#TBC1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
    Mtangazaji - Vumilia Mwasha
    Mwongozaji - Neligwa Muggitu
    Mdhamini - AZANIA BANK

ความคิดเห็น • 41

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 6 วันที่ผ่านมา +11

    MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI

  • @SalumuChikoi
    @SalumuChikoi 7 วันที่ผ่านมา +13

    Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 3 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 7 วันที่ผ่านมา +6

    Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa 7 วันที่ผ่านมา +3

    Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍
    Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake

  • @zawadimwangupili4518
    @zawadimwangupili4518 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 6 วันที่ผ่านมา +2

    Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 6 วันที่ผ่านมา

      Mbona wanatuonyesha sehem moja tu na si kote kulikojaa maji

    • @user-qd9uq2xt9r
      @user-qd9uq2xt9r 6 วันที่ผ่านมา

      Kazi nzuri op

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞

  • @gabrielwencelaus2067
    @gabrielwencelaus2067 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nia yenu ni nzuri. Lakini Practically kuwekeza Tanzania ni mzigo sanaa.
    Wawekezaji wanalia sanaa na TRA.
    Sio rahisi kama inavyosemwa

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 วันที่ผ่านมา

    ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 5 วันที่ผ่านมา

    Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki 6 วันที่ผ่านมา +3

    Dada unajua kazi yako

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 6 วันที่ผ่านมา

      Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw 6 วันที่ผ่านมา +2

    Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 6 วันที่ผ่านมา

      Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 7 วันที่ผ่านมา +1

    Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 5 วันที่ผ่านมา +2

    Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure

    • @killy_hoffman2698
      @killy_hoffman2698 4 วันที่ผ่านมา

      mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay 3 วันที่ผ่านมา +2

      Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 7 วันที่ผ่านมา +2

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 4 วันที่ผ่านมา

    Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 6 วันที่ผ่านมา

    Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 วันที่ผ่านมา +1

    Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 6 วันที่ผ่านมา

      Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania

    • @YohanaYoramu-nl6bw
      @YohanaYoramu-nl6bw 6 วันที่ผ่านมา

      @@vumiliamwasha191 Asante dadayangu

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 6 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 6 วันที่ผ่านมา

      @@edsonnelson4464 acha izo bana.

  • @Madizizi
    @Madizizi 7 วันที่ผ่านมา

    Kila siku 98% tumechoka kusubiri

  • @emmanuelmalifedha3391
    @emmanuelmalifedha3391 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo

    • @matheobaha773
      @matheobaha773 7 วันที่ผ่านมา

      Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 6 วันที่ผ่านมา

      Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 วันที่ผ่านมา

    AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 วันที่ผ่านมา

    Jpm