ความคิดเห็น •

  • @abdialijamaa1643
    @abdialijamaa1643 2 วันที่ผ่านมา +14

    a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star

  • @LeahGyei
    @LeahGyei 2 วันที่ผ่านมา +13

    Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 2 วันที่ผ่านมา +7

    Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉

  • @kamogesamuel2461
    @kamogesamuel2461 2 วันที่ผ่านมา +7

    Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa

  • @yahayampangilwa
    @yahayampangilwa 2 วันที่ผ่านมา +9

    Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 วันที่ผ่านมา +9

    Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 วันที่ผ่านมา

      *KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala4126 2 วันที่ผ่านมา +4

    Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph 2 วันที่ผ่านมา +5

    Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe
    Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw 2 วันที่ผ่านมา +5

    Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 2 วันที่ผ่านมา +4

    Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 2 วันที่ผ่านมา +3

    Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal

  • @abasibogga4798
    @abasibogga4798 2 วันที่ผ่านมา +3

    U are the leader ofcause big up makonda

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 2 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu jamaa ana vision kiukweli

  • @MossesMeleji
    @MossesMeleji 2 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph 2 วันที่ผ่านมา +4

    Safi kaka makonda kiongozi wa mfano

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe sana Mh Makonda.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 2 วันที่ผ่านมา +3

    Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akubarki sana

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 2 วันที่ผ่านมา +1

    Bro you are my lol model in leadership

  • @user-nd1le6zp3e
    @user-nd1le6zp3e 2 วันที่ผ่านมา +5

    Sema mwamba tunakuamini

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 2 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 2 วันที่ผ่านมา +3

    PhD ya makonda

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 วันที่ผ่านมา +1

    NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it 2 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu ikilu ❤

  • @user-dn9lb9ct1w
    @user-dn9lb9ct1w 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 2 วันที่ผ่านมา +1

    Intelligent

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 2 วันที่ผ่านมา +2

    Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 2 วันที่ผ่านมา +3

    A man and ahalf

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to วันที่ผ่านมา

    Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda2521 2 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤

  • @samwelmkufya3694
    @samwelmkufya3694 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi

  • @user-pi5df7qu3y
    @user-pi5df7qu3y วันที่ผ่านมา

    Rais wangu miaka inayokuja

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 วันที่ผ่านมา

    Sawa

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x วันที่ผ่านมา

    Ikulu unakaribixhwa

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 2 วันที่ผ่านมา +3

    Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 2 วันที่ผ่านมา

    Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 วันที่ผ่านมา

    wamechaguliwa na nani

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 วันที่ผ่านมา

    sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 วันที่ผ่านมา

      *KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 วันที่ผ่านมา

    Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii