'Kamanda wa TAKUKURU mchukue huyu' - Waziri Mkuu Majaliwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • #EATV

ความคิดเห็น • 74

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 3 ปีที่แล้ว +15

    Kazi iendelee gonga like twende sawa na waziri mkuu

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 ปีที่แล้ว

    kwakweli mweshimiwa waziri mkuu unaturejeshea matumaini makubwa na kupata faraja kubwa.mana tunajua tunae mtetezi.asante mungu

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 3 ปีที่แล้ว +7

    Asante brother mheshimiwa kazi unaifanya, unatutia sana moyo,mzee wetu,hongera kwa kazi yako

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 3 ปีที่แล้ว +8

    Maombi yetu watanzania wazalendo tuelekeze kwa waziri mkuu wetu huyu ndio mungu katuachia faraja baada ya jpm kusimamia pesa za serikali nakuyaumbua majizi kumbe ndio maana leo yanamiliki majumba miladi mbalimbali na mitoto yao kusoma ulaya sababu ya pesa za walipa kodi wanyonge Mungu akutunze baba majaliwa tunakutegemea sana🙏🙏🙏

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 ปีที่แล้ว +1

    Isantakwa Kaz nzuri MUNGU akulinde 👏 Sana.🤝

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda hii kauli "KAMANDA WA PCCB CHUKUA HUYU" safi sana Waziri Mkuu wetu

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 3 ปีที่แล้ว +1

    Salamu za Uzalendo zifike kwa Waziri Mkuu nawasimamia Mali za UMA woteeee kazi inaendelea🇹🇿

  • @jameschali6023
    @jameschali6023 3 ปีที่แล้ว +6

    Jamani naomba tumuite huyu mheshimiwa Jpm au mnasemaje wadau

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mhe Waziri Mkuu unatupa faraja sana

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 4 ปีที่แล้ว +6

    Waziri Mkuu Ongera Sana, Hao watu wapo wengi Sana huku wilayani wamejaa. Wanajifanya wataalamu kumbe ni majambazi wakubwa, wanapenda kutukuzwa kama miungu. Kazi yao nikunyanyasa mafundi Tu. Lakini nimarafiki wakubwa wa masaplaya wakati mwingine wanaenda madukani wenyewe kununua vifaa wanaacha kamati ilioteuliwa

  • @issaidrisamusa8437
    @issaidrisamusa8437 3 ปีที่แล้ว +5

    Habari njema Sana , ndio usimamizi WA Mali ya Umma huu

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 3 ปีที่แล้ว +1

    Wezi hao weka ndani. Mwizi ndio mtu wa kwanza kurudisha maendeleo nyumaa. Safi sana majaliwa! Tuko pamoja.

  • @florakaaya4559
    @florakaaya4559 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunakuombea Majaliwa wetu komesha wadonozi. 🙏

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 4 ปีที่แล้ว +2

    Safiiiii sanaaaa mkuuu nimependa hiyooo linapandisha kigugumizi kwa kodi ya Wananchi mpaka atoe hizo pesa Ndiyo tumwache

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

      Chapa kazi tu MHE magufuli wewe tumbua tu baba wewe ndiyo magufuli watu walikuwa wanaanza kupiga kelele sana kuwa kazi zimeanza kulala tumbua tu

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 3 ปีที่แล้ว +1

    U r a man. Ndicho chuma hicho watanzania mhula ujao musidanganywe. Magufuli aliwaachia. Mwacheni mama amalize mda wake kwa salama.

  • @hoseaseif6602
    @hoseaseif6602 ปีที่แล้ว

    Saffi sana baba majaliwa kwakazi nzuri sana ninaimanikubwa nawewe katika nchi hii

  • @ramadhanmafuruka351
    @ramadhanmafuruka351 3 ปีที่แล้ว +1

    Daaaah hadi raha nimeipenda hiyo wanaanza upigaji huo wanaitumia kauli ya kwamba acha kazi iendelee

  • @charleskizo6698
    @charleskizo6698 3 ปีที่แล้ว +1

    Pongezi nyingi sana kwa Waziri Mkuu.
    Unafaa kuwa rais 2025

  • @benjaminilunga8826
    @benjaminilunga8826 3 ปีที่แล้ว +2

    Baba wazi mkuu kamajaluwa tunakutegemea na raisi wetu mpendwa mama yetu Samia H S

  • @davidivedasto1844
    @davidivedasto1844 3 ปีที่แล้ว

    Big up PM pamoja sana tumbua majibu kazi iendelee...👍👍👍👍

  • @shabanismaily5777
    @shabanismaily5777 4 ปีที่แล้ว +7

    Kamanda PCCB mchukue huyo!!! Heshima kwako Pm.

  • @benatusrupili9521
    @benatusrupili9521 3 ปีที่แล้ว +5

    Rais ni wewee 25

    • @issaidrisamusa8437
      @issaidrisamusa8437 3 ปีที่แล้ว +1

      Duuh , kwayo awamu ya sita ni half time au

    • @evflorasoledad1437
      @evflorasoledad1437 3 ปีที่แล้ว

      @@issaidrisamusa8437 huyo mama anamalizia awamu ya tano aondoke kabisa.

  • @phillipolaizer20
    @phillipolaizer20 3 ปีที่แล้ว

    We are proud of u our primminister ata uyu mama atumuelewi kwakwwli

  • @annangaiza8701
    @annangaiza8701 ปีที่แล้ว

    Asante Sana mheshimiwa

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 ปีที่แล้ว

    the guy is innocent, alikuwa anaelezea kila kitu as leader you have to listen, you are very smart but listening is good idea

  • @japhetkatunziofficiallydon9587
    @japhetkatunziofficiallydon9587 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana majaliwa uondo uzalendo Piga kazi

  • @fabianmagwaza4760
    @fabianmagwaza4760 3 ปีที่แล้ว +2

    Hofu ya Mungu anayo anayekumbk kifo. Watz weng tunalia ajra mshahar wa lak3 kwa mwez hatupat. MTU anachukua ela ambayo ata penshen yko haitafikia. Hakika Mungu ataadhb utakfr hamtakufa. Watu wanalala njaa mnajlipa ivo?? Hakika watu wabnafs

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 ปีที่แล้ว +2

    Umeniunganisha na anko magi,💯

    • @radhiambwana3353
      @radhiambwana3353 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaha kdg tunapata Amani Salam kwa waziri Mkuu🇹🇿

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter7295 3 ปีที่แล้ว +1

    wanamwita Mh....... kasimu majaliwa mtoto wa kusini mkoa wa Lindi kusini usio mjua utamchulia poa wana kusini wanakihita chuma cha reli hata mimi binafsi naungana na wana kusini ukisema Jembe uja koseah baba Yetu kasimu piga kazi simamia aki za watanzania baba Axante

  • @josiahlugwisha6273
    @josiahlugwisha6273 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mweshimiwa kwa kazi nzuli.

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo5796 3 ปีที่แล้ว +1

    Tunataka uwe rais

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 ปีที่แล้ว

    Wewe ni zaidi magufuri umenifanya nicheke kama bwege waziri mkuu.we kweli mkuu no mistake

  • @nemeskimbe376
    @nemeskimbe376 ปีที่แล้ว

    Hivi mkuu wa mkoa wilaya Taukuru hawaoni mpaka aje waxiri mkuu awamrishe kuwakamata hao jamaa nchi ya hovyo kweli hii

  • @GHOST-gc8ju
    @GHOST-gc8ju 4 ปีที่แล้ว +2

    Kuna mambo yanatia kinyaa sana sijui kwanini watanzania tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu Safi Sana wewe Ni Muwajibikaji hasa

  • @alfoncewiliam6680
    @alfoncewiliam6680 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana baba

  • @partonmosha8433
    @partonmosha8433 3 ปีที่แล้ว

    Mm ni Mpinzani Damu, ila nakuelewa sana PM, nikuombe tu usiwe sehemu ya ccm asilia, Bora kujiuzulu kama wataendeleza mfumo mbaya ktk kulinda Kodi za watz, ILI TUKUCHAGUE BAADAE.

  • @mohamedally24
    @mohamedally24 ปีที่แล้ว

    God bless you for your work

  • @muhamadikakatu5706
    @muhamadikakatu5706 3 ปีที่แล้ว +1

    Jembeee baba majaliwaweee fanyakazi

  • @Emmanuel_Assenga
    @Emmanuel_Assenga 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh, Kumbe bora Hata Magufuli

  • @kissakamwanga8365
    @kissakamwanga8365 3 ปีที่แล้ว +2

    Mimisiuzagi vitasa msijekwangu🙄🙄🙄

  • @matitutvonline4184
    @matitutvonline4184 3 ปีที่แล้ว

    Hata serikali ijayo bado utafaa kuwa unafaa kuwa nafasi hiyo

  • @patrickmlowe9748
    @patrickmlowe9748 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ndie mzalendo wetu alie baki jamani

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 3 ปีที่แล้ว

    Kwa mwendo huuuuu wataelewaaa TUUU.

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 3 ปีที่แล้ว +1

    Tuna imani na wewe majaliwa pigania wanyonge fatal nyayo

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 ปีที่แล้ว

    AHSANTE Mh.Majaliwa. " "Kazi iendelee ".

  • @mariamlucas6922
    @mariamlucas6922 ปีที่แล้ว

    Piga kazi baba utuokoe

  • @hellenhartley4316
    @hellenhartley4316 3 ปีที่แล้ว +1

    Umebaki pekeyako usichoke 2025 inahusu

    • @mambohaji5379
      @mambohaji5379 3 ปีที่แล้ว

      Kamua wote janjajanja mkuu

  • @seifkassim4579
    @seifkassim4579 3 ปีที่แล้ว

    Jani naombeni kuulia.kwanini sehem anaekuwa kasim majaliwa barakoa azionekani.sehem anaekuwa mama samia barakoa kama zote hii imekaaje?

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 4 ปีที่แล้ว

    Pambana bosi wangu

  • @ackenkubetta9541
    @ackenkubetta9541 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh Pm hataki utani

  • @wolfuganasenga8062
    @wolfuganasenga8062 2 ปีที่แล้ว

    Hapo sasa watanzania tunataka nini jamani jembe hilo

  • @bagamoyoetv6371
    @bagamoyoetv6371 ปีที่แล้ว

    KAaim

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 3 ปีที่แล้ว

    Tumain rangu ripo kwako waziri mkuu

  • @florakaaya4559
    @florakaaya4559 3 ปีที่แล้ว

    Wanyonge hata Ukijenga Choo Unipe manispaa. Lkn Hao wanakula Billion kila wiki.tunakuombea sanaa Baba.ulinzi wa Malaika Wema wakuzunguke

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

    Waziri gani achukuliwe mbona sielewi

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 3 ปีที่แล้ว +1

    Naa...naaa...

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 ปีที่แล้ว

    kamanda PCCB,mchukue huyu,simple tu😂

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe ปีที่แล้ว

    😄😄😄

  • @dickngimba4333
    @dickngimba4333 ปีที่แล้ว

    hapo mh: upo kazin walisema kichaka wakawa wanajarb kuwachezea funga wote mbona wanao iba kuku wanafungwa afu taifishen Mali zao wamejihonga tukisema maisha magumu bado tunaona wezetu wananepa kumbe wanapiga mkuu kaza mwendo mungu atakulinda kiongoz wetu

  • @gidiondaanajuadaudy1164
    @gidiondaanajuadaudy1164 3 ปีที่แล้ว

    Madiru mick

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe jamaa wanapiga pesa Sana.

  • @jumakilewa7265
    @jumakilewa7265 3 ปีที่แล้ว +2

    Watumishi hawana uzalendo waende jeshini miezi mitatu vinginevyo mchwa hawaishi! !!!!

  • @alfoncewiliam6680
    @alfoncewiliam6680 3 ปีที่แล้ว

    Tufute machozi mkuu

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 3 ปีที่แล้ว

    Tumbua

  • @matesojoseph7817
    @matesojoseph7817 3 ปีที่แล้ว

    Safj