Nabarikiwa na mafundisho yako mchungaji Mmbaga, kwasababu unafundisha na kuhubiri pia, pamoja na hayo unafundisha psychology unagusa kila eneo barikiwa sana.
Mungu akubariki sana pastor mmbaga nsomba tu nikwambie ukwel ubatumiwa na Mungu mim nimekuwa mrahibu wa masomo yako kila siku lazima niweke bando nisikilize mahubiri yako hata masomo mawili. Ila kila siku lazima nisikilize na mara nikisikiliza nabarikiwa nafunguliwa nsinuliwa kiwango cha juu.Mungu akubariki sana
Kabisa mm niliwahi kumsikiliza mahali Fulani nikiwa kazini nikawa napata shida nilimsikiliza kwa Imani niliondoka pale kwa kuitwa kwenye kazi nyingine Mungu ambariki sana
Asante sana kwa fundisho hili Mchungaji naamini Mungu anaenda kuvunja laana za umaskini kwa Familia Yetu Naendelea kuomba hata sasa asante sana Eee Kristo kwa kuzichukua laana na umaskini wetu ili sisi tu barikiwe na kuwa Marajiri Halleluya moyo wangu unafurahi na kumtukuza Mungu kwa kuzivunja laana za Umaskini ❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💜
Mtumishi ubarikiwe sana mm naitwa felista mpare naomba uniombee nipate mume
mambo
Mimi ni mkenya tunakupenda Sana pasy May God continue to protect you
Amen. Asante sana
Amen
Mimi ni mkenya,pr mbaga mafundisho yako imetubariki sana
Barikiwa Pr kwa fundisho nzuri
You have change my life Thank you and be blessed
Amen, Amen utukufu kwa Mungu juu, tunakiri ushindi na kupokea neema
Barikiwa sana pastor kwa masomo mazuri yanayo jenga kiroho,kimwili na nyanja nyinginezo za maisha!!!!
Mungu akubariki sana pastor 🙏 😢
Pr mbaga unanigusa sana mahubiri yako Mungu akuongezee karama yako hiyo maradufu❤❤
Ubarikiwe sana Na Mungu wetu Mchungaji maana mafundisho Yako yananibarikisana
Nabarikiwa sana na mafundisho haya
Pastor MUNGU akulinde na kukubariki Amen 🙏🥰
Yesu nirehemu nisiestahili, nakuhitaji Yesu Sana moyoni mwangu
Nabarikiwa na mafundisho yako mchungaji Mmbaga, kwasababu unafundisha na kuhubiri pia, pamoja na hayo unafundisha psychology unagusa kila eneo barikiwa sana.
Pr mungu aendelee kukupigania uzidi kutufundisha zaidi tumjue mungu
Nakusikiza from nrbi kenya, barikiwa sana mchungaji.
Pst Mmbaga God bless uu
Aminaa nimebarikiwa sana Mungu kubariki mchunganji
Vrai parole de Dieu_ merci pasteur
Mungu azidi kukupa nguvu na uzima tele barikiwa sana aminaa🙏🙏🙏🙏
Nimesikiliza somo hili huku nikimwaga machozi.nitaishi na madeni hata lini????naomba kufanikiwa katika jina la Yesu.Amen
Mungu akutendee sawasawa na mapenzi yake,
@@spesiozabisansaba6424 Amen.Nashukuru
Nabarikiwa sana🙏
Mungu akubariki sana pastor mmbaga nsomba tu nikwambie ukwel ubatumiwa na Mungu mim nimekuwa mrahibu wa masomo yako kila siku lazima niweke bando nisikilize mahubiri yako hata masomo mawili. Ila kila siku lazima nisikilize na mara nikisikiliza nabarikiwa nafunguliwa nsinuliwa kiwango cha juu.Mungu akubariki sana
Ubarikiwe pastor Kwa SoMo Hilo Kuna point ambazo ninzr sana
Wakenya wezetu shemeni Amen
Mahubirazuri yananitia moyo mungu akubariki pastor
Amen pastor unazidi kunibariki
Napia nazidi kupata uponyaji wakiroho nakumwli pia 🙏🙏
Amen, ubarikiwe sana pastor
Man of God am from Kenya. You teachings are very powerful indeed .
Cc wakenya hata Tanzania tunasaidia tuu, hatuna shida
Asante pastor kuanzia leo sitatumia kauli dhaifu ktk lolote nifanyacho
Ameni kwaimani navunja laana ya magonjwa navunja laana ya kuto kufanikiwa Amen
Amen .pst
God bless u pst 🙏🙏🙏
Be blessed pastor
Mch barikiwa,hakika nabarikiwa na mafundisho yako,yananitoa gizani na kuniweka niruni.Bwana apewe sifa.
Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo
Kazi nzuri mchungaji, ninalo swali kati ya Petero na Yohana ,ni nani YESU alipenda sana????
Yohana
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana,barikiwa sana Mchungaji.
Barkiwa pasta
Umebadlisha mawazo yangu pastor
Barikiwa saana Mbaga
ubarikiwe sana Pastor
Pastor mbaga mungu akubariki sana na mahubiri yamenitoa mbali sana sitokusahau maisha yangu yote.ubarikiwe sana na familia yako.
Kabisa mm niliwahi kumsikiliza mahali Fulani nikiwa kazini nikawa napata shida nilimsikiliza kwa Imani niliondoka pale kwa kuitwa kwenye kazi nyingine Mungu ambariki sana
Namshukuru Mungu kwa karama aliyokupa ninatiwa nguvu naujumbe
Na barikiwa Santa na mafundisho Yako.
Mafundisho ya nehema kubwa sana
Wise teachings,God bless you 🙏
Mungu akubariki
Pastor Naitaji msahada wa maombi kuusu kazi nipo America 🇺🇸 natamani ufungulifu tu 🙏🏻🙏🏻
Ndio tuko hapa nrb tunasikia pastor barikiwa sana
Ubarikiwe Sana pastor
Pastor tafadhali naomba unipe Msaada kiukweli nimechoka nahitaji Msaada WA maombi kutoka kwako
Thanks pastor, hii imekaa vizuri sana
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako natamani nipate mda wa kuongea na wewe Sina namba yako nisaidie kuipata
Bilashaka wasaidizi wake watakusaidia
Pro nabarikiwa sana na masomo yako MUNGU aendelee kukutumia wa ajiri ya neno lake
Amen
@@MahubiriPrMmbaga Kenya tunakufutilia sana wingi tumeona Mungu kupitia were Bwana akubariki
Barkiwa pasta mbaga
Nasikiza kutoka nrb barikiwa sana mchungaji
Mungu akubariki
Amen, blessed
Amen pastor
Bwana,asifiwe,naomba msaada nahitaji kuonana na pastor
Kuitia mahubiri haya nimemuona yesu
Amina 🤔💖🙏
Amina
Asante sana kwa fundisho hili Mchungaji naamini Mungu anaenda kuvunja laana za umaskini kwa Familia Yetu Naendelea kuomba hata sasa asante sana Eee Kristo kwa kuzichukua laana na umaskini wetu ili sisi tu barikiwe na kuwa Marajiri Halleluya moyo wangu unafurahi na kumtukuza Mungu kwa kuzivunja laana za Umaskini ❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💜
Ameen
Mtu mwenye asikii harufu unamsaidiaje?
ukweli haujifich unaonekana 😢
Naweza kupata namba ya mchungaji naitaji
Bab mbariki paste izidi kupata nguvu ya kuhubir
🙏🙏🙏
Nawezaje kuwasiliana na wewe?
Amen
🙏🙌
Pastor asingekua MUNGU kupitia wewe ningekua mpagani kabisa
🤚
Message you Young people 🛖🎁
Kila ninapokusikiliza pst napata nguvu mpya yakusonga mbele
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakenya
Nimebariwa na mhubiri yako ila naomba maombi kwa ajili ya kaka zangu wanamiaka 45,50 hawajaoa mpaka leo
ℕ𝕒𝕥𝕒𝕜𝕒 ℍ𝕚𝕔𝕙𝕠 𝕂𝕚𝕥𝕒𝕓𝕦 𝕄𝕔𝕙𝕦𝕟𝕘𝕒𝕛𝕚
Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo
Amen
🙏🙏🙏