Halima Mbwana: “Baada ya ajali ile kutokea muda ule ule nilipoinuka niliona mkono umeshakatika”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ธ.ค. 2022
  • Halima Mbwana alikuwa mmoja kati ya madereva wachache wa mabasi yanayoenda mikoani lakini ndoto yake ilififia ghafla mara baada ya kupata ajali na kupoteza mkono mmoja.
    Lakini anasema kutokana na kuipenda sana kazi yake hajakata tamaa bado na anaamini atarudi katika sekta ya usafiri kwa namna yeyote hata kukatisha tiketi au kuendesha malori atakapofanikiwa kupata mkono wa bandia ambao anautarajia ukisimamiwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, wanawake na makundi maalumu@gwajimad
    Mwandishi wa BBC Veronica Mapunda amezungumza naye na kutuandalia taarifa hii
    Video: Eagan salla
    #bbcswahili #wanawake #tanzania

ความคิดเห็น • 18

  • @user-ne4oy5nj9n
    @user-ne4oy5nj9n 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana madam mtihani wa mungu

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @Gemin340
    @Gemin340 5 หลายเดือนก่อน

    Pole did mungu yupo nawe utarud tu

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulilah alakulhal, mja haishi kuumbwa, na madamu ukohai na rizki yako iko hai, msujudie mola wako na quraan, nakuombea kila la kheri,,,

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 10 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dear Mungu kuna kitu amekupangia tena kizuri mno uwe na imani. Mungu yupo nawe.

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 10 หลายเดือนก่อน

    YOHANA.16:33 -"Ulimwenguni mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu"!

  • @user-ke9mf3qo9y
    @user-ke9mf3qo9y 3 หลายเดือนก่อน

    arima usiriye mama utaka saw mama saw

  • @saidhamwisha5137
    @saidhamwisha5137 ปีที่แล้ว

    Dah mungu akutie nguvu katika kipindi kigumu unachopitia na mungu atakufanyia wepesi katika kazi zako nyingine Kwa sababu ulikua unatafuta Kwa halali.

  • @zenaabdallahmgelwa-eu7ho
    @zenaabdallahmgelwa-eu7ho 11 หลายเดือนก่อน

    Pole mwanangu

  • @zubedadjumma9857
    @zubedadjumma9857 ปีที่แล้ว

    Ya Allah mimi moyo wangu unaniuma sanaaa poleeeee sanaaa my dear Allahum Akuzidishie guvu katiko moyo wako Na Inshaa Allah kila kitu kitakuwa sawa nandoto zako Inshaa Allah lile muumba alilipanga sis binadamu hatuwezi panguwa so sisi wanawake wenzako tunakutianguvu Inshaa Allah utakuwa sawa ila nimeona kunamukono umekuja wenda waweza kukusaidia ukipatikana Inshaa Allah 🤲🤲🙏🙏

  • @africanflame1521
    @africanflame1521 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu akujalie

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 ปีที่แล้ว

    Mashaallah umenenepa Allah atakufanyia wepes

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 ปีที่แล้ว

    Pole sana my dear

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 ปีที่แล้ว

    Yesu mwema akusimamie, Yeye ni Alpha & Omega

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 19 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni shujaa jamani

  • @user-ke9mf3qo9y
    @user-ke9mf3qo9y 3 หลายเดือนก่อน

    Harima pumuzika kazi hiyo kubaritu uwache dada kwasababu kama kiwugo hakuna itakupatu shida tunaweza kukukosa kabisa dada yetu

  • @NelsonMattos
    @NelsonMattos ปีที่แล้ว

    In parts of the video she does not have the left hand and in parts it is the right hand. Is this the same person?

  • @zenaabdallahmgelwa-eu7ho
    @zenaabdallahmgelwa-eu7ho 11 หลายเดือนก่อน

    Pole mwanangu