Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- #HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
___________________________________________________________________________
MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com
Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!
Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny
Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI
Wee unayesema mwalimu Alikuwa mbaya kwa lipi na wakati kambona Alikuwa na tamaa yakutska kumpindua ili awe raisi yeye siku zote taamaa mbaya Nyerere apewe sifa kututoa utumwani bila kumwaga damu yanmtanzania
Ingekuwa anatamaa asingekimbia
😅😮😮😊
Nyerere Alikua Mtu Mwema Sana Alijua Kutujenga Pamoja Kuondoa Ukabila Na Mungu Alipanga Iwe Ivo Hao Wengineo Na Elimu Zao Tz Ingekuwa Kama Mataifa Mengine Ya Changu Ni Changu Na Chako Kitakua Changu Iwe Isiwe Lakini Mungu Alijua Kumfanya Nyerere Kuwa Baba Wa Taifa Kwa Ukombozi Wa Ukabila Kuondoa Uchafu Wa Ukabila Kwaivo Izi Habari Zisiwe Sababu Ya Muona Habari Kutukana Mwili Wa Nyerere Ukiwa Unajua Amani Yako Apo Ulipo Ulipozungukwa Na Makabila Kama Sita Lakini Uko Na Amani Iweje Useme Nyerere Alikua Afai Anajipenda Yeye Hi Sio Sawa Kwako Izi Kumbukumbu Za Kale Ubaya Wake Wewe Ujaujua Zaidi Ya Kusoma Sifa2
Kwani Zambia hawana amani?, Zambia hawana makabila?, Zambia kulikuwa na Nyerere?, Zimbabwe hakuna amani?, Zimbabwe kulikuwa na Nyerere?, Wewe hizo propaganda umekaririshwa ni upuuzi tu, huyo mtu alikuwa mshenzi sana.
@@sebastianmoshi7200 Siku Zote Usipende Kuusemea Moyo Wa Mtu Ambae Kama Alikua Mwema Mema Uonekana Na Aujifichi Ukiona Anatajwa Nyerere Ujue Alifanya Kazi Kubwa Sio Kupigana Bali Hata Iyo Nchi Unayotajwa Wewe Wamegundua Kama Nyerere Pia Aliona Mbali Apa Niliko Nimezungukwa Na Makabila Kama Sita Tunaishi Kwa Fulaa Unazani Kenya Kinachowatafuna Nini Wanajua Kabila Fulani Likiwa Ndani Basi Viongozi Wengi Watatokea Uko Sasa Viongozi Walioko Ndani Wataona Asala Kukuza Ajenda Mambo Kuwa Moto Wakichunguza Watajua Kama Ukabila Unawatafuna Namsifu Nyerere Amekuza Ujamaa Umoja Angekuwa Mwema Uyo Angelindwa Na Mungu Na Usingepata Tabu Kusaka Habari Zake Jitahidi Kuacha Isitoriya Hata Kwa Familia Yako Mana Hata Ndani Ya Nyumba Baba Kiongozi Pia Ukiwa Mzembe Hata Wosia Wako Unatupwa Kapuni Na Watoto Wako Kwanini Asilimia Bado Kwa Vichwa Vya Watoto
Mzeee angewachekea tungekua Kama Congo kwa akina mabutu wa zabanga
Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani
Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu
ameni ameni ameni
Amani itapatikana katika ufalme wa mungu pekee kwan mwanadamu hana uwezo wa kumtawala mwanadamu mwenzie
Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.
Soma vizuri historia kuhusu tanzania wakati wa Nyerere misukosuko aliyopitia,vita alizopigana angekuwa raisi wa kawaida tanzania isingejuwepo
@@emmanuelkyandochali990 Kama vita ya Uganda haikumhusu kabisa.
@@111dudi 😂😂😂 haikumuhusu unahis nan anasain mikopo ya silaha
Nyerere sifa zilimponza sh. Ilisimama akaidondosha mdgomdgo mpka hawa sasa hivi wanaendelea kuodondosha@@emmanuelkyandochali990
Never outshine the Master....
Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja
Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM
MUNGU AKUBARIKI SANA
Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia
Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu
@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..
Ameni
Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.
Shukran sana kwa kufuatilia
Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.
Nyerere hakupenda mabadiliko kambona aliyoyataka akageuka adui kwa Nyerere,,na ndio aliyaleta tena mwinyi
Nyere alipambana na mambo mengi, Bibititi alitaka kuingiza mambo ya dini ktk siasa kitu ambacho ni tatizo KUBWA sana.
Kumbe amani tulio nayo ni misimamo ya Nyerere.
Mungu amlaze mahala pema peponi Amen.
Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."
Mbowe na slaa
Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba
Ee bwana ee kumbe ni Kambona alitupeleiea kiswahili BBC? Waoo rest in peace sir !!
Asante sana. Tuletee Historia ya Field Marshal Joseph Okelo
Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta
Kambona alikuwa shujaa sana, mungu amrehem
Nyerere Kwa kambona alikuwa anaufyata,kambona alikuwa msomi mkubwa mwenye maarifa mengi kuliko nyerere
Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block
Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge
Socialism imewafikisha wapi
Nilivyokuwa mdogo nilikuwa namshangaa sana baba yangu alikuwa happening Nyerere.Alikuwa anasema alileta umaskini.Sikumuelewa kabisa baba yangu.Ilikuwa miaka ya 80 na 90 hivi.
Hasa akisimulia miaka ya maduka ya vijiji ambapo walikuwa wengine hawaruhusiwi kuuza.Alikuwa.anasema walikuwa.wanapata mahitaji kwa zamu
Hongera Sana kwa kutuandalia xtori tamu Kam hii
Shukran sana
Nyerere Ni Mtus sio uwongo pia Ni Mtus Hatari sana Aliwafanya Watanzania Wakimbizi wa ndani kwenye nchi Yao kwa kuanzisha vijiji vya ujamaa namengine mengi machafu kwa Raia wa Tanzania
Asante kwa historia nxuri
Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa
Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart
Acha uwongo
Hata saivi wasomi kaka wanapingwa sana
Mmh
Nch jau
Ama kweli rafiki wa kweli anaweza badilika akawa adui sababu ya wazfa au maslahi 😢
Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.
Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako
Napenda sana makala zako
Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.
Naam hayo ndio mambo ❤❤❤
Kambona,,only,nyerere umpenda
Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu
Usimwamini binadamu mwenzako hapa Duniani. Binadamu hubadilika.
NYerere alikuamwalimu bado yesu ni mwalimu
Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana
Kumbe Kambona hakuwa mbaya vile, kwani matarajio yake ndiyo yako sasa -multi party democracy.
Duh nimekuja kujua nilokuwa sijui asnte sana
Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako
Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.
Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲
Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu
sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo
Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.
Kambona commander
Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.
Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔
@@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn
Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun
@@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule
Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London
Kambona alikuwa msaliti mkuu
Msaliti mwenye tamaa Sana Angela mamiss wote mjinga
Waoo jamani historia ya Tanzania iandikwe upya.....
Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana
Hakuna mtu asiyenamabaya hata wewe unaukrasa ambao hutaman hata mtu aujue
Mechi ngumu toka Zaman mpaka leo
Nchi not mech
Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.
Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.
Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.
Kambona kumbe hakua mzarendo
Kikulacho ki nguoni mwako!!
Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,
Wote walikuwa na elimu ya ulaya.
Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane
Nyerere hakutaka mtu yeyote amzidi akili😂😂
Nyerere mnafik sana simpend mm
Mpende baba yako
Umpende, usimpende, ni baba wa Taifa. Hakuna mwingine kama yeye.
Me na kambona dam dam yaan hili n jabali kwel 😂😂😂😂
Kiboko ya Nyerereka
Pal
Nyerere alikuwa na figisu mtu asipokubaliana nae.....
Hii uonevu wa viongozi kwa raia kumbe ni nature kwenye Taifa hili.
Duuuh hawa Wazee walifanya dhambi kubwa sana
Yamepita mengi sana kaka, mifumo ya Tanzania miguu toka zamani
Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu
Shule ya kati aliyosoma haiitwi Mt. Barnabas bali iliitwa Mt. Paul.
Tumetoka mbali sana.
Historia ya uwongo iyo
Kijiji cha kwambe kiko Wilaya ya Nyasa kwasasa, na sio Wilaya ya Mbinga.
Mnafiki sana nyerere
👊✌👍.
Faharii wawili hawakai zizi moja
Wakipigana Ziumiazo Nyasi. Huu mpasuko busara ingewek sawa Taifa lingenufaika zaidi tungekuwa mbali zaidi. It is unfortunate.
Lakini huyo mis Tanzania anaonekana mzuri japokuwa picha haikuwa na kiwango
Nimekurewa historia ninzuri nirikuwa sijui hapo nime erewa
Nyerere alikua dikteta asietaka kupingwa au kukosolewa kama makufuli
Hii ndio shida ya waafrika , neno dicteta limeletwa na wakolon ambao mliowafukuza mkidai uhuru sasa sasa mnafikir hao wakolon atawapenda
Inamaana kuna watanzania waliopo gambia na kalibian islands .... Kizazi chake kitakuwa kipo
Alikua mkorofi tu mbona wala Nyerere hajashindana nae
Visasi havita isha kamwe kwa style hii
Hee jaman ndo ilivyo kuwa hongela yake nyerere
Mbona mtoto mzungu na Kambona alikuwa mwafrika mweusi?
Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo
Ndiyo tz yetu hii
Unafki wake wengine hatuujui tusome wapi tufahamu
Rafiki yako, ndiye adui yako
Viongozi hawataki kupingwa mipango yao ni lazima ipite hata kamati mda mwingine huwa ni za kuzuga wananchi
Nyerere amesababisha tumekua wajinga sana na mambo yake ya kijamaa
ndo unalijua hilo broo muda huu huku Zanzibar izo bado zinaendelea, tunaita chuki za maendeleo, jee we are santy
Una akil
@@bekabeka-ww2mnp
Kwahiyo wewe unauchukia ujamaa? Unaona Bora ubepari? Acha mawazo ya kitumwa ujamaaa ndio habari nzuri kuliko habari zote.
@@oscarkasalile3966 akil mtu wangu ujamaa so kitu kabsa nyerere alikuwa dicteta tuuu
Mwezi wa nane mvua + Radi wapi na wapi??
I'm
Picha mbona za wazungu mtoto
Laki 8 ya wakati huo hivi sasa ni mabilioni.
😂😂😂😂😂 alikua mzungu alafu akabadilika kua Mwafrika
Mwezi wa nane kuna mvua mzee nani😂😂😂😂 no issue nakutania tu….. nice story though
Our father who is in heaven 😂
Nimbaya dah😢😢😢😢😢
kawawa alikuwa na level gani ya elimu
Mtu mzima hatishiwi nyau 😂
Umdhaniae ndiye sio
Kambona alikua kibalaka
Maneno yako ni same kabisa na kile Kitabu cha Amani Thani Feirooz.
Ni kweli Majeshi walimuasi Nyerere na walitaka kumpindua Nyerere Ila Oscar Kambona….. ni interesting na hapo yeye ndio aliowadadavua Wazanzibari kuhus Muungano huko London.
Historia yetu Haisemwi
Kambona ndie aliemwambia Kassim Hanga asirudi Tanzania Ila akarudii Ila ndio ikawa…….
Ikumbukwe mchango wake ktk kiswahili
Ninakushukuru
He was a hippocrcrates
Alitupa uhaba wa elimu ndiyo tuishi wajinga.
Kumbe maendeleo tumechelewa sababu nyingi zilianza enzi za baba, chuki ,ulevi wa madaraka na visasi
Haswaaaaa
Kambona alikua kibaraka wa mabeberu
🤣🤣🤣
Muongo wewe tena mnafiki