Nawaza tu kwasauti: Hivi Yehova amekuumba wewe kama mwanaume, na ameahidi ipo siku tutamuina, wewe umebadilisha jinsia kuwa mwanamke, ghafla bin vuu, Yehova anatangaza ule mwisho, na unaonana naye ukiwa mwanamke, sijui utajificha wapi. Asante Pastor MMbaga, kwa ujumbe Mzuri- Naposema amen, naungana na maneno yako katika sala. Amen
Amina mtumishi. Mimi huwa ninakupenda sana na kufuatilia mafundisho yako. Mimi nimekuwa karibu sana na wasabato ila walio wengi wanatanguliza kujiona wao ni bora kuliko wengine bali sio kufundisha . Walio wengi huonyesha kuwadharau na kuwabagua wengine. Hali ya kuwa Yesu ambae ndio kiongozi wetu alikuwa akijari na kumhushimu kila mtu hata kama ana mapungufu gani. Ili tuweze kuwahubiri watu lazima tujishushe ,tuwapende na kuwajari na kuwahubiri kwa upendo mkubwa.
Big Amen and Amen ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu, na Mungu akupe umri mrefu uzidi kuhubiri neno la Mungu, mm namshkuru Mungu nilitekwa na hizo nguvu za kipepo, nikafanya kila dhambi hapa dunia, ila namshkuru Mungu sasa niko huru❤
Eeeh Mungu tunaomba rehema zako juu ya nchi ya Tanzania tunaachilia damu ya Yesu ktk archi hii ya Tanz Mungu utuponye roho ya ushonga ,usagaji na matendo yote maovu iondoke ktk nchi yetu pia wasaidie wale wote waathirika wa matendo haya waweze kutoka huko,asante pastor mbaga Mungu akubarik kwa ujumbe huu tusichoke kuiombea nchi yetuTz
Barikiwa sana pastor Kwa kutuelimisha na Neno la Mungu, ukweli tumefika nyakati z mwisho kwanza hapa Kwa mitandao tunaonyeshwa wazi mambo kama haya ya njinsia Moja lakini katika Jina la Yesu tutashinda , amen
Ubarikiwe saana, mchungaji. Mambo ambayo unazungumuza ni kweli kabisa, sisi ambawo tunaishi katika inchi za kigeni tuna omba maombi kwa ajili ya watoto wetu ao generation ijayo kama vile mchungaji unazungumuza🙏
Ubarikiwe Sana mchungaji kutukumbusha maneo na maagizo ya Mungu kwa kizazi hiki Mungu wa mbinguni atusamehe na awaokoe watu hao kutoka katika vifungo hivyo vya ibilisi
MUNGU akubariki sana Mr David m'mbaga somo hii ni nzuri sana Mungu azi🙏 di 🔥 kukutumia 🙌 mubibali 🙏 bya 🔥 juu 🙌 zaidi 🙏 ili 🔥 injili 🙌 isonge 🙏 mbele 🔥 barikiwa 🙌 sana 🙏🔥🙌
Tunanyenyekea chini ya miguu ya Yesu na kutoa shukran kwa huduma ya mahubiri TV, na mbegu zinazo pandwa kupitia wewe...bwana atukutanishe Goma Drc mwezi wa saba anzia tarehe 06 hadi 21/2023.
Mungu akufiche chini ya mbawa zake na kukulinda ili uendelee kufunua mengi yatakayoleta kupona kwa wengi. Endelea kupiga mbiu kama alivyofanya Nuhu maana hatari iko mbele yetu, mwenye masikio na asikie.
Mungu akusaidie sababu najua shetani hapendi watu kusikia ujumbe huu,,lakini ni nakuombea saana mchungaji Mungu akufiche katika mbawa zake,,niombee pia natamani kutangaza Injili niwapo chuoni
asante MUNGU kwa kumpa mtumishi wako macho na masikio ya kiroho kuliona na kulisikia hili na kuliwasilisha kwa wana na binti zako kwa muda na wakati sasa. barikiwa mtumishi wa baba ninakuombea kila siku
Pastor ubarikiwe kwa somo hili kwa kweli dunia imeenda mbali na Mungu heri wanaokemea na kulia na kuomboleza kwa ajili ya machukizo haya Mungu atupiganie mioyo ya watu ipone katika machukizo haya.
Sante Sana pastor umekua msaada mkubwa kwangu nilanza kukufuatilia 2019 maisha yangu kiroho yamepatirika na Hadi Leo hii kila nikingia UTBlasima nipate somompya inanijena kiroho ,nakufuatilia kutoka Qatar mm ni mkenya barikiwa sana
Mungu nimwema siku zote yesu yko njian anakja kwa matkio haya pasta ubalikiwe kutupa nondo tunakskilza hapa na wateja kwangu dukan to bwana akufunike kwa damu yayesu
Mungu akubariki sana pastor kwa kazi yangu ya ku Zambeza neno la Mungu , ila ninge kuomba uwe una fanya mengine ma funzo kwa Luga ya kingereza kwa ajili ya sisi tuolio inje ya bara Africa ili tuwe tuna share na watoto Wetu , awa jue Kiswahili kwa kua Dunia ina tisha sana leo
Pastor niombe nifunguliwe maisha yangu nimefungwa maisha hayaendi for about 10years please help with prayers am dorcas from maai-mahiu SDA church kenya
Ahimidiwe Mungu wa mbinguni aliyekutenga kwa ajili ya saa hii. Mimi binafsi nakufatilia sana umenisaidia sana kiroho , nakili nimefanya maamuzi makubwa ya kubadili mwelekeo wangu kiimani . Mungu akutunze .
Mungu akupe nguvu na uwezo uzidii kutoa vizazi vijavyo ,kwa maana mungu anasababu ya wanadumu kuokolewa nakuomba mchangaji hali ulipo utukumbuke sisi tulio ichii za warabuni.
Yaani hapa duniani Kuna unafiq mwingi sana watu wanahubilia lakini hatakikusema ukweli kwamba zipo dini sitaki kutaja majina lakini kwenyumba za ibada wanafingisha doa zajinsia Moja lakini dini hizo hawataji bayana nakuzianika waziwazi na kunadini nyingine wafuasi wao wanafanya huo ufuska lakini hawafungishi ndoa wala kueatukuza bali Wanakemea huo ufuska mungu tuepushe Sisi pamoja navizazi vyetu😢😢😢😢😢😢waumini wa dini hizo wanajijua 😢😢😢munguatungoze msijaji vibaya sijaitaja dini ya mtu tafadhari nimaoniyangu TU!!!????
Kweli mtumishi hivi jusi mmoja amejitokeza ni msogaji na ni mnenaji, alikua anahojiwa, kweli shetani yu upinzani kuwanaza watu wake, tuinuke tuombee nchi zetu zote
Ukweli kuna vitu nilikua napenda kuangalial lakini wakati nilisikilisha somo lako mara ya Kwanza niliana nayo nikaamua kujiunga na Maubiri chanel ukweli nimejifunza kumutegemea mungu tu hata nipitie nn sitoki kwa mungu maana ni mahali Salama pia nimejifunza kuvaa silaha za Vita ndaniya bibilia mungu ataendelea kua mungu hakua mwingine zaidi yake
Mungu akusaidie sana Na akulinde nami nasimama Na wewe baba watazamaji kama uyu baba kasema ukweli nipe like kisha tuombe 💯💯❤️❤️♥️♥️👏👏🇹🇿🇹🇿
Nawaza tu kwasauti: Hivi Yehova amekuumba wewe kama mwanaume, na ameahidi ipo siku tutamuina, wewe umebadilisha jinsia kuwa mwanamke, ghafla bin vuu, Yehova anatangaza ule mwisho, na unaonana naye ukiwa mwanamke, sijui utajificha wapi.
Asante Pastor MMbaga, kwa ujumbe Mzuri- Naposema amen, naungana na maneno yako katika sala. Amen
LORD please intervene because whatever is going on in the whole world shows that you're soon coming. GOD bless you abundantly Pastor Mmbaga.
Amina mtumishi. Mimi huwa ninakupenda sana na kufuatilia mafundisho yako. Mimi nimekuwa karibu sana na wasabato ila walio wengi wanatanguliza kujiona wao ni bora kuliko wengine bali sio kufundisha . Walio wengi huonyesha kuwadharau na kuwabagua wengine. Hali ya kuwa Yesu ambae ndio kiongozi wetu alikuwa akijari na kumhushimu kila mtu hata kama ana mapungufu gani. Ili tuweze kuwahubiri watu lazima tujishushe ,tuwapende na kuwajari na kuwahubiri kwa upendo mkubwa.
Mungu wetu tusaidie na utuhurumie,tulindie watoto wetu dunia haiko salama Baba.
Big Amen and Amen ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu, na Mungu akupe umri mrefu uzidi kuhubiri neno la Mungu, mm namshkuru Mungu nilitekwa na hizo nguvu za kipepo, nikafanya kila dhambi hapa dunia, ila namshkuru Mungu sasa niko huru❤
Eeeh Mungu tunaomba rehema zako juu ya nchi ya Tanzania tunaachilia damu ya Yesu ktk archi hii ya Tanz Mungu utuponye roho ya ushonga ,usagaji na matendo yote maovu iondoke ktk nchi yetu pia wasaidie wale wote waathirika wa matendo haya waweze kutoka huko,asante pastor mbaga Mungu akubarik kwa ujumbe huu tusichoke kuiombea nchi yetuTz
Yesu ni jibu. Tuombe tu
Barikiwa sana pastor Kwa kutuelimisha na Neno la Mungu, ukweli tumefika nyakati z mwisho kwanza hapa Kwa mitandao tunaonyeshwa wazi mambo kama haya ya njinsia Moja lakini katika Jina la Yesu tutashinda , amen
Amen
Ubarikiwe saana, mchungaji. Mambo ambayo unazungumuza ni kweli kabisa, sisi ambawo tunaishi katika inchi za kigeni tuna omba maombi kwa ajili ya watoto wetu ao generation ijayo kama vile mchungaji unazungumuza🙏
Amina BWANA akubariki Pastor, kwakweli dunia inaenda kuchomwa moto hivi karibuni
Ahsante yesu kristo kwa kumwezesha mtumishi wako kutoa somo hili ili watu waamke katika usingizi .amen
Ubarikiwe Sana mchungaji kutukumbusha maneo na maagizo ya Mungu kwa kizazi hiki Mungu wa mbinguni atusamehe na awaokoe watu hao kutoka katika vifungo hivyo vya ibilisi
God bless u pastor you uplift my spirit and am blessed whenever isee ua teachings may you live long to save many😭😭 in Jesus name 🙏🙏
L
Llll lol lol l
Lll
Lll
Ll
Amina Mchungaji kweli Mungu atupiganie sisi na watoto wetu, Taifa kwa ujumla na kila atakaye kupona katika hili Mungu awaponye.
Be blessed 🙌 Pastor Mbaga may GOD keep using your brain to save our nowdays generation 🙏 🥲
Amina nabarikiwa sana na somo hili kwel tuvaeni silaha za mungu ili tupate kumpinga mwovu
Thank you pastor for powerful teaching God bless you 🙏
I so agree so much about every detail in this episode. God bless you mchungaji. Let's make noise about this and save our generations
Asante sana 🙏mchungaji Mungu atutie nguvu wasikizaji kwa mabadiliko ya moyoni
amen mchungaji napenda sana mafundisho yako nabarikiwa sana mungu akupe siku nyingi ili uweze kufundisha watu kuacha giza na kuelekea nuru
Nakufwata kutoka Uvira,
Asante
🇨🇩
Ameen
Mungu atusaidie
Amen amen
Asante kwa mafundisho mazuri mchungaji ubarikiwe.
Yesu pekeee abaki kuwa chaguo letu na yeye pekee atusaidie amen 🙏.... Get blessed our pastor and let's be protected by God himself
Asante Kwa hii sono pastor David.. Kenya has agreed with this evil act . Let us pray for Kenya
Ubarikiwe Mchungaji wetu,neno hili ni funzo nzuri hasa kwetu walio katika zinazo sapoti matendo hayo na udhidi kutuombea.
Ubarikiwe sana mchungaj na MUNGU azid kukutia nguvu kuzidi kuelimisha juu ya atar ya siku za mwisho
Bwana akubariki Pastor, hata mimi nitapiga kelele bila yoga, Bwana afungue taifa zetu Amen 🙏🙏
I THANK LORD JESUS KWA SOMO ZURI umelifundisha ktk utulivu kiroho saaaana NA LIMETUFUNGUA UFAHAMU WENGI.Mungu akutie Nguvu Zaidi
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na mafunuo ulimwngu ujue ukwli uko wapi kwa kwli nimebrkiwa na mimepta mafunzo
Mungu akubariki sana pia azidi kukutumia kwaajili ya kuwaleta wengi karibu na Kristo.somo la leo limenibariki sana Mungu akuinue
Mungu na akubariki Dana pestor na akulinde katika wakati juu mgumu
We mtumishi wew ni mbarikiwa Sana najifunza mengi Sana kupitia wew ubarikiwe Sana 😘🥰🙏🙏🙏
May God have mercy on us, I just wonder where will I hide my kids from this weaked world. Stay blessed pastor
MUNGU akubariki sana Mr David m'mbaga somo hii ni nzuri sana Mungu azi🙏 di 🔥 kukutumia 🙌 mubibali 🙏 bya 🔥 juu 🙌 zaidi 🙏 ili 🔥 injili 🙌 isonge 🙏 mbele 🔥 barikiwa 🙌 sana 🙏🔥🙌
Amen... Mungu atusaidie sana. Mungu saidia wenye changamoto hizi.. Mungu lipiganie kanisa na Taifa na dunia kwa ujumla.
Mwenyezi Mungu Anusuru Watoto Na Wajukuu Zetu
Ubarikiwe Sana mtumishi nikwel kabisa ushoga utasababisha laana ktk nchi yetu viongoz waserikal msisain mikataba hiyo nihatar Sana Mungu atatumaliza.
Amen tuyakatate maovu haya ya ushoga Tuombe roho hii ya shetani iteketee kabisa Kwa Jina la Yesu
Ubarikiwe kwa kusema ukweli Mungu akubariki pastor
Asante sana Pastor kwa somo zuri sana, Mungu aendelee kukubariki sana.
Tunanyenyekea chini ya miguu ya Yesu na kutoa shukran kwa huduma ya mahubiri TV, na mbegu zinazo pandwa kupitia wewe...bwana atukutanishe Goma Drc mwezi wa saba anzia tarehe 06 hadi 21/2023.
Mungu atusaidiye pia Mungu akutiye nguvu mtumishi kwa kazi unayo ifanya kwa kutusaidiya sisi vijana Mungu akubariki kabisa
Namshukuru mungu kwa kufanya nikufahamu mchungaji mbaga mungu wa mbinguni akubariki na akupe maisha marefu
Mungu akufiche chini ya mbawa zake na kukulinda ili uendelee kufunua mengi yatakayoleta kupona kwa wengi. Endelea kupiga mbiu kama alivyofanya Nuhu maana hatari iko mbele yetu, mwenye masikio na asikie.
Asante mchungaji Mungu akubariki sanaaa
Tuombee viongozi wetu wawe na msimamo hali sasa mbaya Sana vijana hawaelewi kwa kukosa madili viongozi wa Africa msimamo
Thank you for your powerful teachings and telling truth juu hii Dunia ina mambo mingi na shetani ameiteka hii Dunia.
Mungu akusaidie sababu najua shetani hapendi watu kusikia ujumbe huu,,lakini ni nakuombea saana mchungaji Mungu akufiche katika mbawa zake,,niombee pia natamani kutangaza Injili niwapo chuoni
Amina pastor Mungu akubariki akulinde akupe afya
Nashukuru kwa uwepo wako ufahari wa mafundisho yako mungu akuwezeshe zaidi
Mungu akubariki Pr kwa ujumbe huu nzito.
Aksante sana mchungaji MMBAGA, Mungu akubariki
asante MUNGU kwa kumpa mtumishi wako macho na masikio ya kiroho kuliona na kulisikia hili na kuliwasilisha kwa wana na binti zako kwa muda na wakati sasa. barikiwa mtumishi wa baba ninakuombea kila siku
Amen
100% tuko pamoja barikiwe ❤
Amen
@@MahubiriTv2 Mungu azidi kukulinda na kukupa mafunuo kwa ajili ya faida ya ufalme wake 🙏
Amen 🙏🏿
Barikiwa sana pst,ni wakati wa kuchangamka kujiandaa kwa umilele.
Pastor ubarikiwe kwa somo hili kwa kweli dunia imeenda mbali na Mungu heri wanaokemea na kulia na kuomboleza kwa ajili ya machukizo haya Mungu atupiganie mioyo ya watu ipone katika machukizo haya.
Sante Sana pastor umekua msaada mkubwa kwangu nilanza kukufuatilia 2019 maisha yangu kiroho yamepatirika na Hadi Leo hii kila nikingia UTBlasima nipate somompya inanijena kiroho ,nakufuatilia kutoka Qatar mm ni mkenya barikiwa sana
Tusaidie baba tunaogopa watoto wetu watapataje kupona mungu akubariki sana somo nzuri
Mungu nimwema siku zote yesu yko njian anakja kwa matkio haya pasta ubalikiwe kutupa nondo tunakskilza hapa na wateja kwangu dukan to bwana akufunike kwa damu yayesu
Mungu akubariki sana pastor kwa kazi yangu ya ku Zambeza neno la Mungu , ila ninge kuomba uwe una fanya mengine ma funzo kwa Luga ya kingereza kwa ajili ya sisi tuolio inje ya bara Africa ili tuwe tuna share na watoto Wetu , awa jue Kiswahili kwa kua Dunia ina tisha sana leo
Mungu Atakubariki kwa hilo mtumishi wa mungu Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷
Pastor niombe nifunguliwe maisha yangu nimefungwa maisha hayaendi for about 10years please help with prayers am dorcas from maai-mahiu SDA church kenya
Barikiwa kwa kujitosa na kusema ukweli na ukweli wote Mungu akitumia kuonyesha kile anachokisema katika biblia
Pastor mm nakuunga mkono Bwana akubariki mm nakuombea
Ahimidiwe Mungu wa mbinguni aliyekutenga kwa ajili ya saa hii. Mimi binafsi nakufatilia sana umenisaidia sana kiroho , nakili nimefanya maamuzi makubwa ya kubadili mwelekeo wangu kiimani . Mungu akutunze .
Bwana na akubariki na akutie nguvu
Mungu akubariki Sana pr. Endelea kunena kwa kipawa ulichopewa
Mtumish nakupata hongera naingia maombi mungu ataturehem
For sure paster umenitoa mbali kiroho may God bless you
Mungu Azidi kukuteua usiondoke haraka mpaka watu tuliopotea bila kujua tuzaliwe upya mungu akubariki sanaaaa
Amen pr tunabrikiwa sana kwa somo zuri Mungu akupe Afya njema
Mungu akubariki sana pastor
Asante mchungaji tumekuelewa vi,uri,asante kuelim8sha kanisa na jamii mwenye sikio amekuelewaaaaaa
Asante Sana mtumishi kwa somo hilli
Asante mchungaji Mungu atusaidie sana😢
Blessed pastor Mmbaga
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Yesu tusaidie
Asante Mchungaji kwa neno.
Tunaweza kukupataje? Upo UK mji gani?
Excellent !!
Umeongea kweli baba Mungu tusaidie Mungu turehemu baba Mungu akutie nguvu
Hakika bila msaada wa Mungu ni ngumu, Mungu atusaidie na vizazi vyetu
Mimi nasali TAG Niko tunduma mungu akubariki kwa elim zuri. bwana aendelee kukumia kwajili ya hiki kizazi
Amen
Asante mchungaji kwa somo . We have reached the day of dark ages let's keep praying at this situation our God will not leave us or forsake us.
Kama kuna nyakati tunaungana kama taifa kumuomba Mungu basi katika hili tunamuhitaji sana Mungu alie hai. Hali ni mbaya
Mungu akupe nguvu na uwezo uzidii kutoa vizazi vijavyo ,kwa maana mungu anasababu ya wanadumu kuokolewa nakuomba mchangaji hali ulipo utukumbuke sisi tulio ichii za warabuni.
Barikiwa sana shujaa ! Kwa kutoka mbele kama yohana kupaza sauti ya maonyo
Mungu Baba akulinde na kukuhifadhi Amina
Ubarikiwe kwa neno hili zuri kwa wakati muafaka.
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akubariki kwa mafundisho hayo manzuri ya kuteelimisha ktk nyakati hizi za mwisho
Here waiting for it...
Yaani hapa duniani Kuna unafiq mwingi sana watu wanahubilia lakini hatakikusema ukweli kwamba zipo dini sitaki kutaja majina lakini kwenyumba za ibada wanafingisha doa zajinsia Moja lakini dini hizo hawataji bayana nakuzianika waziwazi na kunadini nyingine wafuasi wao wanafanya huo ufuska lakini hawafungishi ndoa wala kueatukuza bali Wanakemea huo ufuska mungu tuepushe Sisi pamoja navizazi vyetu😢😢😢😢😢😢waumini wa dini hizo wanajijua 😢😢😢munguatungoze msijaji vibaya sijaitaja dini ya mtu tafadhari nimaoniyangu TU!!!????
Mii Nasema Mwenyezi Mungu Awe Ngao ya Watoto Wetu Na Wajukuu Zetu Wasipatikane Na Lana Hiyo Na Shetani Ashindwe
Amina, barikiwa mtumishi.
Kweli mtumishi hivi jusi mmoja amejitokeza ni msogaji na ni mnenaji, alikua anahojiwa, kweli shetani yu upinzani kuwanaza watu wake, tuinuke tuombee nchi zetu zote
God bless you pastor
Ukweli kuna vitu nilikua napenda kuangalial lakini wakati nilisikilisha somo lako mara ya Kwanza niliana nayo nikaamua kujiunga na Maubiri chanel ukweli nimejifunza kumutegemea mungu tu hata nipitie nn sitoki kwa mungu maana ni mahali Salama pia nimejifunza kuvaa silaha za Vita ndaniya bibilia mungu ataendelea kua mungu hakua mwingine zaidi yake
Mungu azidi kukuinua na kukutumia kwa ukuu na utukufu wake ili roho za wengi zipone mtumishi wa Mungu.
Mungu ninusuru na mabaya🙏🙏🙏
Wafalme wakubwa wa Dunia wametiwa Giza, hivyo hata wanadam wengi wamepotea kwa kufuata Yale wafalme wao wayafurahiyao.bwana yesu Yu karibu kurudi.
Pastor tafadhali jaribu kuongeza sauti🙏🙏
Ubarikiwe Sana na MUNGU akupe maisha marefu AMEN
Ila sehemu kubwa wanaopenda kufira ni waarabu na Waitaliano.
Thans a lot pastor Mbagga.
God bless you.😭😭