Unajua nn shedy, Kwa wenzetu wazungu inawezekana kupanda ukashuka kilahisi, Lkn kwa nchi zetu za kiafrika tajili ni tajili sababu ukiwa na hela unakuwa juu ya sheria. Lkn kwa wenzetu wazungu Sheria zao zinaheshimiwa kwa usawa Atilist
Kazi nzuri sana Justin shed lakini nina pendekezo moja dakika kumi kwenye video haitoshi mze kama itawezekana uwe unafanya video za dakika walau ishirini kk
Hiyo picha ya 50 Cent alikonda kwa program maalum kwa sababu alikuwa kwenye movie akiigiza kama mgonjwa wa Cancer, hajafilisika na yuko vzr sana kwa sasa, na amebase kwenye movie
Dah! Mm ndo maana namuelewa sana yule mzee wa Kenya aliyowai kugombea nafasi ya urais Kenya na kuahidi akipata urais ataruhusu bangi kuwa zao la biashara kama tyson anaingiza 2 billions kwa mwezi kwa kuuza bangi maana yake kama serikali itaamua bangi kuifanya za la biashara kuingiza pato la taifa tutavuna pesa nyingi sana kwenye kilimo cha bangi kuliko kilimo changine chochote hapa tz …
Bongo bhna kwa maneno ya Kuambiwa. 50cent bado yuko poa sema naWw n sehem ya kutafutia pesa lkn mwamba bado pesa ipo..........ninacho amini Bongo ili utulend ongelea mambo ya ovyo ovyo kama mandonga kupigwa na kaoneka mandonga akatulend
Ukipata pesa, jiweke mbali na wanawake hasa makahaba. Kahaba lengo lake ni kukufilisi tu.
Kweli bro?
😂😂😂
😂😂😂😂
kama mama ako🤣🤣🤣🤣
@@jacquilinenoah949 kwani wewe kahaba🤣😂😅
j. shed much like from mbeya town
Nakubali sana ndugu.🙌
Unajua nn shedy, Kwa wenzetu wazungu inawezekana kupanda ukashuka kilahisi,
Lkn kwa nchi zetu za kiafrika tajili ni tajili sababu ukiwa na hela unakuwa juu ya sheria. Lkn kwa wenzetu wazungu Sheria zao zinaheshimiwa kwa usawa Atilist
Yan umeachia bonge la comment good idea bro
@@personpeter2221 Ahsante
Tupe zingine kwasababu tilisha like video yako👌👌👌👌♥️♥️♥️
Hii picha nakumbuka alitakiwa akonde hv coz aliigiza km mgonjwa wa cancer. Kitambo hii nadhan.
Safi sana jastin
Lkn 50 bado ako imara pale Hollywood
Leo nakukosoa mzee usiweke kasha kamahiyo kakonda na kunenepa wakati 50 anaafyayake so umeteleza mzee 💪
😂❤❤❤❤😮😅
Af 50 ana maisha mazuri tu sana,.
that's y I used to learn nikiwa na pesa nisiwe na kiburi naku dharau watu
Ishu ya 50 cent hapo umezingua hyo ni movie na haikupaswa kua hapo fanya tafiti
Kipindi anaanza movie alijikondesha ili avae uhusika wa sini aliyokuwa anaicheza
Mimi na mkbali Sana 50cent
Mbn watanzania hiwasemi😂😂😂😂😂 kuna tule simba wa moro 😂😂😂feroos kamekonda kimboga yani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakubaliana nawe ila hapo kwa 50 cent nmejitenga nawe kwani yeye ni mcheza filamu maarufu na anaingiza hera nyingi
Nanukuu kasema kuna kipindi alipitia hali ya kufilisika ila kwa sasa yuko vizuri na hadi kalipa madeni 75 %
Kazi nzuri sana Justin shed lakini nina pendekezo moja dakika kumi kwenye video haitoshi mze kama itawezekana uwe unafanya video za dakika walau ishirini kk
Mimi wa9 kucomment
Cool bro 👌
Poleni
50 cent is still rich uongooo
50 cent is still rich he’s rich until now
Amesema sahi ni mfanyi biashara lakini aliwahi firisika video ikianza skiza vizur
Thumb nail ya kinafiki na wongo..50 Cent ni Moja Kati ya matajiri wakubwa sanaa kwa sasa
Hii list haitoshi wapo wengi sana ambao wamefilisika kama wakina tpain na wakina nely
Wanawake Aisee!Kaa Mbali Nao
Nakukubal sna justine shedy Sema 50 cent bado rich
Iyo ya 50 cent usitudanganye
plz fanya kwa uwingi
Hiyo picha ya 50 Cent alikonda kwa program maalum kwa sababu alikuwa kwenye movie akiigiza kama mgonjwa wa Cancer, hajafilisika na yuko vzr sana kwa sasa, na amebase kwenye movie
Bora umenielewesha nilikuwa naamini iki kiupuuzi apa,🤗🤣🤣🤣
Very true
Can't wait.........
Mr Justin fanya kutuangushia list nyingine
Uongo hii ni filamu ya 50 cent inaitw Ngugi ya Thiongo' yule wa Kenya aliefungwa sasa 50 cent aliambiwa ajikondeshe hivyo
Sawa Ila mbona Kuna jamaa Kama amecopy hii channel afu anachukua story zako ebu mcheki asiendelee kutuchanganya
Haujawahi kosea mzee baba
All is vanity
Maagano ya KISHETANI.Wanakuwa na MIKATABA NA SHETANI.
Wakishindwa ndio ADHABU YAO
UNAFILISIIWA Mpaka zerooo
Unaongea hisia. Ongea unachokiamin
Daaa hujafa huja umbika
Hatarii
Tuletee yaliyotokea brazil
Nc
Bdo like 399 utuletee hiyo 2
2jue mamb ya watu
Kweli kweli ni magumu
kweli nomaah
Dah! Mm ndo maana namuelewa sana yule mzee wa Kenya aliyowai kugombea nafasi ya urais Kenya na kuahidi akipata urais ataruhusu bangi kuwa zao la biashara kama tyson anaingiza 2 billions kwa mwezi kwa kuuza bangi maana yake kama serikali itaamua bangi kuifanya za la biashara kuingiza pato la taifa tutavuna pesa nyingi sana kwenye kilimo cha bangi kuliko kilimo changine chochote hapa tz …
Sio mzima wew
@@nasirkilapo6041 ww unajiona akili zipo kwako
Ogopa mwanamke na pesa weuh!
Mimi hapa nina laki nne tu na maisha yanatakiwa kwenda 🤣🤣 dah!
Sio ndogo hii yana nyingi sana broo 🙏💪
😂😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Pesa n maua aah tena yauwa🙄🙏🙄🙄🤔
Alikosea masharti 😂ya freemason
Pitia frm 254🔥🔥
Dani
Duuuh kmb
Ndio Master
Muendelezo
ati 50 Cent🤣🤣huyu anatafuta views
50 Cent msanii wangu wa utotoni
Duh
Jenafa bhna 🤧
M nasubri story ya paul kagame kwa uref kabs
Usiwe hivyo SS sote wanadamu sote
tu ment ce de 50cent est ete un film
50 cent hayuko broke fanya uchunguz then uanze kutalk
Elewa video vzr kwanza ndo uongee
Bongo bhna kwa maneno ya Kuambiwa. 50cent bado yuko poa sema naWw n sehem ya kutafutia pesa lkn mwamba bado pesa ipo..........ninacho amini Bongo ili utulend ongelea mambo ya ovyo ovyo kama mandonga kupigwa na kaoneka mandonga akatulend
Uwe unasikiliza mpaka mwisho.
Sio ku comment unavyojisikia
Nkiskiliza ndo wakt kasema 50cent kafiliska achen maneno ya Kuambiwa
Hivi unajua neno alifilisika kuw ni wakat uliopita au kiswahili sio lugha yako
Mawazo yangu sio lazima yafanane na yako mameni
Wew ni mbuz unaambiwa alifirisika lakini kwa sasa yuko vizur anafanya biashara wew unapuyanga lwako tu sijuwi elimu ya ngumbaru iko kwenye fuvu lako!!
Bila shaka mm ndo kwaza kuona video hiii
Hujakosea wewe ni wa kwanza ndugu yangu.
🖐️🖐️bongo fasta
Foolish analysis
50 cent bado ni tajiri wa kutisha