He was a good leader ..he removed the colonialist away from the country ...and let the people of Africa to be happy...we thank God for giving the Africa the leader who we will never forget him as he helped the Africa against colonialist ....rest in peace Robert Mugabe may God be with you amen😥😥
kweli alikuwa jembe. hazina ilikuwa kama pesa zake binafsi. yeye na familia yake walichota hela walivyotaka. ana mali nyingi dubai na mahali pengine. alihangaika kukomoa wazungu wakati wazimbabwe wakifa kipindu pindu. na wengine wanakimbizwa huko South Africa kama mbwa. kama kawaida ya marais wa Africa alipoumwa hakwenda kutibiwa kwenye hospitali za maskini. alikimbilia Singapore. Aliponyang'anya wazungu mashamba yeye peke yake alijimilikisha mashamba 15. marafiki zake ndio usiseme. alikuwa na ubabe wa kijinga. hao wazungu aliowanyang'anya mashamba ni raia wa Zimbabwe. wako ambao mashamba yao walinunua. kwa sababu ya rangi yao wengi waliuliwa mashamba yakaenda. sasa hivi wanarudishiwa mashamba kwa magoti na serikali. alafu watu wasio wa kabila la wandebele aliwaonea sana. yeye ni mshona. huyo ndie shujaa Mugabe. eti kiboko ya wazungu. hii ndiyo MWAGA UGALI NAMWAGA MBOGA. Wote tulale njaa. ananikumbusha Iddi Amini alivyokuwa anamtukana malkia wa Uingereza na kuwalazimisha wazungu waliokuwa Uganda wambebe kwenye machela. badala ya kufanya kazi nchi ipate maendeleo unatumia rasilimali za nchi kukomoa watu. Upumbavu mwingi huu. Africa raisi mzalendo wa kweli ni mmoja tu kwa sasa. mawazo yangu
Ukisikia watu wako nyuma be careful unaweza geuka nyuma usiwakute dah bonge moja ya neno asee muugabe my hero na maneno ya kishatoka hayarudishiki mdomoni
Daaaaaaa ujamaaaa????anajuwa viongozi wa Africa????wengine ni vibaraka wa wazungu ? ?sema kuna kiongonzi mmoja tu katika Africa nae anaoja na msimamo ni makufuli wa Tanzania??? Yahani yule kiongonzi ni kiboko???we love Mugabe rest peace...m south Africa jah
Aise Edgar yani una juwa adi natamani ni ku saidiye please nitafute Instagram Instagram episcopere_emmanuel niku tumiye ata pesa ya sabuni asante kazi nzuri sana
Daa wewe jamaa unaweza sanaa kazi hii,,, hongera
Mungu abariki afrika
I love this. Please tuhadithie kuhusu Ukombozi wa Kenya na Mau Mau
😅😅😅
Na mimi niwekee li love ♥️♥️ bro Ananias edga we ni mwamba tu
Pamoja Sana Ananias Edger ❤️
Ananiasi edga we kidume kabisa unaelimu yahali yajuu kabisa kwa simulizi za history big up.
Interesting! listening from Kenya my lovely country kumbe my favourite politician Raila betrayed mugabe? didn't know very educating story big up bro
Big Bossman Bossman sad but he did
Gonga like twende sawa
Lakini tufanyie ya E.Patrice.Lumumba
Bob Rama Phyno tayari mbona
Nampenda sana unavyodadavua Taarifa zako hongra sana
He was a good leader ..he removed the colonialist away from the country ...and let the people of Africa to be happy...we thank God for giving the Africa the leader who we will never forget him as he helped the Africa against colonialist ....rest in peace Robert Mugabe may God be with you amen😥😥
_nakukubali sana kaka_
Umehadithia vizuri sana ,good
Safi sana broo
a very fantastic and true representation
Alikua kidume kweli. R. I. P mugabe
Mambo
hi
Nitafute asiah .Niko zenji
Hi
Nakubali sana kaka
Brazza Ananias huu mziki unaitwaje ninautaka
Juu Sana bro
Ahsante Anania edga nakpenda sana ndg yng habar ni njema mno
Simulizi imempata msimuliaji.
Hahahaa
Juma Michael kakololo
Kweli kabisa
Yan ananias uwaga narudia historia zake kma nyimbo bila kujali MB zangu uyuu jamaa katishaaa
nyengine huwa nafanya kama kichombezo cha usingizi hatari sana
@@Suleimansalum mtiga unamuacha wapi
Powa nimekuelewa sana
Endeleleeni vivyo hivyo na kazi nzuri.
Majitu yanamsifia msimuliaji badala ya kujikita kwenye mada husiku na kutoa maoni yao.watu wa hii nchi bna!
nakukubali
Hongera sana kaka kwa kaz nzr
Noma sana simulizi hizi tamu sana
nice
Amani
Hakika vita umepigana komredi Mugabe. Pumzika kwa amai
Comrade Mugabe ni aina ya viongozi tunaowahitaji Africa na bahati mbaya sana Kuna wapumbavu wengi tu tunashiriki kuwapigia Vita na kuungana na Mzungu.
Sina chakukupa bro Ila nikuombee Afya njema kila wakati
Ujumbe mzito Sana kaka
Bro dah respect sana yani ivi much appreciated for you
Africa mungu azidi kuibariki na kuilinda
Big up bro
Safi sanaaa
pongez kwako ananias ,umeonesha maana ya kuwa mbunifu unatumia ulichopewa
Yani jamaa hana mpizani kwakweri anasimlia vzr sana
History nzuri tuletee history ya abeid amani karume Alie kuwa rais wa Zanzibar
Mbona ipo tayari
Safi sana
WAZUNGU WAZUNGUKENI AFRICA TUTADHIDI KUWA MASIKINI SANA MUGABE ALIMPENDA SANA MWALIMU NYERERE
Very interesting
Unasimulia na kuelimisha kwa maneno makali na matamu, thanks
Et mchungaji alizinguaaa nakupenda sana et
MZEE MZIMA. WE MISS YOU. RIP
You are the King
Nzuri unapovyoisoma... Na ndio maana Africa titaishi nyuma... Viongozi wetu ni kama walirogwa na kundanganywa na wazungu
Nice work
Historia nzuri
upo sawa kaka ila hapo kwa raila odinga sikupaelewa
Nakubar
Hahaha,aisee umesema kweli.Waafrika jamani tufunguke macho.Tuache ku salitiana.
Herald Loshi
@Matela Voleth👍🏾👍🏾🙏🙏
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mzee
0000p
Nipo pamoja nawe siku zote
Unasauti nzuri sana American tunakufata sana bro
He was a hero
Liko good sana
Simuliz ya Nyelere
Good 🔥🔥
great story
Nakukubari sana
Biggest fan bro big up
Aisee
Great Vid
73/33 mmmmh sio mbaya kumbe mama wtoto wng hajazaliwa 💥💥🙏🙏😁😎
Hapa kwetu tz tunabishana kuhusu demokrasia! Waafrika sisi tunagawanywa kwa kisingizio cha democrasia!
Hoja ya msingi sana bro. Usikate tamaa jaribu kuelimishe kadri ya uwezo wako. Ipo siku
Msimuliaje shujaa sana,sauti kashinda ile mbaya
He was good leader but he lack cooperation of other African leader
Naomba tukutanie chato na mengi ya kukwambia
Komredi Mugabe watu hawakumuelewa Mzee alikuwa mzalendo Wa dhati sema Mzee alikuwa na watu wabaya waliomzunguka Africa imepoteza jembe
kweli alikuwa jembe. hazina ilikuwa kama pesa zake binafsi. yeye na familia yake walichota hela walivyotaka. ana mali nyingi dubai na mahali pengine. alihangaika kukomoa wazungu wakati wazimbabwe wakifa kipindu pindu. na wengine wanakimbizwa huko South Africa kama mbwa. kama kawaida ya marais wa Africa alipoumwa hakwenda kutibiwa kwenye hospitali za maskini. alikimbilia Singapore.
Aliponyang'anya wazungu mashamba yeye peke yake alijimilikisha mashamba 15. marafiki zake ndio usiseme. alikuwa na ubabe wa kijinga. hao wazungu aliowanyang'anya mashamba ni raia wa Zimbabwe. wako ambao mashamba yao walinunua. kwa sababu ya rangi yao wengi waliuliwa mashamba yakaenda. sasa hivi wanarudishiwa mashamba kwa magoti na serikali.
alafu watu wasio wa kabila la wandebele aliwaonea sana. yeye ni mshona. huyo ndie shujaa Mugabe. eti kiboko ya wazungu. hii ndiyo MWAGA UGALI NAMWAGA MBOGA. Wote tulale njaa. ananikumbusha Iddi Amini alivyokuwa anamtukana malkia wa Uingereza na kuwalazimisha wazungu waliokuwa Uganda wambebe kwenye machela. badala ya kufanya kazi nchi ipate maendeleo unatumia rasilimali za nchi kukomoa watu. Upumbavu mwingi huu.
Africa raisi mzalendo wa kweli ni mmoja tu kwa sasa. mawazo yangu
Ukisikia watu wako nyuma be careful unaweza geuka nyuma usiwakute dah bonge moja ya neno asee muugabe my hero na maneno ya kishatoka hayarudishiki mdomoni
Aisee unamaneno makari ila niyaukweli unanifurahisha twende kazi
Kumbe amekufa juzi baana
Kaunda na Siti zake mugabe na ubabe wake
Msimuliaji mbabe sana dah hadi raha
Hawa viongozi wa Africa hawana haja na bara letu kwao ni vipi watapata bata wajivunie mahali yao
hongea kuhusu magufuli pia
Daaaaaaa ujamaaaa????anajuwa viongozi wa Africa????wengine ni vibaraka wa wazungu ? ?sema kuna kiongonzi mmoja tu katika Africa nae anaoja na msimamo ni makufuli wa Tanzania??? Yahani yule kiongonzi ni kiboko???we love Mugabe rest peace...m south Africa jah
ivi we jamaa unajuwa xana kwanin uxiende kuomba kazi BBC
Prinsi katega namtaka mimi nitampataje
Ananias I like your videos.
Mwafrika hana uwezo wa kuongoza jamii
Sasa ujembe wake nini kutaka kumpa mkewe uraisi?
Safiiiiiiiiiiiiiiiii wewe nimpigania vijana
duuh huyu jamaa mashallah namkubali sana
Muarabu zanzibara hakuja kufanya biashara za utumwa hiyo ni kupotosha historia kamwe hili haliwezi futika
Gadaff na Umakin wake!!
Duh
Ushoga hauna nafasi Afrika nendeni Newyork
Kaacha mke mahututi kitandani kafata mke wa rubani noma sana
Mimi naomba na historia ya Kenneth kaunda mzee baba
nimependa kazi yako ina ukweli namfunzo pia inamfanya mtu apate kitu kipya kichwani kitakacho weza kumsadia
Aise Edgar yani una juwa adi natamani ni ku saidiye please nitafute Instagram Instagram episcopere_emmanuel niku tumiye ata pesa ya sabuni asante kazi nzuri sana
Acha usenge muarabu k
Hkuwa na biashara hzo ww. Ww myamwezi utajuwa ayoo.
Huyu jamaa annanias ana akili sana
Ananius wewe ni king!!!
Alichelewa kuwakomesha wazungu,,,na waliomponza ni wale wazee waliojisaidia hadharani wakishinikaza anyang'anye mashamba ya wazungu wapewe wazawa
👍👍👍👍👍
R I P to the legend
Mama pole ila nakusihi ufwate nyayo za aliye tu acha baba magufuli
Ananias tunakusubiri na sauti ya dhahabu msalimie sana Mpagaze.
uyu jamaa anajua kusimulia sanaaaaa