Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.
Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna
Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞
Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC
Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia
Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele. Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga. Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake. Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.
Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake
Makanisa yetu,Leo yanagongana kwa sababu ya kiburi cha kiroho,tunacharuana CIC kwa sis hatusaidiani tunaangushana na kusengenyana tu Mungu atuhurumiee sana
Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.
Napenda saaanaaaa mahubiri ya mchungaji Mmbaga kwa sababu ndani ya mahubiri ana story nzuri sana, yaaani naweka gb 15 zinaishia kwake🙏
Unapofundisha nabalikiwasana
Amen,be blessed pastor. Your sermons delivers me always.
Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.
Pr ujumbe huu ni wa Baraka Sana Mungu atusaidie sote tujitadhimini upya kwa changamoto ya Kiburi
Amina pastor nimebarikiwa sana somo linanihusu Mungu anisaidie nibadilike
Ameni pastor mi hufatilia mafunzo yako walai Mungu akubariki
MUNGU, awenawe popote utakapo kwenda, kuptia wew umenibdilsha; natmani siku nikuone barikiwa Sana.!
Amina
Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna
Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞
Amen am soo blessed nice courageous message God bless you pastor
Hubarikiwa sana na mahubiri ya mmbaga,na kujenga Imani yangu
Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC
Mungu akubalik mchungaji akika ata Mimi nausingizisana
Mungu akubaliki sana mchungaji mbaga Kwa mahubili ya kiroho
Nabarikiwa sana.Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili tukue kiroho🙏
Nimeji funza mengi nimebarikiwa pastor neno limeisha in suspicious way no prayers 🙏
Nabarikiwa sana na mafundisho yako 'Mungu azidi kukutumia zaid mtumish wa Mungu
Mafundisho mazur sana jaman barikiwa baba tufundishe tusipotee
Tunataman Aya mahubiri yafike kwa makansa yetu yatabadilisha maisha yetu ya ukirsto wetu wa kiburi Mungu akutumie vyema mchungaji
Mungu akubariki sana mchungaji,napata kijifunza mengi
Amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji kwa neno bora sana,Mungu tusaidie
Nimebarikiwa na neno mungu azidi kukufunulia zaidi amen
Amen Mungu naomba unipe kuelewa nisikutende dhambi
Pastor nakupenda san Huwa napata nguvu ninaposikia mahubir Yako barkiwa sana
Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia
Uko vizuri sana mchungaji wangu
kuptia wew nimebdilka, barikiwa Sana.!
Huyu pastor Ukimsikiliza kwa kufikiria utaelewa mambo vzuri mno
Amen ,,,,,,,,mahubiri yananifunza mengi na naendelea kujifunza Kila siku.
Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele.
Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga.
Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake.
Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.
Barikiwa or mafundisho mazuri
Binafsi nakuelewa, nakupenda, nabarikiwa napata furaha na sijawahi kuchoka kukusikiliza. Bwana akutunze mtumishi wa Mungu
Ameeen🙏
Mbona somo limeishia njiani mchungaji
MUNGU akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU.. masomo yako hunibariki Sana.
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza neno la mungu limeingia moyoni
Asante mchungaji kwa fundisho hili
Mchungaji mungu akubariki neno
Amen San mola akupiganie katka Kaz yako
Ameen barikiwa sana Mutumish wa Mungu
Mungu niondolea kiburi kwa maisha
Pastor nimekuelewa sana
Asante kwa mahubiri mungu akuinue zaidi
Mafundisho yenye manufaa🙏🙏🙏🙏, ubarikiwe sana pastor
Mchungaji ubarikiwe kwa mafundisho yako napatafaraja na matumaini juu ya maneno haya🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ubarikiwe Sana unatuludisha kwenye mstari
barikiwa mwanangu David.
Aminaa pr
Asant sana Pr nashukur nimejifunza vitu muhm sana barikiwa
pastor naomba uje mbeya
Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake
Aminaa ubarikiwe uko na Akili nyingi, napia mwalimu mzuri
Nimeipenda hubir yako
Mungu akubari mtumishi wa Mungu.
Andante Baba sema tupone
Pst.david mmbaga
Tukiacha iki kiburi basi YESU ATAKUJA IVI KARIBUN., MUNGU AKUBARIKI PASTOR na azidi kukufunulia maono mengine ili tuzidi kupona zaidi na zaidi AMINA
Nabarikiwa na masomo yako
Asante Pr. kutusema ukweli, tumekuwa wanafiki katika Ukristo
Hakika ni Mungu ameongea kupitia kinywa chako yanipasa kutubu Barikiwa sana
Asante kwa ujumbe mzuri pastor mbaga
Ubalikiwe sana
Amen ubarikiwe san Mchungaji
Barikiwa pr Mungu akupe uwez mkubwa
Amina nmebalikiwa kwa somo zuri hakika mungu atuondolee kibur
Ubarikiwe Na bwana
mtumshi Wa baba
Amen pastor
Ahsante kwa Mahubiri mazuri
God bless,watched u from galf
Mahubiri yako yananifunza nakuniludisha kwenye msitari kila siku mungu akubariki mchungaji
Mungu ni mwaminifu kila siku na kila saa
Ukweli mtubu Asante Sana tubarikiwe pamoja
Amen Amen Amen!
Mch ubarikiwe sana
Amina sana muchungaji ubarikiwe
Amen mchungaji
Munguakubariki
Ameen Ameen
Asnte kwa mahubir
Tumeelewa Asante san
Pr hao umetufunza ni kweli kabisa,sisi wadventiste inatupashwa kubadirika.
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
Ameeen ameen pastor
Bwana yesu atusaidie sana..
Barikiwa mtumishi wa Baba
Asante sana pastor ! Nimejifunza sana mungu akubariki
Amen nashukuru mchungaji
Amén ubalikiwe sana
Pr. Nashukuru kwa somo lako na Mungu azidi kupitisha mafundisho yake kwako ila nilikuwa naomba clip nyingine inayomalizia somo hili tafadhali
Amen Amen 🙏🏻
Amina
Mungu tusaidie watoto wako
Mungu atusaidie ila imeishi njiani
Amen barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri 🙏
Ubarikiwe Sana postor
Makanisa yetu,Leo yanagongana kwa sababu ya kiburi cha kiroho,tunacharuana CIC kwa sis hatusaidiani tunaangushana na kusengenyana tu Mungu atuhurumiee sana
Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.
Ameen
Ubarikiwe baba
Kweli kabisa
Baba anguu naomba kuuulz kuna mtu anaweza kusoma bible nzima toka mwanzo ad ufunuo na kiimalz yotee ba kuelewaa
Amen 🙏 🙏
Ameen 🙏🏻
Mungu atukuzwe
Amen 🙏 God be the glory