SAFINA YA NUHU NA UKWELI WA GHARIKA LA SIKU 40. (part1)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Historia ya Kuangamizwa kwa uma wa nabii Nuhu ni historia ya kiimani ambayo ina athari kubwa katika vichwa vya watu wengi.
Hii Ni simulizi iliyoangazia kwa kina kuhusu Dhambi waliyotenda watu wa Nuhu hata kuangamizwa pamoja na ukweli wa mabaki ya safina hiyo kuwepo juu ya mlima ARARAT uliopo nchini Uturuki.
Na penda sana movie hizi zinanifundisha vitu vingi.nataka likes nzangu
Ama kweri mwenyezi mungu yupo
Allah atupe mwisho mwema inshaallah
Hatari xana
ahsante sana ubalikiwe dj
Mungu ni mkuu daima milele amen
Nimependa sana hii
❤❤
Mtihani mungu atunusuru na shida hiyo ya lana mwislam ndiyo dini ya khaki
safi sana❤
Mashaallah kabsa
napenda sana kipindi hiki kwa sababu anipundsha sana
😊😊😊😊
mungu utusamehe
Maashallah
❤
Good story
❤م❤ا
Ahsante kwa Simulizi hii Nziri
💥💯💯
Mungu anamakusudi yake katika hili
Naipataje hiyo sehemu yapili
IPO hapahapa kwenye channel yetu tafuta video yenye TITLE isemayo MABAKI YA SAFINA YA NUHU
Asante kwa story nzuri tuweke sehemu ya pili
th-cam.com/video/pRz_wuPpbAE/w-d-xo.html
Mungu mkubwa tubaliki wajazako
Safina kaka
Kwanini ,Omari Zongo Msimlizi wa makala hii anakili biblia kitabu cha mwanzo sura ya,7 : 6 kupata umri wa Nuhu; Je Ina maana hapa koroani haikujua umri wa Nuhu.Basi. Biblia ndiyo yenye majibu yaliyokosekana katika Koroani. ,"Biblia Ni jibu"
Kiko kitabu gani kwa bibilia ama Quran talks of that Holy kinyezi na ugonjwa. I need to read and understand better. Thankyou for knowledge
Mwanzo 6:33,mwanzo 6:36
Sasa na kizazi hiki cha leo kisichosikia na dhambi za ushoga,na zingine zitatugharimu soma kitabu hiki Cha mwanzo ktk Biblia tukufu
Mungu atusaidie
🙏🙏
Achen ubaguz cc sote niwan wa MUNGU wambinguni
UBAGUZI GAN
From kenya uislam ndio dini ya haki duniani
Haki ipi? Fanya mema uende peponi dini haipelek mtu peponi waafrika acheni kuwa watumwa wa fikra mlzopandikizwa
@@msafytz8066 umeongea ukweli god bless 🙏
Uislamu sio dini yahaki ni dini ya salama usituchanganye ila wanaifahamu vizuri Biblia kuliko Kolani yao
Em kajambe mbele uko
Hizo ni simulizi za uongo mtupu
Uongo wa hali ya juu 😂😂😂😂😂 wanatufanya sisi wapumbaaaavu
Yaan mungu atuunbe yeye atuteketeze yy eti watu wamekunya hafu mavi yao ndio dawa 😂😂😂😂 aloooh mtu kaishi miaka 600
Hizi stori zipo kiimani sio kihistoria ndomaana hamnaga ushahidi wa hayo yaliyopita miaka hyo
Hapana
Àà9
❤م❤ا
Mashaallah kabsa