Sio kila mwanamke anapenda mwaume wa aina hii huyu mr right anamapepe sana alafu anajikubari sizani kama atapata mwanamke maana wanawake weng wanapenda wanaume wapole
Wenye pesa hawasemagi, Glad uko sasa hihi hana hela kwanza ni marioo na ni tapeli, atakutapeli hadi na ukoo wako. Kodi na ada ya mtoto ikifika lazima atapeli mahali ndio maisha yasonge 😂😂😂 kaa mbali na hyo Mr. Handsome we got money😅
Pesa siyo kila kitu.kaka siyo kweri kuwa wanaoenda hapo wote wanashida na hela pesa siyo kila kitu unaweza kuwa mzuri na ukawa na hela halafu watu wakakunawa vile vile
Try to watch the Steve Harvey shows namely date our mom. We can be better. The girls should have the guiding questions earlier in advance. This is my poor advice
Hila Halia she is very beautiful Manshallah me nampenda alivyo
Nmetokea kukipendaa sanaaa hiki kipindi
Uyu kaka ka dabukwa hata mm ningekukataa mwanaume hujatulia 😂
Tatizo broo anajikubali sana alafu anajiita hendsame mwanaume hasifiwi uhendsame anasifiwa uwajibikaji wake katk familia
Ila @hamisiismaili6342 katika maisha lazima ujikubalj kama ujikubali nani atakae kukubali bhna jiamin the way you are😊
Hahahaha jikubali kabla ujakubaliwa, ungoje kuambiwa handsome kwann?? Mwache amtukuze UINGU kwa kumpa uzuri.. Huyo fimilia anaiweza vzr..
He got self confident ❤❤❤❤
Huyo mshamba mmoja analeta comed kwenye
ishu serious... Bakhresa asemaje sasa...
Ljq😊lp
Kwanza bro. Nimekupenda Sana mkeo lzm atafurahi Sana kwa commedy zako,Wanaume wa hivi ndani hata ununi!! Subirini wapole wawachinje
😂😂😂😂😂
This guy is funny😊😊😊sema mzuri ni kama unalima miwa karibu na shule
Mwanaume anaejisifia n mzuri mbele ya watu huyo hana nyota😂😂😂😂
Wanaooa huku wamepotea njia hakuna mwanamke huku
Luludiva umri unaenda kukaa uchi tu kuonyesha tatoo yako jmn
Jamaa anajisifia sana Yani Duh 😂😂😂😂
Kitendo cha sigaa ya handsome ndo maana hata mzazi mwenzie kakimbia😂😂😂😂
Nimemuona X wangu hapo 😂😂😂
Hahaaaa kamrudishe
Nakubali man show show
Handsome kakataliwa😂
Huu kueli ya upendo ime ji ficha tunao wa penda hawa tupendi na wanao tupenda atuwa pende
Huyu mkaka mzuri lilomo limeponza
Kafeliiii tayariii😂😂😂
Njooo mimi nimekupenda mwaya kwanza mcheshi sana
Sio kila mwanamke anapenda mwaume wa aina hii huyu mr right anamapepe sana alafu anajikubari sizani kama atapata mwanamke maana wanawake weng wanapenda wanaume wapole
Huyu mshenzi msanii mwigiZaj😅
Well kila mtu na chaguo lake lkn jamaa anajisifia balaa sema hzo comedy kuna mabinti wanapenda😂😂
Kwa manen hayo upat mwanamke
Huu ni Uhuni, atakaengia hapa kapotea..😢😢😢
Wenye pesa hawasemagi, Glad uko sasa hihi hana hela kwanza ni marioo na ni tapeli, atakutapeli hadi na ukoo wako. Kodi na ada ya mtoto ikifika lazima atapeli mahali ndio maisha yasonge 😂😂😂 kaa mbali na hyo Mr. Handsome we got money😅
Uyu dada ana hekima zake kabisa
Dem gan anakubali izo swaga
Unajikuta handsome alaf unakataliwa😂😂😂😂
Usijiangalia utajuta maishani
Ndio umeenda hapo kujisifia et unahela sikuiz hata sisi wanawake tunazo bro 😂
🎉 Fact anasifa sana
😂😂huyu kaka anaboa afu anachrkesha
Mwanaume anatakiwa aongee maneno mawili tu sasa huyu kujisifia kumezid
Jamaa kazidisha unyamamwingi
niliacha kuangalia kipind hik 7bb ya eliza2
Hizo swaga za uyu jamaa hata mimi sipendi
Wanaume wakusifia siwapendi😂😂😂😂
Aho. ndo wale eat and run😂
Yuafanana na ex wangu mpaka sifa umbwa huo😅😅
Mr tight. Yuko vizur
Bro kazingua
Jamaaa akili hana😅😅😅
Kuongea sana napo ni shida yaan duh
Eliza ananisubria mimi ngoja nije mr right na namshukuru kwa kuwa amempangusa jamaa
Huyu kaka kama mlevi
Hivi na hawa wadada waauja mnadani na wao wanachagua mmmh makubwa😂😂
Uyu jamaa mario 😂
Broo ulifeli kujiamini ulijiwa hao hawanatimamu mazoea yastejini kuvimba sana😊😊😊😊😊
Eliza mubaya anachagua chefuu
Hata mm siwezi kutaka Eliza uko mstarabu😂
Mwnaume kuwa humble tuliza mapepe ongea kwa vituo kaaa😂😂
Kabisa 😂
Too much Is harmful 😂
Ndo muache kutuchamba wahaya eti tunajisifia 😂😂😂aya tuambie uyo ni mhaya😊
Hapo salsa wahaya wamewazoea
Majina ya yusufu wanapenda sifa halafu hawana lolote ndo kilichomponza😂😂😂😂
dah yussuf majisifu na sjuw kwann karibia wote wako hivo
Mwanangu nimeshinda kukusikiliza kwaeli 😂
Mambo niaje mrembo
Waendesho show nao wanachangia ,visiki,kujiamini muhimu
we got money
Wema sepenfa sijawahi muona hapo😂😂😂😂
Hao wote ndio wale wanaofanya ngono mtandaoni
Mm asa Eliza simkubali anavo jipraudi sn nawakati hana lolote uyo kifupi haeleweki alivo
Huyu kaka sifa ya kuwa mume siiioni😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Pesa siyo kila kitu.kaka siyo kweri kuwa wanaoenda hapo wote wanashida na hela pesa siyo kila kitu unaweza kuwa mzuri na ukawa na hela halafu watu wakakunawa vile vile
Mchiz Msengelema
Kwani huyu mishy haondoki tuu toka msimu wa tano uingie ye ni kuwasema vijana wa watu tuu ovyo ...dad unachagua saana utasimama mpak miguu iote matende munio wako😂😂
Hahahaha munio Tena yuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
The guys anajisifia sanaaaa😂😂 ila anajiamini
Huyu nimemkubali JAMAA anatakiwa ajiamini hivyo we awe mnyonge wakati anapesa anayoona inamtosha
Kolabo tena😅😅uyu mke wake itakuwa shida anajisifia sana😅
HUNAJISIFIA SANA PESA SIO MAPENZI ONGEA KUUMPA WAKATI WAKE MWANAMKE 😂
Huyo kaka yuko so mwaa nampenda mwanaume aliechangamka Hao wadada wapuuzi tu
Eliza ni mzee mr right
Sipendi mwanaum wa misifamisifa
Jaman uyu si yull namjuwa😅
Uyo anataka boullet tu
Sema mshkaj hajajibu swali !! Je mtoto hakirud shule anabaki na nan ?? Aache uhun
Mr right una miaka mingap.kama nmekuelewa ivi
Mnawatafutia majini wanadamu..ndio changamoto inaanzia hapo..hamna wanawake hapo
😂😂😂
dah! Gara B bhana anakwambia eti " kuna Mr. Right nyingine huwa inaendeleaga huko " 😂😂😂😂
😂
Si mbaya ila akipata mwanamke mzuri atamrekebisha
Eliza hapo umefanya vizuri anajisifia sana
Lulu anasugu nyie 😂😂😂
Hakuna pesa zabule pimbi nyie fanyen kazi
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍
Najua anaye ona comment yangu atanisapotii
Sifa ndio kabisa mm binafsi pia sipendi huyo yusufu noo
kijana wa hovyo
Ata mm pia nakaa na mtot wang wa Miaka mitano
kwakweli ni shida sana
Galla B napenda kujiunga na nyie na mm nije apo nifanyej Ili niwapate
Try to watch the Steve Harvey shows namely date our mom. We can be better. The girls should have the guiding questions earlier in advance. This is my poor advice
Pumbavu😂😂
Eliza una udugu na ambaruti? Mnafanana sura na sauti saan
Mimi nimevutiw na wewe kak
Mwanau.e kuongea sana ni tatizo kuongea mpaka unapitiliza yani eliza kama mm huyu atasumbua kwa anavyoonekana too over confdence yani kaharibu
Nitafute broo niko siriaz
Hakuna mwanmke hapo, wezi hao
Punguzen saut ya ako kamziki kipindi kivutie zaid!
Ys
Mbwe mbwe zmekua nying kaka😂
Hakuna mume hapo ukijichanganya umepigwa😅
Huku unaweza oa mchawi au mtu amekubuu sa ukaenda kuhanaika naye
Anajisifia sana
😅😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂