Huyu ndo mwamba wa kdrama..JUMONG ndo series ya kwanza ya kikorea niliyoanza kuitazama na ndo imefny nijue kdramas na nizipende mpk leo 🔥 mwamba anajua sana kuigiza 🙌🏾
2007 au 2009 hapo ndio nilikuwa naangalia hii move ITV yaan niliipenda sana sana kusahau kazi kwenda bar kuangalia TV maana TV zilikuwa chache mpka nmekuja kuyapata maisha ndo nkaanza kuangalia upya zikafata CITY HUNTER, A MAN COOLED GOD, IRIS, GIANT , EAST OF EDEN na zingine kali sana
Jumong is and always will be number one at my home box
Huyo mwamba kanifunza vingi sanaa mpka leo nmejua kutumia kisu kumenya viazi
Hahaha
😂😂😂😂😂😂
Huyu ndo mwamba wa kdrama..JUMONG ndo series ya kwanza ya kikorea niliyoanza kuitazama na ndo imefny nijue kdramas na nizipende mpk leo 🔥 mwamba anajua sana kuigiza 🙌🏾
kabisa yani hadi mimi
Ilikuwa kali sn
My Korean drama of all the time❤
Most of us 😊
Jumong, land of wind, king gwangaeto, faith, Iris na man called God. Best to watch.
Bro umenikosha sana
Yaani movies ulizo taja
Zimenikumbusha vibanda
Vya sinema
We unazijua movie mpka king gwagweto, unamjua na damdock,,, hatar sana,, na jumong, faith ya lee min hoo❤❤
tafuta six flying dragon na slave hunter hutotaja upuuz km faith
@@user-bw8sf4bb1v six nimeiona pia,, hata slave japo zaman sana , yule jamaa si ndio libangwo wa six flying dragon,, wakaleta na hidden roots ❤️❤️❤️
@@user-bw8sf4bb1v slave hunter, jung hyuk, muvi kali sana, zote nimeziona.
2007 au 2009 hapo ndio nilikuwa naangalia hii move ITV yaan niliipenda sana sana kusahau kazi kwenda bar kuangalia TV maana TV zilikuwa chache mpka nmekuja kuyapata maisha ndo nkaanza kuangalia upya zikafata CITY HUNTER, A MAN COOLED GOD, IRIS, GIANT , EAST OF EDEN na zingine kali sana
Upo sahihi
A man called God ilifanya baada ya jumong ndio walianza kucheza series wanazovaa kawaida sio kiasili kisha city hunter alicheza lee min hoo
2009 bro
Iris❤
Ni ya Kwanza na ya mwisho tamthiriya Bora zaidi kwangu
Huyu mamba ni hatari, sana nimejifunza mengi sana kutoka kwake, yaani kuijua ndoto na kuifuatilia na kuipambania hadi itokee.
Amina
Nilikuwa. Natoroka mafundisho kanisan nakuja kuangalia jumong yaan kuliko nkose jumong bora nikose ubarikio
Basi ndomana hujabarikiwa Hadi leo😅. Kajinga wewe😢
😂😂
Ndio maana ndoa yetu 😂😂😂😂
Ujinga tuu
@@juniorsonofgod5675 sawa kajinga kenzangu
Aisee hii move ndiy ilinifanya niangalie move za wakorea hta kesho bado naiangalia ❤❤❤
Ilikuwa kidogo nifeli coz ya hii Tamthilia Pugu High school 2009-2011 moja ya Tamthilia bora ya muda wote kwa kujifunza maisha kwa ujumla wake.
Mi mwenzio nilifeli kabsaa ilikuwa kila nkisoma sielewi nawaza jumong ty
Mpaka hivi mimi sijawahi choka movies yake uyu mwamba ❤❤
Uyu Kaka IKO vizuri kabisa mungu amulunde nilimupendaka mupaka kumwicho
Series yangu pendwa
Nakubali sana kazi yako ❤
Hongera almost 1mill subscribers
🥰tulikuwa tuna ifatilia familia nzima,ilikuwa ikioneshwa chanel ya capital
Saa mbili muda wa taarifa ya Habari, ilikua vita
2006
This is best Drama ever..
😅😅😅 Kuna bibi yangu akizungumza na jimong kwenye tv kama mwanawe
Enzi izo itv dah atar sana
Drama ya kwanza kuicheki ITV na ndio tamthilia yangu muda wote na ndio imeniinspire kuwafatilia wakorea
Nakubali Sana anacheza kwa hisia
Enyi wenyeji msiyo sajiliwa. Chukuwenikibali haraka subscribe.😂
First series movie to watch at itv television and he is number one fun always still now na wul and wul role medal wake ni mwamba huyu apaaa
Hii series ilifany nipende kdrama. Jumong ❤️❤️❤️
Ahsante kwa Elimu
Napenda sana Korea ❤❤❤❤❤❤
Iv awajamaa wana nzee kichwan mpaka nipewe like mara mauwa
hii movi me ndo ya kwanza kutazama season
Wa kwanza kabsaa npen
Like zangu
Dah mm niliangalia cd mwanzo mwisho hadi uzao wake yuri jmn
Gabriel nikiwa Kigali Rwanda nakufuatavizurisana
jumong is my favorite artist
Naipenda sana
Hiii hatar🔥
skills man
Tumetoka mbali kwa kweli 😂😂😂
Mm mpk Leo Bado naitazama
Wengine tuliitazama enzi za CD huko afu baadae nao ITV wakaileta wakaionyesha wengi wakazidi kuijua aiseee hii Haina mpinzani hata
A man called God aliua sana
The land of wind super killer
twennde kaz jastin shedi
Hadi leo bado naipenda sana tu
Mimi nampenda jumong❤❤❤❤❤
Jumong was my favourite movie
chumong,mary,hyppo,oi, taeso, susunho
He's so handsome 🎉🎉🎉
Ongezea hapo jamaa amemaster kuchezea upanga,mkewe ni hakimu.
Saa Tano usiku kipindi hicho
Heko tuwape ITV
Kaka natamani utoe story ya Elvis Presley
Mwenyewe link ya hii tamthilia ya jumong anitumie jamani 😢
mimi pia aisee
Ana nyingine inaitwa Emperor of the sea ni nomaaa
Ni atariiiiiiii Emperor of the sea💥💥💥
Jumong bad sichoki kuitazama
Kwel uyo ni three leged bird 🐦 adi ana mapacha watatu
😂😂😂😂
Yaan ni balaa
2009..itv..mda kuanzia saa 5 kamili usiku hadi saa 6usiku
Ndo muvi ya kwanza ya korea tz tukaanzia apo enzi hzo itv 2007 pehaaaaa.,omamaaa.,opaa
Queen seon deok acha tu
mjuba mwenyewe😂😂
Wakwanza
Enzi hizo nimeanza kuangalia kwenye Barmedas😅😅 na ndoyakwanza kuifatilia jmn
Hivi barmedas bado inafanya kazi ?
@@AzizahAlly-lh7jl hakunakitu nguzotu watu walishazifanya kuni
Mwamba 🔥🔥🔥
Ivi inamana mwanamke anaye nipenda Mimi bado hajazaliwa 😢
Jamal
✌️👊👍.
Jumong ndo amenifanya nizipende sizoni?l??
How can i do to watch this kind of movies in kiswahili?
Kikolea ndo nn??Kam hujui kuongea si uache 😟😟
Namkubali Sana jumong cjawah kuchoka kuitazama❤❤
Tamthilia yangu pendwa jumong
Jumong the goat
Sijawah choka kuangalia jumong naipend san
Na wewe justin endelea tu kutoreply sms insta upo hivohivo
tiwa
da imuvi nimelalasana 10 alfajili kalisana
Kuna nyingine inaitwa IJIMAEH anae ikumbka anipe Mana siioni sikuhiz
Jumong niliangalia sana🎉
kwakweli hata mimi na nikiirudia siichoki naona kama ndio kwanza nimeanza kuiangalia
Na hpa ilikuwa inaoneshwa itv nilikuwa naifatlia xana
Vp story za kigirik
Muda,sanatumeimsi,san
mauwa yangu tafadhali
Umefanya nin mpk upewe maua ?
Kuna cku tuliangalia adi sa 12 asubuhi 😢
Bro wallah nilikuwa nakesha na asubui naenda job 😢😢😢😮
😭
Hii sasa ndio ilinifanya nipende kdramas mpaka leoo na haichoshii
In short hii tamthilia ndio ilitufanya watanzania wengi tukazijua kdramma
Tunasubiri blackpink
Kweli
Kitambo sana mzigo wa Jumong kwenye Capital Tv
LEGEND😄😄
I tv pia
Siku ya mwaka mpya usku ndo inaisha capital tv miaka io