SAVIMBI: Mpigania Uhuru Wa ANGOLA, Aliyezikwa Kama Mbwa!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- SAVIMBI: Mpigania Uhuru Wa ANGOLA, Aliyezikwa Kama Mbwa!
Dk.Jonas Malheiro Savimbi ni msomi wa Chuo Kikuu ngazi ya PHD aliyejitengenezea sifa mbaya zaidi Afrika kiasi cha baadhi ya watu kudai kuwa hakuutendea haki usomi wake.
Alifanya mambo mengi mabaya sana kwa nchi yake,aliua wananchi wasiona hatia nchini Angola kutoka na uasi wake kwa Serikali licha ya ukweli kwamba yeye alikuwa ni mmoja wa wapigania uhuru wa taifa hilo kutoka kwa Mreno.
#HISTORIAYASAVIMBI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
we mtangazaji ni konki konki unajuwa kutangaza ata mtu uwe kilaza vipi lazima uelewe me nimeoma moja tu ile ya idiamin nikanogewa like hapa kama umemkubari uyu jamaa uko vizuri saaaaaanaa
Nakuelewa vizuri
Dah unatuelimisha Sana vijana mungu akutie nguvu
@@dominicthomas2942 Jaman mtoto huu mtangazaji wangu nani kamzaaa?Nnakupenda sanaaaaa!Much love from ......far
Wew jamaa umezaliwa tu kwa ajili ya utangazaji hakika unajuw 👏👏👏👏👏👏👏
Yaan wewe ninoma
Mandia Hozza m
@@subiraseleman6889 TV Palanca
TV Palanca Angola
TV Palanca Angola
You are blessed with a strong voice. Na hiyo ni talanta.
The best narrator in Tanzania ever
We need a kenyan savimbi in kenya
Nimependa utangazaji wako,hongera sana,hiyo ndo aina ya utangazaji ambao uleta hamu ya kusikiliza
Good
Ni kweli jamaa utangazaji wake unavutia nakukubali mc
haswaa
Noma sana
Upo vizuri big up
I don't speak swahili, Savimbi is not what the media tells, he was a wise man
Asante kwa kunifahamisha kitu
Denis Mpagaze
Edgar Ananias
Abdallah Mtiga
Wafanya kazi tamu sana
Hongera kaka kwa usemaji wako yaaaan unatoa bashasha ktk maneno 👊👊hongera sana 😊⚘
Barikiwa sana kamanda, hadithi yako inavutia sana na haichoshi kusikiliza, somo kubwa hapa ni uroho wa madsraka, huu ni ugonjwa sugu kwa viongozi wengi wa kiafrika
Sijawai kujuta kukusikiliza hongera kwa kipaji.nimejifunza mengi xana shukrani.
Mgala muuwe haki umpe. Edgar ndugu kazi nzuri. Mkenya mimi lakini lazima nisikize hizi simulizi. Hongera sana.
Mjamaaa keep it up one day Dunia itatambua uwepo wako. Unajua Sana kupangilia maneno🙌🙌
Amina
You are the best Historian ....
Big up muandaaji wa historia hii DENIS MPAGAZE na mtangazaji mwenye weredi wa juu
Asante sana.
Asanteni kwa kazi
Ananias Edgar, nafurahia sana kazi yako na utangazaji wako,you ,re the best, I assure you!!!
Amina na asante sana ndugu yangu.
Sijui kwann ukishaonja kusikiliza hizi simulizi za huyu kaka unashangaa ww kazi yako nikuendelea tu ,,
Upo vizuri mtangazaji , unatangaza vizuri sana kiasi hata msikilizaji unapata hamu ya kuendelea kusikiliza ! Hongera sana and keep it up
Ahsante sana mtangazaji uko vizuri
Much respect blood your talented napenda kufannya kama wewe but sijui nafanyaje aiseee
Asante kwa Historia hii nzuri kabisa, big up sana
Kaka uko vzuri sana unatangaza vzuri mungu akubariki zaidi katika kazi yako inshaallah
Nimekupenda bure mtangazaji😘👍💯😍
Asante sana
safi sana baba unajua xanaa
Napenda xana utangazaji wako brother umetisha kama unamkubali gonga like twende mbele
Hongera sana kwa utangazaji bora
i love your utangazaji
Nimeipenda
Ogaaah! Hii tamu sana hii nimeipenda BARIKIWA
hongera sana msimulizi na mtayarishaji wa historia hii,ama kweli kiswahili kina ladha
Mtangazaji uko vizuri Sana hongera
HISTORY IS MEDICINE,,,, HERE IS PROOF.............BIG UP EDGAR NA MPAGAZE........LIVE LONG MY BROTHERS FROM ANOTHER MOTHER
Mtangazaji unatutendea haki kwakweli hongera sana
Mtangazaji anavutia sana, hongera xn@Ananias
Na Sasa hii ndio njia sahihi ya kufundisha na kukumbusha history hongera sana
aisle Edgar! Fantastic commentator!!!
Safi sana global mpo vizuri Sana
Dennis Mpagaze na Ananias Edgar,Big up sana nakala zenu nazifuatilia sana.
💕💞 yaan hadi raha kusikiliza mtu na kipaji chake maShaaAllah sio km watangazaj wa siku hz maneno meeeengi point ya maana inakuja mwishon
Rahima Hasan habib na wewe ❤️❤️😘😘
Nice
Obrigado
Narrator uko vizuri sana sana unajua kazi unayoifanya bro, hii chanel nlikua nineacha kuaingalia tulikua tumechoka kila siku stor za daimond na kiba tu, mara wema sepetu na utumbo wao sasa ntaanza kuwafuatilia coz ya huyu narrator umenivutia sana afu unaonge vitu vya kweli kabisa, one love bro
hongera sana kwa kipaji cha utangazaji
Upo sawa sawa kaka kwa utangazaji hakika unajua na unashule ya history
Hio kipaji chako Mr.Ananias ni kutoka kwa MUNGU, hongera sana
Good job, today have learned history I never knew of, keep up the work👍
I didn't understand to much but it's was so profound. 😧
Cause I'm from Angola, and I know almost anything about Angola history, you know my country!
But I see that you get more importance to our history than us.
And I welly appreciate that, we don't even care about our Mather Tongue language.
Hi thanks man. 😥👌
uko vizuri sana
Waohhh very good... story nzuri san
hongera sana global tv ila wekeni matangazo mwisho na mwanzo hapo kati tuachien utamu wa simuliz
Atariii xana savimbii history
Nimeipenda mkuu funzo nzuriii
unajua sana utangazaji brother hongera kwako
nice voice🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera
Dah Savimbi angekubali matokeo ya uchaguzi akaungana na serikali kujenga uchumi wa Angola, na kuwapiga mabeberu Angola ingekuwa mbali sana
Napenda sana simulizi lako brooo
Asante sana Fabian
Daaah Kwa Kipind iki ningekuwa shule ningepaform somo LA history😆😆kaka uko vzr
Hongera Ananias
Jaman jamani Hii kitu naomba muendelee kuitoa nashangaa kwann mliacha kutoa historia hizi naomba mwendelee na matukio mbali mbali sisi Tutaamia huku maana zile za upande wa pili ni Utopolo siku hzi.. Mtangazaji una sifa zote safi sana
Nzuri sana. Nimeelimika daaah
Yani we jamaa nakubari Sana utakazaji wako 👏👏👏👏
Mtumishi wa mungu kuzaa mtoto wa shetan
Boss umetoa savimbi ninae mjua uko sawa
brother upo vzr
Uko vizuri sana
Yaani mtangazaji nimekupenda bureeeee uko vizuri sana
Mtangazi Uko vizuri
Ananias edgar👏👏👏
Sauti nzuri unasoma kwa vituo ..uko juuu
Uko vizuri mtangazaji
Asante.
Hongera kaka mtangazaji
Uko vizuri MZEE baba
Hongera sana mtangazaji uko juu, yaani hata mtu hawezi kuchoka kukusikiliza
History nzuri
Sauti nzuri kweli kweli.
Hongera Bro kwa utangazaij wako, safi sana bro
Congrats
Una sauti nzuri
Savimbi is a lion
Mungu akurehemu uko vzr sasa
Hadi rahaa unatangaza vizuri hongera
SAVIMBIIIIII big name in Africa
Global Tv huyu mtangazaji ni noma aiseee msimuachie anatangaza vizur mnooo
Husnat umeona ehee
umezungumza kama una ushabiki
Savimbe the lord of war, this man love to sher blood
Hii hadithi ingekua nzuri kama unge balance story; umekua negative against Savimbi mwanzo mwisho. Kuna watu wana m support Savimbi na hatujafaria na one sides story uliyoileta hapa
All the way from+254 kazi safi
good
Hakika simulizi ni nzuri sana
asanteee mtangazaji.
nice voice
I sayyyy.... Kaka Edgar Uko juu!!!
Hongereni wote waandaaji
Afria Africa Africa ilove you africa
Ananias ,you are such narrator bro. I bet you will do good narrating local documentaries bro.keep it up
Grayton Ndamgoba
Ok.thanks🙏
Nashukuru sana elimu unayotupa kuhusu bara letu la Afrika. Kweli Africa kalaaniwa na kujaa ujinga. Mungu aturehemu
Buda unahabari zenye wengi hatuna....mungu akuongezee nguvu na maisha marefu bila kusahau mapato
Amina🙏🙏, asante sana
Safi sana