UTAPENDA FEROOZ, DAZ NUNDAZ, SUGU WALIVYOKUTANA (BONGO FLAVA HONORS) HESHIMA KWA WAKONGWE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Elimu Dunia Daz baba,big up sanaaaaaa brother.
Kipindi hicho hatukuwa na maokoto sana lkn tulikuwa na furaha mno,life was virtually free of stress unlike today.
Tutakuwa wote ndani ya nyumba.
Arise Blackman
Nawakuli sana wote watatu
mwanangu ilo goma elimu Dunia la mtu mzima dazbaba Achana NALO kabisa💯
Tz inatakiwa kuwa na roho kama ya sugu bro mungu akupe maua yako
DAZ BABA KICHWA SANAA WENYE D MBILI WENZANGU WATAKUWA WAMENIELEWA
"🎤 ...yakimwagika hayazoleki maji kaka mwenye kipaaji, naa!, nakupa dibaji m'paka univike..taji..Nite chupa!"
daaaaah😢😢😢😢😢 nimekumbuka Kipindi nasoma Sinde primary school 2002 nikiwa darasa la sita
Nipo form 2 moshi uko
big up brother sung ww king of Tanzania 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Feruz hata ndevu hana...Bado mdogo sanaa
Huyo anayesema wakati wao umept hawajui hao wamba
Duh 2002 niko darasa la pili me najua nyimbo za juzi juzi tu nikizisikia atari sana
Niite sajo a. K. a mentally... Yakimwagika hayazoleki maji... Na mwenye kipaji.... Univike taji...
😂😂😂😂😂😂
Warehouse ndo wapi apo mazee?? anojua atoe maelekezo isinipite hii
Nakubali sana hiyo harakati. Pia niwapongeze wakuu Hawa ni noma enzi mpaka Leo. Big up Daz baba big up ferouz
Nawakubali sna wanangu ila fanyeni show tutawasapoti sana ludini jamani nawakumbuka sana kipind
Nikweli mziki wao unaendelea kuishi ila waache bangi na madawa ya kulevya
Acheni mibange tubuni kwa Allaah.miziki ya nini naumauti umetungojea?
We Kuma nn Nan kakwambia mziki ni bange😅 usikalili nyoko
Dah vimekutana vichwa vinne
Njemba zimechoka kichizi
😂😂😂😂😂
Hongera sana sana Mr.Sugu.
Huo ndio ulikuwa muzik.Ulikuwa na kila kitu.
Hongera.
jamaa wemekua daaa...nipo primary kipindi hicho🔥🔥
Sugu forever ✌️✌️✌️✌️✌️💯
Ningekuwa bongo sio ya kukosa hii
King crazy gk we miss ur
Nipo Japani but iyo siku nitafika
Hawajamaa niwakubwa
Ebhana mtoe bac jamani Kwa pamoja kama kundi kritiki simuoni
Kritiki sasahivi nimchungaji mzeewangu
Dah!! Big up Kamanda Sugu, ila huyo mwamba Dazz baba kazeeka sana cjui ni hiyo minywele! MUNGU amnusuru👏👏.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉BADO TUNAWAPENDA SANA..YOTE NI MAISHA TU NA KILA KITU KINA MWANZO NA MWISHO WAKE.....SALUTY KWENU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakubwa wa game hao
Mp sugu pamoja sana, jasili muongoza njia, mkumbuke na mdogo Ako baba t, selemani msindi, heshima kwako,
🎉
Mnastahili maua yenu kwa kweli
Daz Baba mzee wa Elimu Dunia mbona amefanana na Bob Marley, au ni nguguye?
❤❤❤
Bangi ni mbaya sana namakundi yanawaponza vijana ila hao jamaa Ngoma zao zitaishi milele ushauri waache madawa na wajiusishe na mazoezi makali watapendeza sana hasa uyo Daz baba
Dubai ila lazima nije kiukweli nimepamiss nyumbani ni muda sijawaona kwenye majukwaa
Npo central africa ila siku hyo nitakuja
Nch gan hyo ndg...au cameroon
19th July ni Birthday yangu hongera sana Sugu.
Mr Policeman msiisahau kuicheza
walete Mbeya Jongwe tukumbuke tulikotoka
Show itakua kali saba hadi rahaa Show love kwa ferooz na Daz b
Sajo unapita kama Ay kwenye flow
Sas huyo daz baba hilo zigo huko kichwani lanini
Hy ngoma ya starehe itagonga mpaka kizazi na kizazi
duu loo inaniuma sana nikiwaona wanatakiwa wasanii wenye pesa ndio ivo
Mtoe ngoma kama kundi bas wanangu tumewamis kinoma noma
Nipo urusi ila siku hyo ntakuja.
@Athonysaimon Urusi ya nyoko.
@@sadamshantiwa9749mbn wivu ndg yangu😂
shoo inatakiwa iwe kiingilio kikubwa watu tutakua wengi
Mtu anapo ambiwa basi usimalizie kusoma
Niite daz baba kama ukipenda niite daz 1
Watoe ngoma mpya sho sho
Wapi Ally Mbongo wa Tanzaniano?
Oya mumetisha wanangu
Daz Baba rasta zinamkondesha
Daz mkali san huyu mwamb
Nawakubali kinomanoma wazee
Sho sho watoe ngoma mpya
Nawakubalia sana wote
Big up Sugu,you are always real bro,that is hiphop
Itakua noma sana hiyooo🎉🎉🎉
Sugu hongera
Sanatu wanangu Larumba bamba tata
Appreciation about King Sugu.
Nomaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa
Feruzi😅😅😅😅😅
Hili mbona jiwe la moto
Nitafanya nini sasa
Ebwanae itakua moto sana
Safi Sana Sugu big up may God bless you 🙏
Mbn profesa hayuko japo hali yake sio nzuri na kiba jee
kiba siyo muhasisi ingawa ni mwanamuziki mzuri,si unasikia unaambiwa show ya mwisho 2002?
Hazielewi njemba
Safi sana sana sana sana
nawakubali sana
King Sugu
Daz baba ameua hapo
Will be there also
Nimekubali
Big up sana...
LaRhumba
Campaign
Hii safi sana, Sugu anaweza sana!
Nakubali sana sugu vizuri🤝
Bangi mbaya sana.. Wakati wenu umepita.... Ni uwanja wa Diamond kwa sasa
Bila shaka we ni mtoto wa 2000
We nifala acha mazarau daz nunda nyimbo zao zinaishi ad leo