🎉🎉 hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu, plz follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana
Cha maingi ukimwi siyo ugonjwa ni upungufu wa kinga hata ukiwa na malaria ni kwa sababu kinga yako ilikuwa na shida ikaruhusu wadudu washambulie damu yako elewa ww
Celine Dion aje Africa apikiwe vyakula vya kiasili, atapona, Celine Dion come Africa eat African food you ended be fine
Sasa twend kaz 🔥🔥🔥🔥
Hayo magonjwa yanawapata watu wenye pesa tu😢😢 mola awape afya njema
We Tema mate chini
Duh wakati mwingine pesa inakuokoa 😢😢
wewe shedi uko sawa nakupongeza sana content zako napenda sana nikiwa apa nairobi.
🎉🎉 hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu, plz follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana
Siwez waombea watu wanaotafuta magonjwa wao wenyew wanataka umaarufu illuminate inatoa pesa sio bure😂😂😂33
Pole yao Mungu awanusuru
Daaah yaaan ujue pesa sio kila kitu yaan hapo pesa haifanyi chochote
Ebu nieleze story ya warlocks,nimewahi kuwa na rafiki yangu ambae ni warlock, hao ni akina nani hasa tuundie makala kuhusu warlocks
Mkuu, tuandalie simulizi kumhusu kat Deluna
Kwani ana nini kat deluna
Usipende kutumia muda kwny mambo unayoona hayafai kwako.
Chukua hiyo 👆
Tuletee maisha ya selena gomez aliyoptia
Hatariii
Waje kawe kwa mwamposa watapona chap
Na watu masikini wasio maarufu wataombewa na nani
Umaarufu tabu sana😢😢
Niach kumuombea mam ang nkawaombee mason kak Shedy
Mmh, sijui kama masonic kweli Bali wanamatatizokama wengine..
Cha maingi ukimwi siyo ugonjwa ni upungufu wa kinga hata ukiwa na malaria ni kwa sababu kinga yako ilikuwa na shida ikaruhusu wadudu washambulie damu yako elewa ww
Mbona wazungu hapa ulaya sana hiv wengi tuu mie naishi hapa kinachowasaidia wanakula chalupa bora hivyo ukimwi hauwapati
Ni kweli kabisa kwanini hawasumbuliwi is ukimwi???????
Ukimwi ni ugonjwa wa maskini weee
@@qihuhabruno5910 🤔🤔
Asantetuwaombee
Hayo magonwa wanapewa Na eluminate
Kabisa hakuna cha bure kwenye huu ulimwengu kila mtu atavuna alichopanda
Kabisa teen
KWANINI WAZUNGU HAWASUMBULIWI NA UKIMWI😂
Wakanza Leo nipni like zangu 😂
Ombea wagonjwa kwanza achana na likes
Naomba story ya VUSI THEMBEKWAYO
Tofautisha hiv na ukimwi
Wewe nipe salamu
😂😅 jamnagar madam asiye na kasoro
Sija wai kumtamani Kim kadashiani
Yani ndotatizo laujinga wa waafrica yani tuwaombee watu ambao hawajielewi kwakipi.
Kaka embu tupelo habari kuhusu alibaba jak maa yupo
Mimi wa pili nipeni like zangu😅😅