SATELLITE Ya Kwanza Ya Tanzania Orbit Yake INASHIDA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ม.ค. 2024
  • 'SAFARI YA TANZANIA KWENYE SETELAITI YAIVA.
    Tumefanikiwa kupata nafasi katika orbit kwajili ya matumizi ya setelaiti. Orbit mpya ya setelaiti kwa Tanzania ni nyuzi (16 W). mafanikio ni moja ya matokeo ya mkutano wa Umoja wa Mawasiliano Duniani-2023(WRC23)! Ahsante Rais Samia kwa uongozi uliotukuka' Nape
    Subscribe channel yetu ni BUREEE! :bit.ly/maxtechTV
    Social media
    TikTok bit.ly/Maxtechtz
    ➰Twitter bit.ly/maxtechtvtwitter
    📸Instargram bit.ly/maxtech_tz
    #satellite #tanzania #orbit #maxtechtv #setelaiti #angazambali
  • วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี

ความคิดเห็น • 38

  • @Theironrod9373
    @Theironrod9373 22 วันที่ผ่านมา

    Good job 👍

  • @nevillekorosso6976
    @nevillekorosso6976 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vzuri kaka.
    Hujaitoa kazi mbovu

  • @gwamakamartin1618
    @gwamakamartin1618 5 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah uko deep, mze umeiva af huchoshi an💪🏿.

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน +2

      Pamoja

  • @hackileo
    @hackileo 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vizur kaka

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 4 หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja anko Max japo ni wavivu kucomment ila tunapenda sn unavyochambua kitu ni noma

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  4 หลายเดือนก่อน

      Tuko pamoja

  • @shabanjumanne119
    @shabanjumanne119 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuli sana

  • @LovelyCakeSlice-no3bl
    @LovelyCakeSlice-no3bl 2 หลายเดือนก่อน

    Orbit zipo 3 tu, hiyo mpya ya tanzania itakuwa upande gani?

  • @user-oi9hh9tp3o
    @user-oi9hh9tp3o 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupa big up mwamba kwa ufafanuzi wako wa kina kwenye mambo ya technology

  • @user-oi9hh9tp3o
    @user-oi9hh9tp3o 5 หลายเดือนก่อน +1

    Max tech why Russian missiles are so deadly brother in Ukraine , answer me in Swahili

  • @user-on4hs9mk2g
    @user-on4hs9mk2g 5 หลายเดือนก่อน

    Chuo kikuu cha dar sijui ni kweli

  • @RaymondPaul-bs7su
    @RaymondPaul-bs7su 5 หลายเดือนก่อน

    Max Tech 1.Kombora linalosafirisha Setilaiti kwenda umbali huo linatumia nishati gani hiyo?
    2.Je setilaiti huko anga za mbali zikichoka hua zinaanguka duniani tena?
    3.Je inawezekanaa kwa kombora kutoka nje ya Graviti ya duniaa na kwenda sayari nyingine?

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน +1

      1.Huwa lina tumia mafuta ya rocket.
      2.Setilaiti huwa hazichoki sema huko anga za mbali sio kwamba hakuna hewa kabisa hewa ipo kwa kiwango kidogo kwaiyo huwa inazipa hizi satellite upinzani mdogo unaopunguza speed yake hivyo kufanya satellite ianzekushuka chini tena sababu speed yake imepungua lakini kwa satellite kubwa huwa zina engine ambayo huwa inawashwa kuzipandisha juu tena lakini kwa hizi satellite ndogo huwa ziachwa zidondoke chini na kwakuwa sehemu kibwa ya dunia ni bahari kuna chance kubwa kama ikipona kupenya kwenye anga la duniani basi mabaki yake yatadondoka baharini na sehemu ambapo satellite nyiki hudondoka panaitea POINT NEMO

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน +1

      3. Sio kombora Rocket ndo tunayoiongelea hapa japokuwa na makombora pia hutumia mafuta ya rocket lakini hapa rocket tunazoziongelea ni zile kubwa sana yeah huwa zinapeleka vitu hata kwenye sayari ya Mars, venus hata mwezini pia lazima hii rocket iwezekuishinda gravity ya dunia ilikufika huku

  • @erickmshoboth4705
    @erickmshoboth4705 5 หลายเดือนก่อน

    Unyama mwamba japi nakichwa ngumu ila nimeelewa ulikuwaga ticha😁?

  • @naujila-rb2mg
    @naujila-rb2mg 5 หลายเดือนก่อน

    unajitaidi Sana

  • @dicksondaniel8597
    @dicksondaniel8597 5 หลายเดือนก่อน

    Internet staring ya Elon musk ielezeee brother

  • @Joybass2
    @Joybass2 5 หลายเดือนก่อน

    Satellite Au mnazungumzia ungo wabibi ? 😂😂 wakirusha tu na kwambia sisi watu wasumbawanga tutaitunguwa 😂 afu kwa bahati mbaya Bibi yangu kasha nunu iPhone 😂🤣

  • @amirisaid6341
    @amirisaid6341 5 หลายเดือนก่อน

    Satellite inatumia nishati Gani uko kwenye space?

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน

      Inatumia solar sababu iko juu ya dunia anga halizibi mionzi ya jua kama ukiwa chini huku hali ya hewa inaweza kupunguza mwanga wa jua space hichi kitu hakipo

    • @JacobJoel-cb3ni
      @JacobJoel-cb3ni 2 หลายเดือนก่อน

      Nishati ya jua

  • @amirisaid6341
    @amirisaid6341 5 หลายเดือนก่อน

    Ww jamaa office yako ipo pande zip nije nikutembelee 🙏

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน

      Sina office bado niko chuoni

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 5 หลายเดือนก่อน

      Chuo Gani

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน

      Mbeya University of science and technology (MUST)

    • @JamesMbokane
      @JamesMbokane 2 หลายเดือนก่อน

      Unasoma coz gan bro max

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  2 หลายเดือนก่อน +1

      @@JamesMbokane electrical and electronic engineering

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 5 หลายเดือนก่อน

    Muongo

  • @user-oi9hh9tp3o
    @user-oi9hh9tp3o 5 หลายเดือนก่อน

    Haya madini inatakiwa wakina nape wayasikie, ili wasije wakaingia mkenge

    • @Maxtechtv
      @Maxtechtv  5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂 wanawashauri wao wa wizara

    • @JamesMbokane
      @JamesMbokane 2 หลายเดือนก่อน +1

      Max uko mwaka wangap ,,?? Coz Kuna mdog Wang Apo first year ,cozi Kam yako

  • @johnabery-vn7eb
    @johnabery-vn7eb หลายเดือนก่อน

    Sin uhakika kama nikwel

  • @naperiantv7297
    @naperiantv7297 5 หลายเดือนก่อน

    Tusubiri tuone

  • @user-bw3dt8jc5p
    @user-bw3dt8jc5p 5 หลายเดือนก่อน

    Upo vizul bro

  • @allyfoum1995
    @allyfoum1995 5 หลายเดือนก่อน

    Niko pamoja na wewe napenda taarifa zako

  • @shabanjumanne119
    @shabanjumanne119 5 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuli sana