Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2021
  • Maisha ya nje ya nchi mfano Marekani yana changamoto kadhaa hasa unapokuja ukitokea katika nchi za Kiafrika kutokana na utamaduni tofauti. Miongoni mwa changamoto hizo zimeongelewa kwenye video hii

ความคิดเห็น • 690

  • @henrymuiruri813
    @henrymuiruri813 2 ปีที่แล้ว +44

    Napenda kuskia watanzania wakiongea Kiswahili 🇰🇪

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 2 ปีที่แล้ว +5

      Pia napenda kuskia Wakenya Wakiongea Kiswahili sahivi nipo Kenya nainjoy kiswahili chenu I'm from Tanzania

    • @polytarimo324
      @polytarimo324 2 ปีที่แล้ว +2

      Mimi pia napenda kiswahili cha Kenya big up

    • @hashimshaban4675
      @hashimshaban4675 2 ปีที่แล้ว +2

      Hata mimi hasa nikisikia wa Mombasa wakiongea napenda sana

    • @Kreedo1110
      @Kreedo1110 ปีที่แล้ว +3

      Napenda kuskia Watanzania na Wakenya wakiongea Kiswahili pia - kutoka Marekani ❤️

  • @peterkanyi1525
    @peterkanyi1525 2 ปีที่แล้ว +22

    Live and die in Africa. I love this continent. I have been out to europe but i missed my Africa.

  • @edwardchege2623
    @edwardchege2623 2 ปีที่แล้ว +87

    Lived here for ten years, true it's a very lonely place. Came back to Kenya and I am really happy, I feel more fulfilled. Working at a gas station was my favorite coz I met loads of people from all walks of life, from drug dealers to doctors, criminals to business people, most people just needed to be listened to coz for a matter of fact they are lonely, I shared about Christ coz some never really heard about God.

    • @mosesodhis365
      @mosesodhis365 2 ปีที่แล้ว +1

      So they still have a lot of drug dealers with all the rules?

    • @nechalauwo
      @nechalauwo 2 ปีที่แล้ว

      He is not a kenyan @Moses Odhis

    • @edwardmukama9607
      @edwardmukama9607 2 ปีที่แล้ว +6

      Great ! we should tell them about Jesus for their salvation

    • @pauladero1756
      @pauladero1756 2 ปีที่แล้ว

      @@mosesodhis365 5

    • @edwardchege2623
      @edwardchege2623 2 ปีที่แล้ว

      @@mosesodhis365 watch Dayz of Noah- clipper ships and you will see the bigger picture on the subject

  • @_kandybill
    @_kandybill ปีที่แล้ว +35

    Am an introvert, can live in such a place with full peace of mind...I hate crowded areas with all my heart,i love deserted greeny places

    • @suibs2841
      @suibs2841 ปีที่แล้ว +1

      Same here

    • @vincentmulwa9553
      @vincentmulwa9553 ปีที่แล้ว +1

      Mental health

    • @TREASUREZION8
      @TREASUREZION8 ปีที่แล้ว +1

      Most welcome to USA 🇺🇸🇺🇸👏🏽👏🏽👏🏽we are happy 😂

    • @TeeTee-bx8bk
      @TeeTee-bx8bk ปีที่แล้ว

      @@vincentmulwa9553 haha jamani

    • @fabianndimanya2055
      @fabianndimanya2055 ปีที่แล้ว

      Also am an introvert ✍️✍️

  • @evalinefredrick7332
    @evalinefredrick7332 2 ปีที่แล้ว +34

    Maisha ya Marekani ukilinganisha na Tanzania kuna mengi ya kujifunza. Kwa upande wangu siwezi kuishi Marekani kwani sintaweza kuwa na shamba, trekta, mifugo na nyumba yangu kwa kipato changu hili. Ila Tanzania ninavyo vyote na maisha ni rahisi sana. Tatizo la huku kwetu ni upatikanaji wa kazi za kujipatia pesa. However future sasa ipo Africa ndiyo maana wazungu wanakuja Africa.

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba7930 2 ปีที่แล้ว +6

    Very nice. Umetuelimisha vyema. Barikiwa ❤️🇰🇪.

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 2 ปีที่แล้ว +6

    Nakupongeza sana tunajifunza mengi kutoka kwako hasa utamaduni wa wenzetu. Mungu akubariki sana

  • @13694761
    @13694761 2 ปีที่แล้ว +21

    Shukran ndugu MTz kwa kuelezea hali ya maisha hapo Marekani. Kweli maisha hayo ni bills na pweke chungu nzima. Sidhani kama nayaweza hayo maisha, napenda hapa kwetu Kenya. Pia shukran kwa kuelezea chanzo cha jina meli. Hilo sikujua... kazi nzuli lakini and keep it up brother

  • @Bagenzi4life
    @Bagenzi4life 3 ปีที่แล้ว +14

    Ninapenda the way unavyo tupa habari kwa habari unatufafanulia vizuri maisha ya uko ulipo asante sana baba
    Love from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru sana

    • @nasoroliheka9311
      @nasoroliheka9311 2 ปีที่แล้ว +1

      Tunashukuru unatupa mwanga

    • @hamzamafita4025
      @hamzamafita4025 2 ปีที่แล้ว +1

      Tupe dawa the great makulilo nimeijua marekani kama vile nipo huko.kupitia EBM.endelea baba.

    • @ruhangamunyaneza6551
      @ruhangamunyaneza6551 ปีที่แล้ว +1

      Ndugu yangu asante sana kwa kutupesha habari nzuri tunakuombea uzidi uwenamafaanikio mdawako wote asante

  • @kamanda007
    @kamanda007 2 ปีที่แล้ว +7

    Hakuna upweke hapo, maisha mazuri sana hayo...PRIVACY!!!

  • @alexkabazo5388
    @alexkabazo5388 2 ปีที่แล้ว +20

    Teach them people in Africa to know about life in America sio paradise is on earth epant diers I'm alex from congo moba tanganyika iliving in America 🙏 God bless

  • @fundieddy9164
    @fundieddy9164 ปีที่แล้ว +4

    Habari za namna hii huwa zinaongeza ufahamu na kutegua baadhi ya vitendawili vya ughaibuni.
    Asante sana, ninakutakieni kila lenye heri.

  • @jovovichmedia9424
    @jovovichmedia9424 3 ปีที่แล้ว +8

    Safi Sana nyumba ipo vizuri na mazingira pia nimepapenda

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 ปีที่แล้ว +1

      Nimefurahi kusikia hivyo

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 ปีที่แล้ว +6

    Marekani naipenda mnoo asa kwa watu weus wenzangu Atlanta kwakwel kunanikosha katika maisha kuish nkiambiwa nichague Jimbo ni Atlanta Georgia 😍💞🤦

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 7 วันที่ผ่านมา

      Mhh tell whats special dear

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 2 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana umenipa Somo kubwa sana wabongo wengi wanamtazamo eti kila aliye marekani ana mahela kumbe sivyo

  • @janetmorgan2283
    @janetmorgan2283 2 ปีที่แล้ว +19

    It's better than being broke n lonely 😭.

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 2 ปีที่แล้ว +11

    Everything is clean and organized here, beautiful

    • @deecee9741
      @deecee9741 ปีที่แล้ว

      Ehee, ebu waelezee.

  • @junenadine6512
    @junenadine6512 2 ปีที่แล้ว +33

    The fact that many american homes are not gated or fenced like kost aftican homes gives me anxiety,aso due to this issues addressed,the level od depression,loneliness and schizzophrenia is very high,
    God bless our african family values,neighborliness and togetherness
    Love from Nairobi

    • @ROLLWITHLIZ
      @ROLLWITHLIZ 2 ปีที่แล้ว +1

      I hear you on that very true, Africans are so warm and you feel a sense of belonging and that’s why depression is not common or suicide

    • @janendegwa5462
      @janendegwa5462 2 ปีที่แล้ว +1

      You don't need a fence coz none can walk to your yard or step on your grass it's trespassing,the only people who come to your door are people you know or Jehovah's witness , or postal workers ,f you have a crime emergency the police arrive in 5 minutes so a tence is not necessary in Kenya a fence is a must to make t more difficult for thieves

  • @simbarichards1855
    @simbarichards1855 2 ปีที่แล้ว +14

    Yeah! A friend of mine told me that US is a very lonely place. You may not want to live there in the first place. Yaani huna mtu wa kuongea na yeye😂😂 sitaki, wacha nishi Kenya

    • @maureenauma7397
      @maureenauma7397 ปีที่แล้ว

      mimi natamani kuenda tu kuwork ,since huku kupata job ni noma

  • @lucasmfaume6673
    @lucasmfaume6673 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana kaka kweli maisha yanaitaji kuvumilia pia

  • @petertimothy7882
    @petertimothy7882 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana. Endelea kutuelimisha hali halisi huko. Nimefurahia sana mazingira unayokaa na jinsi ulivyofanya bidii kuwa na nyumba nzuri hiyo. Endelea kupiga kila Sehemu na kutuelimisha. Tutafurahia ukituonesha mitaa ya New York, Texas, Washington, Los Angeles n.k.na kutuelezea maisha ya kila Sehemu husika na changamoto zake. Hata kama hutapiga picha Sehemu hizo nilizotaja, unaweza kupata picha safi toka vyanzo vingine na kutupia humu. Let people know about Amerika na Ulaya Maisha na Changamoto.
    Pili, wengi hatujafika huko.Tunahitaji kuona palivyo na Changamoto zake. Well-done bro🙏

  • @xingho3990
    @xingho3990 ปีที่แล้ว +2

    Kaka hongera kwa maisha ya ng'ambo umeyapatia umepigana vyakutosha Mungu akubariki. Lakini nyumba hukutuonesha ndani.

  • @ceciliakioria3357
    @ceciliakioria3357 2 ปีที่แล้ว +14

    Thanks
    From Kenya
    Keep on posting to educating our African people

  • @itNeza
    @itNeza 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Kaka mkubwa, Pazuri kweli🇷🇼❤️

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje1409 2 ปีที่แล้ว +3

    Proud to born in Africa najivunia kuwa muafrika twaishi kwa tangamano na ujirani hatuna upweke

    • @melissaporter5928
      @melissaporter5928 ปีที่แล้ว

      Apparently you don't know a lot of African Americans.Because there is no such thing as lonely in the African American communities Especially in the South in the smaller towns where most African Americans treat each other as family.Don't speak on something you don't know

  • @maryjohn1436
    @maryjohn1436 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante saana nimesoma geni leo kuhusu meli.congratulations

  • @sharifukilongo2565
    @sharifukilongo2565 ปีที่แล้ว +1

    Hayo maisha ni mazuri sana,coz hakuna umbea

  • @robertwakhu
    @robertwakhu 2 ปีที่แล้ว +7

    This is quite enlightening!

  • @harunamwaholi6551
    @harunamwaholi6551 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana kutufungua maisha ya huko marekani from mbeya Tanzania

  • @bensonnyaga2852
    @bensonnyaga2852 2 ปีที่แล้ว +6

    I love it.from Kenya

  • @frankbunini9898
    @frankbunini9898 2 ปีที่แล้ว +6

    Endelea kutujuza zaidi kiongozi. 🤝🙏

  • @salhakundawi3066
    @salhakundawi3066 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni mtu mzuri ata the way unavyoongea then nimeona uko simple bro Makulilo, love from tz.

  • @MamuMichael
    @MamuMichael 2 ปีที่แล้ว +2

    Big up nimeipenda sana truth to be told. 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa muda wako!! Wewe ni rafiki tusiejuama!! Unafanya Kwa upendo na sisi wenye matarajio ya kufika huko tuwe na picha!! Ubarikiwe ndugu

  • @fungukamedia4545
    @fungukamedia4545 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿nakupata Sana barikiwa brthr
    Tunajifunza vingi kupitia wewe

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 2 ปีที่แล้ว +4

    Waooooooo nmewapenda bureee mnavowajari viumbe wengine naona ndege wana enjoy sana

  • @somediscovery5988
    @somediscovery5988 2 ปีที่แล้ว +17

    I can't understand Swahili but the video is adorable

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 2 ปีที่แล้ว +6

    Apomimi nimepapenda sana naweza kuishi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @andrewl3039
    @andrewl3039 2 ปีที่แล้ว +2

    Awesome review, very informative 👍. Asante ndugu

  • @hammelmoussa2158
    @hammelmoussa2158 2 ปีที่แล้ว +3

    Salama brother 🙌🙌
    hapo sawa kwa musmamo unao marekani
    sikuegine tufafaurie maisha ya kawaida ina endereaje
    siku kwausiku. Asante 🙏

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 2 ปีที่แล้ว +2

    Namshukuru xn
    Mungu kwa kuzaliwa tanzania Mana maisha ya bongo ya matamu cna xx mm niishi uko Bila mchanganyiko

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 2 ปีที่แล้ว

      lakini yeye ka sema utamaduni wa marecani lakwetu utamaduni africa kuwa wamoja mtaani hakuna kosa yeyote kila watu na utamaduni wao.

  • @mercymeriy7851
    @mercymeriy7851 ปีที่แล้ว +2

    I just like the way He explain it in details...

  • @issamanyota
    @issamanyota 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah brother nimeipenda hii natamani siku moja nije huko ughaibuni 👐❤🇹🇿

  • @barakamsungu5260
    @barakamsungu5260 2 ปีที่แล้ว +7

    Upo vizuri brother na hongereni manzari ni kijani kibichi na tulivu,pia asante kwa taarifa kama hizi ili tuweze kujua wenzetu wanaishi vipi,one love brother 🙏

  • @machumujuma6399
    @machumujuma6399 ปีที่แล้ว +1

    Maisha yetu huku Tanzania na Africa ni mazuri sana japo hatuna kitu ila ni ya furaha sana na umoja wa hali ya juu. Mm binafsi maisha hayo hayo ya kujifungia ndani siyawezi

  • @TeacherBeatrice_
    @TeacherBeatrice_ 2 ปีที่แล้ว +14

    No wonder wazungu wanapenda kuja holiday Africa.warm climate,warm socialization

    • @pamelawanderaofficial6257
      @pamelawanderaofficial6257 ปีที่แล้ว

      Yes they actually save for that.

    • @jejo4569
      @jejo4569 ปีที่แล้ว

      Who said USA doesn't have warm weather's? California, Nevada, Florida , Texas are sunny states almost all year around just like Adrica.

  • @jeromemwenda2702
    @jeromemwenda2702 ปีที่แล้ว +1

    Kongole EBM!
    Maelezo mazuri sana, asante kwa kutuelimisha!

  • @bas2823
    @bas2823 ปีที่แล้ว +1

    Hi! How r u all🤝 my first time to Arrived in AMERICA! n Stay was in Saint Louis Missouri. Near the Missouri Big Arch, Missouri big Lake. Then we moved to Edward Vile, I Illinois n then we ending in Florida to Collage States in USA. Now im in Oman, In the Sultanate of Oman👌

  • @MM-oe2eo
    @MM-oe2eo ปีที่แล้ว

    Thanks bro. Video nzuri sana. Mtu kabla Mungu hajakuchukua inatakiwa uishi Marekani angalau kidogo.

  • @CalmWhiteNoise5
    @CalmWhiteNoise5 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa video hii.

  • @mbuvibetty1116
    @mbuvibetty1116 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante kaka kwa kutujuza.Natamani maisha ya utulivu kama hayo.sometimes living one's life without alot of interractions with people can be enjoyable and peaceful.

  • @mikko5194
    @mikko5194 2 ปีที่แล้ว +2

    Same life in Europe
    The place is too quiety I’m even used been here for 7 years 🔥🔥🔥

    • @kateevibes
      @kateevibes 2 ปีที่แล้ว

      Wapi Europe? Nko swiss

    • @mikko5194
      @mikko5194 2 ปีที่แล้ว +1

      @@kateevibes Finland

    • @kateevibes
      @kateevibes 2 ปีที่แล้ว

      Okay👍

  • @davidnyabuga3119
    @davidnyabuga3119 ปีที่แล้ว

    Maisha mazuri bro thank you..

  • @nelsonmrutu371
    @nelsonmrutu371 2 ปีที่แล้ว +9

    Mimi naifatalia Sana Marekani na pia naipenda Sana iyo Nchi , tatizo linalonisumbua ni Lugha ya kingereza ila kwa kupitia chaneli yako nimefunguka zaidi , Mungu akubariki sana

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 2 ปีที่แล้ว +2

      tukae Africa kaka hata sisi twaweza ila sisi wafrica jeuri sana tukisema tu fanyeni usafi tutazakuilaumu serekali, wezetu walijitoa mpaka limependezwa leo tuna litamani.

    • @sebastianbarayata7698
      @sebastianbarayata7698 2 ปีที่แล้ว

      Unapataje uraia huko, na ukifanikiwa je, kwenda huko

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 ปีที่แล้ว +1

      sio lazima kengereza nenda2...

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว

      @@sudaissaid8428 🤣🤣🤣

  • @zaphaniaambuka7192
    @zaphaniaambuka7192 ปีที่แล้ว

    Shukrani kwa kuangazia swalahilo

  • @Borntown_7G
    @Borntown_7G 2 ปีที่แล้ว +1

    Big up bro, your are okay,,. Thanks for exposure

  • @ChrisKibuku
    @ChrisKibuku 2 ปีที่แล้ว +1

    I really like your explanation. watu wengi hawawezi kuelezea hivo.

  • @fanwellmwalukasa9123
    @fanwellmwalukasa9123 2 ปีที่แล้ว

    Mi mkali nimekukubali sana uko vizuri naomba uwe unatujuza kwa staili big up sana hongera

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mashaallah MMUNGU akubariki sana na azidi kukupigania unaroho nzuri sana unatueleimsha wala hujivuni ubarikiwe

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 2 ปีที่แล้ว +4

    Heeeeee siyo Tanzania watu hawaishi barabarani kutwa kutembea,wengine bila sababu yoyote.asante kaka kwa kutujurisha

    • @modestmkali3436
      @modestmkali3436 2 ปีที่แล้ว

      Hayo ndio maisha sasa, kutoka unakutana na watu, huwezi kuelewa kwasababu huyaishi, maisha ya Marekani magumuuuuu

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 2 ปีที่แล้ว

      @@modestmkali3436 sio Maisha ni vile tu huku ujobless mwingi

  • @calvinsosthenes2978
    @calvinsosthenes2978 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa Sana vipindi vyako Kaka,, nimejifunza mengi Sana kutoka kwako

  • @hassanmdoe8425
    @hassanmdoe8425 2 ปีที่แล้ว

    Aisee uko vizuri,naomba mawasiliano yako.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 ปีที่แล้ว +2

    😁😁😁😁 Nimefurahi sana, all the way from Minnesota. Tanzania moja.

    • @eustacelukindo2172
      @eustacelukindo2172 2 ปีที่แล้ว +1

      mkuu naomba nomber yako mimi ni track Driver Tanzania

  • @megb4914
    @megb4914 ปีที่แล้ว +2

    It's so boring in the states..I can't wait to go bk home soon in my lovely country kenya

  • @tonymnyama4129
    @tonymnyama4129 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana kaka nimependa sana ,na ninandoto ya kuidhi marecan

  • @samuelopati7916
    @samuelopati7916 2 ปีที่แล้ว +1

    Content Safi ndugu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @brotherdekaka
    @brotherdekaka 2 ปีที่แล้ว

    kazi safi kaka braza,

  • @rosembaga2658
    @rosembaga2658 2 ปีที่แล้ว +2

    Unapadaa na mbogaaa weee nimekupenda😀😀😀😀

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana Kwa kuelimisha!!

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana

  • @albertogwankwa799
    @albertogwankwa799 ปีที่แล้ว

    Waaaaa kazi mzuri

  • @customersinvoices6990
    @customersinvoices6990 2 ปีที่แล้ว +12

    Makuliro, nimefurahi kwa kupata picha kamiri ya life ya marekani. Endelea kutupa mazuri. Shaba kutoka Kigali-Rwanda

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus568 2 ปีที่แล้ว

    Hongeleni mna maisha mazuri sana

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru Sana Kwa kutufundisha utofauti wa maisha Kati ya markani na Africa. There is big cultural differences between Africa and America or Europe. Thanks

  • @leaymwagilu7494
    @leaymwagilu7494 2 ปีที่แล้ว +2

    Unaerewekaa vizuri kaka

  • @josephchiri2228
    @josephchiri2228 2 ปีที่แล้ว

    Thanks brother

  • @daktariwakienyeji
    @daktariwakienyeji ปีที่แล้ว

    Perfectly said ❤️

  • @charlesongiri1617
    @charlesongiri1617 ปีที่แล้ว

    Am very much happy. I would like to more about America 🇺🇸

  • @sekibibibatume4719
    @sekibibibatume4719 ปีที่แล้ว

    Love from Michigan

  • @peterraymwasha2362
    @peterraymwasha2362 2 ปีที่แล้ว

    elimu nzuri sana hii

  • @deedee3614
    @deedee3614 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaani bro hilo suala la upweke ni mpaka huku UK. Hasa ile miaka ya kwanza unapohamia. Ila ukikaa you make friends and eventually have a social life. Sema napo inabidi mtu ukifika tu utafute kazi fasta ndio pona yako.

  • @PabloIify
    @PabloIify 2 ปีที่แล้ว +2

    You're so friendly... nitakuona endapo nkija marekani..Yehova akipenda iwe hivyo.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 ปีที่แล้ว

    Very informative 🎩

  • @josephtairo4944
    @josephtairo4944 ปีที่แล้ว +1

    Fencing is an expensive undertaking and you need surplus to think of doing an attractive structure. In Europe and other snowy areas you will find fencing unwanted and not practical. Again when you put up an expensive house without a fence you feel not secure depending on the neighbourhood and security issues. We cannot copy many things from US or Europe given the varied cultures and economies. The video is very educative. I salute.

  • @paulwachira7679
    @paulwachira7679 2 ปีที่แล้ว +6

    Marekani ni nchi mbovu sana,heri africa.

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣Ukisha zoea jembe kifungo cha ndani hukiwezi 🤣🤣

    • @rachelbahahazo6362
      @rachelbahahazo6362 ปีที่แล้ว

      Nyooo kwa tz tulipofikia kilo ya mchele3000 mahindi debe16000 apana mm napaelewa marekan

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว

      @@rachelbahahazo6362 Haya ndugu salamu zao

  • @petrobenson2932
    @petrobenson2932 ปีที่แล้ว

    Ok ,umeelezea vizuri

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa Chanel Nzuri, Nimekutengea maelfu ya MB kukufuatilia.

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson 2 ปีที่แล้ว +1

    So helpful. I am glad umeongea ukweli mtupu. Wengi wanatumia movies kuimagine.

  • @hillarykirwa7558
    @hillarykirwa7558 ปีที่แล้ว +1

    Cheers bro Makulilo
    Watching from Kenya...I have been following you through this platform and for sure your stories are inspiring.Thank you so much for taking your time informing us about US lifestyle.Indeed everything is nice there...Wishing you the best Ndugu...Nikija huko majaliwa nitakutembelea

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa hii video. Imetupa uelewa ili tuache kudanganywa

  • @johnmedia9756
    @johnmedia9756 ปีที่แล้ว

    Kwe Mungu akubaliki

  • @ngeisimon2701
    @ngeisimon2701 2 ปีที่แล้ว +1

    Wooh God bless u ata kama cjafika america nimeona vyenye kuko.

  • @kiarieben9883
    @kiarieben9883 2 ปีที่แล้ว

    Kazi safi sana bro ..i am from Kenya... keep up

  • @gdggghh2052
    @gdggghh2052 2 ปีที่แล้ว +7

    Natamanii sikumoja nindee marekanii😭😭😭😭 insha'Allah

    • @modestmkali3436
      @modestmkali3436 2 ปีที่แล้ว

      Thamani kwenda ila usitamani kuishi, sio maisha marahisi

  • @eriqabisai3079
    @eriqabisai3079 2 ปีที่แล้ว

    Nimechelewa sana kuona hii video... very interesting...keep it up bro

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 ปีที่แล้ว

    so cool environment

  • @omarykitenge8283
    @omarykitenge8283 ปีที่แล้ว

    Great info

  • @tonyshanguya1256
    @tonyshanguya1256 ปีที่แล้ว

    Ninakuelewa sana Bro.

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 2 ปีที่แล้ว

    Nzuri sanaaa one day yes

  • @cherylakoth473
    @cherylakoth473 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahia channel yako sana. Natazama kutoka kenya.