THE CLASSIC JOSLIN PT 1:MAANA YA WIMBO PERFUME/NILIWABADILI WAGUMU KUA MABISHOO/WALINIKATAA/WAKAIGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ส.ค. 2023
- Joslin ni moja ya wasanii wakali sana wenye uwezo wa kurap na kuimba .ambao ni wachache sana katikanistoria ya Bongofleva,Album yake ya kwanza inayofahamika kwa jina la PERFUME ilikua ni classic ,ikiwa na m,ikwaju asilimia 90 ilitawala nanga za BongoFleva na Rap,hapa akipiga stories na Jabir Kuvichaka kuhusu mradi wake huo ambao kimsingi ulikua na madini mengi sana usioyafahamu
Nakumbuka unju bin unuq alituambia kilingeni 2013 kuwa joslin ni hiphop sana more than tunavyofikiri
I wonder why this interview has not got many viewers coz it's very wonderful creativity interview
Dj nakukubali sana maana kumtaja salehe jabiri ya ww kwwli music industry inaijua indeeb sana
Heshima kwako Joslin, mmefanyamengi sana kwenye muziki huu
Napenda Sana Ngoma flan iv inaitwa Jose+Jose yupo na Jose mtambo
Mzikiwake unateka fikra kwajamii
Kuna shuhuli moja alimfanyia Byser kwenye dhahabu ya dully🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Afu mule aliandika jamaa huyo
@@marafikistation Aiseee🙌🏻🙌🏻🙌🏻
😂😂😂😂
Kaka big up kwa interview nzuri.... But back group music inasumbua please next time usiweke please inakuwa km makelele
Ametaja His 2nd album 'UMEWEZAJE' alafu wimbo ambao umebeba jina la album Umewezaje alifanya na lady j. dee....Boooonge moja la Ngoma aisee🔥🔥🔥🙌🏾
Beat ya makochali kali sana nnayo kwenye simu
Nkweli kabisa asee ni bonge langoma
Ilikuwa ni nyimba hatari kabisaa
Mr nite basi joslin
Rasta flaan hivi unaeza mwona bishoow Hana mbambamba mingi babuuu
Joslin mchala
One love 🇹🇿💯
Joh rudi
Slang punch
Kibonge tozi.. My brother unaua sana❤❤
Jo's Jo's joslin
Perfume (Ka harufu ka Bangi) mwamba alisifia sana mmea
👋👋👋 cool san
Ile intro ni balaa sana
Machiz wanasema m nariingaa daily street
Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏
#2pacWithoutNoiseRing
Articulation ya Joslin ni perfect
Joslin ulimzingua nini dj Steve b dj skillz
Igonge tusikie
Perfume Best song of our generation
Hiyo ngoma ya kwanza ya Joslin KUINGIA STUDIO naikumbuka sana inaitwa ningejua ni nyimbo ya joint mobb .corous inasema. NINGEJUA YA KWAMBAAA NIA YAKO KUNIUA NISINGEEE FANYA MAOVU, SASA YAMENIPATAA! NABAKI NINGEJUAA NINGEJUAAAA......! DULLY ALIFANYA COROUS ,Baadhi ya mistari ya Joslin inasema "machizi wakasema kweli inatishaa"
True legend
🔥🔥
Ni vita vya kiroho||hivi sasa ni soo||nitafanyajw
JoseLiin 🔥🔥🔥
Nliendaga kumuona kwenye show asee kigambon navy zaman sana 2006
J unaongea kwa mapozi
Madawa! Madawa! Madawa!
You don't use it man!
Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏
#2pacWithoutNoiseRing