MIRAJI AFIA KWA DEBORA FERNANDEZ |SIMBA KUPIGANIA UBINGWA BADO | ZILE STORI 4 KALI |LAWI ANANIVURUGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 117

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 7 วันที่ผ่านมา +20

    Miraji leo umetema madini mnoooo❤❤❤❤❤

  • @Rashidimilanzi
    @Rashidimilanzi 7 วันที่ผ่านมา +9

    Mraji napenda sana kukufatilia Mungu akupe maisha malefu

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 7 วันที่ผ่านมา +6

    CHAGAMBAA! MIRAJI NA MZEE SAID WANAKUPAISHAA SANAAA.JAMAA WANAJUAA

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee saidi tunamtaka 😊😊😊

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 7 วันที่ผ่านมา +6

    MUNGU IBARIKI SIMBA , ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉,WAKALI WA KARIAKOO

  • @MakukaNyango
    @MakukaNyango 7 วันที่ผ่านมา +16

    Kaka mirsj na chagamba,,mi nawaombea maisha marefu na afya njema, miraji mi yanga lakin nakuelewa sana kwa madini Yako hadhiiiimu

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 7 วันที่ผ่านมา +5

    Miraj nao wako wawili (#miraj wautani&miraj wa serious)

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu 7 วันที่ผ่านมา +8

    Miraji anapata tabu sana kukaa na chagamba mbari kamiss kumpga mikofi ya mabega😂

  • @MartinMilinga-f4j
    @MartinMilinga-f4j 7 วันที่ผ่านมา +12

    miraji anapata shida sana kukaa mbali na chagamba kazoea kumchapa mabega,chagamba kaona bora iwe ivo

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 7 วันที่ผ่านมา +2

      😅😅😅😅

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 7 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂 umenichekesha

    • @omarMchoya
      @omarMchoya 7 วันที่ผ่านมา +1

      Chagamba amejiongeza kaona hap mabega yatalala yote

    • @sarahkinyashi6213
      @sarahkinyashi6213 6 วันที่ผ่านมา

      Ila mikofi Ile weeee🤣🤣🤣🤣haisahauliki aieseee

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 วันที่ผ่านมา +3

    Mlete hapo mzee Saidi mfanyie Interview...Miraji na Chagamba, Mzee Saidi, na mzee Masatu..hawa watu raha sana

  • @FakiSuleiman-sv4ee
    @FakiSuleiman-sv4ee 5 วันที่ผ่านมา

    Miraji Safi Sana jitahidi kaka

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 7 วันที่ผ่านมา +5

    Leo mbona mmekaa mbalimbali Changamba sogea kidogo ili Miraji akutandike tandike begani.😂😂😂

    • @BernaDf
      @BernaDf 4 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @richardmhando2994
    @richardmhando2994 7 วันที่ผ่านมา +7

    oy mzee chabamba pamoja miraj simba inakuja kuwa timu tisho next time alf vip kuhusu 24 jez ya simba

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii combination ya miraji na chagamba ni hatari saaaanaaaaaa😂😂😂😂❤❤❤

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 7 วันที่ผ่านมา +23

    😂😂😂 ety halikisasi hakhaa 🙌🙌miraji mtapigwa kama ngoma huu msimu kwa hii yanga ubingwa watupe ata Leo ngao ya jamii mpe alikamwe ata kesho fa taree 15 tupeni tusipoingia nusu final msimu huu sisi yanga atutawai ingia tena

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 7 วันที่ผ่านมา +3

      Ww

    • @malietamalieta9658
      @malietamalieta9658 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@AishshibnShibani mm

    • @victorlyimo896
      @victorlyimo896 7 วันที่ผ่านมา +2

      We hujui mpira mihemuko inakusumbua

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 7 วันที่ผ่านมา +1

      Mtschukua ubingwa kwa wazee wale

    • @sumamelody6197
      @sumamelody6197 7 วันที่ผ่านมา

      Unapanga matokeo huo mpira unacheza wewe shabiki wa daraja la chini

  • @MpwanguJr
    @MpwanguJr 7 วันที่ผ่านมา +4

    Leo wamekaa chini bega limepona

  • @suleymanyaasin
    @suleymanyaasin 7 วันที่ผ่านมา +5

    Apange na wachezaji wa akiba,,,,, hatari

  • @user-ty6pz1mi3j
    @user-ty6pz1mi3j 7 วันที่ผ่านมา +5

    Dogo Chagamba, style yako nimeikubali hasa unapo ojiana na Miraji

  • @iddydule2287
    @iddydule2287 7 วันที่ผ่านมา +5

    HALIKISASA AKHAAAAAAA😂😂😂

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 7 วันที่ผ่านมา +3

    Hiv azizi ki msimu mpya hatokuwepo tena yanga, someni nyakati vizuri waknachagamba😅

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 7 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu mashaka mzuri kweli namtabiria makubwa mtamuona tu

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 4 วันที่ผ่านมา

    Miraji 😂Ninaraha mpaka nalia kikosi hatalii❤🦁

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee said jamoon😂😂😂

  • @frontoffice8676
    @frontoffice8676 7 วันที่ผ่านมา +2

    Hii ya kusimama cjaipenda naipenda ile ya kusimama huku milaji akiwa anapigapiga mabega ya chagamba😂😂😂

  • @kingofrich6813
    @kingofrich6813 7 วันที่ผ่านมา +2

    Daaah kuna jamaa hatukuwa na bahati nae fundiiii cramoo😢😢😢

  • @jamessamson3848
    @jamessamson3848 7 วันที่ผ่านมา +3

    Mamaaeee kutetena bei ghali sana sisi kama lunyasi hilo jambo hatulimudu

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 7 วันที่ผ่านมา +2

    Simba kote tuko sawa bado tu mabeki ndio bado kidogo

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq 7 วันที่ผ่านมา +2

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi😂😂😂

  • @babupiza641
    @babupiza641 7 วันที่ผ่านมา +1

    Miraji hapo kwa kikosi hicho Cha simba 6 zinawahusu

  • @YonaMashaka-xb2ym
    @YonaMashaka-xb2ym 7 วันที่ผ่านมา +2

    Miraji unachekesha ase

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch 6 วันที่ผ่านมา

    Shida ya milaji huwa anasifia sana mchezaji mgeni kabla ya kucheza likitokea sasa utaona anavyowakqtaa

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege 6 วันที่ผ่านมา

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 7 วันที่ผ่านมา +1

    Miraji tunakuomba ulipigie hili kelele arubadili isomwe ndo wachezaji vizuri

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 6 วันที่ผ่านมา

    Kikik😂leo ilikuwa vizuri

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mgunda anapasha nusu ya msim tuu anakabiziwa timu

  • @mizanitalentspro213
    @mizanitalentspro213 7 วันที่ผ่านมา

    Maestro mara moja❤

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 7 วันที่ผ่านมา +1

    💚💛💛💛💛💪

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii sasa miraji leo umbali kidogo leo bega limepona 😂😂😂

  • @amehassan3128
    @amehassan3128 6 วันที่ผ่านมา

    Ww Miraji kwann usiwe mchambuzi maana mpira unaujua

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kisasu haqu

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 7 วันที่ผ่านมา +2

    Debora

  • @jamalinuru5503
    @jamalinuru5503 4 วันที่ผ่านมา

    Chagamba emu tutaftie mzee Saidi kwanza mwambie Aziz bado yupo

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya 7 วันที่ผ่านมา

    Hatar sana🎉🎉🎉

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 7 วันที่ผ่านมา +2

    Chagamba mabega yamepona vibao leo,Miraji hasira zoote anajizaba mwenyewe😂😂😂😂

    • @isiaka7930
      @isiaka7930 7 วันที่ผ่านมา

      check dk ya 25...hayajapona...labda sio maramoja

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 7 วันที่ผ่านมา

      @@isiaka7930 aisee jamaa mvumilivu🤣🤣 si kwa vibao vile na alivyo kimbau! 🤣🤣
      Nilikua na mshikaji mmoja,yule eti mmefurahi uumpe mkono agonge, kudadeki,lazima furaha iishe alafu alikua na bonge la kiganja🤣🤣🤣

  • @rizyoneboffi3662
    @rizyoneboffi3662 6 วันที่ผ่านมา

    Kweli simba na azam wanafanana ndio maana wanapambana wote kugombea nafasi ya pili na bado

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj 7 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 7 วันที่ผ่านมา +1

    WANANCHIIIIIIIIIII

  • @ElishaFabiani-qs7qb
    @ElishaFabiani-qs7qb 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ata me chama haingii kwenye kikos

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor 6 วันที่ผ่านมา

    Chagamba tulety mze said wachana na hawo machwa wanawo tafuta kik

  • @floriankasalya269
    @floriankasalya269 7 วันที่ผ่านมา

    Huyo mtu Fernandes ni kama Edgar Davids Dutch vile😂😂

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 3 วันที่ผ่านมา

    Moraj, miraji, Miraji nakuita maratatu hayo maneno yako utayakumbuka, Umesahau lete mzungu? Jobe,Fungafunga au Chikwende?

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 7 วันที่ผ่านมา +1

    Wakina onana watakaa mbao ndefu mpaka wakome labda wawapige misumari wachezaji wenzao

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa 6 วันที่ผ่านมา

    Nikweli ndomana chagamba kajitenga anamuogopa sana milaji kwamakofiyake

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 7 วันที่ผ่านมา

    Interview yenu safi sn! Yani mpo free km hamna camera. Mnaongea friendly sn.

  • @rajabumachemba7321
    @rajabumachemba7321 7 วันที่ผ่านมา

    What passing around😂😂😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 7 วันที่ผ่านมา

    Chagamba usisahau kumwambia miraji asifieeeee weee ila wajiwahi kuungana vinginevyo wasije kusema GSM anawezaje kufadhiri timu saba 😮😮

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella2202 7 วันที่ผ่านมา

    Gamba muulize Miraji zile THANK YOU 2 anazo zitaka zimetimia au bado?

  • @McbarakaeventsTz
    @McbarakaeventsTz 7 วันที่ผ่านมา

    Huyo Debora muombee wana Simba afanye vizuri, Ila akiboronga na hilo jina lake atakoma matusi yake...

  • @DicksonMato-mp9nq
    @DicksonMato-mp9nq 7 วันที่ผ่านมา

    Hakika🎉🎉🎉🎉

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 6 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi mwenyewe hajui mpira ila ana hela. Wataishia kuwapangia benchi la ufundi timu. Haya niko paleeee!

  • @UmarRachideMussa
    @UmarRachideMussa 6 วันที่ผ่านมา

    Tema madini baba iyo niakiyako cema kwanini uami kwamakoro

  • @salummkicha6636
    @salummkicha6636 6 วันที่ผ่านมา

    maua yenu wazeeee🎉

  • @hyginuskabanda474
    @hyginuskabanda474 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂..Jean kaondokajee.!

  • @Emmanuel-cu7yu
    @Emmanuel-cu7yu 7 วันที่ผ่านมา

    Miraji tuambie thank you zako 2 zimetimia au bado?

  • @OmariialiiOmarii
    @OmariialiiOmarii 7 วันที่ผ่านมา

    Kwahicho kikosi chayanga mi shabiki wayanga akuna anemueka benchi apo chama ata shabik wasimb anajuw hilo

  • @user-yh7oc9sg6k
    @user-yh7oc9sg6k 6 วันที่ผ่านมา

    Afadhari leo chagamba bega litapoa sio mikofi ile

  • @mohamedmohamedy8311
    @mohamedmohamedy8311 7 วันที่ผ่านมา

    leo mmeamua mkae ili ukwepe makofi ya miraji

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 7 วันที่ผ่านมา

    Milaj nakukumbusha wambie viongoz wachezaji wetu walindwe

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 7 วันที่ผ่านมา +1

    Sema Maramoja leo kidogo umeongea kishabiki kiasi

    • @monifrank347
      @monifrank347 7 วันที่ผ่านมา

      Sasa yeye s shabiki wa simba

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 7 วันที่ผ่านมา

      @@monifrank347 ushasema mkuu

  • @evaristponcian9397
    @evaristponcian9397 7 วันที่ผ่านมา

    Na kramo vipi ishu yake ❤

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 7 วันที่ผ่านมา

    miraji wewe mtuuuu...! inabidi simba wakufikirie hata kwenye kitengo chochote kaka, achana na akina GB 64 walevi wale....!

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 7 วันที่ผ่านมา

    KwaLAWI HAPO HATA MIMI NIMECHEKAAA

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 7 วันที่ผ่านมา +4

    Ogopa mataperi azizik miaka miwiri jangwani

  • @JohnMzia
    @JohnMzia 7 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 7 วันที่ผ่านมา

    Maramoja usiwapambe sana tutakuja kukukosa sisi wadau wako

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali 7 วันที่ผ่านมา

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 6 วันที่ผ่านมา

    Miraji unamadini sana na sio mnafiki.

  • @user-kb7qr5gy1b
    @user-kb7qr5gy1b 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka miraji 😂😂😂

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂mabega mabegaa chagambaa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 7 วันที่ผ่านมา

    Ila Leo chagamba umempata miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax 7 วันที่ผ่านมา

    Chagamba kafurai mwenywe

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 7 วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @immanuelwilson9414
    @immanuelwilson9414 7 วันที่ผ่านมา

    Kachoka makofi chagamba😅

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 7 วันที่ผ่านมา

    KIPINDI BORA SAANA

  • @andersonnkini7298
    @andersonnkini7298 7 วันที่ผ่านมา

    Mpanzu vipi familia?

  • @user-ib3rm6wg1c
    @user-ib3rm6wg1c 7 วันที่ผ่านมา

    Miraji yule mchome anaejifanya shabik wa simba yule ndio anaharibu wachezaji wa simba anatumwa yule kwaio afanyiwe kazi yule

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 7 วันที่ผ่านมา

      Sasa afanyiwe nini?
      Kuwa na stahamala ndugu hilo ndio soka kuna kudhiana kukerana na kutaniana

  • @SengeMtukaz
    @SengeMtukaz 7 วันที่ผ่านมา

    hahaaahaaàaaaaa

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela 7 วันที่ผ่านมา

    Ngoma una mweka wap cja mckia hapo

  • @agnessgodfrey6557
    @agnessgodfrey6557 7 วันที่ผ่านมา +1

    Chama first 11 yanga simuoni

  • @JoshuaMbena
    @JoshuaMbena 7 วันที่ผ่านมา +1

    Chagamba anasalimika makofii

    • @brunomtweve8073
      @brunomtweve8073 7 วันที่ผ่านมา

      Saivi tu ngoja wahame hapa

  • @AnnaBeda-g9k
    @AnnaBeda-g9k 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yani kwa kikosi hicho cha simba mnapigwa kumi na yanga

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 7 วันที่ผ่านมา

    Miraji Leo umebolonga 😂😂

  • @NlembugunKotira
    @NlembugunKotira 7 วันที่ผ่านมา

    Wasenge nyny Kila mara Simba na yanga

  • @FabriceKadege
    @FabriceKadege 6 วันที่ผ่านมา

    Meza mpya mbna kama miraji hajachangamka sana kama tulivyomzoea

  • @KiseembeBilali
    @KiseembeBilali 7 วันที่ผ่านมา

    Al kisasi hakan 😅😅😅😅

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 7 วันที่ผ่านมา

    Reo umetema madini Sana milaji Mimi mfaasi wako

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 7 วันที่ผ่านมา

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba

  • @costantinomhonda8394
    @costantinomhonda8394 7 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂

  • @user-mj2ut6ud9x
    @user-mj2ut6ud9x 7 วันที่ผ่านมา

    Ila Leo chagamba umempata
    miraji umepata Sana hujala mkofi mana Kila siku unakula makopi akiongea ila Leo umekaa mbali naye ww chagamba