Unanibariki mno mtumishi. Yaani ushuhuda wako uko sawa na mdogo wangu jamani, lkn madawa yalishamuathiri. Maana na yeye alikuwa kiongozi wa uhalifu na mpk south ameenda alikamatwa na wenzake akarudishwa TZ., Yupo tu kwasasa anasaidiwa kila kitu. Una haki ya kumtumikia Mungu wako kwa nguvu zako zote naelewa Sana unachoshuhudia ndio maisha ya mdogo wangu kabisa.
Asante kwa mahubir mazur ila hilo pambo la nyekundu na jeus !!Msipambe kama kwa mganga wa kienyej
Powerful message,it is a reality to many
Blessings Blessings Blessings
Aminaa mtumishi wa mungu nabarikiwa na ushuda wako
Mtumishi wa Mungu uko vizuri ninabarikia kwa ajili ya ufunuo wa Mungu ndan yako,safi❤❤
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu mafundisho yako hunifanya kuimarika zaid ki Imani Sana Mungu akupe miaka Mungu akupe mafunuo zaid
Ubarikiwe mtumishi,bwana ailinde kazi yake ndani mwako
Mungu akutumiye zaidi ya kawaida👏👏👏umenibariki sana
Asante mungu azidi kukupa maufunuo ya ndani zaidi
Mungu akubariki kila iitwapo leo Mungu akutangulie .Mungu uyuuuuu! ASANTE YESU.
Jamani uyu mtumishi auchoki kumsikiliza mahubiri plus story..barikiwa mtumishi wa Mungu
Haswa huchoki. Si kawaida. Mungu yupo ndani yake.
Yesu anaweza kubadilisha. Alimbadilisha Sauli akawa mtumishi.
Hongera mtumishi kwamahubiri mazuri na mimi naitaji uniombee ili mungu atende nakwangu
God bless you pastor
Mtumishi ❤mungu awe nawe unaeleweka vizuri sana katika ushuhuda wako
Alleluuuuya...barikiwa sana🇰🇪
God bless you for the powerful word
Amina mtu wa mungu unatujenga kiamani
You make it real and may can identify themselves 🙌🏿👃🏽
Mafanikio ya mungu aina majundo nasikiza nikiwa Nairobi Kenya 🇰🇪
Mtumishi mungu akubariki sana
Barikiwa sana🇰🇪
Already lam blessed pastor be blessed More 🙏🙏
Unanibariki mno mtumishi. Yaani ushuhuda wako uko sawa na mdogo wangu jamani, lkn madawa yalishamuathiri. Maana na yeye alikuwa kiongozi wa uhalifu na mpk south ameenda alikamatwa na wenzake akarudishwa TZ., Yupo tu kwasasa anasaidiwa kila kitu. Una haki ya kumtumikia Mungu wako kwa nguvu zako zote naelewa Sana unachoshuhudia ndio maisha ya mdogo wangu kabisa.
Great great ,,,paster
Barikiwa mtumishi neema ya MUNGU izidi kwako
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwaushuuda wako, unanijenga sana
Aki mungu ni mkuu ni barikiwa sana ushuda
Ubarikiwe mtumishi shuhuda zako cnachekesha tena zina chenga kimahani from Kenya 🇰🇪
be bssd my brother , Alice from Kenya I like your preaching .
Amen haki nimekuwa kwa giza
May the almighty God use you in the mighty way
Emeee balikiwa pastor
So powerful word, it's true
Ubarikiwe mchungaji
Asante pastar.
Mungu endelee kukutumia tu I'll tupone wengi
Mungu alikua mbali mtumishi... kupitia ushuhuda wako watu waka badilike
I receive in Jesus name
Ameen in Jesus name
Ubarikiwe
Hallelujah 🙌 naijulikane kua Mungu upo 🙏
That is very true man off God
Napenda kukusikia saaana.joshua (kenya)
Ameen Glory to God
Amina barikiwa
Aminaaaa
Nataka kwenda kanisan kwako
Amen 🙏🙏🙏
Nakupata nikiw Nairobi kenya
Amen nnabarkiwa 🙏
Pastor andika kitabu pls
AMINA
Mungu anamuongoza
Amina
Ameni hakuna kukata tamaa hapa lazima tushinde KWA jina la YESU
Unahubiri vizuri
Ubalikiwe mtumishi mahubili yako yananigusa
Ameen
Jamani mi nipo kinyerezi nielekezezini kanisa lipo wapi
Ubarikiwe asikiae na asikiae Roho wa Bwana anarekebisa yeye anamakusudi na mtu hapa apone
Ameen nimebarikiwa
Amina baba
Glory be to God
Namba ya mt pls
🙌
Ameen🇰🇪🇰🇪
Mchungaji habar Mchungaji natala kuja kanisani kwako naomba unielekeze jinsi yakufika
Duuh Watanzania Kweli kuokoka wanatoka Mbali mno wengine wanaigiza tu
Haleluya barikiwa mtumishi shuhuda zako zinakuza kiimani
Shalom.nimebarikiwa sana na mafundisho yako.mimi binafsi minsky's kiroho na ni koi yangu Mungu anatupenda sana.Walter.
Mungu akutie nguvu katika kipindi chote cha maisha yako amen
Yes barikiwa mtumishi ushuhuda zako zinakuza sana kiimani
Aleluya
Number jameni ya mchunjaji
anaweza kuwa labda bado tena anajifanya mchungaji ili aendelee kuzipiga nyingi
unaniliza machozi mtumishi sikati tamaa kuomba Mungu
Mdawakuomba munakata hamtaki kuomba nawatu wanao wasikiliza aowanao wafuata mutandaoni?
Shetani anataka mtu akate tamaa
Na MUNGU WA MBINGU NA NCHI AFANYE NJIA PASIPO NJIA MAANA HATUNA MWINGINE ZAIDI YA MUNGU WETU ALIE JUU YA YOTE
.
Jamani uyu mtumishi auchoki kumsikiliza mahubiri plus story..barikiwa mtumishi wa Mungu
Napenda mahubiri yake
Amen
Amen