Plz daktari I'm watching u frm gulf naomba tafadhali kwa jina la Yesu kristo nieleze dawa ya heartburn nmetezeka kwa miaka mingi na naamini mungu atakutenda mema
😢kuna wengine hata ujuy ni upande gani yupo jaman katika sifa hizo anazo lakin mwambie sasa fanya kumwomba kitu tuu 🤔 atakuambia nadaiwa ,hoo,sina pesa sa iv unashindwa kujua sasa anakupenda na siku moja awezi sema chukuwa ,,,, mapenzi yana mambo magumu sana ✍️
1,uoga kuelekea 2,Huonyesha kwa matendo 3,huonyesha uhalikia wake 4,hujali kesho yako Waoooo😊 Fear in expressing Shows in action Shows his reality Caring😮 n action
Mume Wangu Mimi ananipenda kwa dhati na ananidekeza adi raha pia nnapo mkosea ananipnyesha kuwa Mke Wangu ulivyo fanya sjapenda Na pia hunielekeza njia sahihi Namuamini sana ananipenda, Tabia ya mtu inanguvu huwezi ujua moyo wa mtu kupitia matendo yake, Tumuombe tu Mungu atuepushie wale wanafki ktk mapenzi
Nimeamini baby daddy ananipenda sana may God 🙏 protect him always thank you lord 🙏 for bringing this man to my life
Dah nzuri sana najivunia kumpata mwanaume mwenye vigezo hivyo love so much Wilson wangu❤❤❤❤❤
Mimi hupatana tu na magaidi mpaka nka give up😢😢 nimeamua single by choice😢
Mambo vo
Asante sana ni ukweri kabisa hiyo kitu inakushumbua kabisa maisha ukiolewa na yule zio wako.
asante doctor kwa mafundisho mazuri,Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupigania🙏🙏🙏
Asante sana jamani mpenzi wangu akuivo iyo yote umesema walai Jamani 😅😊😊😊
Hapo kaka umesema ukweli nao n wengi hao wenye hizo sifza wanaume wenye hizo mashallah Mungu akuzidishie Kwa maono
Asante sana katika hizo sifa zote bado amna ata moja Kwa mtu wangu
Kumbe sipendwi😂😂
kumbe tupo Wengi
Jmni kumbe mzazi mwenzangu alikua ananipenda mmi ndio nilikua na midomo midomo sana mpka nikaona tuachane kumbe yule mwanaume ndio alinipenda jmni😭😭 vigezo vyote anazo duuuuh
Asante docter kwa kutuimaeisha wanawake ❤❤❤❤
Khee kumbe leo ndo nimegundua nammependa Mume wangu jmn yote anayafanya aweee nilikuwa naona hanipend kumbe ndo penyew Asante doctor
Yani kuna wanaume alafu kuna mwanaume wng mimi jmn duniya nzima ijuwe mume Wang ananipend sana 😭😭😭
Jamni mbon kilio ten😢
Weee aki umenichanua bro nilikua na Nia ya kumwacha wa kwangu juu ya kuniogopea wee kumbe upendo❤️❤️❤️❤️
Mmmmh dokta asante
Jaman Asante mungu kwakunipa mwanaume mwenye vigezo vyote
Asante sana doctor nmepata fuzo kutoka kwako nakusikiza nkiwa mjini Nairobi kenya
Hii Elimu imechelewa kuja tunamshukuru Mungu kwa ajili yako 🎉🎉🎉🎉
Jaman kumbenimepata nakupend aly wang❤❤❤
Ukosahihi Sana Kaka mungu akubariki
Mungu akubariki sana mfumdisho yako ni ya kweli kabisa
Asante sana mwanaume wangu yuko na sifa zote ulizosema
Mimi pia
😅😅❤
Plz daktari I'm watching u frm gulf naomba tafadhali kwa jina la Yesu kristo nieleze dawa ya heartburn nmetezeka kwa miaka mingi na naamini mungu atakutenda mema
Ndio ugonjwa gani
Nakupenda sana mpenzi wangu ila na huzunika kwa nini haukuja mapema kwenye maisha yangu
Ahsante mngu akubariki
Thanks God kumbe nipo maali sahii ❤❤🙏
Asante kwa mafundisho yako dock❤
May Almighty God bless you
Asante sanakwa somo lako🙏🙏🙏
😢kuna wengine hata ujuy ni upande gani yupo jaman katika sifa hizo anazo lakin mwambie sasa fanya kumwomba kitu tuu 🤔 atakuambia nadaiwa ,hoo,sina pesa sa iv unashindwa kujua sasa anakupenda na siku moja awezi sema chukuwa ,,,, mapenzi yana mambo magumu sana ✍️
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Daah huyo wangu kabisa kama unamjua 😂😂😂😂😂
Mapenzi hayatabiriki kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umenisaidia sana thanks so much
from 🇰🇪
Uwiii❤ hata Mimi niko huko jaman kumbe napendwae 😇
😮kwel😅😅
Nimepitia comment karibia zote😇 asee hongereni mnapendwa sana,, alafu kuna Mimi sasa😂😂😂😂
😅😅😅
Co Kuna wewe Kuna akina sisi
@@rosemilingi7860 kabisa yan naona kabisa hatuwezi kaa kwa group moja😂
😅😅😅😅😅
Kuna kina siiisi simu mara Moja kwa wiki 😢😢😢😢😢😢
Shukran sana kwa mafudhisho yako doctor
Asante mungu 🙏 kubarki utufundishe zaidi
Nashukuru Mungu me nmempata mwanaume mwenye hzo vgzo mungu amubark xana mme wang kipenz🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa mafundisho haya nimejua niko pahali sahihi
Kweli Kaka unafundisha vizuri kabisa Mungu akubariki
Asante kwa kutuelimisha lakini wangu hapatikani popote yupo tu.😢
Asante kaka Kwa mafunzo mungu azidi kukupa nguvu ya kutufundisha zaidi
May God protect you my love P
Sifa zote unazo. True love nk...❤❤
Doctor true but,nimependa elimu nzuri ❤❤
Alhamdulillah asante mungu acha nitulizane tu❤❤❤❤❤❤
Mungu akutie nguvu🙏🙏🙏
Nimelielewa sana SoMo lako ubalikiwe sana
Asante sana jaman nimegundua napendwa sana❤😊
❤❤❤❤ mafundisho mazuri sana mungu azidi kukupa kibali cha mafunzo zaidi
Aq so true..mume wangu ananpenda sana jaman❤❤❤
Thanks 🙏 that true
Asantu sana Doctor nimekuelewa na Asante mungu kwa kuniletea
1,uoga kuelekea
2,Huonyesha kwa matendo
3,huonyesha uhalikia wake
4,hujali kesho yako
Waoooo😊
Fear in expressing
Shows in action
Shows his reality
Caring😮
n action
Thanks God bless you ❤️ ❤❤❤❤❤❤
Thenk you so much my brother
I love my man he is here jamn
Asate sn kwaushauri wako kaka 🎉🎉🎉
Asante doctor kwa mafundisho mazur
Jaman nilimpoteza ambae no sahihi kwangu nikaangukia pengine
Aseee xhukran saanaa doctor hyo nko nmeipendaa aseee ❤❤❤
Shukran mafundish mazur San🙏 🥰🥰🥰🔥🔥🔥👌
Asante sana
Habari yako
Ahsante Sana Mungu akubariki nimerielewa Somo🙏
Asante Sana kaka angu kumbe napenda mie nashukuru mungu
❤❤ Asantee! Sana doctor uishi milele.%100
Uwa unaelezea vzuri adi nafarijika..That's nice✌
Asamteeee
Your very very said love you
Asante sana kwa mafundisho yako ni ya maana kbs. Mbarikiwe
Weeee tangaza biashara yako Broooo mwanaume hatabiriki km unavosema wew hahahaaha.
Asante sanaaa kwa mafundisho mazur...
Asante docter kwa ushuri mzuri
Kumbe napendwa 💕💕 thank you so much daktari kwa mafundisho mazuri
Kwel kabisa yan🙏🙏🙏🙏💯💯💯
Mungu akubariki sana
Asante kwa mafundisho yako Kuna kitu nime gain
Upo sahihi Kaka mim sipendwi mungu nijaalie unipe yule anaenipenda kiukweli kutoka moyoni Asante doctor
Asante daktari na hiyo ni kweli shukrani
Asante so tar
Wao my lovely J❤❤❤❤ u my champion
Mume Wangu Mimi ananipenda kwa dhati na ananidekeza adi raha pia nnapo mkosea ananipnyesha kuwa Mke Wangu ulivyo fanya sjapenda Na pia hunielekeza njia sahihi Namuamini sana ananipenda, Tabia ya mtu inanguvu huwezi ujua moyo wa mtu kupitia matendo yake, Tumuombe tu Mungu atuepushie wale wanafki ktk mapenzi
Duuuuuh nimependa hiyo na nimetamani
Asante sana kaka mungubakubariki popote pale uko Asante sana
Mungu wangu kumbe mume wangu ananipenda nitazidi kumpenda mie.
Duuh sipendwi mie mwenyez mungu nijalie nimpate anaenipenda kwa dhati
Shukran doctor Allah atufanyie wepes inshaallah
Mungu akubarik azid kukup nguv na kibali utup mafunz zaid
Shukran sanaaa 😊
Asante sana bro unayoyaongea nikweli kbs
hujaacha kitu kaka ahsante kwa kuelewa kweli napendwa
Maashaallah
Wooow thanks brother ❤❤
nikweli wanaume wengi asaiv niwaongo nimatapeli wa mapenzi hawapo serious na nakupenda niwaongo atr sio wakweli kbs upo saii kbs kakaangu💯✌🏻
Good teacher
Ivi uyu mwanaume nilienae ananipenda au bado Nina tabu😂😂
Hahaaaa
Asante kwa mafundisho
Asante Sana ubarikiwe
That's true thanks so much watching from Uganda
Samahani kaka jenayule anae kua bize mdawote afuyeye anakwambia anakupenda
Really ✌️ kabcaa ❤❤❤ yaani brother ❤❤
Asantee dctr somo zuri
Mimi nilikuwa najua sipenwi mana mmmhhh jamani sio kwausiliazi uwoo
Asante sana' nimegundua kumbe Mume wangu ananipenda sana jamani'
Asantee Sana Kaka imenifungua macho❤
❤❤❤asantii sana but nikama huyu mwanaume ananitumia tu
Ubarikiwe mungu akupe umr mref ❤❤❤❤
Asante doc