Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
Ni kweli mchungaji kwenye biashara yangu kuna watu walikuwa wananinenea mabaya lakini mie niliwajibu nafanya biashara na yesu wanashangaa wanaona naendelea na biashara
Kweli unaweza kukaa huna pesa wala chochote lakn ninapokumbuka Maneno na upendo wa kristo Nahis kama ndiyo nimefika kwake Mbinguni wala siwazi shida na mapito ya ulimwengu huu, Amani ninayo yatosha kunifariji
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
Amen paster Mungu akunze
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
Mungu amuongeze nguvu amuweke
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
Nahitaji no za pastor nisaidien
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika.
Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
Amen
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
Bwana aturehem
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
Mungu akubariji
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
Powerful sermons
May the Almighty God continue blessing you for us
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
Amen
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
God bless you pastor for your great job
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
This video has 7 months lakini
Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
Mm pia KWA Yesu kuna raha
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
This is amazing grace from God for His people
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid.
Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
Selfa btogether ana fii Oman
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
Be blessed
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
Thank you pr.
Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
Am blessed pr.
Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi.
Paul from meru Kenya
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
Barkiwa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
I love your Word of God.Thank you Pastor. From Kenya.
Baba mbaga jmn Mungu akubarikie n akupe maisha marefu sifa n utukufu n kwako Yesu mwana wa Mungu
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
Ulisaidika
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
Amina
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
Thanks for the somo barikiweni servants of God
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
Barikiwa mtumishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii amen
You are wonderful pastor
Nashukuru sana mchungaji, umenipa ujasiri kweli kweli na mungu aendeleze kazi yako, Amina!!!
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
I'm Really blessed, to the words of God you preach,build my soul every time, i pray to be as you pastor. I really believe in Jesus christ son of God.
Amen
Pray to be like Jesus my friends don't be like mbaga
@@damah8431 8iiiiiiiiii
@@joshuaandrea2546 definitely
@@havilamganga6172 what's mean?
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
Thank you Pastor, God Bless you
Oh powerful.
Remain blessed Pastor.
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
Amina sana pastor 🙏. Mungu akubariki
🙏
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
Amina pr!
Mungu akubariki sana!
Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
God is power barikiwa sana mchungaji
Mungu akubariki sana mtumishi
Nabarikiwa sana kupitia channel yako. Mungu akubariki sana Mchungaji
Amen
Hallelujah Mimi na yesu ni mtu na mdogo ake,Asante yesu
Yesu ndiwe kimbilio langu nipe niregeshee mume wangu Daniel
Ubarikiwe sana Mtumishi
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
Amen
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
Amen Pr.
Mungu atatenda
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
Mungu aibariki familia yako pr pamoja na team yote ya mahubiri Tv na somo hili Bwana azidi kulipenyeza zaidi kwa wokovu wa wengi wapate kufunguliwa
Ni kweli mchungaji kwenye biashara yangu kuna watu walikuwa wananinenea mabaya lakini mie niliwajibu nafanya biashara na yesu wanashangaa wanaona naendelea na biashara
Ubarikiwe mtumishi
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
Amen pastor
Amen Mungu amekutuma ukweli barikiwa sana
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
Mungu azidi kukuchunga ili uendelee kutufundisha nasii nabarikiwa sana na mahubili yako
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri 🙏🙏
Hello pastor am bonny from Kenya after listening to your sermon I wish to talk to u sijui how
Barikiwa mtumishi
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Hallelujah na ielewa kabisa hilo neno 🙏🙏
Somo zuri,nimebarikiwa mno
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
Amen mafundisho yako yamenifungua kwa mambo mengi
Kweli unaweza kukaa huna pesa wala chochote lakn ninapokumbuka Maneno na upendo wa kristo Nahis kama ndiyo nimefika kwake Mbinguni wala siwazi shida na mapito ya ulimwengu huu, Amani ninayo yatosha kunifariji
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
Animaaa pr Mungu atukuzwe siku zote
Amina nabarikiwa sanaa