MUGABE: Rais Aliyepania Kuwakomesha WAZUNGU Wakakoma Watu Wake!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 276

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 4 ปีที่แล้ว +5

    Daa wewe jamaa unaweza sanaa kazi hii,,, hongera

  • @EbenezerIsmael-qt9yu
    @EbenezerIsmael-qt9yu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu abariki afrika

  • @anthonymitu7561
    @anthonymitu7561 5 ปีที่แล้ว +22

    I love this. Please tuhadithie kuhusu Ukombozi wa Kenya na Mau Mau

  • @stephanozibe2740
    @stephanozibe2740 5 ปีที่แล้ว +29

    Na mimi niwekee li love ♥️♥️ bro Ananias edga we ni mwamba tu

  • @rasihamsangi8084
    @rasihamsangi8084 5 ปีที่แล้ว +20

    Pamoja Sana Ananias Edger ❤️

  • @stevenbagayusobewe3209
    @stevenbagayusobewe3209 5 ปีที่แล้ว +4

    Ananiasi edga we kidume kabisa unaelimu yahali yajuu kabisa kwa simulizi za history big up.

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 5 ปีที่แล้ว +24

    Interesting! listening from Kenya my lovely country kumbe my favourite politician Raila betrayed mugabe? didn't know very educating story big up bro

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 5 ปีที่แล้ว

      Big Bossman Bossman sad but he did

  • @bobramaphyno4610
    @bobramaphyno4610 5 ปีที่แล้ว +13

    Gonga like twende sawa
    Lakini tufanyie ya E.Patrice.Lumumba

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 5 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda sana unavyodadavua Taarifa zako hongra sana

  • @suibunju2545
    @suibunju2545 5 ปีที่แล้ว +6

    He was a good leader ..he removed the colonialist away from the country ...and let the people of Africa to be happy...we thank God for giving the Africa the leader who we will never forget him as he helped the Africa against colonialist ....rest in peace Robert Mugabe may God be with you amen😥😥

  • @focusmagesa7964
    @focusmagesa7964 5 ปีที่แล้ว +4

    _nakukubali sana kaka_

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 5 ปีที่แล้ว +3

    Umehadithia vizuri sana ,good

  • @mrjohnson_official9814
    @mrjohnson_official9814 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana broo

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri9645 5 ปีที่แล้ว +4

    a very fantastic and true representation

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 5 ปีที่แล้ว +14

    Alikua kidume kweli. R. I. P mugabe

  • @adamjuma1643
    @adamjuma1643 3 ปีที่แล้ว

    Nakubali sana kaka

  • @razakjunior7088
    @razakjunior7088 5 ปีที่แล้ว +9

    Brazza Ananias huu mziki unaitwaje ninautaka

  • @gracemwaipopo3209
    @gracemwaipopo3209 4 ปีที่แล้ว +1

    Juu Sana bro

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Anania edga nakpenda sana ndg yng habar ni njema mno

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 5 ปีที่แล้ว +53

    Simulizi imempata msimuliaji.

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 5 ปีที่แล้ว +20

    Yan ananias uwaga narudia historia zake kma nyimbo bila kujali MB zangu uyuu jamaa katishaaa

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 5 ปีที่แล้ว +1

      nyengine huwa nafanya kama kichombezo cha usingizi hatari sana

    • @adamjuma1643
      @adamjuma1643 3 ปีที่แล้ว

      @@Suleimansalum mtiga unamuacha wapi

  • @dottomatola7261
    @dottomatola7261 5 ปีที่แล้ว +2

    Powa nimekuelewa sana

  • @johnnjeru7288
    @johnnjeru7288 3 ปีที่แล้ว

    Endeleleeni vivyo hivyo na kazi nzuri.

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 5 ปีที่แล้ว +5

    Majitu yanamsifia msimuliaji badala ya kujikita kwenye mada husiku na kutoa maoni yao.watu wa hii nchi bna!

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 5 ปีที่แล้ว +2

    nakukubali

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka kwa kaz nzr

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 4 ปีที่แล้ว

    Noma sana simulizi hizi tamu sana

  • @faifidelis3041
    @faifidelis3041 3 ปีที่แล้ว

    nice

  • @Mwalimuchannel208
    @Mwalimuchannel208 5 ปีที่แล้ว +11

    Amani
    Hakika vita umepigana komredi Mugabe. Pumzika kwa amai

  • @issacnguli6787
    @issacnguli6787 4 ปีที่แล้ว +1

    Comrade Mugabe ni aina ya viongozi tunaowahitaji Africa na bahati mbaya sana Kuna wapumbavu wengi tu tunashiriki kuwapigia Vita na kuungana na Mzungu.

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 5 ปีที่แล้ว +3

    Sina chakukupa bro Ila nikuombee Afya njema kila wakati

  • @fredyaddy5695
    @fredyaddy5695 3 ปีที่แล้ว

    Ujumbe mzito Sana kaka

  • @rajabuhashimu3220
    @rajabuhashimu3220 5 ปีที่แล้ว +2

    Bro dah respect sana yani ivi much appreciated for you

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani3035 4 ปีที่แล้ว

    Africa mungu azidi kuibariki na kuilinda

  • @demetriushenry3585
    @demetriushenry3585 5 ปีที่แล้ว +3

    Big up bro

  • @almacaugust9501
    @almacaugust9501 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sanaaa

  • @H2025-y8g
    @H2025-y8g 5 ปีที่แล้ว +1

    pongez kwako ananias ,umeonesha maana ya kuwa mbunifu unatumia ulichopewa

    • @stevenleonard5285
      @stevenleonard5285 5 ปีที่แล้ว

      Yani jamaa hana mpizani kwakweri anasimlia vzr sana

  • @masoudkhamis9933
    @masoudkhamis9933 5 ปีที่แล้ว +1

    History nzuri tuletee history ya abeid amani karume Alie kuwa rais wa Zanzibar

    • @tareeq6744
      @tareeq6744 5 ปีที่แล้ว

      Mbona ipo tayari

  • @khasimgange4213
    @khasimgange4213 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @hamadlucago8951
    @hamadlucago8951 2 ปีที่แล้ว

    WAZUNGU WAZUNGUKENI AFRICA TUTADHIDI KUWA MASIKINI SANA MUGABE ALIMPENDA SANA MWALIMU NYERERE

  • @majesticnaturesafari118
    @majesticnaturesafari118 3 ปีที่แล้ว

    Very interesting

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 ปีที่แล้ว +3

    Unasimulia na kuelimisha kwa maneno makali na matamu, thanks

  • @tedinakongwa998
    @tedinakongwa998 5 ปีที่แล้ว +1

    Et mchungaji alizinguaaa nakupenda sana et

  • @jegelskermig15
    @jegelskermig15 3 ปีที่แล้ว +3

    MZEE MZIMA. WE MISS YOU. RIP

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 3 ปีที่แล้ว

    You are the King

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 ปีที่แล้ว +2

    Nzuri unapovyoisoma... Na ndio maana Africa titaishi nyuma... Viongozi wetu ni kama walirogwa na kundanganywa na wazungu

  • @ThiagoMaestro6
    @ThiagoMaestro6 3 ปีที่แล้ว

    Nice work

  • @tvyetu05
    @tvyetu05 4 ปีที่แล้ว

    Historia nzuri

  • @smrmb76
    @smrmb76 5 ปีที่แล้ว +1

    upo sawa kaka ila hapo kwa raila odinga sikupaelewa

  • @tlesphorysistyally422
    @tlesphorysistyally422 5 ปีที่แล้ว

    Nakubar

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 5 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha,aisee umesema kweli.Waafrika jamani tufunguke macho.Tuache ku salitiana.

  • @georgec1018
    @georgec1018 5 ปีที่แล้ว +22

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mzee

  • @LionelThomas-f6r
    @LionelThomas-f6r 18 วันที่ผ่านมา

    Nipo pamoja nawe siku zote

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 5 ปีที่แล้ว +1

    Unasauti nzuri sana American tunakufata sana bro

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 ปีที่แล้ว

    He was a hero

  • @naomielias8313
    @naomielias8313 3 ปีที่แล้ว

    Liko good sana

  • @mwegalawanicki3965
    @mwegalawanicki3965 5 ปีที่แล้ว +1

    Simuliz ya Nyelere

  • @handbagsquality9835
    @handbagsquality9835 5 ปีที่แล้ว +1

    Good 🔥🔥

  • @ericgeorge7405
    @ericgeorge7405 4 ปีที่แล้ว

    great story

  • @edrickniwamanya9968
    @edrickniwamanya9968 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubari sana

  • @ngarechucho5836
    @ngarechucho5836 5 ปีที่แล้ว

    Biggest fan bro big up

  • @jemusiobedi1107
    @jemusiobedi1107 5 ปีที่แล้ว

    Aisee

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 ปีที่แล้ว

    Great Vid

  • @josephmgema6764
    @josephmgema6764 5 ปีที่แล้ว +1

    73/33 mmmmh sio mbaya kumbe mama wtoto wng hajazaliwa 💥💥🙏🙏😁😎

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapa kwetu tz tunabishana kuhusu demokrasia! Waafrika sisi tunagawanywa kwa kisingizio cha democrasia!

    • @issacnguli6787
      @issacnguli6787 4 ปีที่แล้ว

      Hoja ya msingi sana bro. Usikate tamaa jaribu kuelimishe kadri ya uwezo wako. Ipo siku

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency8008 5 ปีที่แล้ว

    Msimuliaje shujaa sana,sauti kashinda ile mbaya

  • @EDIBILNDALUHIJWE
    @EDIBILNDALUHIJWE ปีที่แล้ว

    He was good leader but he lack cooperation of other African leader

  • @kessymgunda1145
    @kessymgunda1145 3 ปีที่แล้ว

    Naomba tukutanie chato na mengi ya kukwambia

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 5 ปีที่แล้ว +6

    Komredi Mugabe watu hawakumuelewa Mzee alikuwa mzalendo Wa dhati sema Mzee alikuwa na watu wabaya waliomzunguka Africa imepoteza jembe

    • @shau78
      @shau78 5 ปีที่แล้ว

      kweli alikuwa jembe. hazina ilikuwa kama pesa zake binafsi. yeye na familia yake walichota hela walivyotaka. ana mali nyingi dubai na mahali pengine. alihangaika kukomoa wazungu wakati wazimbabwe wakifa kipindu pindu. na wengine wanakimbizwa huko South Africa kama mbwa. kama kawaida ya marais wa Africa alipoumwa hakwenda kutibiwa kwenye hospitali za maskini. alikimbilia Singapore.
      Aliponyang'anya wazungu mashamba yeye peke yake alijimilikisha mashamba 15. marafiki zake ndio usiseme. alikuwa na ubabe wa kijinga. hao wazungu aliowanyang'anya mashamba ni raia wa Zimbabwe. wako ambao mashamba yao walinunua. kwa sababu ya rangi yao wengi waliuliwa mashamba yakaenda. sasa hivi wanarudishiwa mashamba kwa magoti na serikali.
      alafu watu wasio wa kabila la wandebele aliwaonea sana. yeye ni mshona. huyo ndie shujaa Mugabe. eti kiboko ya wazungu. hii ndiyo MWAGA UGALI NAMWAGA MBOGA. Wote tulale njaa. ananikumbusha Iddi Amini alivyokuwa anamtukana malkia wa Uingereza na kuwalazimisha wazungu waliokuwa Uganda wambebe kwenye machela. badala ya kufanya kazi nchi ipate maendeleo unatumia rasilimali za nchi kukomoa watu. Upumbavu mwingi huu.
      Africa raisi mzalendo wa kweli ni mmoja tu kwa sasa. mawazo yangu

  • @rajabuhashimu3220
    @rajabuhashimu3220 5 ปีที่แล้ว +2

    Ukisikia watu wako nyuma be careful unaweza geuka nyuma usiwakute dah bonge moja ya neno asee muugabe my hero na maneno ya kishatoka hayarudishiki mdomoni

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm 3 ปีที่แล้ว

    Aisee unamaneno makari ila niyaukweli unanifurahisha twende kazi

  • @alfredbizimana7814
    @alfredbizimana7814 ปีที่แล้ว

    Kumbe amekufa juzi baana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 5 ปีที่แล้ว +1

    Kaunda na Siti zake mugabe na ubabe wake

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency8008 5 ปีที่แล้ว

    Msimuliaji mbabe sana dah hadi raha

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 5 ปีที่แล้ว +2

    Hawa viongozi wa Africa hawana haja na bara letu kwao ni vipi watapata bata wajivunie mahali yao

  • @blessinglowan5410
    @blessinglowan5410 3 ปีที่แล้ว

    hongea kuhusu magufuli pia

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah1829 5 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaa ujamaaaa????anajuwa viongozi wa Africa????wengine ni vibaraka wa wazungu ? ?sema kuna kiongonzi mmoja tu katika Africa nae anaoja na msimamo ni makufuli wa Tanzania??? Yahani yule kiongonzi ni kiboko???we love Mugabe rest peace...m south Africa jah

  • @jayculture7744
    @jayculture7744 5 ปีที่แล้ว +4

    ivi we jamaa unajuwa xana kwanin uxiende kuomba kazi BBC

  • @malilaclement3307
    @malilaclement3307 5 ปีที่แล้ว +1

    Prinsi katega namtaka mimi nitampataje

  • @mugaomugambijosphat4391
    @mugaomugambijosphat4391 4 ปีที่แล้ว

    Ananias I like your videos.

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 ปีที่แล้ว

    Mwafrika hana uwezo wa kuongoza jamii

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 ปีที่แล้ว +1

    Sasa ujembe wake nini kutaka kumpa mkewe uraisi?

  • @hustlerchembes786
    @hustlerchembes786 5 ปีที่แล้ว

    Safiiiiiiiiiiiiiiiii wewe nimpigania vijana

  • @khalfanathman7150
    @khalfanathman7150 5 ปีที่แล้ว

    duuh huyu jamaa mashallah namkubali sana

  • @yassirmohd3069
    @yassirmohd3069 3 ปีที่แล้ว

    Muarabu zanzibara hakuja kufanya biashara za utumwa hiyo ni kupotosha historia kamwe hili haliwezi futika

  • @alphamanyanga2016
    @alphamanyanga2016 5 ปีที่แล้ว +2

    Gadaff na Umakin wake!!

  • @zulugeneral5563
    @zulugeneral5563 5 ปีที่แล้ว

    Ushoga hauna nafasi Afrika nendeni Newyork

  • @yonamagile4408
    @yonamagile4408 4 ปีที่แล้ว

    Kaacha mke mahututi kitandani kafata mke wa rubani noma sana

  • @mossesjonathan5766
    @mossesjonathan5766 5 ปีที่แล้ว +1

    Mimi naomba na historia ya Kenneth kaunda mzee baba

  • @michaeldeus6519
    @michaeldeus6519 4 ปีที่แล้ว

    nimependa kazi yako ina ukweli namfunzo pia inamfanya mtu apate kitu kipya kichwani kitakacho weza kumsadia

  • @authorepiscopereemmanuel964
    @authorepiscopereemmanuel964 5 ปีที่แล้ว +1

    Aise Edgar yani una juwa adi natamani ni ku saidiye please nitafute Instagram Instagram episcopere_emmanuel niku tumiye ata pesa ya sabuni asante kazi nzuri sana

  • @AHMEDAli-mu7me
    @AHMEDAli-mu7me 2 ปีที่แล้ว

    Acha usenge muarabu k
    Hkuwa na biashara hzo ww. Ww myamwezi utajuwa ayoo.

  • @abuumzaila355
    @abuumzaila355 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa annanias ana akili sana

  • @Mc_Muz
    @Mc_Muz 5 ปีที่แล้ว +3

    Ananius wewe ni king!!!

  • @michaelnicodemsmgihilwa8717
    @michaelnicodemsmgihilwa8717 5 ปีที่แล้ว +1

    Alichelewa kuwakomesha wazungu,,,na waliomponza ni wale wazee waliojisaidia hadharani wakishinikaza anyang'anye mashamba ya wazungu wapewe wazawa

  • @felymkini7632
    @felymkini7632 4 ปีที่แล้ว

    👍👍👍👍👍

  • @maryjane7043
    @maryjane7043 5 ปีที่แล้ว +3

    R I P to the legend

  • @seremichibashimba1346
    @seremichibashimba1346 3 ปีที่แล้ว

    Mama pole ila nakusihi ufwate nyayo za aliye tu acha baba magufuli

  • @richardalex9013
    @richardalex9013 5 ปีที่แล้ว +3

    Ananias tunakusubiri na sauti ya dhahabu msalimie sana Mpagaze.

  • @linussngolly2089
    @linussngolly2089 4 ปีที่แล้ว

    uyu jamaa anajua kusimulia sanaaaaa