THE CLASSIC DAZ NUNDAZ 2: KAMANDA WIMBO BORA MUDA WOTE BONGOFLEV/ALAMNUSRA WATU WAFE/KISA CHA NIPE5
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Bongofleva Daz Nundaz wakiendelea kutupa hadithi kali za maisha na muziki wao
Kiukweri kamanda ndo wimbo Bora wa mda wote anaebisha na abishe, Ayubu juma from kibaha🎉🎉🎉🎉🎉
Mbishi Aje mi nina fact za kutosha za kumpa
Kabisa bro ila kwangu Barua ndio wimbo bora wa muda wote
Kabisa kaka, wimbo huo ulikuwa na heshima kubwa
Feruz nilisikia tangu shule alkuwa mkali sn wa mashairi,he is very talented lkn game ya Bongo haiko fair
Daah mabrother wanamastory nimefurahi sana kuwasikia aisee.
Tatu bora yangu
Mtazamo 3
Kamanda 2
Chemsha bongo 1
Namba 5 my best song everlasting hit
Rashid kaombwe aka la rumba bab kubwa sana
Feruz mnyama sana hata kujieleza yupo vizuri
Imagine na yupo smart sana
lalumba ana kerere sana
Nakubaliana nao Kamanda ilikuwa na mchango kwenye mabadiliko ya mitizamo juu ya muziki wa bongo flavour.
Mkasa wa boss reminds me my late mother,kaisikia usiku,asubuhi ananiambia vijana wanajua kuna mtu kalalamika kweli.Nikajisemea kweli bongo inakubalika sasa
Umesahau na Barua
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
Big up to Jabir uko vizuri
Wasanii wa zamani walikuwa wanawaza sana kwenye kutunga ..Nyimbo zao huwa haziishi radha na mafundisho kama kamanda Duh
Salute sana
Kweli kabisa
Ila feruz ana saut tamu sn daa
Ivi umeisahauje jahazi la daz ?
Ni kweli
Ndio
Tano bora yangu
1.chemsha bongo
2.Kamanda
3.Starehe
4.Zali la mentali
5.Barua
Feluz ndie bdo ana kit2
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
Yap jamaa anaitwa SAJO aka CHUPA