Am sure it wasn’t easy to disclose that you loose your arm I can only imagine how it feels when you look back yr past pictures.your a phenomenal woman we pray for you 🙏🙏🙏
Pole sana Dada kila jambo linamakusudi yake.namuomba Rais wetu mama Samia amteuwe awe mbuge akasimamie haki za madeleva huyu anajua mengi kuhusu madeleva.mama Samia 🔥
Mashallah mashallah kwa kua na imani sana na Allah na nimefurahi kuona umeshika kamba ya Allah hakuna kukata tamaa nakuombea dua uzidi kua na afya njema upone na urudi km zaman na ufurahie maisha km. Mwanzo ameen pole sana sana
"Mtu ukishazaliwa kitabu chako kimeshaandikwa".Ni kauli yenye ujasiri nakujiamini toka kwa dada Halima.pole sana na Mungu akutie nguvu kwani mlango mmoja unapofungwa ujue wa pili unafunguka.Maisha yataenda tu dada yangu.
Mashaallah,Dada halima May Allah give you the strength as you pass this test from Him.Remember Him always .Ya Shaffih greetings from Mombasa Binti Shee Mbwana
Pole sana dada yangu. Nimesikitishwa sana na ajali yako. Nikiangalia unavyoongea najifunza mambo mengi sana. Wewe ni jasiri, wewe ni Shujaa, wewe ni mshindi,. Umekatika mkono ukiwa unapambana. Usife moyo, kaza mwendo songa mbele dada yangu..
Changamoto yoyote inayokupata kwenye maisha, kama haiondoi uhai wako, basi itakufanya uwe imara zaidi. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone kabisa na akufungulie kheri zaidi upate mazuri makubwa zaidi kwako na familia yako. 🙏🏾
Mungu kaufunga mlango mmoja akufungulie milango mia moja yenye kheri na wewe.Pole sana dada halima! Ila SUPER FEO COMPANY you are the best kwa mnavyompa matumaini huyu dada! Mungu awalipe kwa hilo!!👍
Nakupenda mama angu😢😢 sijawah comment TH-cam leo acha tu niandike ♥️♥️umenigusa sanaaa na umeniudhunisha nanimejifunza vingi momy 😘🥰🥰 wew ni shujaaa💪💪💪💪🔥 utaki kuruhusu uzuni nakupenda 😘😘mungu akuonyeshee njiaaa sahihi kila jambo lina sababu I love u ♥️♥️♥️
Duh pole sana dadaa,na kwa hakika sisi kama kamati ya watu wenye hamasa juu ya maisha ya wapambanaji,tunakuomba usihofu tuko pamoja nawe,na nimeskia apo kua uko na single natamani sana kama utanipa nafasi hiyo nitalea ww na watoto wote
Pole sana dada, kiukweli nimeumia sana kwa ajali ulio pata licha ya yote M/mungu ni mwema nakuombea kheri mungu akupe uzima urudi kwenye kazi zako.....nikiangalia crip zako za tik tok siamini kilicho tokea....Pole sana C*
Pole Sana Dada'angu Pole Sana Suka mwenzangu ila nimependa Sana kwa kuyapokea matokeo kwa kujiamini zaidi...... ALLAH atakufakufanyia wepesi katika hili, Insha Allah 🙏.
Namsifu kwa ujasiri wake wa kukatika mkono muda ule ule akapata akili ya kuzima gari ili isilipuke,big up sana mama nna imani mazuri mbele yanakuja zaid kwako,huo ni mtihani tu kutoka kwa ALLAH uliandikwa kabla hujazaliwa.
Yohana 16: 23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. 24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. *MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*
pole sana sister Halima ni juzi 2 ulikuwa cloudmedia niliangalia intaves yote yako lkn sema Alhamdulillah kwa kila jambo ALLAH yu pamoja nawe AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole Sana mdogo wangu! Umeumia ukiwa kwenye majukumu na Allah bado amekutunza tunamshukuru kwa Hilo! Mungu akuponye urudi ktk hali yako ya zamani na uzidishe Sana Sala ndyo ngao yako!
Pole sana dada, Allah akujaalie upone haraka na hakika wewe ni mwanamke mpambanaji na Mwenyezi Mungu akufungulie mlango mwingine mzuri zaidi, Hongera kwa ujasiri wako na nina Imani unamtegemea sana Allah na endelea kumwamini hawezi kukuangusha
Mwanamke jasiri......, ulipigania roho za Watanzania zaidi ya 50, hukujali maumivu yako 😭, kwa kitendo cha kuzima injini bado ni Mungu alikupa neema ya huruma ya kwamba bado una jukumu la kuokoa roho za walioko nyuma yako 😭, dada wewe ni shujaa kweli kweli, mwanamke shupavu 💪🏻, ulijitoa kufa kwa ajili ya wengi 😭😭😭😭ni mwanamke wa mfano...., Niseme tu imani yako na unyenyekevu kwa Mola vitakuvusha na kukufikisha mbali. A SUPER WOMAN, GOD WILL PROTECT YOU FOREVER AND EVER ..... You’re blessing momma 🙏🏼🙏🏼
Dada Halima ... Pole kwa yote nimefurahi kwa jinsi ulivyo na Imani na Mwenyezi Mungu. Na Mungu akuinue zaidi ktk viwango vya juu
Aamin kwasote
Amen
Jamaaaani 🙆.......Mungu akutie nguvu,maisha yaendelee
Pole sana Wajina wangu Utapoa kwa Uwezo wake Allah wewe ni mwanamje Jasiri Allah Akitie nguvu zaidi
Am a Tanzanian form Nairobi Kenya wishing my sister Halima quickly recovery and may God be with him all ways 🙏
Am sure it wasn’t easy to disclose that you loose your arm I can only imagine how it feels when you look back yr past pictures.your a phenomenal woman we pray for you 🙏🙏🙏
Pole sana dada halima
Asalam Alaykum ! Mdogo wangu Dua zetu ziwe dawa kwako na wengine Amin Amin , Nawatakia Shifa ya haraka Amin Amin
Pole sana dada yetu, Mungu ni mwema atakupa uponyaji wa haraka.
Pole sana Dada kila jambo linamakusudi yake.namuomba Rais wetu mama Samia amteuwe awe mbuge akasimamie haki za madeleva huyu anajua mengi kuhusu madeleva.mama Samia 🔥
Subhannallah 🙆♀️, Allah akulinde kwa kila hali amiin,
ماشاء الله قدر وفعل
Mungu atakupa njia ilo bora zaidi
Asalam Alaykum ! Pole sana Dadangu na wengine wote ! Yote ni kushukuru Alahamdulilah
Mashallah mashallah kwa kua na imani sana na Allah na nimefurahi kuona umeshika kamba ya Allah hakuna kukata tamaa nakuombea dua uzidi kua na afya njema upone na urudi km zaman na ufurahie maisha km. Mwanzo ameen pole sana sana
Pole Saana Mpambanaji Wetu, M/Mungu Akufanyie Wepesi Inshallah 🙏🙏🙏
Huyu dada ana shukrani sana Mwenyezi Mungu amsaidie
Pole sana madame,hakika wewe ni dereva makini mungu akuponye urudi kwenye kazi yako
Kumbe wa Masasi mwenzangu, pole sana sana na hongera kwa ujasiri wako uliojaliwa na Mungu. Nakutakia uponyaji wa haraka kutoka kwa Mungu.
Allah atakufanyiwa wepesi insha'Allah nakazin utarudi keamauezi yamungu nahyo boss wako Allah atamlipia kwakweli insha'Allah pole sana dada🙏🇴🇲
"Mtu ukishazaliwa kitabu chako kimeshaandikwa".Ni kauli yenye ujasiri nakujiamini toka kwa dada Halima.pole sana na Mungu akutie nguvu kwani mlango mmoja unapofungwa ujue wa pili unafunguka.Maisha yataenda tu dada yangu.
Polisi Ruvuma mmeniliza kwa furaha sana, asanteni sana, Mungu awainue zaidi. Nimewapenda kutokana na maelezo ya huyu dada.
Mashaallah dada umepambana siku zote napenda kaz zako unavojituma Allah akufanyie wepes inshaallah utakuwa sawa usjal
Get well soon mamy kumbe wewe Yanga hongera sana tuko pamoja team ya wananchi
Pole sana habibty Allah akufanyie wepesi
Mashaallah,Dada halima May Allah give you the strength as you pass this test from Him.Remember Him always .Ya Shaffih greetings from Mombasa Binti Shee Mbwana
hi
Allah akupe siha njema inshallah pole kwa mtihani uliokukuta mwwnyezi Mungu akupe furaha siku zote wala asikupungukie
Asante Sana boss wa halima kwa ushirikiano mzuri na dereva wetu kipenzi..!.🙏.. Asante kwa serikali yangu pia kakika hamlali ...👍🙏🙏
Mungu ni mwema akuponye na urudi kwenye mapambano!
Mwenyezi mungu azidi kukupa imani Inshaallah utapona na utatimiza kila jambo lako... tunakuombea mpambanaji mwenzetu 🙏❤❤❤
Pole sana dada yangu. Nimesikitishwa sana na ajali yako. Nikiangalia unavyoongea najifunza mambo mengi sana. Wewe ni jasiri, wewe ni Shujaa, wewe ni mshindi,. Umekatika mkono ukiwa unapambana. Usife moyo, kaza mwendo songa mbele dada yangu..
Pole sana dada yangu Mungu mkubwa utapona,,naakuombea sanaaa
Amen
Pole sana Dada Mola akufanyie wepesi kwa tatizo lililokupata ama kwa hakika wewe ni jasiri na umemuweka Mungu mbele kwa kila jambo ni mfano wa kuigwa
Super woman
Nimejikuta 😭😭😭 jmn!Mungu wa mbinguni akutunze na akubariki dada pamoja na familia yako
Inshallah utapoa my dear,nakupenda mnoooo
Pole Sana Dada angu pia hongera kwa ujasili na Mungu akupe matumaini zaidi Imani yako ni kubwa sana
Pole sana dada yetu Mungu wetu huwa anajibu maombi yetu usichoke ama tusichoke kumuomba mana yeye ndiye
I wish angepata teuzi chap. Ni mpambanaji sana huyu mama 💪💪
Changamoto yoyote inayokupata kwenye maisha, kama haiondoi uhai wako, basi itakufanya uwe imara zaidi. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone kabisa na akufungulie kheri zaidi upate mazuri makubwa zaidi kwako na familia yako. 🙏🏾
Poleni sana.
Allah akupeni Subra na ajalie mpone haraka.
Ameen
Madam madam...get well soon i wish I could see you....one day....Mungu akujaalie afya njema....I real love you....am inspired.......tusikate tamaa
Nimependa sana the way alivyo huyu dada. Mungu akusaidie sana
nimeumia kama mim dah dada yangu mpenzi mungu akutie nguvu nakupenda
pole sana mpenzi
usijikatie tamaa mungu anakusudi kubwa dada kipenzi
Pole sana Allah atakufanyia wepec utapona tu
Mbali na hivyo ni pisi KALI sana!
Mungu kaufunga mlango mmoja akufungulie milango mia moja yenye kheri na wewe.Pole sana dada halima! Ila SUPER FEO COMPANY you are the best kwa mnavyompa matumaini huyu dada! Mungu awalipe kwa hilo!!👍
Despite na yote huu moyo wa kujali wengine ulionao🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Oh jamani pole dada Mungu akufanyie wepesi usijali kila jaribu lina mlango wa kutokea ipo njia yenye faraja kwako oh jamani😔😔❤❤
Nakupenda mama angu😢😢 sijawah comment TH-cam leo acha tu niandike ♥️♥️umenigusa sanaaa na umeniudhunisha nanimejifunza vingi momy 😘🥰🥰 wew ni shujaaa💪💪💪💪🔥 utaki kuruhusu uzuni nakupenda 😘😘mungu akuonyeshee njiaaa sahihi kila jambo lina sababu I love u ♥️♥️♥️
Ameen 🙏🙏🙏
Sio udhuni ni uzuni
@@mcback4384 Na Ww Pia Umeacha Herufi Moja Ni Huzuni Co Uzuni
Very courageous super woman .Allah akuhifadhi akujaze subra
Ayo uko vizuri saana kucover story Safi saana asee....
Pole Sana In shaa Allah Mola atakufanyia wepesii katika kipindi hiki cha mtihani
Duh pole sana dadaa,na kwa hakika sisi kama kamati ya watu wenye hamasa juu ya maisha ya wapambanaji,tunakuomba usihofu tuko pamoja nawe,na nimeskia apo kua uko na single natamani sana kama utanipa nafasi hiyo nitalea ww na watoto wote
Pole sana Big mama, champion lady ... You'll triumph as always. I like the optimistic mind she got. She's golden 💪🏾
We yet you’re
U
Uu
Yu
Yuy
Mungu ni mkubwa kuliko changamoto unazopitia! Bado Mungu yuko na wewe! Imani yako itakutunza.
Pole sana dada, kiukweli nimeumia sana kwa ajali ulio pata licha ya yote M/mungu ni mwema nakuombea kheri mungu akupe uzima urudi kwenye kazi zako.....nikiangalia crip zako za tik tok siamini kilicho tokea....Pole sana C*
Sasa ataweza kuendesha gari
@@maloomaalmnsj5111 Hata weza tena kuendesha gari, mana ule mkono bandia upo tuu kama fashion.
@@abubakarimhina400 aha nimekuelewa brother
Pole Sana dada halima tunakuomnea duwaaa mwenyezi mungu akifanyie wepesi mm
Pole sana Allah akujalie upone haraka❤️
Pole Sana Dada'angu
Pole Sana Suka mwenzangu
ila nimependa Sana kwa kuyapokea matokeo kwa kujiamini zaidi...... ALLAH atakufakufanyia wepesi katika hili, Insha Allah 🙏.
Pole sana dada yetu Allah akufanyei sahali. Pongezi sana kwa kazi yako. Your really superwoman. Salam kutoka kwenya
Pole Dada ,mungu akuponye kwa haraka,
Pole sana dada mimi nimeumia sana mungu nimwema tunakuombea upone haraka
MMungu atakufanyia wepesi pole sana halima napenda ulivojotupa kwa allah atakufungulia rizki kwa wepesi inshaallah
Pole sana dada .. Mungu atakusidia tunamuomba sana naamini inawezekana hata automat ikiwezekana bosi wako atakuangalia urudi barabarani ..Amina
Pole sana malikia wa nguvu mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone haraka inshallah 🙏🙏
Masikini ana furaha wala huzuni hana Allah akupe furaha daima yaani inaonekana unamuabudu mungu mnoo
Anaumia Moyoni!!
Pole sana mama ALLAH akutie wepesi upone INSHA ALLAH
Nimejikuta nabubujikwa na machozi ,nikakaribu kuvaa viatu vyake aisee mungu ampe mwanga
Amiin
Ameen
Namsifu kwa ujasiri wake wa kukatika mkono muda ule ule akapata akili ya kuzima gari ili isilipuke,big up sana mama nna imani mazuri mbele yanakuja zaid kwako,huo ni mtihani tu kutoka kwa ALLAH uliandikwa kabla hujazaliwa.
Kumbe alizima gari masikini hodari Allah akutangulie dada love Allah ampe kila lenye heri
Pole sana nimeumia sana
AMIIIN
Dada halima anaiman sana nimempenda bure
Yan dah
pole sana mama mpambanaji mungu akusaidie upone haraka 👏👏👏
Pole Sana dada Halima. Niliona interview yako Cloud FM. Wewe ni jasiri... Ole wako ndoto yako ya rubani imeangamia... Majaliwa kwa maisha
Polisi wa Matemanga shukran nyingi kwenu kwa tukio la Halima Dereva. BY Amina Ngindika Matemanga.👍👍❤❤
Duuuh Pole Sana Auntie Mungu ameziona jitihada zako Yeye ndo anajua atakuweka wap
Mungu akujalie inshallah dada angu wewe nishujaa mkubwa sana unafaa kuwa malikia wanguvu
Pole sana dada yangu mzuri Mungu ni mwema pamoja na yote lakini bado utabaki kuwa mpambanaji
Pole Sana dadangu kwa kweli nikushukuru mungu Alhamdulilah maana ndo alivopanga.Allah akupe shuffah ya haraka in shaa Allah
Wishing her a very quickly recovering.🙏🙏
Pole sana madam Halima mwenyezi MUNGU ni mkubwa na hajawahi kushindwa
Dada pole sana kwa huo mkasa,tumuombe Mwenyezi Mungu akusimamie ufanikiwe upone vizuri na uendelee na maisha.
Dada hongera san kwa ujasiri huo, umeumia lakin bado unapambana kuokoa roho za watu!! Mungu azid kukutetea ktk matibabu
Yohana 16:
23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu.
24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.
*MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*
Ameeen kwa jina la yesuuu 🙏🙏🙏
Jamani pole sana dada hujafa hujaumbika maskin umebaki na mkono mmoja najiskia vibaya sana kuhusu hili tumshukuru mungu kwakila jambo
pole sana sister Halima ni juzi 2 ulikuwa cloudmedia niliangalia intaves yote yako lkn sema Alhamdulillah kwa kila jambo ALLAH yu pamoja nawe AMIN
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole sana dada. Mola mkubwa utapona ishallah🙏
Pole sana mwananche mungu akupe moyo mkuu nimajaributu yatapita utaendelea kufanya kaz zako
Pole kipenzi pole dada angu Mungu alieruhusu haya ana sababu na wewe! Mungu ni mkubwa mkubwa sana
Kweli kabisa kikubwa Allah azidi kumjaalia rehema zake
Halima nakupenda dereva mwenzio hapa Mungu atunusuru na njia pole mpendwa wangu Mimi gloria
Pole sana dada. Mungu ayasimamie maisha yako.
Pole sana Allah akupe shifaa
She's a superwoman indeed ❤️
Pole sana mrembo MWENYEZI MUNGU akubariki sana na upone haraka,
Pole Sana dada , MUNGU ni mwema
Pole sana dada mungu atakuponya tu kwa imani na majeruhi wote wapone haraka
Pole Sana mungu atakujaalia neema nyingine ♥️♥️
Allah azid kukupa subra dada yetu polee saana umejua kuniumiza 😭
Pole Sana shosti nimekumbuka siku ile ulipowatia moyo wanawake wafanye kazi dahalima pole my Sana tupo Pamoja😘
Pole San dear 😘 mungu mkubwa atazidi kukusimamia kwa Kila atuwa unayo pitia 🙏
Polesana dadayangu Allah atakupa shifaa utapona ,ila badomaarifa nimengi unaweza kuwekewa mkonowa bandia nautaendelea nashuulizako za utaftajirizqi ,inaskitisha lakini yoteyamungu mshkurumungu kwakilajambo
Pole sana,nilipata kukuona ukihojiwa clouds fm miezi michache iliyopita,kilikuwa kipindi kizuri sana,wewe ni mfano wa kuigwa
Pole kipenzi changu mungu akufanyie wepesi na wote mlio pata majelaa
Mungu awe nawe daima,uweze kupona na kutimiza ndoto zako. Pole sana.
Pole,daima mungu hakosei
Pole Sana mdogo wangu! Umeumia ukiwa kwenye majukumu na Allah bado amekutunza tunamshukuru kwa Hilo! Mungu akuponye urudi ktk hali yako ya zamani na uzidishe Sana Sala ndyo ngao yako!
Pole dada naumia sana mungu akubaliki akuponye
Machozi yamenitoka aisee Allah ampe uvumilivu
Pole sana dada,
Allah akujaalie upone haraka na hakika wewe ni mwanamke mpambanaji na Mwenyezi Mungu akufungulie mlango mwingine mzuri zaidi,
Hongera kwa ujasiri wako na nina Imani unamtegemea sana Allah na endelea kumwamini hawezi kukuangusha
Poresana dadaau siku ambayo umepata hajari turipishana mbugan seluu nikiwa nimepaki gari urinipigia honi mwenyezimungu akurinde❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
INSHALAH BINAADAMU KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA INSHALAH MUOMBE MUNGU MDOGO WANGU YAPO MAISHA MENGINE ULIOANDALIWA NA MUNGU,
Much love mumy💕❤ ww ni mfano wa wanawake majasiri IshaAllah utapata nafuu na utatimiza malengo yako🙏🙏🙏
Pole sana 💜💜💜
Mwanamke jasiri......, ulipigania roho za Watanzania zaidi ya 50, hukujali maumivu yako 😭, kwa kitendo cha kuzima injini bado ni Mungu alikupa neema ya huruma ya kwamba bado una jukumu la kuokoa roho za walioko nyuma yako 😭, dada wewe ni shujaa kweli kweli, mwanamke shupavu 💪🏻, ulijitoa kufa kwa ajili ya wengi 😭😭😭😭ni mwanamke wa mfano...., Niseme tu imani yako na unyenyekevu kwa Mola vitakuvusha na kukufikisha mbali.
A SUPER WOMAN, GOD WILL PROTECT YOU FOREVER AND EVER ..... You’re blessing momma 🙏🏼🙏🏼
Japo anaonyesha kuwa imara ila Mimi ameniliza jaman huyu dada.Mungu azidi kukupigania
Sana tunamuomba Mungu akupe afya njema