UTAPENDA FEROOZ, DAZ NUNDAZ, SUGU WALIVYOKUTANA (BONGO FLAVA HONORS) HESHIMA KWA WAKONGWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 95

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 3 หลายเดือนก่อน +7

    Elimu Dunia Daz baba,big up sanaaaaaa brother.
    Kipindi hicho hatukuwa na maokoto sana lkn tulikuwa na furaha mno,life was virtually free of stress unlike today.
    Tutakuwa wote ndani ya nyumba.
    Arise Blackman

    • @peterndondole
      @peterndondole 3 หลายเดือนก่อน

      Nawakuli sana wote watatu

    • @selemansaid9295
      @selemansaid9295 2 หลายเดือนก่อน

      mwanangu ilo goma elimu Dunia la mtu mzima dazbaba Achana NALO kabisa💯

  • @AntonMlyuka
    @AntonMlyuka 3 หลายเดือนก่อน +6

    Tz inatakiwa kuwa na roho kama ya sugu bro mungu akupe maua yako

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 3 หลายเดือนก่อน +3

    DAZ BABA KICHWA SANAA WENYE D MBILI WENZANGU WATAKUWA WAMENIELEWA

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 3 หลายเดือนก่อน +1

    "🎤 ...yakimwagika hayazoleki maji kaka mwenye kipaaji, naa!, nakupa dibaji m'paka univike..taji..Nite chupa!"

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 3 หลายเดือนก่อน +3

    daaaaah😢😢😢😢😢 nimekumbuka Kipindi nasoma Sinde primary school 2002 nikiwa darasa la sita

  • @ChumuAlly-q9x
    @ChumuAlly-q9x 3 หลายเดือนก่อน +3

    big up brother sung ww king of Tanzania 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 3 หลายเดือนก่อน +2

    Feruz hata ndevu hana...Bado mdogo sanaa

  • @JumaWayeye
    @JumaWayeye 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo anayesema wakati wao umept hawajui hao wamba

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 หลายเดือนก่อน

    Duh 2002 niko darasa la pili me najua nyimbo za juzi juzi tu nikizisikia atari sana

  • @MPOYOLAFILMS
    @MPOYOLAFILMS 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niite sajo a. K. a mentally... Yakimwagika hayazoleki maji... Na mwenye kipaji.... Univike taji...

  • @TonnyMaster
    @TonnyMaster 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂😂

  • @rydo09tzgo
    @rydo09tzgo 2 หลายเดือนก่อน

    Warehouse ndo wapi apo mazee?? anojua atoe maelekezo isinipite hii

  • @samauvetonlinetv6298
    @samauvetonlinetv6298 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali sana hiyo harakati. Pia niwapongeze wakuu Hawa ni noma enzi mpaka Leo. Big up Daz baba big up ferouz

  • @seifhassan3811
    @seifhassan3811 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nawakubali sna wanangu ila fanyeni show tutawasapoti sana ludini jamani nawakumbuka sana kipind

  • @SallumShaib
    @SallumShaib 2 หลายเดือนก่อน

    Nikweli mziki wao unaendelea kuishi ila waache bangi na madawa ya kulevya

  • @drmahwa8166
    @drmahwa8166 3 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni mibange tubuni kwa Allaah.miziki ya nini naumauti umetungojea?

    • @jilesjames-l7j
      @jilesjames-l7j 3 หลายเดือนก่อน

      We Kuma nn Nan kakwambia mziki ni bange😅 usikalili nyoko

  • @idarousomar1
    @idarousomar1 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dah vimekutana vichwa vinne

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 3 หลายเดือนก่อน +2

    Njemba zimechoka kichizi

    • @JonasMusa-t9b
      @JonasMusa-t9b 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana sana Mr.Sugu.
    Huo ndio ulikuwa muzik.Ulikuwa na kila kitu.
    Hongera.

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga 3 หลายเดือนก่อน +1

    jamaa wemekua daaa...nipo primary kipindi hicho🔥🔥

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sugu forever ✌️✌️✌️✌️✌️💯

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ningekuwa bongo sio ya kukosa hii

  • @LAZAROSEBASTIAN-j8p
    @LAZAROSEBASTIAN-j8p 2 หลายเดือนก่อน

    King crazy gk we miss ur

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nipo Japani but iyo siku nitafika

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x 2 หลายเดือนก่อน

    Hawajamaa niwakubwa

  • @PaulKimweri-n1g
    @PaulKimweri-n1g 3 หลายเดือนก่อน

    Ebhana mtoe bac jamani Kwa pamoja kama kundi kritiki simuoni

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 2 หลายเดือนก่อน

      Kritiki sasahivi nimchungaji mzeewangu

  • @muhsinramadhan1490
    @muhsinramadhan1490 3 หลายเดือนก่อน

    Dah!! Big up Kamanda Sugu, ila huyo mwamba Dazz baba kazeeka sana cjui ni hiyo minywele! MUNGU amnusuru👏👏.

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉BADO TUNAWAPENDA SANA..YOTE NI MAISHA TU NA KILA KITU KINA MWANZO NA MWISHO WAKE.....SALUTY KWENU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PiusPrins
    @PiusPrins 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakubwa wa game hao

  • @TizoOmary-fs8hg
    @TizoOmary-fs8hg 3 หลายเดือนก่อน

    Mp sugu pamoja sana, jasili muongoza njia, mkumbuke na mdogo Ako baba t, selemani msindi, heshima kwako,

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @idarousomar1
    @idarousomar1 3 หลายเดือนก่อน

    Mnastahili maua yenu kwa kweli

  • @mhlegusekambona2818
    @mhlegusekambona2818 2 หลายเดือนก่อน

    Daz Baba mzee wa Elimu Dunia mbona amefanana na Bob Marley, au ni nguguye?

  • @FestoNelson-v3i
    @FestoNelson-v3i 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @OctavianiRongino
    @OctavianiRongino 3 หลายเดือนก่อน

    Bangi ni mbaya sana namakundi yanawaponza vijana ila hao jamaa Ngoma zao zitaishi milele ushauri waache madawa na wajiusishe na mazoezi makali watapendeza sana hasa uyo Daz baba

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 3 หลายเดือนก่อน

    Dubai ila lazima nije kiukweli nimepamiss nyumbani ni muda sijawaona kwenye majukwaa

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Npo central africa ila siku hyo nitakuja

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 หลายเดือนก่อน

      Nch gan hyo ndg...au cameroon

  • @godsosmukama5958
    @godsosmukama5958 3 หลายเดือนก่อน

    19th July ni Birthday yangu hongera sana Sugu.

  • @mhlegusekambona2818
    @mhlegusekambona2818 2 หลายเดือนก่อน

    Mr Policeman msiisahau kuicheza

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 3 หลายเดือนก่อน

    walete Mbeya Jongwe tukumbuke tulikotoka

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 3 หลายเดือนก่อน

    Show itakua kali saba hadi rahaa Show love kwa ferooz na Daz b

  • @khalifakatobo4184
    @khalifakatobo4184 3 หลายเดือนก่อน

    Sajo unapita kama Ay kwenye flow

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 3 หลายเดือนก่อน

    Sas huyo daz baba hilo zigo huko kichwani lanini

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 3 หลายเดือนก่อน

    Hy ngoma ya starehe itagonga mpaka kizazi na kizazi

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 3 หลายเดือนก่อน

    duu loo inaniuma sana nikiwaona wanatakiwa wasanii wenye pesa ndio ivo

  • @livinswai9291
    @livinswai9291 3 หลายเดือนก่อน

    Mtoe ngoma kama kundi bas wanangu tumewamis kinoma noma

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nipo urusi ila siku hyo ntakuja.

    • @sadamshantiwa9749
      @sadamshantiwa9749 3 หลายเดือนก่อน

      @Athonysaimon Urusi ya nyoko.

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@sadamshantiwa9749mbn wivu ndg yangu😂

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 3 หลายเดือนก่อน

    shoo inatakiwa iwe kiingilio kikubwa watu tutakua wengi

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu anapo ambiwa basi usimalizie kusoma

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 หลายเดือนก่อน

    Niite daz baba kama ukipenda niite daz 1

  • @yussufyussuf-n2i
    @yussufyussuf-n2i 2 หลายเดือนก่อน

    Watoe ngoma mpya sho sho

  • @sabasmichael1199
    @sabasmichael1199 3 หลายเดือนก่อน

    Wapi Ally Mbongo wa Tanzaniano?

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 3 หลายเดือนก่อน

    Oya mumetisha wanangu

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim4297 3 หลายเดือนก่อน

    Daz Baba rasta zinamkondesha

  • @DaudJofrey-yr2fn
    @DaudJofrey-yr2fn 3 หลายเดือนก่อน

    Daz mkali san huyu mwamb

  • @asherywilbard-yx6fb
    @asherywilbard-yx6fb 3 หลายเดือนก่อน

    Nawakubali kinomanoma wazee

  • @yussufyussuf-n2i
    @yussufyussuf-n2i 2 หลายเดือนก่อน

    Sho sho watoe ngoma mpya

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 3 หลายเดือนก่อน

    Nawakubalia sana wote

  • @alexandermalima610
    @alexandermalima610 3 หลายเดือนก่อน

    Big up Sugu,you are always real bro,that is hiphop

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 3 หลายเดือนก่อน

    Itakua noma sana hiyooo🎉🎉🎉

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu hongera

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo3936 3 หลายเดือนก่อน

    Sanatu wanangu Larumba bamba tata

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 3 หลายเดือนก่อน

    Appreciation about King Sugu.

  • @AmusedAstronomicalModel-lq3yu
    @AmusedAstronomicalModel-lq3yu 3 หลายเดือนก่อน

    Nomaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 3 หลายเดือนก่อน

    Feruzi😅😅😅😅😅

  • @VotanVotan-gb3hd
    @VotanVotan-gb3hd 3 หลายเดือนก่อน

    Hili mbona jiwe la moto

  • @ahmadbihaytv4460
    @ahmadbihaytv4460 3 หลายเดือนก่อน

    Nitafanya nini sasa

  • @YusufnduneJana
    @YusufnduneJana 3 หลายเดือนก่อน

    Ebwanae itakua moto sana

  • @SelemaniRingia
    @SelemaniRingia 3 หลายเดือนก่อน

    Safi Sana Sugu big up may God bless you 🙏

  • @magdalinekenneth7238
    @magdalinekenneth7238 2 หลายเดือนก่อน

    Mbn profesa hayuko japo hali yake sio nzuri na kiba jee

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 2 หลายเดือนก่อน

      kiba siyo muhasisi ingawa ni mwanamuziki mzuri,si unasikia unaambiwa show ya mwisho 2002?

  • @Magrethkilegu
    @Magrethkilegu 3 หลายเดือนก่อน

    Hazielewi njemba

  • @harrysonngosha7931
    @harrysonngosha7931 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana sana sana sana

  • @kulwamalingumu
    @kulwamalingumu 3 หลายเดือนก่อน

    nawakubali sana

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga 3 หลายเดือนก่อน

    King Sugu

  • @KudrahPembe
    @KudrahPembe 3 หลายเดือนก่อน

    Daz baba ameua hapo

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv7030 3 หลายเดือนก่อน

    Will be there also

  • @AmaniCosmetix
    @AmaniCosmetix 3 หลายเดือนก่อน

    Nimekubali

  • @jacobmsiganga4121
    @jacobmsiganga4121 3 หลายเดือนก่อน

    Big up sana...

  • @InspirationalGoldenRetri-xl2wn
    @InspirationalGoldenRetri-xl2wn 3 หลายเดือนก่อน

    LaRhumba

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb 3 หลายเดือนก่อน

    Campaign

  • @victoriamkilya928
    @victoriamkilya928 3 หลายเดือนก่อน

    Hii safi sana, Sugu anaweza sana!

    • @user-vm1hl8kc7t
      @user-vm1hl8kc7t 3 หลายเดือนก่อน

      Nakubali sana sugu vizuri🤝

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 3 หลายเดือนก่อน

    Bangi mbaya sana.. Wakati wenu umepita.... Ni uwanja wa Diamond kwa sasa

    • @Zamanisana2024
      @Zamanisana2024 3 หลายเดือนก่อน

      Bila shaka we ni mtoto wa 2000

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 3 หลายเดือนก่อน

      We nifala acha mazarau daz nunda nyimbo zao zinaishi ad leo