Mtanzania aonesha A to Z jinsi alivyoisuka satellite yake na kuifanyia Majaribio

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 326

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 หลายเดือนก่อน +26

    Daaaah! Haya ndo mambo napendaga kuona na kusikia... safi sana kaka

  • @samsonjohnhoswe2891
    @samsonjohnhoswe2891 21 วันที่ผ่านมา +3

    Nimefarijika sana, ingawa sijui watamtumiaje ili kuinufaisha Tanzania yetu na Africa kwa ujumla, Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.

  • @admiralaggrey6094
    @admiralaggrey6094 28 วันที่ผ่านมา +5

    Jamaa ameifanya sayansi ionekane ni kitu rahisi especially kwa sayansi kama hizo ambazo huonekana kuwa ni ngumu sana kama sayansi ya satellite na rocket. Asante sana kaka kwa kutufungulia njia maana umetupa picha kuwa ata bongo kuna mabrain mijitu yenye akili kubwa ila hawapati Njia au where to start. Serikali kupitia research center au science department sijui but we need to invest Big kwenye izi talent. Kumbe Mungu Tanzania hakutupa tu utajiri wa rasilimali pia Vipaji vipo.
    Again.. kaka tunakushukuru sana, u just made it look so easy ata mimi nimetamani kusomea yani tofauti kabisa na walimu wetu wanavyotufundisha science
    SnS asante pia this Content is the Real DeaL

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 หลายเดือนก่อน +24

    Hongera sana brother Lenard , wewe ni hazina ya Taifa

  • @peterjustin1237
    @peterjustin1237 หลายเดือนก่อน +11

    Kaka Leonard shayo upo 1 tu Africa nzima🌟💪🏾

  • @user-wy4su3oc6r
    @user-wy4su3oc6r 29 วันที่ผ่านมา +9

    Amna kitu bora kama kuwa mzalendo ,umesoma lkn ukarudi Tanzania kuonyesha ulichokipata kazi nzuri zana tukipata vijana kama wewe kumi ambao wamesoma njee na kufika kiwango ambacho umefika na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi Tanzanian tutapiga hatua kubwa sana big up sana

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 หลายเดือนก่อน +14

    FUTURE MAN ON SPACE FROM TANZANIA IS COMING

  • @GeorgeKiba
    @GeorgeKiba หลายเดือนก่อน +28

    Kazi nzuri Afrika inawezekana kama Serekali zita kusanya vipaji na ujuzi mbali mbali kwa ubunifu.

  • @EmmanuelKivuyo-mx3cw
    @EmmanuelKivuyo-mx3cw หลายเดือนก่อน +16

    This man is very genious we need such engineers and not politicians

  • @YesseJames
    @YesseJames 25 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu jamaa tuko vizuri, nafurahi sana!!! Kuona Mtanzania anavyofanikiwa, tupate vijana wengi kama hawa, Mungu ibariki Tanzania

    • @batholomeothomas6059
      @batholomeothomas6059 15 วันที่ผ่านมา

      Vijana wapo wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wakifanya vitu kama hivi ukweli nikwamba serekali yetu haiko tayari kusaidia vijana wenye vipaji kuwaendeleza

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +26

    Huyu ndie alitakiwa kuwa pale TCRA

  • @musakalangahe6876
    @musakalangahe6876 17 วันที่ผ่านมา +1

    Inafurahisha na Mungu abariki ndugu yetu huyu na watu wote ktk vipaji mbalimbali. Safi sana Mr Shayo

  • @55goodmen
    @55goodmen หลายเดือนก่อน +20

    Huyu Dogo ni Genius sana !!! Una feel kabisa kuwa ana knowdge zaidi!! Nasikia kutoa machozi hawa ni Almasi kwa Africa..anaitaji back up kali sana. Nimeshuudia uvumbuzi kibao lakini system zina let down sana,...TUKIACHA ROHO MBAYA, WIVU, CHUKI, NA UKANDAMIZAJI, KULOGANA....Hawa ma genius wanaweza kabisa.

  • @nicholasamuyunzu7246
    @nicholasamuyunzu7246 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi mkenya lakini nimependa Sana anachokifanya huyu kijana daah,hawa ndio watu tunahitaji kwenye jambi zetu hapa AFRICA hongera Sana brother may God grant good health and long life we need you to inspire the current and coming generations aasante Sana I love this....hata sijui la kusema....

  • @harryson4823
    @harryson4823 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kinyange to the word. Keep moving mate. Home boy

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 หลายเดือนก่อน +22

    Huyu si anastahili kutunikiwa Phd jamani... Au wadau mnaonaje🤔🤔🤔

    • @robyisondo834
      @robyisondo834 26 วันที่ผ่านมา +2

      Kabsaa kuna wengine wana Phd hakuna hata la msingi anajua za notes tu mpe practical sasa

    • @MocDomy-qn6th
      @MocDomy-qn6th 23 วันที่ผ่านมา +1

      PhD Tanzania ni mpaka avuke viwango vyote vya fitna

    • @liseprimaryschool2596
      @liseprimaryschool2596 20 วันที่ผ่านมา +1

      Anayo tayari

  • @CharlesKiwia
    @CharlesKiwia 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera Sana Shayo ,Talent hii niliiona kwako ukiwa form two .Mungu akufunike Mzee we ni Taasisi.

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 25 วันที่ผ่านมา +2

    Well done home Boy ..
    Kazania apo apo ..
    Nenda Kenya tu apo utapata nafasi na pesa nyingi kwa kazi yako hiyo ..!!
    Kibongo bongo bado tuko busy tunasifu na kuabudu kwanza ...!!
    Hawawezi kukuzingatia zaidi zaidi watakukwamisha na kukuvuruga tu ..

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp หลายเดือนก่อน +8

    Huyu amesoma ameelimika, anaitendea kazi elimu, wasomi wengi iko kwenye makalatasi, Mungu akubariki sana, songa mbele tunakuombea.

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 24 วันที่ผ่านมา +3

    Engineer msomi kwa vitendo..... congratulations ndg, unastahili kutunukuwa PhD na Uprofesor

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera sana huyu ndio msomi wa vitendo hajaenda kukariri kama walio wengi wafanyavyo, wenye kujaaliwa wamsaporti aweze kulikomboa Taifa ktk masuala haya ya kisayansi ya juu

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d 26 วันที่ผ่านมา +3

    Allah atupatie Watanzania 10 kama huyu. Na uongozi kama wa Magufuri. TANZANIAN tuko mbele sana.

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 หลายเดือนก่อน +13

    Izi ndo habar sasa! Big up sns!

  • @Fredrickrobson01
    @Fredrickrobson01 19 วันที่ผ่านมา +1

    DIT is the best school for engineering Tanzania ,thanks bro all the best in you ideas

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 หลายเดือนก่อน +12

    Hongera mkuu,serikali mtumieni huyu mtu

  • @simwingaonlinetv1994
    @simwingaonlinetv1994 หลายเดือนก่อน +16

    Watanzania hawawezi elewa coz hii field hawaijui wachache sana watakuelewa but hongera sana broo umeni inspire sana umetumia alot of money, time keep it up

    • @meckzeck
      @meckzeck หลายเดือนก่อน +2

      Wewe mwenyewe pia hujamuelewa😂😂. Wabongo wengi washafanya hio kitu. Tofauti ni sijawahi sikia mtu akiita Satellite😂😂. Actually hiyo ni WEATHER MONITORING STATION, SAT ni issue nyingine😅

    • @Piuspaul123
      @Piuspaul123 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@meckzeckwabongo wapi hao wengi unaowazungumzia wewe, shida yetu sisi hatupendi kuona mtu akifanya jambo likafanikiwa tunaanza kwa kukatisha tamaa kwa kuonyesha kuwa yeye sio wa kwanza,

  • @hamiskayombe6061
    @hamiskayombe6061 หลายเดือนก่อน +7

    Katika wavumbuzi wote Tanzania huyu nampa namba 1 kwasababu uvumbuzi wake umeambata na taalum haswa ie professional inventory

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc หลายเดือนก่อน +46

    Msomi, genius, Kiswahili kimenyooka anatumia lugha kwa ufasaha wala halazimishi kingereza. Njoo kwa Std 7 failures, anataka kila neno aweke kingereza huku hajui na matamshi hawezi

    • @CastoryKapinga-nb7ht
      @CastoryKapinga-nb7ht หลายเดือนก่อน +4

      HAHAAA MWQMBAAA UMETISHAAA UMEONGEA KWA UCHUNGU HAHAAA

    • @user-cm9lm4mj7v
      @user-cm9lm4mj7v หลายเดือนก่อน +3

      Dah kweli kabisa yan kiswahili kimenyooka na ana eleweka

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay หลายเดือนก่อน +5

      Hasa ma slayqueens wetu hawa ni shida sana You Know, You Know zinakua nyingi sana kwenye maongezi kiingereza cha kuunga unga sana wanatishia watu... Ila wasomi wenye akili hawana hizi mbanga, kuna jamaa mmoja yule anafanya kazi Boeing ni m Tanzania nae ukicheck interview yake anaongea kiswahili fasaha tu na amekaa sana USA miaka mingi..

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 หลายเดือนก่อน +1

      @@ZeProDJay hao target yao ni wazungu

    • @DjmubaTechServices
      @DjmubaTechServices หลายเดือนก่อน +1

      wewe jamaa umeandika nilichotaka kuandika 😂

  • @user-fn6fs8oy5l
    @user-fn6fs8oy5l หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana haya ndio mambo ya kutuletea elimu hii ni nzuri.Asanteni

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 หลายเดือนก่อน +5

    Dah,nimefarijika na kufurahi sana Asante sns Asante kaka yetu kwa Ubunifu huo sisi ambao tuko kwenye industry ya tech tunajua ugumu upi umeupitia mpaka leo hii wazo lako unalifanikisha.Big up brother usikate tamaa,tuko pamoja nawe

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 24 วันที่ผ่านมา +3

    HONGERA SANA DOGO.SHIDA SISI WA TZ HATUWAPENDI WABUNIFU WETU WA NDAN

  • @wakujawakuja310
    @wakujawakuja310 หลายเดือนก่อน +26

    Hii inamaana jamaa anaweza kutegeneza vifaa vinavyo tumia umeme na mawasiliano, ikiwemo simu, computer, TV, Redio Nk.

    • @user-hz9mu7fm4b
      @user-hz9mu7fm4b 28 วันที่ผ่านมา

      kabisa... mwamba ana Ndoto kubwa ni balaa hivyo ni vitu vidogo kuliko Satellite jamaa anajua Mungu amemariki sana🙌🙌

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 หลายเดือนก่อน +8

    Tanzania ni nchi yenye vipaji vya ajabu sana tunahitaji viongozi makini sana ilikufikia malengo ya Taifa.

  • @samsogoye1
    @samsogoye1 13 วันที่ผ่านมา +1

    Bwashee, Umetishaaa sana, kwanza mdogo alafu ana maarifa makubwa sana. Congratulations 🎊

  • @kiatu
    @kiatu 29 วันที่ผ่านมา +5

    Halafu hajamwita waziri mkuu au rais, very humble.

  • @fjoshore2547
    @fjoshore2547 หลายเดือนก่อน +4

    Uko sawa mkuu..... hongera ktoka Nairobi.,wetu hapa kingereza tele ila akili kama hii hamna

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 หลายเดือนก่อน +14

    Nchi yetu bado inakumbatia mafisad ,vipaji ni vingi

  • @italaclan7833
    @italaclan7833 29 วันที่ผ่านมา +4

    Tunasema tumshukuru Mungu na atuinulie bijana kama hawa,pia serikari inapaswa kuangalia vijana kama hawa na kuwapanguvu vijana wote wenye uwezo wa kutengeneza kitu chochote cha maendeleo ya kiuchumi watumiwe na serikari yao tuweze kujitegemea maana madini tunayo yanayo sapoti vitu vingi vinavyo husiana na sayansi tunaomba serikari itoe nguvu kwa wavumbuzi wote..Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 tuvbariki na vijana wa Afrika.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 24 วันที่ผ่านมา

    Aise hongera sana!! Ahsante. Ww ni mtanzania kweli. Kiswahili kizuri. Hongera sana. Mungu akutangulie siku zote. Amen.

  • @MahaHassan-zn5vp
    @MahaHassan-zn5vp หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana kaka kwa kazi mawazo nakizi ulizozifanya pia hongera kwa matumizi mkubwa ya lugha ya kiswahili katika mauala ya sayansi ya anga

  • @godfreyalphonce5646
    @godfreyalphonce5646 หลายเดือนก่อน +4

    Naposikia habari kama hizi za teknolojia nahisi Dunia ipo mkononi mwangu big up #SNS

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mm binafsi nakutakia heri una jambo kubwa ebu fanya jambo lako na Mungu akujalie uzione ndotozakozikiwa angani na sio mezani tena !

  • @hnettech6275
    @hnettech6275 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ni idea nzuri sana. Kwa uchunguzi mzuri zaidi haende mlima kilimanjaro pia itakuwa poa sana

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana kaka mm pia nimesoma electronics kama wewe napia ninamalengo kama yako karibu zanzibar

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 22 วันที่ผ่านมา +1

    Tupo vizuri natunapambana sana watu wa Kilimanjaro .We never give up👏👏👏

    • @NixonJohnson-zn8nk
      @NixonJohnson-zn8nk 19 วันที่ผ่านมา

      Ukiweks tu u Kilimanjaro ni kosa kubwa.. Ni m Tanganyika good...

    • @NoelChambo
      @NoelChambo 15 วันที่ผ่านมา

      Ukabila wa nini sasa

  • @barakamwangeni6589
    @barakamwangeni6589 หลายเดือนก่อน +4

    Tunaomba muendelezo wa ufafanuzi zaidi juu ya satalite. Pia nikupongeze Mtanzania mwenzetu kwa hatua hii.
    Niombe serikali yetu kutumia ubunifuu huu kwa Masirahi ya Taifa🇹🇿

  • @seraphinjosephmboya3646
    @seraphinjosephmboya3646 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kaskazini is always headers,,,, big up brother

  • @JosephKapanga
    @JosephKapanga หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kijana,nakuomba nenda Kwa Raisi wa nchi yetu Tanzania,akusaidie mtaji Ili utengeneze satellite ya nchi yetu.

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior หลายเดือนก่อน +6

    Well done bro...salute

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana, watu kama hawa wenye akili nyingi wasiachwe bure, serikali iwatumie kwa maendeleo ya Taifa letu.

  • @RKMEDIATZ
    @RKMEDIATZ หลายเดือนก่อน +12

    Mh Nape Nnauye Fanya jambo. Hii ni zaidi ya Roboti Eunice

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +5

      akili hiyo wanayo sasa

  • @EGVProduction
    @EGVProduction 29 วันที่ผ่านมา +2

    Maana ya neno Genius ni Mtu mwenye Uwezo wa kuunganisha Taarifa haraka kuliko mtu yoyote kwa miundo ambayo haijawahi kuonekana

  • @salamasefu5494
    @salamasefu5494 หลายเดือนก่อน +6

    Serekali wapeni support vijana hawa wenye ujuzi. Wako wengi Tanzania tuna vijana wenye ujuzi wengi

  • @munibullahmarunda1325
    @munibullahmarunda1325 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka asante sana Sasa Tunaweza kufikia malengo ya nchi yetu

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 28 วันที่ผ่านมา +3

    Safi sana mtalaam ❤, Serikari sasa ikupe hela ya hizo Project.

  • @user-gs7hd1rx4o
    @user-gs7hd1rx4o หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana Sns kwa kuvitukuza vya nyumbani

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri bro sema tu mungu akutangulie maana hill in kusudi zuri ktk nyanja ya kiteknolojia hasa ya agani.

  • @muhsinhafidh5490
    @muhsinhafidh5490 หลายเดือนก่อน +2

    haikuarahisi kaka kazi nzuri sana ndugu na hongera sana

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 หลายเดือนก่อน +9

    Hatua nzuri sana
    Hii ina maana tunaweza kuwa na huduma ya Internet ya kwetu wenyewe au sija elewa hapo

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay หลายเดือนก่อน

      Inahitaji uwekezaji mkubwa tena huko umeenda kwingine kabisa bro sio rahisi kwa sera za nchi yetu hizi..

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 หลายเดือนก่อน +5

    Kari nzuri sana

  • @grevinmgaya9237
    @grevinmgaya9237 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Sanaa hatuwezi hata kulipa garama mpak hap Mungu akusaidie zaidii

  • @tanzanite_info_dragon.9769
    @tanzanite_info_dragon.9769 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana kaka hivi ndiyo wasomi tunatakiwa kuwa ndiyo tuendelee

  • @avitmusic7318
    @avitmusic7318 หลายเดือนก่อน +7

    Nice..ata wao walianza kama wewe usikate tama

  • @gastonurassa3734
    @gastonurassa3734 22 วันที่ผ่านมา

    Anaelezea vizuri nakueleweka sana.. Hongera kwake

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 27 วันที่ผ่านมา +2

    Vijana kama hawa wanatakiwa kupewa sapoti na tuzo .. namfikiria anayafanya haya yote kwa pesa zake mwenyewe , .. yaani natamani zile pesa wanazopewa wachezaji wa mpira kila wakifunga goli wangefanya vivyo hivyo kwa vijana kama hawa
    safi sana shayo

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน +11

    Mwanangu usiende mbele wala nini piga zako kazi bongo utufikishe mbali

    • @mugapro
      @mugapro หลายเดือนก่อน +2

      Bongo nyoso mjomba, wata discourage sana, kama viongozi tu hawasuport

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน +2

      Atobolee apa apa mdogoangu acheni mawazo ya
      koloni

    • @michaelmyaka5367
      @michaelmyaka5367 29 วันที่ผ่านมา +1

      Mbele haendi yeye mwenyewe, watamchukua hawataki mabeberu watu kama hawa wakae Afrika,utaona serikali zetu zinamuangalia tu,baadae anachukuliwa😊

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 26 วันที่ผ่านมา

      Bongo wataua kipaji chake,hawana maana hawa.
      Wakiona mtu mwerevu wanafanya kila njia kumpoteza kwenye ramani

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 26 วันที่ผ่านมา

      Sasa ukienda kusaidia taifa ambalo lishakua Ina faida Gani saizi mbele ni apa bongo kuza chakwako kaka mbele napo palikua ivo kwasabu ya uzalendo

  • @Hezronjumacharles
    @Hezronjumacharles 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ukovizuri tunakuombea Kwa Mungu one day yes katka nchi yetu.

  • @yusuphkidevu7689
    @yusuphkidevu7689 หลายเดือนก่อน +4

    Nice keep Going 🤝👏

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 12 วันที่ผ่านมา +1

    mtu mmoja anafanya kazi za professional zaidi ya 2. afu kunao wawazao amapiano na kupiga vyombo tuu.

  • @BrianWamala-lc6uk
    @BrianWamala-lc6uk หลายเดือนก่อน +9

    Umenimotivate sanaa

  • @user-gk8gz8qi1n
    @user-gk8gz8qi1n หลายเดือนก่อน +6

    Hangera Sana kwa ubunifu

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana serikali impe kipaumbele huyo jamaa

  • @cuthbertmamuya548
    @cuthbertmamuya548 29 วันที่ผ่านมา +1

    Brother Leo...Hongera sana Kaka

  • @tuzonyava8306
    @tuzonyava8306 27 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani uko jeshini hakunaga nafas za watu kama hawa!! Naona kama nmsaada kwa taifa yetu

  • @revocatuspaul42
    @revocatuspaul42 26 วันที่ผ่านมา

    Tanzania tunalo la kujivunia walau, hongera saana injinia wetu, hujaficha kipaji na talanta yako

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 หลายเดือนก่อน +5

    SERIKAL MPENI PESA HUYUU...JAMAAA ANAUWEZO MKUBWA,,KUNUNUA VIFAA NIGHARA SANA...MPENI PESA ILI AENDELEZE ALIPO FIKIA.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu ndio anafaa kuwa mwalimu na kupewa professa

  • @josephdogani3419
    @josephdogani3419 หลายเดือนก่อน +5

    Wstu km hawa wslipaswa kupews mabilion ya pesa na kuwezeshwa ili wawe suruhisho la matstizo yetu

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ametupatia vipaji hivi ni vyema serikali kupitia Jeshi letu ingevichukua na kuviwezesha kulingana na mahitaji yetu kama Nchi

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j 28 วันที่ผ่านมา +1

    Big up Mkuu and stay blessed

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 29 วันที่ผ่านมา +2

    Bigup bro 💪

  • @joramallan2839
    @joramallan2839 25 วันที่ผ่านมา

    Good job Mr. Engineer👏👏👏

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu 25 วันที่ผ่านมา +1

    Asante kwa video nzuri. ila aliye edit tafadhali punguza wakati mwingine sauti ya vionjo (sound track). ina volume kubwa sana kuliko sauti ya muongeaji kwahiyo ni ngumu kusikiliza anacho wasilisha hata kama ukiongeza sauti ya kifaa chako. asante

  • @JohnNgessi
    @JohnNgessi ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera sana kaka, umefanya kitu cha pekee sana, tunajivunia wewe

  • @jimmymsangi2208
    @jimmymsangi2208 24 วันที่ผ่านมา

    Hongera bro hatujawai kufikiria kama Kuna mtu kama wewe genius we ni faida Kwa taifa letu ,selikali inabidi ikutazame Kwa jicho la tatu Kwa faida ya taifa letu

  • @daisythetech
    @daisythetech หลายเดือนก่อน +3

    Haya ndo mambo ya kusapoti na siyo Yale mambo ya sanamu ....serikali imuangalie huyu jamaa Kwa jicho la kwanza

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 20 วันที่ผ่านมา +1

    Upewe bodyguards haraka 🙌🏾

  • @KulwaMatiku
    @KulwaMatiku หลายเดือนก่อน +3

    Big up brother 🙏

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 หลายเดือนก่อน +4

    SERIKALI HAIONI HAWA WATU WAWE WANAJADILIWA BINGENI

  • @IsaacpauloNgwavi
    @IsaacpauloNgwavi 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nasikia Raja sana moyoni Kwa mazao ya kisayansi kutoka nchini mwetu hongera Sana wasomi wetu pia serikali ya Tanzania itoe ushirikiano wa Hali na mali idhamini Kwa 100 aslimia Ili MSOMI wetu huyu awe chanzo cha maendeleo ya kisayansi nchini mwetu vinginevyo atachukuliwa na wanaojua jamani yake

  • @MairaAlly
    @MairaAlly 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kiswahili safi kabisa

  • @bakarmsangimsangi7757
    @bakarmsangimsangi7757 27 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana tumepiga hatuaa kubwaa sana ya technologies tz bas serekali iwawezeshe watuu kama hawaaaa

  • @simunzuri
    @simunzuri 26 วันที่ผ่านมา

    Hongera, ila sijui utafanyaje ku-raise fund ukizingatia tanzania hakuna space rocket na serikali tz mara nyingi haiwekezi kwa wabunufi wa ndani tofauti na USA au china, usa taasisi kama darpa na NSF zinawekeza kwa startup zinazotengeneza vitu vinavyo-push teknolojia

  • @modestadastan1253
    @modestadastan1253 27 วันที่ผ่านมา +2

    1st of All tusisahau huyu MWAMBA NDIO MCHAGA WA KWANZA kuwa na ndoto ya ela ndefu Tanzania na hajisifu kama ndugu zangu wa HAYA japo na mimi ni Muhaya hongera kwa wachaga tunakuombea mchogo ukae sawa.

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk หลายเดือนก่อน +2

    Good job brother 🇹🇿❣️

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mungu akuzidishie elimu. Japo kuna changamoto nyingi. Ila umoja ni nguvu tutafika

  • @modysaid243
    @modysaid243 23 วันที่ผ่านมา

    Waw the first space man in africa

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana,hongera Sana!

  • @NoelMalecela
    @NoelMalecela 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ni hazina kubwa ya Taifa unahitaji ulinzi mkubwa Sana.. Mungu akulinde Sana..

  • @olduvaicamp1552
    @olduvaicamp1552 หลายเดือนก่อน

    big up sana men your the future. big brain tunaitaji sana vichwa vya aina hii