MSUKUMA AONGEA KWA HASIRA BUNGENI "Unanisikiliza au unachart, Huu ni utapeli mnataka mtuchonganishe"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 361

  • @johnck5269
    @johnck5269 14 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ndiye kiongozi tunae hitanji Afrika,umepanda bei,,hoja zako ni za kipekee.twakupenda sana

  • @FrolaCharzy
    @FrolaCharzy 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera Sana umeongea vizur mh msukuma

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania ปีที่แล้ว +16

    Msukuma is no longer a PHD holder. Now is a professor. Kajamaa kanaakili ya kuzaliwa everything is point anaongea na asomi. He is IQ is very higher.

  • @martinshija5497
    @martinshija5497 21 วันที่ผ่านมา +3

    Big up mheshimiwa Msukuma

  • @filbertshija2556
    @filbertshija2556 ปีที่แล้ว +12

    Hongera sana Mungu asimame na maisha yako yote mh Msukuma

  • @SaidiMboga-ts4re
    @SaidiMboga-ts4re 25 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa yuko vizuri katika kutetea wapiga kura wake kwa wengine wasimfanye kuwa mwalimu wao.

  • @fatmamuyinga5195
    @fatmamuyinga5195 ปีที่แล้ว +12

    Safi sana msukuma,uko vizuri Sanaa unatetea kila sekta

  • @stevensimtowe
    @stevensimtowe ปีที่แล้ว +5

    Wasukuma kweli niwashamba ila Wana Akili Ile Mbaya alafu ndani yake Kuna Malengo,

  • @ulimwengu5599
    @ulimwengu5599 ปีที่แล้ว +28

    'You can buy education but wisdom is earned'
    Ahsante msukuma

  • @FrolaCharzy
    @FrolaCharzy 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli msukuma umechaguliwa kutete sisi wananchi mungu ukubarki sana

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +6

    Kazi ipo kweli kweli . Hii serikari imezidi kunyanyasa wananchi.

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq ปีที่แล้ว +1

    Dr.Musukuma piga kazi Ndugu Mweheshimiwa Mbunge mchongo wako ni makini sana. Huja zenye mshiko na ushauri yenye hoja safi ya kizalendo

  • @eliassirocha3988
    @eliassirocha3988 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma ubarikiwe sana umesema vzr kuwa nyasiii zinapoota ndooo unakwenda kwer kabsa hujakosea

  • @user-pn1bl7xf9f
    @user-pn1bl7xf9f 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu miaka ijayo anaweza kutuongoza mungu akuweke🎉

  • @SalomeMasolwa
    @SalomeMasolwa 10 หลายเดือนก่อน +2

    wasukuma mungu awakirimie neema na baraka tele katika kazi yako ameeen

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 ปีที่แล้ว +5

    Msukuma Akili nyingi sana 👏👏👏👏👏

  • @nivangondya5279
    @nivangondya5279 ปีที่แล้ว +3

    Upo vizuri sana msukuma wa ambie ukweri

  • @emmanuelsanareemmanuelsana9137
    @emmanuelsanareemmanuelsana9137 ปีที่แล้ว +7

    😢😢😢😢😢sijui kina nani Tena watatutetea kama sio watu walio Toka maisha magumu ya Kijijini 😢

  • @geofreykangaho1149
    @geofreykangaho1149 ปีที่แล้ว

    Me mwenyewe nilishangaa hiri swala la hereni/kupiga ng'ombe mihuri ni upigaji tu Asante saana Musukuma👏👏

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 ปีที่แล้ว

    Safi sana jembe letu msukuma unaongea point tupu, unatetea wafugaji kwa point kuliko wabunge wasomi wapiga dili. VIVA MSUKUMA

  • @makobe.23
    @makobe.23 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unakila sababu kuchukua fomu ya uraisi ❤❤

  • @CapestronaLagawa-ro2qn
    @CapestronaLagawa-ro2qn ปีที่แล้ว +2

    Upo vzur sana msukuma wa geita nimeipenda🔥🔥🔥

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali mbunge wangu sera zako kama Magufuli waambie ukweli hao matumbo kushiba na ukisema ukweli wanakutafutia kifo

  • @dottokulwa7075
    @dottokulwa7075 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa nampenda sana mungu amlinde

  • @AlexMwenda-hm2wu
    @AlexMwenda-hm2wu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wangekuwa kama msukuma nchi basi ingekuwa imara👏👏

  • @FiniasEnock-uv7lo
    @FiniasEnock-uv7lo 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu hampi mtu kila kitu. Wasukuma ni washamba lakini wana IQ ya hatari sana. They're natural gifted na mifano ni mingi, eg. President JPM, MP msukuma, Jenerali Silas Mayunga, Rev. Josephat Gwajima, this is just a few to mention. Much respect to them, I real appreciate this tribe they always think in extra mile.

  • @user-dh9zg2py5k
    @user-dh9zg2py5k ปีที่แล้ว +10

    Thanks 🙏 Mr. Msukuma you're responsible leader

  • @yusrakilowela962
    @yusrakilowela962 9 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiweee sana mheshimiwa msukuma

  • @liboriusbabile1197
    @liboriusbabile1197 ปีที่แล้ว +2

    Mambo yote amesema ni yamsingi, tatizo wizara husika tayari inamamboyake , ukichanganya na Dili Dili, kazi itakua ngumu sana.

  • @phelimonnestol9994
    @phelimonnestol9994 ปีที่แล้ว +5

    Namkubali sana msukuma

  • @KideshenJaphet
    @KideshenJaphet ปีที่แล้ว +3

    Hogera Sana mh msukuma kwaushauri yako mungu akuongeze ushujaa

  • @kelvinpaul2464
    @kelvinpaul2464 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea point Sana msukuma

  • @zingatiabita4426
    @zingatiabita4426 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma uko sawa,kweli vijana wapo wengi wafanye kz hiyo

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 ปีที่แล้ว +2

    Minamkubali sana msukuma oyee!!

  • @user-xi7fb3zb5m
    @user-xi7fb3zb5m 3 หลายเดือนก่อน

    Mbunge wangu msukuma upo vizuri Mungu akutetee sana tunaimani kubwa na wewe

  • @pandajilala3741
    @pandajilala3741 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma nakubari mzee kwa hoja yako ya msingi

  • @tensotv
    @tensotv ปีที่แล้ว +2

    HUWA SICOMMENT NIKIANGALIA VIDEO..ILA MSUKUMA KANIFANYA NICOMMENT, ANA AKILI SANA MPENI MAUA YAKE

  • @NzumbiRichard-bo2sc
    @NzumbiRichard-bo2sc ปีที่แล้ว

    Asante Sana mh msukuma ukweli serikali haimthamin huyu mfugaji masikini swala la kuwafunga ng'ombe heleni ni hasara kwa serikali bajeti hiyo bora ipelekwe zahanati au waongeze majosho na dawa

  • @Jamila-qf2dp
    @Jamila-qf2dp 14 วันที่ผ่านมา

    Waoo mashallah mungu akulinde

  • @MalakiMemussi
    @MalakiMemussi 3 หลายเดือนก่อน

    Msukuma kauli yako imenyooka baba good blessing you

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde uishi miaka kama yote tuu endelea Kaza mwendo babaa

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kusema kwel wabunge na wapenda sana asa msema ukwel

  • @AlexMwenda-hm2wu
    @AlexMwenda-hm2wu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa huo nimtego ila kutambua baathi wanaona kama jambo la kwaida sana kumbe jamani mungu atusaidia .

  • @ChristinaMuhamad
    @ChristinaMuhamad 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera mueshimiwa

  • @youngchuda1568
    @youngchuda1568 ปีที่แล้ว +4

    Usikubali huu ni mtego😅😅😅😅

  • @ElishaJohn-zm6ek
    @ElishaJohn-zm6ek หลายเดือนก่อน

    Uko sawa msukuma ❤❤

  • @user-ik1jq9gx6j
    @user-ik1jq9gx6j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika mungu akubariki

  • @user-md2ic9pd1u
    @user-md2ic9pd1u ปีที่แล้ว

    Good leader thanks l very happy for your speech

  • @user-vn3qo3uw3z
    @user-vn3qo3uw3z 17 วันที่ผ่านมา

    Umeongea poind nzuriiiii

  • @SaidRamdhan-ky7gb
    @SaidRamdhan-ky7gb ปีที่แล้ว

    Asanteee msukumaa

  • @marthafundi4293
    @marthafundi4293 ปีที่แล้ว +1

    Pambna msukuma mngu akupe maisha marefu

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 ปีที่แล้ว +2

    safi Sana,msukumu

  • @SalomeSululu-be5wg
    @SalomeSululu-be5wg 11 หลายเดือนก่อน

    Asantee baba wasaidie wanyonge wenzio

  • @ShijaMakeleja-vn9hs
    @ShijaMakeleja-vn9hs 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie msukuma uzidi kuwaelimisha

  • @abdulkarimmdoe6721
    @abdulkarimmdoe6721 ปีที่แล้ว

    sichoki kukusikiliza mkuu mungu akuobgoze kwa hekima

  • @MarkoZimamoto
    @MarkoZimamoto 5 หลายเดือนก่อน +1

    I appreciate you Msukuma coz things which you say is true

  • @user-uf9nd4ji5k
    @user-uf9nd4ji5k 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubarik msukuma

  • @user-lz7rh1vr2y
    @user-lz7rh1vr2y หลายเดือนก่อน

    Abalikiwe mheshimiwa msukuma hakika wange kuwa watano kama msukuma bunge letu lingepata weredi wakutufikisha mbali balikiwa sana msukuma iko siku

  • @LucasShija-cw2ei
    @LucasShija-cw2ei 11 หลายเดือนก่อน

    Nice I angre your point

  • @MwanduKashinje
    @MwanduKashinje 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga mbele nyuma mwiko 🎉

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 ปีที่แล้ว +2

    😀😀😀 Msukuma kweli ni noma

  • @ZAKAYOMASOTA
    @ZAKAYOMASOTA หลายเดือนก่อน

    Congraturation king msukuma

  • @user-pl6et5uu6w
    @user-pl6et5uu6w หลายเดือนก่อน

    Jamani msukuma hongera

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 ปีที่แล้ว +2

    Unanisikilizaa au unachati🤣🤣🤣 kijamaa kibabe hiki kha!🤣🤣🤣

  • @EliudNdidi-it9yy
    @EliudNdidi-it9yy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bravo msukuma

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mh.msukuma

  • @maasaipembechama
    @maasaipembechama ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana

  • @emmanuelmabalahungwe2800
    @emmanuelmabalahungwe2800 ปีที่แล้ว

    Dr Msukuma safiiiii

  • @emanuelandrew5419
    @emanuelandrew5419 11 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri msukuma

  • @user-lz2iq6hz4o
    @user-lz2iq6hz4o 4 หลายเดือนก่อน

    I appreciate you msukuma

  • @JapharyAdam-se3ph
    @JapharyAdam-se3ph ปีที่แล้ว

    umetisha msukuma endelea ivyoivyo

  • @user-xc8cf5np2c
    @user-xc8cf5np2c 5 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali
    Sana

  • @RechoAlfonce-or2tn
    @RechoAlfonce-or2tn ปีที่แล้ว +1

    Duh sema baba

  • @kelvinmodest
    @kelvinmodest 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli

  • @user-nw1gd8qi9s
    @user-nw1gd8qi9s 7 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa nakubali xan Kauli zako na unatuwakilixha xan xx wasukumu

  • @ChrisTeleba
    @ChrisTeleba หลายเดือนก่อน

    Respect msukuma 🫡🫡🫡🫡

  • @ArafatiMajidu-yp7hr
    @ArafatiMajidu-yp7hr 17 วันที่ผ่านมา

    Bravo bravo

  • @AishaAbdallah-ki3tu
    @AishaAbdallah-ki3tu ปีที่แล้ว

    Hongera sn msukuma 🙏🙏

  • @amzasaid34
    @amzasaid34 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera

  • @ChrisphineDonardp.v.g-bl-ko7md
    @ChrisphineDonardp.v.g-bl-ko7md 5 หลายเดือนก่อน +1

    25©✓
    "uko vizuli katika maongez yako

  • @ChrissElias
    @ChrissElias 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kusukuma

  • @user-ur4nk9bk2p
    @user-ur4nk9bk2p 5 หลายเดือนก่อน

    Pamban mungu aku saidie

  • @user-ri3il5gn4u
    @user-ri3il5gn4u 5 หลายเดือนก่อน

    Nikweli

  • @user-mg6gu3jr2e
    @user-mg6gu3jr2e 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana msukuma

  • @FrankMkwanda
    @FrankMkwanda หลายเดือนก่อน

    Kuna aina ya watu ambao huongea kwa uchungu sana kwakua tu hapati maslahi pale anapopaongelea.

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 ปีที่แล้ว +1

    Nyie mungu anawaona mmeacha kufanya vya maana herein za nini acha kutuchezea

  • @YoungCaptain-jm2kf
    @YoungCaptain-jm2kf 8 หลายเดือนก่อน

    Aaaah

  • @BakariSambaganya-re3dd
    @BakariSambaganya-re3dd ปีที่แล้ว

    Habari

  • @cloudmchopa5665
    @cloudmchopa5665 11 หลายเดือนก่อน

    saaf saana tunaitaji elimu ya juu

  • @LukalElias-zc6ig
    @LukalElias-zc6ig 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @mwinyisechenga
    @mwinyisechenga ปีที่แล้ว

    AISEE HAWA JAMAA BUNGENI WANAFANYAGA NINI MBONA WASHENZI

  • @zakariamalembela3974
    @zakariamalembela3974 ปีที่แล้ว +1

    Upo vzr mskm

  • @LwelweSagilwa-wg3hh
    @LwelweSagilwa-wg3hh ปีที่แล้ว

    Hapo sawa

  • @user-se8vf8ew4s
    @user-se8vf8ew4s 3 หลายเดือนก่อน

    Msukuma sema kweli acha kuogopa maana viongozi wengi wamekua wanawaza maslai yao wenyewe wakizani wataishi milele hy ni laana

  • @tegoswadakta8996
    @tegoswadakta8996 ปีที่แล้ว

    Hongera msukuma

  • @queenthebosschickgeorge2982
    @queenthebosschickgeorge2982 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mbali naisikia sauti ya hayati magufuli

  • @ImavoicImavoic
    @ImavoicImavoic 3 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sanaaaaaaa

  • @user-lk7wb1gq9g
    @user-lk7wb1gq9g 4 หลายเดือนก่อน

    Umetisha mwamba msukuma

  • @EdwinElias-wn4ih
    @EdwinElias-wn4ih หลายเดือนก่อน

    Sema

  • @BarakaSteven-ev2qr
    @BarakaSteven-ev2qr หลายเดือนก่อน

    Sana mkuu