UBISHANI MILLARD NA FRIDA: KUOMBA RUHUSA KWA MPENZI WAKO NI SAWA? KAMA MAJIZO NA LULU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 38

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 13 วันที่ผ่านมา +2

    Nimewapenda hamna presha na maongezi

  • @joshemman520
    @joshemman520 6 วันที่ผ่านมา

    kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mke bora.
    Anapenda Mume na watoto pia.
    Lakini
    Hapiki kwa wakati.
    Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha.
    Nyumba hata pazia hazina mpangilio.
    Vyombo usiku vinalala vichafu.
    Huyo sio Mama bora.
    Anampenda Mumewe
    Ana msikiliz Mumewe
    Hana hekaheka za Mtaani.
    Ham cheat Mumewe

  • @user-sv2uj8ty9p
    @user-sv2uj8ty9p 13 วันที่ผ่านมา +1

    True

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s 13 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 11 วันที่ผ่านมา

    Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 13 วันที่ผ่านมา +1

    Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 13 วันที่ผ่านมา +2

    Ila nyieeh😀😀😀😀😀

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 12 วันที่ผ่านมา

    Ujue ruhusa Unaeza kataliwa🤣😁inshort natoa taarifaa

  • @user-tf5mm2fn3p
    @user-tf5mm2fn3p 13 วันที่ผ่านมา

    Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0

  • @bina2557
    @bina2557 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi natoa taarifa pia😂😂😂

  • @MosessMaganga
    @MosessMaganga 13 วันที่ผ่านมา +1

    Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,

  • @dianamlagwa9383
    @dianamlagwa9383 12 วันที่ผ่านมา

    Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 13 วันที่ผ่านมา

    Frida mjinga Sana 😂😂😂
    Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 13 วันที่ผ่านมา +1

    Converstion yenu ni nzuri na ya kibabe, i love it

  • @joesimba
    @joesimba 13 วันที่ผ่านมา

    7:27 "mhhh na ni very ok" 😅

  • @pascalmgassa8441
    @pascalmgassa8441 13 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 13 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana Frida

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 13 วันที่ผ่านมา

    Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs

  • @hellenmroso6786
    @hellenmroso6786 13 วันที่ผ่านมา

    Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f 13 วันที่ผ่านมา +4

    Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu

    • @user-sg6ez3cf1f
      @user-sg6ez3cf1f 13 วันที่ผ่านมา

      Asante!

    • @bina2557
      @bina2557 13 วันที่ผ่านมา +1

      Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂

    • @user-sg6ez3cf1f
      @user-sg6ez3cf1f 13 วันที่ผ่านมา

      Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard

    • @bina2557
      @bina2557 13 วันที่ผ่านมา

      @@user-sg6ez3cf1f saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna

    • @NeemaChachaTV
      @NeemaChachaTV 13 วันที่ผ่านมา

      Wazo zuri @millardayo njoo uone

  • @spency2371
    @spency2371 13 วันที่ผ่านมา

    Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 12 วันที่ผ่านมา

    Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 13 วันที่ผ่านมา

    Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy

  • @aggreyyonna5925
    @aggreyyonna5925 13 วันที่ผ่านมา

    Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 13 วันที่ผ่านมา

    Ruhusu kwamzaz sio mpenz mpenz mpenz apew taarifa2 ili ikiktokea lolot ajue nilisem

    • @pascalmgassa8441
      @pascalmgassa8441 13 วันที่ผ่านมา

      Kiburi hicho

    • @user-nc4ko3qz7t
      @user-nc4ko3qz7t 13 วันที่ผ่านมา

      @@pascalmgassa8441 chanin wakat nimahusian sio wanandoa

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 13 วันที่ผ่านมา

    Kuishi ni kunyenyekeana

  • @CarinEmil
    @CarinEmil 12 วันที่ผ่านมา

    Ka frida kana macho ya wizi aka