Part2_Nilishuhudia hukumu ya Mungu inavyotolewa Mbinguni(Kigezo kikuu)|USHUHUDA WA MICHAEL SAMBO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2023
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Ee Mungu,niumbie moyo safi katika jina la Yesu krito.amen
Kristo Yesu atusaidie kuishi ktk njia yake ya haki na utakatifu
Shukuran Kwa hyo ndungu Kwa ajili ya hili shuuda ...na shukuran kuu Kwa mungu wetu Yesu Kristo Kwa upendo wake wa milele kwetu na kutuonya kila mara na pia jacktan Kwa kazi njema ubarikiwe sana
Amen 🤲🇰🇪
REMINDS ME OF A SWAHILI:
Old Swahili song that says :: EE MWANANDAMU !! LIPI AMBALO.. LINALONIPASA KUWATENDEA.. AMBALO SIKUUWATENDENI HATA LIKANIPASA MSALABA!!!! YESU ALIA MSALABANI ASKITIKA NUU YA DHAMBI ZETU. TUSAIDIE YESU , TUONGEZEE IMANI ILI TUWEZA KUKUPENDA KWA ROHO YETU YOTE , NGUVU YETU YOTE NA FIKIRA YETU YOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH AMEEEN!! BARIKIWA SANA MTUMISHI WA BWANA JACTAN
Amina Mungu akubariki
Amen Bwana Yesu utusaidie tuweze kuishinda duniani na kukurudia ww uliyetuumba tusije angamia kwenye ule moto
God protect this media because it is a center for me to learn many things,,,, ameni
Amen blessed promover tv pmja na kaka jacktan na kaka Audax...nna wote walihakikisha testimony znatufikiaa blessed.JESUS CHRIST..coming soon😢
Amen
Asante Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu tunafunguliwa kwa hali ya mbinguni kupitia shuhuda
And
Amen
Faraja kwako
Amina
Samahan mtumishi wa mungu hiv n kwann Wakilisto ndo wameibuka kushuhudia Ku pita kias mbon waisilam sijasikiya kushuhudia kam wanavyoshuhudia wakiristo au mung wetu ni tofaut kat ya mkiristo na muislam
Shuhuda zipo ila ni mtu ambaye alikuwa Muslim kisha ameokoka, wapo wengi walioshuhudia.
But kwamantiki hiyo lipo la kujifunza hapo kubwa tuu, kaa chini na utafakari
@@angelndawi7899Ndio kabisa umejijibu Vyema Mungu wetu na wenu ni tofauti BW Yesu alikufa kwa ajili yako na kwajili yetu Na amefufuka, nalipopaa alisema na enda kwa Baba kuandaa makao ilinilipo na Mtumishi wangu awepo,Akasema Tena nipo pamoja nanyi Hadi Ukamilfu wa dahari ,Akiamanisha Yuko hai ndo unaona watu wanapata neema kuonanae ata wewe ukiomba unaweza kupata neema maana Mungu wa kweli ni waote ukizingatia Kila mtu ataukumiwa kivyake.
Great Testimony
BWANA nisaidie na mimi nijue mapenzi yako nisikie na kifanya bidii katika kukujua
Ameeeen YESU KRISTO apewe sifa Amina
AMINA AMINA AMI.....INA.
🙏🙏🙏
Deus vos abencoe
Amen
Amina
Mungu atuokoe sisi watoto wake.