kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
Mke bora. Anapenda Mume na watoto pia. Lakini Hapiki kwa wakati. Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha. Nyumba hata pazia hazina mpangilio. Vyombo usiku vinalala vichafu. Huyo sio Mama bora. Anampenda Mumewe Ana msikiliz Mumewe Hana hekaheka za Mtaani. Ham cheat Mumewe
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka
Nimewapenda hamna presha na maongezi
kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
Mke bora.
Anapenda Mume na watoto pia.
Lakini
Hapiki kwa wakati.
Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha.
Nyumba hata pazia hazina mpangilio.
Vyombo usiku vinalala vichafu.
Huyo sio Mama bora.
Anampenda Mumewe
Ana msikiliz Mumewe
Hana hekaheka za Mtaani.
Ham cheat Mumewe
True
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza
Ila nyieeh😀😀😀😀😀
Ujue ruhusa Unaeza kataliwa🤣😁inshort natoa taarifaa
Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0
Mimi natoa taarifa pia😂😂😂
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Frida mjinga Sana 😂😂😂
Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Converstion yenu ni nzuri na ya kibabe, i love it
🔥🔥🎉
7:27 "mhhh na ni very ok" 😅
Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi
Nakukubali sana Frida
Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs
Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
Asante!
Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂
Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard
@@user-sg6ez3cf1f saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna
Wazo zuri @millardayo njoo uone
Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka
Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy
Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂
Ruhusu kwamzaz sio mpenz mpenz mpenz apew taarifa2 ili ikiktokea lolot ajue nilisem
Kiburi hicho
@@pascalmgassa8441 chanin wakat nimahusian sio wanandoa
Kuishi ni kunyenyekeana
Ka frida kana macho ya wizi aka
Wewe🤣