NeemaBoazi
    @NeemaBoazi 19 วันที่ผ่านมา

    Neema

  • @joharikabalaza6899
    @joharikabalaza6899 16 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭😭

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 19 วันที่ผ่านมา +3

    😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 18 วันที่ผ่านมา

      Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc 16 วันที่ผ่านมา

    An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @choosencrudah118
    @choosencrudah118 15 วันที่ผ่านมา

    Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 12 วันที่ผ่านมา

    Huwa nasikia wanasifiwa wamama sanaaa nikadhania na nikazoea kuwa wababa huwa hatuna kitu cha kusifiwa nacho. Basi leo nmejua..😂😂😂. Kumbe na wababa nao huwa tunaupiga mwingi.......😂😂😂😂😂

  • @user-ql6vg2uv6w
    @user-ql6vg2uv6w 13 วันที่ผ่านมา

    Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni

  • @franciscamhagama3281
    @franciscamhagama3281 2 วันที่ผ่านมา

    Nimelia jamani

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 15 วันที่ผ่านมา

    Dada!! Usiende kuvuruga hio familia

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 19 วันที่ผ่านมา

    Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.

  • @alicesospiter7625
    @alicesospiter7625 13 วันที่ผ่านมา

    Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida

  • @user-tw7gb1nu2e
    @user-tw7gb1nu2e 13 วันที่ผ่านมา

    Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.

  • @user-np8ts3dq2y
    @user-np8ts3dq2y 19 วันที่ผ่านมา +1

    4D Studio your the best🎉

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 13 วันที่ผ่านมา

    Wababa mnaelewa sijui

  • @rahmambugi2322
    @rahmambugi2322 17 วันที่ผ่านมา

    Nimeishia kulia jamani😢

  • @LucySanga-du9fd
    @LucySanga-du9fd 9 วันที่ผ่านมา

    Nimelia kiukweli 😢😢

  • @AnjelikaBay
    @AnjelikaBay 13 วันที่ผ่านมา

    Kwan naliaa nini aty 😢😢