GWAJIMA AMVUNJA MBAVU RAIS MAGUFULI, SPIKA NAE HOI, BUNGE ZIMA LAMPIGIA SHANGWE...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- GWAJIMA AMVUNJA MBAVU RAIS MAGUFULI, SPIKA NAE HOI, BUNGE ZIMA LAMPIGIA SHANGWE...
Rais Dkt John Pombe Magufuli, leo Novemba 13, amelihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kulifungua rasmi Bunge la 12...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Sijajua bado, kweli tunaishi kwa kutegemea mapato ya ndani? Maana kuna maneno huko kuwa tunapewa trillion kadhaa kila mwaka sijui imekaaje hii, sasa gwajima unaita mabeberu, wakati barabara nyingi tanzania na miradi mingi utasikia kwa hisani ya watu wa Norway, Canada, marekani, sasa tusiwatukane kwakuwa tumefanya miradi miwili mitatu kwa pesa ya ndani, usitukane wakunga uzazi ungaliko
NAMUONA SAMIA KWAMBALI ANATABASAMU LEO KAMSALITI MAGUFULI MWEEE.
Wewe si Askofu tena umeshapotea jiulize huo ubunge umeupata kwa haki?
Wewe unajuaje kama ajaupata kwa haki..
dah...jamaa anauwezo kinoma
GWAJIMA UMETOA HUTUBA NZURI SANA BIG DR,YOU ARE GENIUS KULIKO MBITI MTANI,BWANA AKUBARIKI SANA,SIKUJUA UNA UWEZO MKUBWA HIVI
Rest in Peace Magufuli
Mzungu wa watu kajisikia vibaya hapo neno beberu 😂😂 gwajima noma.
Kumbe umeliona💕💕💕💕😂😂😂
Neno Beberu ni kamaneno 'Shoga' si kila Mwanaume anawakilisha hiyo tabia...Na pia si kila Mzungu ni Beberu...Mabeberu ni wale tuu wanaopanga kuwa na Vibaraka mpaka hii leo zaidi ya Karne ya 21...
Mungu Ibariki Tanzania
Upo vizur gwajima 😁
Sema vizuri JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Safarihii ni mwendo Wa ndiooo
Gwajima kaongea ukweli halisi hata kama wabunge wengi wa CCM hawataki kuusikia.JPM ndiye aliyewabeba katika ushindi wao.
Mhe Gwajima nakupa.Kongole kubwa kwa hotba kubwa na njema ya shukraniuliyoitoa kwa Mhe Raisi. Kongele Mhashamu ASkofu, Mbunge wa Kawe (CCM)
Gwajima akili kubwa Sana rais magufuli usimwache kwenye baraza lako la mawaziri
Unaibu unakuhusu
Kanikoshaaaaaaa
Dini
Tumshukulu mungu kwakila neema tuipayo tanzania
Tumshukulu mungu kwakila neema tuipayo tanzania
Kichwa hiyo bhana uwiii gwajima wetu kaza mwendo.
Rais Jiwe wabunge Majabali,
Daaaah!
Hivi kati ya jiwe na jabali lipi kubwa na hatarii.
Uko vizur ngwajima
TUUNGANE WOTE JAMANI CCM NA WAPINZANI KWA MANUFAA YA NCHI YETU
SIMPLY RUBBISH
😍
Kuuona ufulme wa Mungu ni kazi sana kumuita lissu mbwaa wakati na yaye ni mfano wako Mungu kaliona bango lako gwajima
Waache waropoke tui
Haya
Sijui nikupe uwazili wa michezo na utamaduni
bba uko juuu if jmi chozi
duuuh gwaji
Good gwajima
Hakika j Rashidi Jehanam inakusubiri.
Gwajima nimekuelewa
Kinachoniuma ni vile meza tulizonunua kwa kodi zetu zinageuzwa ngoma
Duh Ni noma yanalia ayo...Et pwa pwa pwa...
Umetisha mzee baba.
Nimeipenda namahubili humohumo
Una jipya
Ndy hayo mambo tulikua tunayasubili kwa hamu kupongezana,kupigiana makofi,na kuwaponda wapinzani mambo ya kanga pat
Saw mchungaji upo vizuri kiaina
Gwajima wewe ni kiboko yake😁😁
Gwajima 🤣🙌🇹🇿🇹🇿❤️
Kweli Gwajima ni kiboko hongera unastahili.
Unazingu gwajima
Heeee hili vip mbwa nani
Wagogo tena
Huyo ndy gwajima boy
Kesho yako inang'aa kuliko Jana yako hilo ni fumbo Utalijua kipindi cha kubadirisha vipengere vya Ukomo wa Urais
Musha anza single movie za kiskuma
Hongera Askofu
Kazi imeanza
Lkni bado anasumbuliwa na R na L
Ila umemwelewa
ndugu muandishi mbona unamulika saana hapo juu vipi umeona BEBERU AU?
Kuna BEBERU kama wote
Wa kisungu na wa kipastani na wa kiharabu
oil if juu shee how nw
Ila hapo Mchungaji umebugi KWA sababu huwezi kutumikia mabwana wawili
Good
Haha haha Gud
Kweli wabunge wengi wamepata kura kupitia Mtani wa mama Magufuri
Mnapeana utukufu ninyi kwa ninyi lakini ule utukufu wa mungu haupo ndani yenu
Unauakika gani
Hii akili inapaswa kuwa mwenye baraza la mawaziri Tanzania.....
Uchungaj ameacha?mbn anaita wenzie mambwa tena!🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Fasihi
Amemnukuu mtu na ni lugha ya picha
Sio yy amenukuu mwingereza
Piga majesh ya bwana baba pindua vti vya enzi
Nimeipenda hutuba yako Mh. J. Gwajima. Imetulia na inaeleweka.
Is Great to have Muheshimiwa Gwajima Bungeni very Wise Safii Sana
Beberu 😀
😂😂😂😂
Hatari Sana.
Kawaida tu
Piga keleleeeeeeeeeeeeee kwa gwajima wake weweèeeeeeeee
Kanikoshaaaaaaa
alafuu oo wapinzani wanatuka hapo ngwaj, anafanya nn? au ndio kunya anye kuku akinya bats!
Tunza maneno wewe ni mtumishi mambwa hapana j