Jamal, historia za biblia ni nzuri sana. Na kizazi hichi watu wengi hawasomi biblia na kupata hekima hizi. Naomba uendelee kuleta story za kutoka kwenye vitabu vya Mungu. Be blessed brother!
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Nakubali brother Jamal Mustapha Jamal April Professor. Mm hupendelea kurejea ile ya dan cooper. "Upo mkasa maaruf sana, mkasa ambao gaidi mmoja aliyefahamika kwa jina la Dan cooper aliyeiteka ndege ilyo na abiria 36 ndani yake ....."
Astaghfirullah... Haikuwa kwa mitume wa mungu kufanya dhambi munazowsingizia.... Doh... Eti daud alizini... Subhanallah.... Mimi kama muislamu namtetea mtume wa Allah..
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Uko vizuri sana bro nimekukubali sana kwa Leo, kuna aya moja kwenye Biblia takatifu inasema ombeni chochote kwa jina langu na mtapewa manake kwenye maombi yako be specific and accuracy!
Jamal mungu akupe khery za dunia na akulinde na maadui ajae kwa ubaya asikufikie uishi kwa aman tukumbushe mungu atakulipa khery # nakubali kazi yko# Omar
@@brotherh-elite1825 Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Allah aendelee kukupa afya uzima na uhai hakika tunayajua ambayo hatukuyakuta si Wala wazazi wetu walio tangulia mbele ya haqi shukran sana kwa kazi nzuri
Naangalia na mimi tuliyoandikiwa lakini hatukusoma hiii ni sawa behind the scene kwenye movie funua yaliyojificha ....... Respect Brother kunywa soda ntalipa
Jamali mustfa shukran my brother kwa story ya mfalme 👑 suleman 🙏🙏🙏 Maaana ulikua umetuonjesha kweny sehemu nyigine ila kwa hii hasante tuketee nyengine na nyengine tupo pamoja my brother
Especially where without wishing to state the facts zenye ye ameziomba kwa vitabu na viombo vinginevyo anatutuma sana kujitu juu ya kuutafuta ukwelu kibinafsi. A genuine guru guru gives the disciple tools to be free and not dependant on him/her. ❤
Ninapenda sana stry zako na mm n mshabk no 1 ..Mwenyezmungu kakupa kipaji cha kuhadithia ... lkn n vyema usiongelee story za kuusu ma nabii au vitu vinavyojihusisha na dini......ukiongelea kuuhu ivyo vitu utawapotosha watu na siku ya mwisho utaulizwa kutokana na kipaj chako ulikitumiaje ... @jamaliapril
Kwa Hakika neno, lako lakufungia kipindi hua na liskiza kwa umakini mno hasa huku nikiwa nime tune ktk Bluetooth ya subwofer nakua Nakupata Bara bara, #UBARIKIWE 🙏
Congratulation Jamal for best teaching of people in the world through blessed ancient stories of King Solomon life. Wisdom and good governance is power of beloved God. Let's respect and recognize the power of true God.
Suleiman hakua muovu Alikua mwema Sana na daudi hakua muovu Alikua mwema Sana na Wala hawakumuasi mungu na Wala hakufundisha watu uchawi na Wala hakua mzinzi
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Kile cha dk7 kilivuja kumbe Maana kilituchanganya mpaka basi tuliyumba ALAFU TUMEAMBIWA UNAYO OFFICIAL ACCOUNT JAMAL .. ni kweli au Tunaibiwa kule 🚶🚶🚶 KAMA ULIONA KIPAMDE CHA DK7 GONGA LIKE NYINGI ILI JAMAL ATUJIBU .👍
ubarikiwe Kaka napenda sana unavyo tupa historia tamu na za ukweli kabisaaa,eeh Mungu utuepushe na maovu tukiwa diniani kwasababu malipo ni hapa hapa duniani.
Mungu akupe miaka mingi uwende lee kutufundisha brother
Neema ya Mwenyezi Mungu iwe nawe daima my Brother Jamal, Amin.
Jamal, historia za biblia ni nzuri sana. Na kizazi hichi watu wengi hawasomi biblia na kupata hekima hizi. Naomba uendelee kuleta story za kutoka kwenye vitabu vya Mungu. Be blessed brother!
th-cam.com/video/npcwCL1zTz0/w-d-xo.html🎥🙏
Asante
Kabisaaa
.
Mh
Mwaga like kama zote. Jamal unatisha kaka tunapata elimu bora kabisa
Waooooo kwamara yakwanza nafunguwa ukurasa wa comment. Jamani naomba like zangu🙏💪
chukua
Umeona hii?
👇🤔👇
th-cam.com/video/xRuuX0u64Cc/w-d-xo.html
Umekua ugari uo
Simchenzo
We chawa
The king 👑 of story's, murch respect 👏👏 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Hatimaye Mfalme Suleiman mwana wa Daudi..... Big up Profesa
Jamal April you are the best. I like your way of narrating these ancient stories and in good voice and Swahili. Pongezi sana
Jamani mi nimwana familia mpya wa #the stor book. Na nimebahatik kuw wakwanza ku comment so naomb mnikalibish kwa like. P1 jamal april
Ivi mnao omba like mnazipekaga wapi
Kama like zina hela tuambie nasi tuanze kuziomba,,au unafrah tu kuona umepata like nying huo ni umama
King SULEIMAN....Inshaallah for your good story
You are the king of story makers.....
Real love to you broo.
th-cam.com/video/G-Gyz_cDU58/w-d-xo.html
Maneno yenye busara jamal profesa lazima tumshukuru Allah kwa uzima Alhamdulillah🤲🤲🤲
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
waaaah😙
Yuko vizuri
@@crypto7-t1y m
@@crypto7-t1y o
Jamal April, The Professor, you have already definitely said and defined the word Wisdom!!!,,, You already have it with you.let it be God's power Amen
Nimependa sana alivyomalizia . Mungu azidi kukujaza hikima na maarifa ndugu jamal
Dah bro mi naamini hii nd story teller kali one hour tyr 1.5k views salute you Blazah
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB..
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Alichokifanya Mungu kwa familia hii nijema YeYe anauwezo kwa kuchagua mwema au mubaya kwa mapenzi yake .Amen
Ubarikiwe san ndgu yetu, mungu akuongezee maarifa na akufunulie vingi vilivyo vyema na vyenye kheri ili Jamii izid kunufaika kupitia ww. “Aamin”
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Bro uko vizuri safi sana nimesikiliza kwa umakini mno
Mungu azidi kukuongezea hiki kipawa
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Mungu akubariki professor nazidii jifunza mengi kila cku kupitia ww🙏🙏🙏
Great 👌 much respect from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamal April, professor.You mentors me when it comes to story telling.Thanks for the way I take it from you
Naaam kweli mambo mengi sasahivi nimaludio duh......... Professor jamar saluuti mungu azidi kukupa nguvu juu ya kazi yako
nakubali jomba nakubali wasaf TV wasaf fb so nilipenda omba story ya nabii enoki simulia dunia ijue ukweli lik2 me
LIKE kama unaamini Professor anatufundisha mengi mazuri tusio yajua
Unetisha
Simpendi ni muongo af ana masifa nafuu mtiga
@@dannyeliya9010 utakuwa una matatizo ya ubongo sifa gan sasa alizo nazo usiwe una sikiliza sasa
Weee Dani unafirwa kweli humpendi jamal cc tnampnda wewe kampnde mamaako
Ningekua na mtoto ningekuozesha bure professor
Kaka tunaomba uendelee na story izi.. japo kwa mwezi mara 3... maana utapata baraka kwa mungu pia..
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Hizi story zinanifanya kujua biblia sana nakuisoma kila mara
Mashallah kaka una kipaji hongera kwa kusimulia vzr
Nakubali brother Jamal Mustapha Jamal April Professor. Mm hupendelea kurejea ile ya dan cooper.
"Upo mkasa maaruf sana, mkasa ambao gaidi mmoja aliyefahamika kwa jina la Dan cooper aliyeiteka ndege ilyo na abiria 36 ndani yake ....."
Hatimaye kile nilichokisubiri kimekuwa🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Rafiki katika Bwana Mungu wa Mbinguni, nashukuru sana kwa hii stori. Aise Mungu akubariki sana.
Astaghfirullah... Haikuwa kwa mitume wa mungu kufanya dhambi munazowsingizia.... Doh... Eti daud alizini... Subhanallah.... Mimi kama muislamu namtetea mtume wa Allah..
Ametakasika alllah
Daudi alizizini kubali yaishe😅😅
Wewe nikuma
Hujui kitu kaa kimya ,hujui maandiko unajitia aibu
Suleiman alhamdulillah inshallah mwenyezi Mungu awe nawewe popote ulio pepon
Sijawahi kukoment lakini leo nimeshindwa kuacha. Aksante sana Prof.
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Hallelujah hallelujah I praise you Father Lord no one Like you Father
Jamal kama Jamal the Genius 💗💗💗💗💗
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
We are listening
Uko vizuri sana bro nimekukubali sana kwa Leo, kuna aya moja kwenye Biblia takatifu inasema ombeni chochote kwa jina langu na mtapewa manake kwenye maombi yako be specific and accuracy!
vyema kabisa
What a captivating and salivating story telling skills Jamal!
Keep it up bro.
Big up san bro, kama unamkubali jamal like twende sawaaaa🤝🤝👏👏
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Jamal mungu akupe khery za dunia na akulinde na maadui ajae kwa ubaya asikufikie uishi kwa aman tukumbushe mungu atakulipa khery # nakubali kazi yko# Omar
I love you guys,you are doing a Big good job.may God bless you.i'm a french speaker and i love so much the story book
French huh?
@@bedechorray5482 .ll
Professor king of the story in the world
@@brotherh-elite1825 😅😅😅😅😅
Mtiga abdalah ndio great and king wa yii mamboo bana huyu anaiga tu na kuifikia ni ndotoo yule jmaa fundi
@@dannyeliya9010 shtuka ww Kama mtiga ndo Bora mbona hana ishu now
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
@@brotherh-elite1825 Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Umerudia kuangalia zaid ya Mara mbili hii story book gonga like twende sawa🙏
Mara ya nne narudia
De proffesor jamal big up mwamb nakubal nakubal👊
Wow asante kipenzi nilikua sijui yote hayo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍
THE STORY BOOK ON #TRENDING tuifikishe top 10 wapendwa wa Jamal
Quran inailezea vizyri sana hadithi ya Suleiman
Mungu nipe Hekima kama za Solomon Ameen
Alishasema Hatatokea mwingine kama Suleiman. Fanya kazi, Tafuta pesa 😅
@@reganmrema😂😂😂
@@reganmrema duuu nimecheka kwa sauti jamanii
Unasauti nzuri pia unasimulia kitu ambacho kipo kwenye maandiko hakika unaweza
Sawa Jamal Asante kwa story nzuriii zenye mafundisho mazuri
Jamali always you Do good meen, we appreciate your efforts in Kenya 🇰🇪...........
Huwa napenda sana kukufatiliya
Ur true professional jamali
Allah aendelee kukupa afya uzima na uhai hakika tunayajua ambayo hatukuyakuta si Wala wazazi wetu walio tangulia mbele ya haqi shukran sana kwa kazi nzuri
Wa kwnza mwnyewe kuskliza professor jamal unajua♨️♨️♨️♨️
well fed with ancient stories.....well done job....from kenya.
Nani anataka kuwa kama solomon dondosha like 👆
mimi hapa
Yes twasonga mbele na story nzuri ya king solomon like kama story unaamini iko bomba
Naangalia na mimi tuliyoandikiwa lakini hatukusoma hiii ni sawa behind the scene kwenye movie funua yaliyojificha ....... Respect Brother kunywa soda ntalipa
Asante MIE nakufatilia Hapa CONGO 🇨🇩🇨🇩🔥👍🏾👀nice videos keep it up my brother bless you we need more
Uko vizuri professor ila mitume ya mungu wakikosea hukosea kwa mambo mema rekebisha apo
Shkran kaka kwa kutuongezea maarifa maana kusoma maandiko pengne inakuwa ngum kutokana na mda.. salute kwako blooder💯
Watu wanaomba likes tuuu,kwan zina maajabu gan jaman
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Itakuwa zinasibisha....,
The great professor of all time
jamaa ni na kukubali kwa kutuletea story book na voice 🙌🙌 tupe na nyingine
Nabii Suleiman ana historia kubwa. Alikuwa Nabii Tajiri na Mwenye Uwezo Wa Kuamrisha Upepo.. Aliyopewa na mwenyezi Mungu. Alikuwa anaogopewa na majini
Ahsante kwa somo zuri Prof.
Story nzuuri kaka asante kwa kutufafanulia tusiyoyajua zaidi kuhusu King solo
Jamal you're an inspiration to many,God bless you boss.
Hadithi nzuri xana br
Ningekua na dada ningekupa bure jamal nakukubali sana nakupenda kuliko kula cmba from zanzbr
Sasa dada huna tunafanyaje, we jitoe tu km kweli wamkubali
Hahahaaaaa nimeipenda iyo
Nimekubaliii kaka uko vizur sanaa
Jamali mustfa shukran my brother kwa story ya mfalme 👑 suleman 🙏🙏🙏
Maaana ulikua umetuonjesha kweny sehemu nyigine ila kwa hii hasante tuketee nyengine na nyengine tupo pamoja my brother
Sana
"Givers have to set limits because takers never do"....
a very nice ending
Thankyou for a good story
Jamali, i really admire your ability of narrating and researching about these ancient stories... Much love from Kenya 🇰🇪
Pia Mimi 254
Mi pia 🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Ata mimi nampenda sana niufuatilia research yake sana
Especially where without wishing to state the facts zenye ye ameziomba kwa vitabu na viombo vinginevyo anatutuma sana kujitu juu ya kuutafuta ukwelu kibinafsi. A genuine guru guru gives the disciple tools to be free and not dependant on him/her. ❤
Big Up My Brother Professor ✌ Ujawai Kosea Hapo Mwisho Nimekukubali
Usiache kusimulia story book, tunahitaji kila Mara uwe unatupatia, nakukubali sana Prof
Japo nimechelewa lkn naombeni like hata 10 zinatosha wadau wa story book
Thanks wadau wa story book
Ninapenda sana stry zako na mm n mshabk no 1 ..Mwenyezmungu kakupa kipaji cha kuhadithia ... lkn n vyema usiongelee story za kuusu ma nabii au vitu vinavyojihusisha na dini......ukiongelea kuuhu ivyo vitu utawapotosha watu na siku ya mwisho utaulizwa kutokana na kipaj chako ulikitumiaje ... @jamaliapril
Histori ni matukio yaliopita iwe vitabu vya dini au mitume na matukio mengine mengi nisawa kuelezea ili kujua ukweli usizuie kitu.
Tuliokoment huku bdo hatujalza kuskilza kwa sababu story ni tamu niachie like hapa
Kwa Hakika neno, lako lakufungia kipindi hua na liskiza kwa umakini mno hasa huku nikiwa nime tune ktk Bluetooth ya subwofer nakua Nakupata Bara bara, #UBARIKIWE 🙏
Professional #Jamal
Congratulation Jamal for best teaching of people in the world through blessed ancient stories of King Solomon life. Wisdom and good governance is power of beloved God. Let's respect and recognize the power of true God.
Kama umegundua sehemu hii ambayo wachache werevu tunaifikia gonga LIKE kwa wasafi TV
leo umefanya vizuri sana nimejifunza mengi bro
Genius professional jamal April
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Uko vizuri sana mkuu...#1 Tanzania nzima
Wi nuh man a king inna di earth dan Solomon 🤴🏽
Big up sana jamal, , , mnawajua matajiri nyie king selemani ndo mwamba wai.
Suleiman hakua muovu Alikua mwema Sana na daudi hakua muovu Alikua mwema Sana na Wala hawakumuasi mungu na Wala hakufundisha watu uchawi na Wala hakua mzinzi
Nakubali Bro
Historia hizi zina vito vya maadili ya ajabu. Usuli wake ni asili ya ujio wa waja.
God bless you Brother.
ALLAH akubarik ww kijana mtanashati mwenye elimu usie na choyo ...
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
@@crypto7-t1yasnte ila samahn hua sivutiw na mambo ya alshabab cjui kwnn
Kile cha dk7 kilivuja kumbe Maana kilituchanganya mpaka basi tuliyumba ALAFU TUMEAMBIWA UNAYO OFFICIAL ACCOUNT JAMAL .. ni kweli au Tunaibiwa kule 🚶🚶🚶 KAMA ULIONA KIPAMDE CHA DK7 GONGA LIKE NYINGI ILI JAMAL ATUJIBU .👍
Hahaahhaahha we acha
Vipande viwili,,mwanzon anaongea Jamal halfu anamalizia mtiga
@@williammyemba7791 hahahah ndio
ubarikiwe Kaka napenda sana unavyo tupa historia
tamu na za ukweli kabisaaa,eeh Mungu utuepushe
na maovu tukiwa diniani kwasababu malipo ni hapa hapa duniani.
Iko pow kabisa allah akuongoze
Ahsante Sana Kaka we ni zaid ya shule
Mm mgen kama upo sawa nam gonga like tuj uane
Hongera unajua kuadisia vizuri mpaka unanishangaza
dakika 10 za mwisho🔥🔥🔥🔥...... it's something priceless keep it up jamal🙏🏽
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
th-cam.com/video/TANus7_Uasg/w-d-xo.html
Kali sana prof
Hata ww mtangazaji mungu Amekupa Hekima ya hal ya juu
I loved this Guy. .I still do... #youjamal
Kila siku najiuliza Hawa wanaoombaga like wanazifanyia Nini au Kuna faida kupata like
Huwa wanazibadili kuwa fedha wanapata kutumia