LORI BADO HALIJATOLEWA WAMI KISA MILIONI 5 "MAITI HAIJASAFIRISHWA, SINA PESA, NALALA NJE POLISI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 มิ.ย. 2020
  • #millardayoUPDATES#mtowami

ความคิดเห็น • 653

  • @millardayoTZA
    @millardayoTZA  4 ปีที่แล้ว +97

    Kwa wanaoulizia Namba ya kuwasiliana na Mama huyu ni 0788624230 (Mwajuma Selemani)

    • @samsonlucas2880
      @samsonlucas2880 4 ปีที่แล้ว +13

      Jamn mwezesheni angalau kidogo
      Pia anapaswa pongezi kwn amejitahid sana
      Serikali tafadhali mwezesheni huyo mama

    • @MrBornleader45122
      @MrBornleader45122 4 ปีที่แล้ว +13

      Shukrani kwa kutoa namba yake. Nitamtafuta.

    • @goldenmoversteam8906
      @goldenmoversteam8906 4 ปีที่แล้ว +3

      Mwambie kuna Mamba hapo , Kaka 🐊. Ila ametupa uhalisia hii development kwa media zetu. Keep pushing Millard tuko pamoja .

    • @gastordominic410
      @gastordominic410 4 ปีที่แล้ว +6

      Where is our government of poor people

    • @blankakecy2464
      @blankakecy2464 4 ปีที่แล้ว +7

      Nikijiweka Nafasi Ya Huyu Mama Nashidwa Na Kukosa Jibu Kabisa Sis Wafanya Biashara Wadgo Tunachangamoto Nying Jaman Hiv Mtu Inakuwaje Kibiashara?Mchango Wa Serikali Yetu Uko Wapi Jaman Huyo Mama Anafamilia Analala Nje Mungu Mpe Nguvu ,Mungu Akusaidie Mama Angu Jamani,Hapo Unaweza Kuta Anamikopo Mmmh Sijui Nakuwazia Mengi mama Angu Na Sina Cha Kukisaidia Zaid Ya Sala Haya Yatapita🙏

  • @sonofafrica6495
    @sonofafrica6495 4 ปีที่แล้ว +22

    Kuwa na subra Mama yangu. Huo ni mtihani Mungu anakufanyia .

  • @sofiachilunzo9268
    @sofiachilunzo9268 4 ปีที่แล้ว +39

    Pole mwanamke mwenzangu mungu akutie nguvu!!😭😭

    • @agiasaidi5294
      @agiasaidi5294 4 ปีที่แล้ว

      Amin, inshaAllah

    • @franciscoivo1591
      @franciscoivo1591 4 ปีที่แล้ว

      Jamn mbona kwenye majukwaa pesa hutolewa,haya sio ndio majanga yenyewe wamsaidie huyu mama...kwani alipenda haya jmn

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 4 ปีที่แล้ว +24

    Allah akupe subira maaayake Mali ni mtihani unahitaji kuwa subira kwa kila kitu, mungu anakupima Imani yako, inshallah Allah akufanyie uwepesi inshallah

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 ปีที่แล้ว

      Ameena

    • @agiasaidi5294
      @agiasaidi5294 4 ปีที่แล้ว

      @@lovvy854 Amin, inshaAllah

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 ปีที่แล้ว

      @@agiasaidi5294 maskini ya mungu mthihani mzito alioupata huyu mama

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 4 ปีที่แล้ว +30

    Watetezi wa wanyonge msaidieni huyu mama ni kama mama zetu msaidienii

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +3

    Poleni Mama Suluhu itapatikana ln Shaa Allah, Pole sana Allah akuzidishie Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah.

  • @Bahatigabriel50
    @Bahatigabriel50 4 ปีที่แล้ว +44

    Rais magufuri msaidie uyo mama km unavyowasaidia wajane nawenyeshida. Mil 5 nindogo sn.

    • @amianamunguamsaidieawejuuz2851
      @amianamunguamsaidieawejuuz2851 4 ปีที่แล้ว

      Mhuu pole Sana mama mwenzangu mungu a kufanyie wepesi

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 ปีที่แล้ว

      😭😭😭😭😭😭😭Maskini inatia huruma kweli M. Mungu yupo pamoja na wewe

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 ปีที่แล้ว

      mh Tanzania yetu iyo

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 ปีที่แล้ว

      pole mama

    • @augustinebright1369
      @augustinebright1369 4 ปีที่แล้ว

      Umeandika busara sana kama ombi na sio jukumu.... I wish asaidiwe pia

  • @bennympatanishi8341
    @bennympatanishi8341 4 ปีที่แล้ว +32

    Mbunge ameenda kufanya nini ikiwa hakuna msaada wowote anaotoa, au kaenda kupiga picha tu

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

      yule mbunge ni msenge kwani hamujui milioni 5 zinamshinda mjinga mkubwa kenda kuuza sura ila mara hii kura hapewi

    • @hamidumpande5509
      @hamidumpande5509 4 ปีที่แล้ว

      Upo xaw kbixa mzee baba

    • @segeospatialtechnology7482
      @segeospatialtechnology7482 4 ปีที่แล้ว

      Hakuna mbunge pale chalinze uchafu tu ndo maana chalinze ipo ipo tu daah

    • @rehemamlaponi216
      @rehemamlaponi216 4 ปีที่แล้ว

      Yaani huyo mbunge wa chalinze ni hakuna kabsaa

  • @famitonawanda4831
    @famitonawanda4831 4 ปีที่แล้ว +14

    Pole Sana mama mungu atakufa Hiya wepesi ,raisi wetu mtetezi wanyonge msaidie huyo mama

    • @allymahmoud9951
      @allymahmoud9951 4 ปีที่แล้ว

      Mm naona hamna umuhimu wa kukata bima mtu asilazimishwe.kwa sababu ukipata ajali Kama bima yako ndogo huna msaada wowote wa bima pesa inapotea wanakula bima.

    • @allymahmoud9951
      @allymahmoud9951 4 ปีที่แล้ว

      Mama mfuate rais wetu magufuli mlilie shida yako atakusaidi Sana yule ni mtetezi wa wanyonge ni rais wa huruma sana

    • @restitutamassawe5828
      @restitutamassawe5828 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana mama mwenzetu tunajua unapitia magumu Mungu akupe wepesi

  • @samwelmhehe617
    @samwelmhehe617 4 ปีที่แล้ว +15

    Khaaaaaaaa!!!! Ama kweli kufa kufaana, Naomba Mungu wa mbinguni akutetee

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 4 ปีที่แล้ว +10

    Mungu amsaidie aisee, halaf naww mtangazaji umekosa pa kusimama mpaka kwenye huo mtumbwi, hebu usitutaftie balaa lingine we nae,.

    • @tomasisamweli8643
      @tomasisamweli8643 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂yan wewe

    • @jasmineshechambo3401
      @jasmineshechambo3401 4 ปีที่แล้ว

      😂😂nacheka kama mazur wallah

    • @mbarakaakida6872
      @mbarakaakida6872 4 ปีที่แล้ว

      @@jasmineshechambo3401 kiukweli tatizo lililo mkuta huyo mama ni kubwa sana nimehuzunika sana sikia tu kwa mwenzio usiombe likukute tatizo kama hilo watanzania tushilikiane kumsaidia mwenzetu kila mwenye nacho tumtumie kwenye namba yake aitaje mwenyewe huyo mama ili michango imfikie mwenyewe tusije wanufaisha wezi wasio na huruma alafu na huyo mwandishi wa habari anatafuta matatizo na huo mtumbwi au anataka kua chakula ya mamba?

    • @sherrysalim50
      @sherrysalim50 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣😂😂😂

    • @mbarakaakida6872
      @mbarakaakida6872 4 ปีที่แล้ว

      @@sherrysalim50 😀😀😀😁😁😱😱😱😱😱0689440078

  • @willeydavid2108
    @willeydavid2108 4 ปีที่แล้ว +28

    Haki huu mtihani mama alionao daah mung ampe nguv na ujasiri jaman inauma sana, msiba + wagonjwa + gar niyeye pekeyake so sad 😢😢

    • @josephinamkumbo4767
      @josephinamkumbo4767 4 ปีที่แล้ว +1

      Eeeh mungu.binadamu mbona tupo hvo jamani.milioni tano duuh

    • @restitutamassawe5828
      @restitutamassawe5828 4 ปีที่แล้ว

      Mama Anna umwangalie huyu mama kwa jicho la huruma mama

  • @technologies4745
    @technologies4745 4 ปีที่แล้ว +5

    Serkali na jamii kwa ujumla tumsaidie huyu dada/mama Kwan ni mfano mzuri kwa jamii yetu ya sasa, km kaweza kumiliki Lori hili kumbe tukimuwezesha ataweza zaid 🙏

  • @glorygoodluck757
    @glorygoodluck757 4 ปีที่แล้ว +71

    WANAWAKE LIVE WAKO WAPI HUYU MAMA MBONA HATUWAONI AU NDIO KWENYE FUMANIZI TU

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 ปีที่แล้ว +15

    HUYU MAMA KAPAMBANA SANA' JAMANI KUNA NAMBA YAKE YA CM HAPO MILLADYAYO KAANDIKA NAMBA YAKE TUKITOA 1000 WATU 5000 ATAPATA MILIONI'5. 😭. POLE SANA MAMA MWAJUMA

  • @lizp6826
    @lizp6826 4 ปีที่แล้ว

    Asante Milard Ayo na timu yako! kwakweli tunahitaji watu kama nyinyi ktk jamii ! Disasters management sijui iko wapi swala la uokoaji ni la idara ya moto na uokoaji(fire), na ndiyo dhana ya kulipa kodi! sijui hatuna vifaa au idara imepuuzia tu!

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 4 ปีที่แล้ว +1

    Subhana llah polesana dada mwenyezimungu atakusaidia insha Allah

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว

    Dah! Pole sana dada kwa mtihani !

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 4 ปีที่แล้ว +16

    Ila unapokuwa unamiliki milion 80 unatakiwa umiliki gari ya milion 40 ila mama hakupata mshauri mzuri

    • @Ibrah287
      @Ibrah287 4 ปีที่แล้ว +1

      Tena Stralis IVECO used Mil 40, ni kweli hakumpata mshauri mzuri...

    • @siwajalikayanda1969
      @siwajalikayanda1969 4 ปีที่แล้ว

      Hakumiliki million 80, alikuwa analipa kidogo kidogo na gari hakulinunua kwa bei hiyo, amejumlisha fedha alizolifanyia modification, jml ndo m.80

    • @johnrimoy6874
      @johnrimoy6874 4 ปีที่แล้ว +1

      Alitakiwa akate bima kubwa kabla ya kulipeleka barabarani.

    • @franktimothkisimbo5354
      @franktimothkisimbo5354 4 ปีที่แล้ว

      Sure asee....

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว

      Dah. Ndoivyo ishatokea

  • @amosnaqbarxanaabddallah2730
    @amosnaqbarxanaabddallah2730 4 ปีที่แล้ว

    Pole mama ang mungu yupo ataksaidia

  • @azizasikalwanda7663
    @azizasikalwanda7663 4 ปีที่แล้ว

    Polee sana mum Allah akutie wepesi

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji umetisha hahahaha big up bro mpo vizuri @Millard Ayo

  • @gibishinchambi1971
    @gibishinchambi1971 4 ปีที่แล้ว +17

    Huyu ni mtanzania mwenzetu analipa mapato Serikali imsaidie huyu mama

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamani serikali haiwezi kumsaidia Huyu mama? Ni maafa jamani tena kwa mwanamke km Huyu basi

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 ปีที่แล้ว +2

      Ndugu watanzania wenye huruma na hela kidogo tumsaidie Huyu mama mungu atawalipa

    • @simonhaule6567
      @simonhaule6567 4 ปีที่แล้ว +1

      Mwenyez mungu akutie nguvu mama!!??

  • @salumjuma9586
    @salumjuma9586 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Mama kwa tukio la kusikitisha, tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 4 ปีที่แล้ว +1

    Da pole sana yaani gari mpya tena inapata ajali gari nyingine zina mikataba na mashetani!! Mungu akuwezeshe nguvu zako zisipotee bure 🙏

  • @halunyemmanuel4007
    @halunyemmanuel4007 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama mungu akupe ujasir

  • @Doomy-ef4ez
    @Doomy-ef4ez 4 ปีที่แล้ว +16

    Jameni inasikitisha kusema kweli huyu mama mpaka huruma 😭😭😭😭😭😭

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada inatia huruma

  • @rosewilliam1235
    @rosewilliam1235 4 ปีที่แล้ว

    Pole Mwanamke mwenzangu Mungu akusimamie.

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 4 ปีที่แล้ว

    Mungu atakusaidia mama ni mapito hayo...pole sana mamangu

  • @aishaabdi5637
    @aishaabdi5637 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mammy mungu atakusaidi kwa kila jambo Inshaallah

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 4 ปีที่แล้ว

    Pole mtanzania mwenzetu Mungu akufanyie wepesi

  • @hamissramadhan3484
    @hamissramadhan3484 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama
    Mwenyezi mungu atakusimamia kwa kila jambo

  • @erickkilaboma6316
    @erickkilaboma6316 4 ปีที่แล้ว

    Pole mama Mungu atakusaidia

  • @abdulimalikhamadi1078
    @abdulimalikhamadi1078 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mamaaa

  • @hajimaneno3626
    @hajimaneno3626 4 ปีที่แล้ว

    Mungu ndie muweza poleni sanakwa mitihan

  • @masakivlogs
    @masakivlogs 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama, utafanikiwa tu.

  • @choleboytz
    @choleboytz 4 ปีที่แล้ว +22

    Jamani waone huruma haooo milion tano mh

    • @mabletandawili4128
      @mabletandawili4128 4 ปีที่แล้ว

      Pole mm

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 ปีที่แล้ว

      Kweli inatakiwa tuwe na huruma binaadam Leo yeye Kesho huyo anaye mlipisha milioni 5 amfanyie ata bure maana malipo yake kwamungu atamfariji lazma

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 4 ปีที่แล้ว

    MwenyenziMungu akupe subra ktk kipindi kigumu

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 ปีที่แล้ว

    Duu Tanzania kuuweni na ubinadamu serikali ipo wapi huu ni mtihani kweli kwa huyu mama pole sana mama mwenyeezi mungu akufanyie wepesi inshaallah 🙏🙏🙏🙏

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada Mungu ataweka mkono wake

  • @estherbakabona9930
    @estherbakabona9930 4 ปีที่แล้ว

    Pole mama Mungu aku tiye nguvu

  • @aishamalunkwi8316
    @aishamalunkwi8316 4 ปีที่แล้ว

    Poleee sana

  • @binthysaid2764
    @binthysaid2764 4 ปีที่แล้ว

    Pole mamangu jmni...mungu atakusaidia hpo na penginepo

  • @boscofelix4004
    @boscofelix4004 4 ปีที่แล้ว +1

    Nilicho jifundisha hapa tusimiliki vitu vikubwa tukiwa na uwezo mdogo itatughalim sana tusiishie kumpatia pole huyu mama yetu pia tujifunze jambo...
    Mamayangu pole sana Mungu atakupigania sana......

  • @faustinejohn9033
    @faustinejohn9033 4 ปีที่แล้ว

    POLE sana mama mungu akushushie neema upate kulejea balabalan by ELISHA Wangwe toka Kishili

  • @ramadhanmatindira8671
    @ramadhanmatindira8671 4 ปีที่แล้ว

    Jamani tumsaidie kwakila kidogo tulichonacho Mungu atatulipa Amen

  • @denishaule6314
    @denishaule6314 4 ปีที่แล้ว

    Mpiganaji uyu mama....pole never give up

  • @beirut9750
    @beirut9750 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah amsaidie juu mtihani mgumu.

  • @yasinhussein4040
    @yasinhussein4040 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mpambanaji

  • @nganahesandra2293
    @nganahesandra2293 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 4 ปีที่แล้ว +4

    Mh. Mbunge tumia ushawishi kama kiongozi walau anzisha michango kumsaidia huyu Mama, Mil 5 kwa wadau ulio nao tunaipata mara moja./ lakini pia Serikali/wizara ya ujenzi lazima wana mashine hizi za kuvuta hilo gari au mpk Rais aingilie? Watendaji mpo wapi?

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 ปีที่แล้ว +8

    Pole mama dah!,😭😭

  • @cosmasjoachim8772
    @cosmasjoachim8772 4 ปีที่แล้ว

    Hakika imeniumiza sana,mama mpambanaji asaidiwe

  • @shehnaazabdallah4085
    @shehnaazabdallah4085 4 ปีที่แล้ว

    Pole Mama mungu atakusaidia

  • @gracetiampati2170
    @gracetiampati2170 4 ปีที่แล้ว

    Oh Asante Sana kwa simu ya huyo mama. Nitam mchangia pia. 👍

  • @nasrajuma5389
    @nasrajuma5389 4 ปีที่แล้ว

    Mungu baba mshike mkono uyu mama

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama uo mtihani sana

  • @gibishinchambi1971
    @gibishinchambi1971 4 ปีที่แล้ว +1

    Serikali iingilie kati imsaidie huyu mama anahangaika sisi wote ni watanzania sis ni wamoja sisi tunashirikiana sisi hatubaguani sisi ni kusonga mbele kuondokana na ujinga maradhi na umasikini serikali kupitia Viongozi husika msaidieni mama huyu asije kuchanganyikiwa buree

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +12

    Daaah 😥 Poleni Sanaa ndugu wa marehemu 😥 Hyo sehemu mbaya sanaaa serikal yetu ijenge daraja kubwa hapo

    • @Massawedamas
      @Massawedamas 4 ปีที่แล้ว

      Daraja lipo linajengwa

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว

    Pole mama pia polen mlioumia na kupoteza maisha🙏

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 ปีที่แล้ว +6

    Habari watanzania nina wazo yaani kama itakuwa kila anae like angemchangia huyu mama elfu 10,000 tu
    Zingemsaidia sana

  • @doreenassey3650
    @doreenassey3650 4 ปีที่แล้ว

    Mama pole sana sana

  • @amenuru2331
    @amenuru2331 4 ปีที่แล้ว

    Pole.sana.mama.mungu.atakusaidiya

  • @evamoses9753
    @evamoses9753 4 ปีที่แล้ว +2

    Aiseeee pole sana Mama

  • @mpalazotz7753
    @mpalazotz7753 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole mama majalibu Ayo amin utayashinda japo umeondokewa na vtu vkubwa

  • @veronicanzowa5484
    @veronicanzowa5484 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaah jmn huyu Mama apewe msaada maana daaaaah nimwanamke anayejishugulisha mwenyewe

  • @zahrathomary1805
    @zahrathomary1805 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atamsaidia jaman!

  • @vanessajohn3820
    @vanessajohn3820 4 ปีที่แล้ว

    Mungu amsaidie huyumama ilakwamaelezo ilikua bado haija tengemaa vzuri kupeba mzigo mkubwa unaoenda mbari mungu awenawe

  • @immaculathangalison5595
    @immaculathangalison5595 4 ปีที่แล้ว

    Pole mpambanaji Mungu atakusaidia

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 4 ปีที่แล้ว +18

    Wangeitoa hlf wakadaiana pesa baaadae wawe na huruma jamani

  • @maggiechepkorir7565
    @maggiechepkorir7565 4 ปีที่แล้ว

    Pole! Mum.

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel4247 4 ปีที่แล้ว

    Dah aseh kweli shida

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 4 ปีที่แล้ว

    Dah pole sana mama

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Mama ,serikali mko wapi !!! msaidieni huyu mama.

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 4 ปีที่แล้ว

    Jamani!mitihani hii?pole Dada ,pole sana,yataisha tu Dada .

  • @kingmicky1002
    @kingmicky1002 4 ปีที่แล้ว

    Ila wabunge wengine bwna ,,sasa kafuata nini hapo,,jaman hata mkuu wa wilaya kusema chchte,,mkuu wa mkoa nae kimya ,jeshi la uokoaji nalo kimya ,,mhmhmh Mungu ibariki TZ.

  • @testmyphone1305
    @testmyphone1305 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama yani unatumia milioni 83 kurekebisha gari

  • @rozzymosses2601
    @rozzymosses2601 4 ปีที่แล้ว

    Pole mamy Mungu atakusaidia tu

  • @josephwenceslous7015
    @josephwenceslous7015 4 ปีที่แล้ว +6

    Ni uzembe mkubwa sana kwa serikali.... Sehem kama hii kwanini kusikuwepo vifaa vya uwokoaji

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 4 ปีที่แล้ว

    Khaaaaaaaaaaa !daah Greetings from Santa Monica's California USA Locked AM speechless fellow guy's Depression is real check on your friends RIP MAN antill we meet again Take heart God is in control Mommy

  • @emmanuelmassawa2428
    @emmanuelmassawa2428 4 ปีที่แล้ว

    Pole Sana god atakusaidiya

  • @masudjuma1241
    @masudjuma1241 4 ปีที่แล้ว

    Duh mungu amsaidie ktk hilo

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada yangu

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 4 ปีที่แล้ว

    Dah polemama dah Mungu akufungulie akutie wepesi

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtihan wallah utajiri wa gari nao mtihan sana😢😢😢

  • @dicksonchihumpu5204
    @dicksonchihumpu5204 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akutie nguvu

  • @violethmeja1848
    @violethmeja1848 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana huu no mtihani makubwa ilamshukuru mungu kwa Hilo na yeye alijua utaliweza nenda nyumbani acha tu Hilo gari unaongeza garama kubari matokeo tu

  • @samiramahmud406
    @samiramahmud406 4 ปีที่แล้ว +2

    Poleni sana Wafiwa
    Mungu Awape Subira.
    Pole sana Dada
    Allah akufungulie kila lenye kheri na Baraka
    Kila Tatizo lina kheri
    Mbele yake ,
    Allah Akujaalie
    Upate Msaada
    Wa kutimiza na kurekebisha
    kwa kila Tatizo lilo kukabili .

  • @bakarimhina8337
    @bakarimhina8337 4 ปีที่แล้ว

    Siku nyngne ndugu zangu haya magar yanamilikiwa na matajir tofaut nahvyo tujenge tupangishe nyumba lakin sio haya malori ni presha tu Kama hv....Sasa million 83 si nyumba mbili unajenga ila Inshaallah Mungu atakusaidia Mama

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 ปีที่แล้ว

    Kweli. Vyombo vya Moto ni mtihani

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akusaidie mama angu

  • @enocksajan5112
    @enocksajan5112 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama yangu hakika Mungu akutangulie to ungetoa hata nmba kma watanzania tuchange ht tulivyo navyo

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama lazima uumie mm niliibiwa pikipiki na nililia kama mbwaa nikaswali nikarogaa wapi yani nilijiingiza kwenye mambo ambayo sio mazuri yote ayo sababu ya uchungu

  • @marycianajulius8831
    @marycianajulius8831 4 ปีที่แล้ว

    Duuh inauma sana pole mama mungu akusaidie ktk kipindi hichi kigumu

  • @orgenesmoshy1589
    @orgenesmoshy1589 4 ปีที่แล้ว +27

    Serkali iliangalie hili Jambo mzigo wa chumvi na dizel maji ya mto yanaadhiri mazingira mamlaka ilichukulie Hilo Kama maafa

    • @minjacsd1874
      @minjacsd1874 4 ปีที่แล้ว

      Kweli bro maana serikali ina bajeti ya maana ichote kidogo hiyo point 5

  • @allyshafih4913
    @allyshafih4913 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama

  • @reymondmedan5976
    @reymondmedan5976 4 ปีที่แล้ว

    Pole mama

  • @happygodwini9813
    @happygodwini9813 4 ปีที่แล้ว

    Pole mam

  • @bonifacyorota3145
    @bonifacyorota3145 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akujalie mama yangu daima mungu ni muweza wa yote