- 341
- 675 510
Siz Media
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 1 ก.ค. 2016
Happy to see you on your fantastic Channel Siz Media Online, We produce Online content since July 2, 2016.
The channel established by Omar Zongo a media personality from East Africa.
Mission of ours is to deliver high quality, engaging content to our growing audience.
We are growing TH-cam channels in Africa, our content formed with high creativity and always we believe in talent with passion.
As our motto say HOME OF EXCELLENCE, of course we are and we thank you to be a part of wonders in our journey.
So welcome to join the thousands of viewers who have made SIMULIZI ZINAISHI the growing TH-cam channel In Tanzania.
Hit the subscribe button and stay up to date with all our latest videos.
#SwahiliGiants #simulizizinaishi #swahiliarticles #PaySeries
The channel established by Omar Zongo a media personality from East Africa.
Mission of ours is to deliver high quality, engaging content to our growing audience.
We are growing TH-cam channels in Africa, our content formed with high creativity and always we believe in talent with passion.
As our motto say HOME OF EXCELLENCE, of course we are and we thank you to be a part of wonders in our journey.
So welcome to join the thousands of viewers who have made SIMULIZI ZINAISHI the growing TH-cam channel In Tanzania.
Hit the subscribe button and stay up to date with all our latest videos.
#SwahiliGiants #simulizizinaishi #swahiliarticles #PaySeries
MARTIN LUTHER KING jr na SIMULIZI chungu ya MAISHA yake MPAKA KIFO. (SizPod 1 ep 10)
Martin Luther King Jr anajitofautisha na wanaharakati wengine wa Marekani kwa miaka hiyo kwa misimamo yake ya kadiri.
hakuamini katika vurugu kwenye kudai haki, alihimiza usawa kwa namna ya amani kwa kadiri alivyoweza, hata hivyo haikuzuia chuki ya ubaguzi kushawishi wabaya wake kummiminia risasi na kupoteza maisha.
kilichobaki kama kumbukumbu kumuhusu ni maadhimisho ya siku yake nchini marekani kila ikifika tarehe ya karibu na siku yake ya kuzaliwa 15 January na pia hotuba yake ya I HAVE A DREAM ni sehemu ya kumbukizi muhimu ya mwanaharakati huyo wa aina yake.
#history #blackamerica #books
hakuamini katika vurugu kwenye kudai haki, alihimiza usawa kwa namna ya amani kwa kadiri alivyoweza, hata hivyo haikuzuia chuki ya ubaguzi kushawishi wabaya wake kummiminia risasi na kupoteza maisha.
kilichobaki kama kumbukumbu kumuhusu ni maadhimisho ya siku yake nchini marekani kila ikifika tarehe ya karibu na siku yake ya kuzaliwa 15 January na pia hotuba yake ya I HAVE A DREAM ni sehemu ya kumbukizi muhimu ya mwanaharakati huyo wa aina yake.
#history #blackamerica #books
มุมมอง: 22
วีดีโอ
Malcom X/ Kuzaliwa & UJAMBAZI & Harakati mpaka KIFO (SizPod 1 ep 9)
มุมมอง 637 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Kitabu cha Autobiography of malcom X ni miongoni mwa Vitabu bora kwa upande wa vitabu vinavyoelezea wasifu wa mtu. mwandishi Alex Haley alikitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kumdadisi Mtu mtata na aliyekuwa hamuamini yeyoye kirahisi lakini juhudi za Haley zikatuachia zawadi nzuri kabisa ya kumfahamu mpigania haki huyo wa Taifa la Marekani miaka ya 50 mpaka 60. #books #history
Ujio wa MALCOM X Tanzania 1964 (SizPod 1 ep 8)
มุมมอง 56วันที่ผ่านมา
Moja kati ya mdahalao uliowahi kufanyika kwenye chuo kikuu cha oxford ukabaki kwenye historia ya wengi ni ule ambao alishiriki Malcom X tarehe 3 Dec mwaka 1964. mdahalo ulienda kwa hoja ya siasa safi katika kudai uhuru sio nzuri, siasa kali katika kutafuta haki ni poa. malcom x alishiriki katika upande wa kutetea, lakini licha ya umahiri wake wa kuzungumza aliishia kushindwa kwa kura kadhaa na ...
VAA, PENDEZA, CHILL, Enjoooy
มุมมอง 8วันที่ผ่านมา
ukijizuru dunia haisimami, kujizuru kwako hakusababishi watu waache kuhema au maisha yasiendelee kwenye hii dunia yetu nzuri.
SIO wote WANAKUFAA / JIFUNZE kuweka MIPAKA (SizPod 1 ep 7)
มุมมอง 2614 วันที่ผ่านมา
kuweka mipaka kwenye maisha yako kutasaidia usatwi wako katika nyanja zote, kihisia, kimwili na kiakili. inakupa kujifunza kusema HAPANA katika baadhi ya mambo ili kujiwekea heshima na kujipambanua kwa wengine kuhusu vipaumbele vyako. #mentalhealth
Tatizo la Afya ya Akili (SizPod 1 ep 5)
มุมมอง 1614 วันที่ผ่านมา
Matatizo ya Afya ya Akili (Mental Health Problem) yamekuwa tatizo kubwa linalowakabili watu wengi, katika mfululizo wa Episode zetu za SizPod leo tumeongelea kuhusu historia ya jambo hili na njia zinazoweza kusadiai watu kuepukana na madhara yatokanayo na Afya ya akili. #mentalhealth #mentalhealthawareness #history
Historia ya DAKIKA 90 za FOOTBALL / Mwanzo wa SOCCER unaoshangaza.
มุมมอง 4414 วันที่ผ่านมา
Mchezo wa Mpira wa miguu ndio mchezo pendwa zaidi kuliko michezo yote duniani, lakini historia yake inashangaza sana.
ZITAZAMWE DHAMBI ZAKO au UKATWE KIDOLE?? #funny #SizChallenge
มุมมอง 2414 วันที่ผ่านมา
Uwekwe hapo na familia yako kisha mtazame kwa pamoja dhambi zako zote ulizowahi kufanya maishani au kama huwezi ukatwe kidole chako, utachagua nini?
FAHAMU kuhusu GENERATION Z (SizPod 1 ep 3)
มุมมอง 3021 วันที่ผ่านมา
@SiziOnlineTv Kwa Simulizi za Visa, Mikasa na Riwaya za Kusisimua, usisite kusubscribe channel hii na kubofya kengele kwa ajili ya kupata taarifa kila tunapopandisha video mpya. kama una lolote katika haya yafuatayo usiache kuwasiliana nasi leo 1: Kuandikiwa Simulizi ya Maisha yako, Makala au Jambo lolote ambalo ungetaka liwe kwa maandishi na sauti 2: Kutangaza Biashara yako aidha Bidhaa au Hud...
MAANDAMANO KENYA Yamenikumbusha MAUMAU HARAKATI (Sizpod 1 ep 2)
มุมมอง 3221 วันที่ผ่านมา
@SiziOnlineTv Kwa Simulizi za Visa, Mikasa na Riwaya za Kusisimua, usisite kusubscribe channel hii na kubofya kengele kwa ajili ya kupata taarifa kila tunapopandisha video mpya. kama una lolote katika haya yafuatayo usiache kuwasiliana nasi leo 1: Kuandikiwa Simulizi ya Maisha yako, Makala au Jambo lolote ambalo ungetaka liwe kwa maandishi na sauti 2: Kutangaza Biashara yako aidha Bidhaa au Hud...
Mwandishi Tambua UWEZO wako ( SizPod1 ep 1)
มุมมอง 1521 วันที่ผ่านมา
@SiziOnlineTv Kwa Simulizi za Visa, Mikasa na Riwaya za Kusisimua, usisite kusubscribe channel hii na kubofya kengele kwa ajili ya kupata taarifa kila tunapopandisha video mpya. kama una lolote katika haya yafuatayo usiache kuwasiliana nasi leo 1: Kuandikiwa Simulizi ya Maisha yako, Makala au Jambo lolote ambalo ungetaka liwe kwa maandishi na sauti 2: Kutangaza Biashara yako aidha Bidhaa au Hud...
Comedy: Utacheka ALIVYOKOMESHWA Kupiga Chabo/ Kijana wa Hovyo kabisa.
มุมมอง 1121 วันที่ผ่านมา
Kijana wa hovyo kabisa huyu, amejaribu kupiga Chabo kwenye chumba cha jirani yake akaambulia kutofolewa jicho.
Mchungaji AMEFUNDISHWA GARI na MALAIKA ''Aliniambia tia Gia"
มุมมอง 1821 วันที่ผ่านมา
Mchungaji anasema kuwa alifundishwa Gari na Malaika maana hakuwa anajua kabisa kuwa kuendesha gari na malaika ndiye aliyemfundisha kuigngiza Giar.
VIDEO: Shetani na Mungu ni Marafiki au Maadui/ Tazama jamaa walivyojibu.
มุมมอง 8121 วันที่ผ่านมา
Bible Hour Ni kipindi cha dini ya kikristo kinachoibua maswali mbalimbali ya tafakuri kuhusu masuala ya kiimani, na katika vido hii wakristo wamejibu swali la je MUNGU na shetani wana mahusiano gani, Marafiki au Maadui??
HUZUNI: BARUA YA WAZI ALIYOPEWA GADNER AMPELEKEE RUGE (R.I.P 4 THEM).
มุมมอง 222 หลายเดือนก่อน
Tasnia ya Habari na utangazaji kwa ujumla ina huzuni kubwa ya kuondokewea na Mtangazaji Mkongwe wa Kipindi cha Jahazi pale Clouds Medi. @Sizmediatz tunaungana na ndugu na familia ya Kapteni pamojabna wana habari wote kuomboleza Msiba huu mzito. Mwenyezi Mungu amrehemu Kaka yetu Gadner.
UJENZI WA ALKAABA KUTOKA KWA MALAIKA MPAKA KWA NABII IBRAHIM NA MWANAYE ISMAIL.
มุมมอง 2203 หลายเดือนก่อน
UJENZI WA ALKAABA KUTOKA KWA MALAIKA MPAKA KWA NABII IBRAHIM NA MWANAYE ISMAIL.
NGUVU ya IRAN kwa ISRAEL pamoja na UDHAIFU WAKE.
มุมมอง 1753 หลายเดือนก่อน
NGUVU ya IRAN kwa ISRAEL pamoja na UDHAIFU WAKE.
Vituko Vya TID utacheka...SHEKHE TUNAKUSIKIA TUPO MALINDI, PUNGUZAAAA
มุมมอง 1953 หลายเดือนก่อน
Vituko Vya TID utacheka...SHEKHE TUNAKUSIKIA TUPO MALINDI, PUNGUZAAAA
Usiyoyafahamu Kuhusu Pasaka/ utashangaa sana.
มุมมอง 283 หลายเดือนก่อน
Usiyoyafahamu Kuhusu Pasaka/ utashangaa sana.
HIKI NDICHO Kinawapata WAKIJITOA FREEMASON.
มุมมอง 283 หลายเดือนก่อน
HIKI NDICHO Kinawapata WAKIJITOA FREEMASON.
VITA VYA BADR / MAPIGANO YALIYOHUSISHA MALAIKA NDANI YA MWEZI MTUKUFU.
มุมมอง 844 หลายเดือนก่อน
VITA VYA BADR / MAPIGANO YALIYOHUSISHA MALAIKA NDANI YA MWEZI MTUKUFU.
#bookreview TAKADINI na ukweli kuhusu ALBINO kuzaa ALBINO.
มุมมอง 2064 หลายเดือนก่อน
#bookreview TAKADINI na ukweli kuhusu ALBINO kuzaa ALBINO.
#bookreview TAJIRI WA BABYLON / Kitabu KINACHOBADILI MAISHA ya WATU. #trending
มุมมอง 3164 หลายเดือนก่อน
#bookreview TAJIRI WA BABYLON / Kitabu KINACHOBADILI MAISHA ya WATU. #trending
AJALI ILIVYOMALIZA UHAI WA WAPENZI HAWA WA CHUO - TEKINAKINDU (MWISHO) #trending
มุมมอง 524 หลายเดือนก่อน
AJALI ILIVYOMALIZA UHAI WA WAPENZI HAWA WA CHUO - TEKINAKINDU (MWISHO) #trending
USIYOYAFAHAMU KUHUSU SHAH RUKH KHAN #trending #facts
มุมมอง 384 หลายเดือนก่อน
USIYOYAFAHAMU KUHUSU SHAH RUKH KHAN #trending #facts
#maajabu KUMBE UKIITOA BIKRA HAYA NDIO HUTOKEA #aisha madolali PART 6
มุมมอง 725 หลายเดือนก่อน
#maajabu KUMBE UKIITOA BIKRA HAYA NDIO HUTOKEA #aisha madolali PART 6
#chadema HISTORIA YA CHADEMA / CHAMA KIKUU CHA UPINZANI TANZANIA #siasa
มุมมอง 4705 หลายเดือนก่อน
#chadema HISTORIA YA CHADEMA / CHAMA KIKUU CHA UPINZANI TANZANIA #siasa
MAPENZI MPAKA KIFO - (TEKINAKINDU - Part 3
มุมมอง 185 หลายเดือนก่อน
MAPENZI MPAKA KIFO - (TEKINAKINDU - Part 3
ALINITESA KICHAWI NISIOLEWE NA MWANAE - PART 5
มุมมอง 145 หลายเดือนก่อน
ALINITESA KICHAWI NISIOLEWE NA MWANAE - PART 5
Mashallah! Hongera Omar na Chikawa. Nilimfuatilia Omar katika barua kwa Shaaban Bin Robert 1 &2
@@mathiasmomanyi9290 Ahsante sana kaka Mathias, Tafadhali pia tunaomba maoni yako juu ya maudhui unayoyapenda zaidi kwa ajili ya kuboresha kazi zetu...tutashukuru kama ukipata wasaa wa kutupa maoni yako
Hi
Hello
Vipi kuhusu mauji ya wahindi na waarabu?
amin inshaallah tuzidi kuwaombea na wapumnzike kwa aman kaaah hawa walio wauwa wana roho mbaya sana siwapendi hii rangi nyeupe bwana ina roho mbaya sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Samahan et shettani ametupwa hapa duniani kisa kalaniwa namungi???
wanao ibark Israel wameweka mbele dini
MashaAllah
Nimependa sana simulizi hii
Ahsante sana @safarikarisa endelea kuenjoy simulizi zetu
God was behind it
Fire always
DUNIANI SHETANI ATAKUSHINDA MUNGU KUPITIA NDANI YA MTU NA SIO NDANI YAO WENYEWE,, nielewe. MATAIFA YA MAGHARIBI YANAHUSIKA PAKUBWA
Nina wasiwasi na Israel itakua niyawazungu wa magharibi ndio wameikalia kimabavu ardhi ya Palestine kaa mkijua mataifa ya Arabs mnapigana na mataifa ya magharibiiiiiiiii😭😭😭😭😭
Atakaye ilani Israel NAMI nitamlaani hiyo n ahadi ya Mungu mkuu muumba wa mbingu na nchi af unatakiwa ujiulize Mwarabu na mwisrael Nan anakalia ardhi ya mwenzie tena watapigwa Waarabu mpaka wakome
@yustomwaisomania2587 sawa
Apige goti amuombe Mola wake msamaha,alimuweka kwenye mzani Mungu na muziki wake.
napenda sana kipindi hiki kwa sababu anipundsha sana
Nimememsoma shule
No one can get it done ✅ from the Israelites 🌍🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Duh ubarikiwe Sana mh Lisu wewe ni kusudi la Mungu ndani ya nchi yetu
Gud
So sad
Safi sana i'm inspired by him
Keep Going Mkuu, Lazima ndoto yako itatimia.
Fire fire hiii imeeenda kaka
Good sana wajna Salute👍
Shukran wajna
Na penda sana movie hizi zinanifundisha vitu vingi.nataka likes nzangu
Wakristo msitoke povu..mungu wenu na wawaidlam NI tofauti..na msimuliaji pia anasimulia Kwa mujibu wake si mujibu WA kiiislam
Duh!
Udini kibao mpaka kuskiliza kero
Nakama unaitwa mahali tarehe 13 kwenda kufanya maongezi yakazi ?? Je Nivizuri kwenda ama ??
Kaka Joseph habari za kazi...hongera na pole kwa majukumu, kuhusu tarehe 13 na mambo yake yanayojitokeza msingi wake ni imani tu, kama huamini kitu ni ngumu kukutokea hivyo hakikisha unaishi kwa misingi ya imani yako inakuambiaje
Jamani huyo Mudi aishie hukohuko asimkaribie kabisa Aisha wetu....loh!!! Hongereni kwa kazi nzuri jamani tunaomba muendelezo
Kwani naomba kuuliza, tamaa ya kufanya mapenzi ya mwanaume inatofautiana kutoka mwanaume mmoja kwenda mwengine au inakuaje??? Mwenetu wa kuitwa Mudi ni kama amepitiliza hivi... Amefika Dar kutoka Congo akaingia bar buguruni, kabla ya kukaa kwenye meza akaruka na dada poa chooni, alipomaliza akaondoka na mwengine wa kulala nae hadi asubuhi, na wakatianarudi kwake kwenye daladala akakutana na mtoto mwengine mzuri akamchombeza ili aende nae ghetto kwake..... Huyu ndiye mudy sasa..!!! Kama kuna mwanao ana tabia kama hizi hebu fanya kama una mtagga hivi..
Napenda sana hii simulizi
Ahsante sana kwa kufuatilia simulizi hii...poa usisite kusikiliza kisa kingine cha AISHA MADOLALI ni kizuri tunaamini pia utakipenda
Fazili anadondokea polisi baada ya kushiriki mauaji hata hivyo hajutii na anakiri kwamba hata ikitokea anawekwa mbele tena yule mzee anaweza kumuua tena.
Wakati mgumu anaokuwa nao Fazili baada ya kujua sababu zilizomfanya Baba yake ajiue unamfanya ashindwe kudhibiti hasira zake hasa walipojitokeza mbele yake wale ambao wamehusika kwenye msukumo wa baba yake kujiua.
Fazili anarudi kwao muheza Tanga akiwa amekosa mazishi ya mzee wake, swali analojiuliza ni kwa nini mzee wake amejiua. Anafika nyumbani kwa mzee wake na kukutana na ujumbe mzito unaoelezea kilichomfanya mzee achague kujiua....Fazili anaumia sana na kushindwa kuamini anachokisoma...
Pia tuletee simulizi ya Mtoto wa Ibrahim aliyekusudiwa kuchinjwa kwa Mujibu wa Tourati ya Nabii Musa Maana Quran tukufu haipingi Tourat panapo majaliwa
Wamekuja kuleta ufukara TU 😂
❤م❤ا
❤م❤ا
❤
Dj afro movie
Mbona mnatoa maelezo baada yakutuambia nni maana yake
Kumbe Tundu lisu ni mwanasheria.
Mungu amrehemu alhaj iddi Amin alikua mwanamageuzi wa kiafrika aliye na maono ya afrika iliyo huru kabisa.
Haya Mambo ya kusimamia haki za Watanzania mtu anazaliwa nayo
Thanks kwa kutujuza bro, tunajifunza mengi kupitia Simulizi zako.
Amini alizushiwa tu. Mtu safi
Toa wewe ukweli wake
Eleza huo usafi wake unaoujua wewe!!!!
Aikuwa mzuri kwa lipi?
Allah amrehemu shehe idd Amin
Mmh 😂😂
Eti shehe 😂
Zongo umetisha sn huyo ni mtu hatari sn, waziwa ya ngamia mmoja yatatosha kulisha watu wa jamii nzima Kwa wataomfuata
Mungu mkubwa tubaliki wajazako
Allah awalipe kwa walichokitenda kwa dhulma dhulma ni viza vikubwa siku ya kiyama
🙏🙏🙏🙏