Ee MUNGU nisamehe mm mwenye dhambi ,Vyote umenipa bure lakini bado nasahau eee MUNGU nirehemu,Naomba wakumbuke wote wahitaji na kuwapa tumain jipya kila kuitwapo leo AMEN.
Insha Allah Allah amfanyie wepesi mama harima ila tuache kujigamba mitandaon kile ambacho mungu ametupa sababu umjui mbaya kwako uyu dada ametrend sn tiktok kwa uhodari wake wa uendeshaji gari kitu ambacho sio kizuri kwa macho ya watu wenye hasadi
Safi sana bro. Tatizo viongoz wakishaona mtu mwenye kipaji namna hii anapotezwa chap. Kwan wangap wamegundua Ndege zikaruka Umeme wa smaku ukazidi watts hata huu wa tanesco lakini wako wapi. Utasikia anawezeshwa ndio kupotezwa ivo. Hii ndio tz bna nchi yenye udongo weny dhambi
DAH Thats is not fair man!...Eti serikali yetu sikivu imeshafidia mkono huo unauziwa Milion 15, inamaana kama hakuna fidia ingekua mil30?! Mkono huo umetengenezwa kwa materias gani mpaka uwe ghali kiasi hicho jamani apana huo sio uzalendo.Sana sana ungekua sh laki 7 na 50 ingetosha.
Daaaa jamani pole Sana dada kwa ajali mbaya hiyo ya gari uliyoipata na kupelekea kupoteza kiungo chako cha mwili(mkono) hakika shetani yuko kazini ameona umenufaika na kazi hiyo ya udereva ambayo inakuingizia kipato shetani akaona wivu akaona akuondolee mkono wako ambao unafanya kazi ya kukontrol gari ili ubaki bila kazi. Hakika Mungu hufanya njia pasipo na njia Asante daktari kwa kuweza kumpatia mkono wa bandia ambao utamuwezesha kufanyakazi zake Kama kawaida.
Kiukweli Sina miguu yote na mkono mmoja ila kiukweli mkono wa bandia siwezi kuhangaika nao Wacha niwe na Miata mashati mikono mirefu mkono mmoja,miguu bandia ndo unyama mwingi ila hiyo mikono serikali imetundanganya Bado ni mtanzania gani ataaford hizo gharama kama siyo wa kishua?? Wavae wenyewe dadeki
Unaelewa namna hydraulic power stelling inavyofanya kazi? Gari za kisasa hata mtoto mchanga ana uwezo wa kuzungusha stelling na pia zipo bus automatic hakuna habari ya kuvunja gia kwa hiyo hata mkono mmoja bila huo bandia angeendesha vzr kabisa acha unyanyapaaji . Unataka akae nyumbani ili umhudumie basic need ama
@@stephanomoses7694 kabisa mwambie. Mimi gari yangu ni automatic na huwa ninaendeshea mkono mmoja tu kwa mapenzi yangu. Yaani nimeshazoea mno. Kwenye Kona kama ni kali ndiyo nakumbuka mkono mwingine. Tena napishana na traffic kabisa mkono mmoja kwenye sterling. Nafurahia. Hivyo yako mabasi ya auto dada apewe na ataweza. Alikuwa dereva mzuri mno mno. Ila hiyo bei waache kabisa kumtukana Mungu. Mil 15 Mtanzania wa kawaida anazipataje? Hizi ni huduma zisizo za kawaida na hutokea mara chache hivyo serikali igharimie wananchi wake. Pia bima ya gari hiyo imlipe.
Ee MUNGU nisamehe mm mwenye dhambi ,Vyote umenipa bure lakini bado nasahau eee MUNGU nirehemu,Naomba wakumbuke wote wahitaji na kuwapa tumain jipya kila kuitwapo leo AMEN.
aamin!
ndugu zangu tumshukuru sana Allah.katupa viongo bila gharama yoyote na tunamuasii tumrudie mungu Leo.kiungo cha Bandia unaambiwa million 15
Alhamdullah
Je nawanokwenda kukata vidole Zimbabwe unawaambiaje??
Ok
Kabisa ndugu twapaswa kila tuamkapo tumshukuru Allah kwa neema ya uzima Alhamdulillah
@@keithapeter7854 hamna kitu Kama hicho yalikuwa maneno tu
Alhamdulillah mungu akujalie katika ubunifu wako utakua msada watu wengi mungu akubaliki katika kazi zako inshaallah
Mashaallah, itakuwa msaada mkubwa kwa wenye uhitaji...hongera sana serikali kwa khatuwa kubwa
Hongera sana Kwa ubunifu wako mzuri ila hio bei sidhani watu WA Hali ya chini kama wataweza
Mungu akubariki kwa ubunifu wako na msaada wako kwa bi Halima na wengine, lkn hiyo bei naona kuna haja Serikali ikafikiria kusaidia.
Subhannallah, Allah hatubariki kwa Afya ya kila kiungo, Maana mtihani kwakweli, hongerani sana kwa ubunifu wenu🙏
Hongera Sana doktat
Allah akupe ujuzi zaid kaka
Duuu kweli teknologia imekuwa sana hongereni sana
Insha Allah Allah amfanyie wepesi mama harima ila tuache kujigamba mitandaon kile ambacho mungu ametupa sababu umjui mbaya kwako uyu dada ametrend sn tiktok kwa uhodari wake wa uendeshaji gari kitu ambacho sio kizuri kwa macho ya watu wenye hasadi
Je, haiwezi kufeli wakati akiwa anaendesha ?
Mashaallah honger tanzania 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Asante Mungu kwa afya njema
Mashaallah' Mashaallah' Mashaallah
Mashaallah Dr kazi nzuri sana
MashaAllah nafurahi kuskia hivo 🥰
Alhamdulillah mwenyezi mungu ni muweza kwa kila kitu....
Kwelii MUNGU fundi yani viungo tulivyo pewa ni vya kumshukuru MUNGU sana
Dada yangu mwenyewe halima tangu tuko hamanju Pole sana dada
Kumbe hiv nlivo nmeghalamiwa ee, et kiungo hicho million 15 Duuh😭 asante Mungu wangu mpaka hapa nlipo🙏🙏
Amina ya ushindi Kwa mungu
Kuwekewa huu mkono ni jaribu nzito, Ee Mungu tunusuru
Allah atufanyie wepesi Mdogo wangu kadari ya Allah Usisahau kutoka bila azkar za asubuhi na jioni .
Mwenyezi mungu awzidishi vipaji vyenu ma faktari wote muzidi kupata ufumbuzi wakusaidiya wenye matatizo
Jamani msaidieni dereva wangu
Mungu atusaidie sana ukiwa mzima mshkuru sana Mungu dah
Mungu anastahili kuheshimiwa. Kwa viungo alivyotupa Bure. Kwakiyo mikono 2 million 30. Hata hivyo Nawapongeza kwa umbunifu.
Alhamdulillaah
Kwakweli,Allah Akhbar
Yaani kbsaa
Duuuu M15 unaita garama ya kuchangia🤣🤣😂😂
Huyu Dr.atakua muhaya.
Nitakushukuru kwakua umeniumba kwa jinsi ya ajabu na YAKUTISHA 🙏🙏
Safi sana bro. Tatizo viongoz wakishaona mtu mwenye kipaji namna hii anapotezwa chap. Kwan wangap wamegundua
Ndege zikaruka
Umeme wa smaku ukazidi watts hata huu wa tanesco lakini wako wapi. Utasikia anawezeshwa ndio kupotezwa ivo. Hii ndio tz bna nchi yenye udongo weny dhambi
Acha uongo nani kapotezwa
@@heritier5119 huwez jua chochote wew mtoto wa mwaka 2000. Hata mavi ya shingo hayajakukata
@@stephanomoses7694 usikatishe tamaa nani kapotezwa
Ubarikiwe kwa imani yako amen 🙏
Dah M15 atar
Hongera sana classmate Mwakasungula💪💪
DAH Thats is not fair man!...Eti serikali yetu sikivu imeshafidia mkono huo unauziwa Milion 15, inamaana kama hakuna fidia ingekua mil30?! Mkono huo umetengenezwa kwa materias gani mpaka uwe ghali kiasi hicho jamani apana huo sio uzalendo.Sana sana ungekua sh laki 7 na 50 ingetosha.
Masha Allah
Jaman hivi hata hapa tz kumbe tunaweza.big up sana mtaalam
Sasa huo mkono ukigoma wakati yupo kwenye safari si matatizo hayo
Maskin subhanalllah
Manshallah 🥰🥰🥰🥰🥰
SHULE NI MUHIMU SANA
Allah ata simama na ww na utafanya kazi kama Zamani
Mashallah
Mie simshauri hata kidogo arejee kuendesha mabus.
Respect Dr Mwakasungura
👏👏🔥🔥
Ubalikiwe sana.
Pole Sana utapona Mungu yupo
Safi sana kaka angu Mwakasyungula kyala akutule🙏
Pole sana Halima
Nitafurahi sana kumuona dada yetu amepata mkono utakaomsaidia maishan kwake
Hongera doctor 🙏🙏
Mungu ni mwaminifu popote anapokupitisha atakupa njia ya kutokea.
😘
mungu atusaide tuy
Wow hiyo hata ulaya hawana big up
Kweli kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣
🤝🤝
Ila kwa kuendesha tena basi la abiria?, hapana jmn
Tunajivunia wataalam wetu
Ñi kweli wanaendesha hadi ndege nilisahau hilo nashukru sana umenisaidia
Milioni 15 ?? Au sijasikia vizuri ??
Daaaa jamani pole Sana dada kwa ajali mbaya hiyo ya gari uliyoipata na kupelekea kupoteza kiungo chako cha mwili(mkono) hakika shetani yuko kazini ameona umenufaika na kazi hiyo ya udereva ambayo inakuingizia kipato shetani akaona wivu akaona akuondolee mkono wako ambao unafanya kazi ya kukontrol gari ili ubaki bila kazi. Hakika Mungu hufanya njia pasipo na njia Asante daktari kwa kuweza kumpatia mkono wa bandia ambao utamuwezesha kufanyakazi zake Kama kawaida.
Lkn kwa bei ni kubwa saana sidhani km wanyonge wataweza hii bei
Milioni 15????Huyu Mwakasungura mbona anakuwa na akili za sung....au bac
Kiukweli Sina miguu yote na mkono mmoja ila kiukweli mkono wa bandia siwezi kuhangaika nao Wacha niwe na Miata mashati mikono mirefu mkono mmoja,miguu bandia ndo unyama mwingi ila hiyo mikono serikali imetundanganya Bado ni mtanzania gani ataaford hizo gharama kama siyo wa kishua?? Wavae wenyewe dadeki
Pole Sana ndugu yangu 😭😭
Usijali tuko pamoja
Mhhhh
Jamani msaidie ,wachawi wali muhusudu
Amsaidie arudi kushika tena sterling
16m ndogo kwa harambee watu uchanga
Ntakupigia
Mungu mkubwa
Watanzania wa majanga hayo niwengi wasaidiwe
Mtihani mungu asaidiye maisha yake ishaalah
Pole Sana Dada Halima
duu
Mtihani mkubwa huo
Kitaalamu unaitwaje
Jambo jema
Pole sana aachemwali,mungu ni MKUBWA sana.
P0le munq ata kujalia uta pona na utakuwa sawa na kulud tena
Vipi kuhusu kushika maji haitapiga shoti kweli maana ni umeme huo tayri
Umewaza mbali asee😳
Mbele unaonekana una material ya plastic na rubbers.
Mbona jaman watu wanatiliwa pacemaker ya moyo na haifanyi short
Mhhgh 15ml nigharama ndogo tuuu kkk
Ukiwa nazo utaona ndogo...
Watu wanavujika miguu laki 7 zinawashisha
Tuangalie walio chini yetu kula yao ya tabu wataweza
Huo ni uongo mtupu wa kusema kwamba mwanamke asirndeshe gari,hayo wanayo uwarabuni huko,ni ubinafsi tu.
Dada arabuni wapi
Mbona wanawake wanaendesha mpaka ndege
th-cam.com/video/FNGYqGiNJWg/w-d-xo.html mkasa mzima huu hpa
Hakuna kazi za wanaume na hajakataza nikujiheshimu na Kristin na kujua wajibu wako
kwa kundeshea gari mkono Bandai Hapana mimi Nahisi sio.salama
Unaelewa namna hydraulic power stelling inavyofanya kazi? Gari za kisasa hata mtoto mchanga ana uwezo wa kuzungusha stelling na pia zipo bus automatic hakuna habari ya kuvunja gia kwa hiyo hata mkono mmoja bila huo bandia angeendesha vzr kabisa acha unyanyapaaji . Unataka akae nyumbani ili umhudumie basic need ama
Wanaendesha mpaka na miguu badia itakuwa mkono.? Mawazo ya kijinga hayo
@@damariszuckschwert9489 na.wewe.pia.mjinga
@@stephanomoses7694 kanuni na sheria za usalama barabarani haziruhusu
@@stephanomoses7694 kabisa mwambie. Mimi gari yangu ni automatic na huwa ninaendeshea mkono mmoja tu kwa mapenzi yangu. Yaani nimeshazoea mno. Kwenye Kona kama ni kali ndiyo nakumbuka mkono mwingine. Tena napishana na traffic kabisa mkono mmoja kwenye sterling. Nafurahia. Hivyo yako mabasi ya auto dada apewe na ataweza. Alikuwa dereva mzuri mno mno. Ila hiyo bei waache kabisa kumtukana Mungu. Mil 15 Mtanzania wa kawaida anazipataje? Hizi ni huduma zisizo za kawaida na hutokea mara chache hivyo serikali igharimie wananchi wake. Pia bima ya gari hiyo imlipe.
Lakini wanawake wa kiislam wamekatazwa kufanya Kazi za kiume
Shida ndugu yangu
Wapi ulisoma kweny QURAN kwamba kuendesha gari ni kazi ya wanaume. . Mi mkristo ila point yako imekaa kijinga sana
Ulichokusudia kuibuwa hoja za kijinga tu huna jengine huna unachokijuwa panya buku ww. Baki na chuki zako za kidini
Wacha kuandika usichokijua ,au ndio vitole vilikuwasha tu?
Unataka wakale police au