SHERIA KALI anazotakiwa kufuata MKE wa KIM JONG UN,maisha yake YANASIKITISHA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ธ.ค. 2020
- This video explain the life of Kim Jong Un's Wife,Ri sol ju,and the strictly rules she's requredto follow.
voice over :Justin Shed - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Wanaeshimiwa sana awa majamaa sababu wanajiwezi kwa kila kitu, hawaitaji misaada toka inje, nawaeshimu Sana awa majamaa 👍👍
Kuishi maisha ya kawaida Raha kweli mlizi wako Allah Na malaika wake
Sema kuna muda misimamo inakufanya maisha YAKO kwenda mbela...ila misimamo usiwe adui wa nafsi ya mwenzio
Did
Nzuri sana
Yes yuko sahii c mkewe mwanaume ndo anae panga ndani
Sheria Kali hizo
Just good
Raisi kimu yupo vizuri tu sema haikubali ujingaaa ndooo maaana wanamchukia malekani
Duuh kiduku anaupga mwingi mi nlijua ukiwa raisi ni kula bata tu coz uhuru unao pesa unazo mke mzuri,watt bac na kuiongoza nchi kumbe kuna masharti magumu ivyo mmh bora nife maskini aiseeh
Aise me cningekua nimebaki kama fuvu kwakukosa kuonana na familia yangu😥
Hiyo ndio sample ya magu kazi kazi.mwandishi acha kuchonga maneno hizo tunaitaga kamkunji
love you kim from congo zaire
Mm mnamkubali sana
Nampenda Sana kim
D3d
Hunishindi mm
Mh... Wee mengne unapatia mengne unazdisha mh... Wee izo pcha umezpataje uwongo mtupu na izo nguo km haztakiwi s wanfestopsha tu unafkir km nch za afrika kitu hakitakiwi kisha kinasambaa mitani weww kua makin na story za paukwa pakawa alikuepo na ikaishia kula maisha ya raha na mustarehe
Ninamkubali sana uyu jamaa kwa misimamo yake
Twende kazi
Tokende
Uyu jmaaa htr
Ila mkuu story za wagiliki za miungu umezitupa mkuno sanaaa ebu tufanyie mipango mkuu
Wee umedanganya bwana kwanza alimuuwa kaka yake aliwatumia wasichana wawil wa kiindonesia lakin iyo ilifichwa fichwa na ndomana ile nchi inashelia Kali kulipo hapo mwanzo
Nimekuwa wa kwanza😁😁
Daah
🌹남 과북🇰🇷🇰🇵🌹우리 한민족 한반도 평화를 바랍니다!🙏🇰🇷🇰🇵🇰🇷🇰🇵🙏
Mmmh! Hapana kwakweli!
Sio sheria nzuri hio
Usiamini.kila unachosikia
Unaongea pointi sana lakini unapo feli kusema Kim ni dictator huyo ni mfalme nakule hua kunamfumo wa ufalme na ninawapongeza sana kwa mfumo huo
😀😀😀😀ulishawahi kuikia neno Monarchy au Kingdom???kule kuna rais na hakuna mfalme ukibisha tu nakupa aina ya mfumo wa utawala wanaotumia na nakupa maelezo ambayo huyu jamaa na media yake nzima hafahamu na utashangaa...bisha nikufundishe...haya yanayoongelewa hapa ni kweli kbs
Ww
We umezipataje izo pcha zake, mbona unadanganya
Ila anatumia akili xan ili kujilinda zidi ya maadui wake
Sio kwa sheria hizo 🤔 huko sini kuwa tesa watu wanao ishi katika hio nchi sasa😔
kamanataka nikaowe korea aiwezekani mana nawapenda sana
Unakosea sana kumwita dicteta ,inaonyesha umeathirika na media za kimagharibi,huna unachokijua kuhusu hawa watu hata kimoja maana hawa ni watu wenye siri kubwa sana
👍🏾
Huyu mwamba kweli dikteta.
Daaaaa
KIM NAMKUBALI SANA SANA
Enslaving people in Labour camps!
Unknown people
Uyu jamaaa halitakiwa hawe raic wa tanzania hili kuwanyosha majizi🤡😎
Hhh
Kwel
Anaitwa Kiduku
Ni hatari lkn salama
Inaonekana huo utafiti wako uliutolea malekani kwahiyo umekalilishwa kueneza propaganda
Mmh huu ni utumwa hata kama anaishi kama yupo peponi
Hiyo nikazani sasa
Sorry 4 her
Binafsi nampenda kim
Omba uraia ukaishi huko
Kiboko ya wazungu
Itakuwanaiyosiopicha yake umeediti
✌️✌️✌️
1st lady wengne wanapata raha ila huyu yuko jehannam y duniani
binafsi namkubali saana kim
Sheria izo ndo nzurii at c tumemmiss kim maguu
Shilki
Hakuna marefu yasio na ncha
Jamn mpaka huruma...
Unatish brother
Ni hatari sasa mbona inatisha
Hhh
We umejuaje mbn muongoo sana ww
Daaah
Rais kim jong yuko sawa
Angetuoa sisi watanzania kila siku angekuwa haishi kutuchinja 😂😂
Hahahahahahhaaaaaaa
Hahahaaaa kumbe mwajijua mlivyo wasumbufu ee nani kweli mngechinjwa kama kuku
😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣
Doooh
8:22 kidogo umenichanganya wananchi wa Korea unasema hawaruhusiwi kwenda nje ya nchi wala kupiga simu nje ya nchi lakini mkewe alisoma China na bandi pia ilikuwa ikizinguka nchi jirani umeniacha njia panda mkuu from 974
Alifanya hivyo kabla ya kuolewa na president
@@davidntwale4028 Bt Amesema na wananchi hawaruhusiwi mbona kabla hajaolewa mkewe alitoka nje c alikuwa mwananchi pia
Uko vzr brother lkn tunataka tukuone na ww jinsi ulivo maana tunaskia sauti tu
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa 😄😄😄
Uyu jamaa nimeamini kwel ni dictator wa world!
prof jamaal april is the NEXT LEVEL
@@kimongamsafi5417 ttzo hyu jamaa muongo sana yy hana tofaut na bbc
@@msanifgdf615 wewe unajuaje kama huyo jamali ni mkweli
Safi sana...kutosema ya zamani
Acha kuleta udini brooh!!! Najua unatetea kwasababu ni dini yako haya sema sasa ni zaidi ya milaard ayo
@@msanifgdf615 mbona Jamal alitudanganya kwenye story ya ndege iliyo potea na kuja kuonekana miaka mingi badae
Hiyo haiwezekani kuwa wazee wake wasionane
Propaganda 2 ili aonekane mbya. Wejamaa hunalolote
Lil nass x
Staki ujinga huo yote poa ila sonisione ndugu zangu
Ndo maana unatangatanga kwa sababu hutaki kuishi anavyotaka mumeo
@@salmaseif6284 sijawah kutanga tangu nazaliwa ivo poole
Dah! Hiyo nchi ni Bora uishi sehemu isiyojulikana Kama jehanamu kuliko huko.
Ww unaijua jahannam au unaisikia tu ....omba usikurane nayo Allah atuepushe na moto huo mkali
Innarillah wa Inna ileih rajoun Allah
Hiv fikilia kama uliwahi kutembea na huyu dem zaman itakuwaje
Kifo kinakuhusu utajua hujui
Achaneni nae ya watu yanamhusu nni
Kwa nini unamuita ivoo???????
me kama nd mke wake ningetoroka
Utoroke kwenda wap
Hizo ni propaganda za magharibi, kumtengenezea maadai, kumfanya awe mbaya
Kweli moudy s...huyu bongo fasta anachukua video za watu yy anafanya tafsiri t bila ata kufanya research ya ndani
Huyu jamaa ni mshenzi tu na mkibisha nitakupeni ushahidi bila kuogopa mamlaka...mnakumbuka alichokifanya 2017 fanya utafit maana hyo ni trailer na vp kuhusu majaribio ya makombora na kuu viumbe na kuharibu mazingira kwa kifupi he is against the United Nations Organisation na mambo mengi tu ya haki za kibinadamu
Acha kusem diktet
Ni mke wake au ni dadaake?
Mamake
Hio ni uongo,,,,,,,,,na upuzi,,,,,,,,na ushenzi,,,,,,
Yes...huyu bongo fasta ana tafsiri t video za wasungu bila ata kufanya research..ukweli umezingwa na mapazia ya dimokrasia
ETI NISIONANE NA FAMILIA YANGU???WHAT UPUUZI MTUPU
Utakubali maana unagongana na mkuu wa korea kaskazini
Hakuña dictator apoo açha uongo
lakini yeye sio diktekta kama tundulisu
Kim jong un sio dictator
Kim ni mwambaa 😂😂
Kimdomo chake kama tundu la pua
Uongo mtupu
Kumbe kiduku anamke
we huogop🤣🤣😂😂
Nyie waongo.alienda nae matekani
Jamaa haogopi wazungu ndio maana wanamfanya aonekane mbaya, mbona nchi yake iko vizuri tu, acheni kusambaza uwongo
usidanganyike kwamba nchi yake iko vizuri. waKorea Kaskazini wanaishi kwenye ufukara mkubwa
@@shau78 ufukara? Unajua nini maana ya ufukara? Nitajie nchi ambayo haina ufukara na wafukara
@@crayonmaze9970 nimeelewe
@@crayonmaze9970 wewe hakuna kitu wajua ama kuelewa waongea TU sijui maana una mdomo ama ni shule ulitoroka anyway .....hujui kuhusu Korea kaskazini ...yote yanayosemwa hapo ni ukweli na zaidi hajasema ....kim ni hatari kiasi ya kupangia raia wake maisha yake hawana Raha na yeye kabsaaa...hakuna mkorea mwenye iyo haircut yake ukipatikana wewe ni maiti,jinsi ya kuvaa raia pia wamepangiwa ....huwezi piga picha ovyoovyo ..ata hairstyles ya wanawake ni moja Kwa wakorea wote ....ufukara upo Kila mahali Hadi uko
@@magzakky2781
Raia wanakufaga njaa, na wengi wanahatarisha maisha yao kwa kujaribu kutoroka nchi yao.