Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu
Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉
Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa
Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.
Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.
Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉
Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona
Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe
Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda
Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya
Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏
Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal
U are the leader ofcause big up makonda
Huyu jamaa ana vision kiukweli
Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele
Safi kaka makonda kiongozi wa mfano
Ubarikiwe sana Mh Makonda.
Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda
Mungu akubarki sana
Bro you are my lol model in leadership
Sema mwamba tunakuamini
Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake
Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah
PhD ya makonda
NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA
Karibu ikilu ❤
Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u
Intelligent
Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM
Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari
A man and ahalf
Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.
❤❤❤❤❤
Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi
Rais wangu miaka inayokuja
Sawa
Ikulu unakaribixhwa
Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui
wamechaguliwa na nani
sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi
Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii
a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star