| VOL. 2 | IMANI NI KUPOTEZA NAFSI YAKO _ | MWL. TENGWA |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2023
  • BWANA YESU ASIFIWE!
    SHIRIKI AU NJOO, TUINUE BENDERA YA YESU JUU, NA TUSIMAMISHE NA KUOKOA TAIFA LETU LA TANZANIA KWA KUOMBA, KUFANYA TOBA NA KUMLINGANA MUNGU
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kufanikisha Makongamano:
    LIPA KWA SIMU
    M-PESA: 5143575
    TIGO PESA: 6749284
    JINA: UMOJA WA MAOMBI YA KITAIFA
    BANK
    NMB: 23210038745
    JINA: MAOMBI TOBA KITAIFA
    BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
    WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
    +255 769 515 808, +255 629 304 931
    #HudumayaUamshoNaMatengenezoYaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840
    #0658901901 RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:
    M-PESA: 0752 001 840
    TIGO PESA: 0678 304 931
    AIRTEL MONEY: 0694 331 055
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    AU KUPITIA BANK ACCOUNT
    CRDB: 015 232 628 6200
    NMB: 2461 0015 434
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
    #HudumayaUamshowaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0658901901
    #0752001840

ความคิดเห็น • 47

  • @user-qh5rr4wz4k
    @user-qh5rr4wz4k 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana Yesu Kristo akubariki mtumishi wa Bwana. Bwana tusaidie tujazwe na Roho wako Mtakatifu Ili tukuelewe ee Bwana maana hizi ni siku za mwisho sana tusije tukakosa mbingu.

  • @marrysanga3974
    @marrysanga3974 8 หลายเดือนก่อน

    imani ni kupoteza ,ukipoteza ndiyo utapata ameen

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante mungu wangu uliembinguni kwa upendo wako umetufunulia mengi na tunaendelea kukujua na kuijua kweli yako.

  • @marrysanga3974
    @marrysanga3974 8 หลายเดือนก่อน

    ubarikiwe sana mtumishi nashukuru nakuelewa sana Mwl Tengwa

  • @marrysanga3974
    @marrysanga3974 8 หลายเดือนก่อน

    ubarikiwe sana mwl nakuelewa sana

  • @user-ee5dm1jc9f
    @user-ee5dm1jc9f 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Mtumishi 🙏🙏🙏🔥

  • @okokaashery6286
    @okokaashery6286 6 หลายเดือนก่อน

    Ukweli wa Mungu unapo funuliwa ,Adui hupenyeza Maajent kwenye kwa maneno yao ili kufuta Tunayo yapokea ,Amtukuza Mungu kwa Ufunuo huu kupitia Mtumishi wake Tengwa

  • @user-wy6sd4ss7w
    @user-wy6sd4ss7w 9 หลายเดือนก่อน +1

    ROHO Mtakatifu azidi kukufunulia tafsiri Ili thmuelewe MUNGU analosema nasi kupitia wewe mtumishi wake TENGWA BWANA YESU KRISTO Asante Kwa zawadi nzuri ambayo ni sanduku lako la Agano uinuliwe utukuzwe wewe peke Yako Kwa upendo wako kwetu kumtuma mtumishi wako TENGWA Amen

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen,Imani ni kupoteza,maneno haya ni mazito na matamu.Yanaeleweka kwa watoto tu hayawafai watu wazima(watu wazima wamefunga kupokea ufahamu)Mungu azidi kukutumia kusema nasi Mwl.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 8 หลายเดือนก่อน

    Naam Yesu Kristo analo neno la uzima na maziwa yasiyogoshiwa ya akili ili tupate ufahamu namshukuru Mungu sana,na abarikiwe mtumishi wake tengwa Bwana akupe kuendelea mpaka mwendo uumalize na imani kuilinda amen.

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 8 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli Roho Mtakatifu anatembea ktk ufunuo wake ambao kama siyeye kufunua tungepotea maadamu yuko kazini nimekubali kukaa naye.

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn 8 หลายเดือนก่อน

    Hii ni Injili ya moto haijawahi kuhubiriwa na haitahubiriwa!! "JINA LA BWANA LIMETUKUKA!!"

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 9 หลายเดือนก่อน

    Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo

  • @wilsonmkumbo3032
    @wilsonmkumbo3032 9 หลายเดือนก่อน

    Atukuzwe MUNGU wa mbinguni na KRISTO YESU kwa injili hii kupitia wewe mtumishi wake Mwl Tengwa

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 9 หลายเดือนก่อน

    Kwa neno hili nimepokea uponyaji .Ameeeen

  • @medsonoscar6031
    @medsonoscar6031 9 หลายเดือนก่อน

    Ninatubu kwa Mungu katika Yesu Kristo kwa wote niliowambia nina imani na Mungu Baba, kumbe bado kabisaa.

  • @user-qh7vs6nh9o
    @user-qh7vs6nh9o 9 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi wa MUNGU.MUNGU AKUBALIKI SANA KWA INJILI YA MATENGENEZO NA UWAMSHO.TUJUWE KUWA IMANI NI KUPOTEZA UBALIKIWE SANA SANA.

  • @paulinakiswaga7505
    @paulinakiswaga7505 9 หลายเดือนก่อน

    Aminaaa mwl Mungu akupiganie

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Yesu

  • @NaumiBaya-wr7ri
    @NaumiBaya-wr7ri 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaindie sisi atuwezi pekeyetu amen 🙏

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 9 หลายเดือนก่อน

    Ameeeen ameen ameeen ameeen ameeen ameeeen and ameeen

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 9 หลายเดือนก่อน

    Ameen Mtumishi,Mungu aturehemu

  • @janetmsofe3789
    @janetmsofe3789 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @NaumiBaya-wr7ri
    @NaumiBaya-wr7ri 9 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 9 หลายเดือนก่อน

    Haleluya

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 9 หลายเดือนก่อน

    Vitu 6 vilinyo nyuma ya Bwana,
    Hakika nakuelewa mtumishi,

  • @user-rc3ui5uu7r
    @user-rc3ui5uu7r 9 หลายเดือนก่อน

    Kama huelewi usisikilize maana pengine wewe ni ajenti wa ibilisi usikomentu upuuzi kwa mtumishi wa kiristo huna msaada wowote kwake acha Wana wa mungu wasikilize

    • @happinessmgonja8573
      @happinessmgonja8573 8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Kwa kumjibu huyo ajenti wa shetani katumwa huyo...

  • @marystellambogo2820
    @marystellambogo2820 9 หลายเดือนก่อน

    Mtu asiyeielewa hii injili itakuwa haimhusu

  • @reginacasimiromatias
    @reginacasimiromatias 9 หลายเดือนก่อน

    Amém

  • @johnjulius6986
    @johnjulius6986 9 หลายเดือนก่อน

    Maneno mengi sana mpaka unachosha...!
    Ongea point ndugu...hatuipati ile maana ya hoja yako.

    • @felisterligazio7151
      @felisterligazio7151 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kheri uache kumsikiliza kama huelewi, jiangalie sana

    • @user-rk2cy8qz4z
      @user-rk2cy8qz4z 9 หลายเดือนก่อน

      Yaaan Ana pepo huyu na unatakiwa utubu

    • @user-rk2cy8qz4z
      @user-rk2cy8qz4z 9 หลายเดือนก่อน

      Hizo hoja zako nenda TBC utazipata so hapa

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 9 หลายเดือนก่อน

      @@GraceMamaDeborah-he3my wewe.ni wakuonewa huruma sana...!

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 9 หลายเดือนก่อน

      @@felisterligazio7151 leo nikisimama hukumuni...nina cha kujetetea...!

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 9 หลายเดือนก่อน

    Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo