HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2019
  • HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
    IDD AMIN DADA OUME wa Uganda ni mwafrika pekee aliyebebwa kichwani na wazungu kama wao walivyotufanyia enzi za utumwa.
    Dunia ikashangaa, Afrika ikaduwaa,Waganda wakashangilia wasijue baada ya wenzao ni wao! Kweli alipowamaliza wageni alihamia kwa waganda waliofikiri tofauti nay eye.
    #HISTORIAYAAMIN
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

ความคิดเห็น • 462

  • @petermichael8211
    @petermichael8211 5 ปีที่แล้ว +103

    DAAAAAH HII KTU SAFII MLIYOANZISHA NAPATA KUJIFUNZA NA KUJUA MENGI HONGERENI SANAAA GLOBAL ENDELEENI KUPATA ELIMU HII YA HISTORIA MUNGU AWABARIKI SANAA.

    • @azzakhamiz3858
      @azzakhamiz3858 5 ปีที่แล้ว +2

      Ahsante sana kwa story yani daaah inatisha kwakweli

    • @miswagatz1580
      @miswagatz1580 5 ปีที่แล้ว

      Nzuri

    • @mwamvitashaban3178
      @mwamvitashaban3178 5 ปีที่แล้ว

      Peter Michael

    • @thomasmario950
      @thomasmario950 5 ปีที่แล้ว

      Hongera sana msimuliaji kwa history mbalimbali nzuri zenye kufunza sana Mungu akusaidie sana

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 ปีที่แล้ว

      Haya sio historia sahihi....mbovu na usiokuwa na hakika

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 ปีที่แล้ว +11

    Idd Amin was a Legend.... story mbaya zipo kumhusu story nzuri kumhusu zipo...... nasimama kwenye positivity he was a Legend

    • @ramadhanboi6485
      @ramadhanboi6485 4 ปีที่แล้ว +1

      Big Zhumbe ;kabisaa brooo he was a man
      😥😥

  • @Thuon_
    @Thuon_ 5 ปีที่แล้ว +20

    Mimi nampenda sana *Idi* *Amin* sisi waafrika tusiwe watu wa kuambiwa kila kitu. Wazungu wanatuambia historia bandia ya kuwachukia viongozi wetu. Ni vipi *Amin* alikuwa mzuri wakati wazungu wanamtumia kuwaua watu waliohusika na Mau Mau nchini Kenya. Akapelekwa north eastern Kenya kupambana na wasomali na bado mzuri. *Milton* *Obote* akawa hana faida kwa wazungu sababu aliwafungia *interests* zao wakamtumia *Amin* tena kupindua serikali yake akahamia Tanzania kwa nyerere. Amin kuingia uongozini akawa Pan-Africanist, hafanyi vile wazungu wanataka. Akaapa kuitumikia Uganda na wananchi akawa mbaya wakaandika historia mbaya kumhusu. Tukawa brainwashed, tukawaamini wazungu. Sisemi alikuwa mzuri, kuuwa aliuwa watu na si wengi wasemavyo wazungu. Hata Kenya, kenyatta aliuwa wengi, aliyemfuata, ni rais Moi akauwa na kuwafunga wengi, wazungu kimya sababu wanakula kwa meza moja. Waafrika tuamke twatumiwa vibaya. Umefika wakati tuwatambue viongozi wetu sis wenyewe. Mimi nampenda sana
    H.E, Field Marshal, President for Life, Maj. Gen. Al Hadji Doctor, VC DSO MC, BC, CiC, Father of twins, Lord of all the clans in the land, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas, the cook with all the firewood, the queen termite, Conqueror of the British Empire(CBE) in Africa in General and Uganda in Particular. Speaker of truth, Pan-Africanist, Maj. Gen. President *Idi* *Amin* *Dada*

  • @khamishaji6705
    @khamishaji6705 5 ปีที่แล้ว +64

    Ikiwa unakubali kaz ya uyu mtangazaji weka like yako

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 5 ปีที่แล้ว +72

    Uyujamaa hanae simulia.. Hanatakiwa hapewe mshahara Mara tatu hanao lipwa kwel hanafanya kz vema nimemfatilia Sana yupo vizur Kk mungu hakubariki!

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 5 ปีที่แล้ว +4

      Ndugu kiswahili fasaha anae simulia
      Anatakiwa apewe. Anaolipwa

    • @barakachami8218
      @barakachami8218 5 ปีที่แล้ว

      Emma Lyanga true kz nzur

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 5 ปีที่แล้ว +4

      Wewe Baraka Unatumia ha badala ya A .Jifunze kiswahili

    • @sabinamaremi1498
      @sabinamaremi1498 5 ปีที่แล้ว +2

      Baraka Chami ujue unaboa kiswahi gani hicho au hujui kusoma

    • @justinemganiwa5764
      @justinemganiwa5764 5 ปีที่แล้ว +1

      We unaongea madudu gani

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 ปีที่แล้ว +50

    Asante kwa hii historia Nzuri na sauti yako ya kuvutia

  • @goo6341
    @goo6341 2 หลายเดือนก่อน +2

    Historia shwari mno! Asante Kaka Edgar kwa simulizi bomba sana!!

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 ปีที่แล้ว +26

    Napenda kusikiza histolia ya Global TV....nikiwa hapa Kenya.... Tuko pamoja

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 5 ปีที่แล้ว +14

    Unastahili tuzo ya thamani Sanaa.Big up Ananias

  • @janjatv9619
    @janjatv9619 5 ปีที่แล้ว +8

    najisikia murua sana mashaalah👏 ninaposikiliza simulizi za historia zako usichoke kutusimulia daily🙏

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 5 ปีที่แล้ว +24

    Story imepangwa vizur sana

  • @sabinajames6539
    @sabinajames6539 5 ปีที่แล้ว +8

    Wow asante

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 9 หลายเดือนก่อน

    I can't stop watching your stories, proud to be Tanzanian

  • @rosenight272
    @rosenight272 5 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana kwa historia hiyo muhimu sana, Ndio maana Mungu wa Israeli mwenye mamlaka atailinda Kenya na kuitetea kwa ukarimu wa kuruhusu jeshi la Mungu wa Majeshi kujaza mafuta hapa kwetu Kenya...BABA wa mbinguni kusije kukawa na mkatili kama huyo tena UGANDA. UILINDE UGANDA NA AFRICA YOTE.

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 5 ปีที่แล้ว +32

    Broo Honestly speaking una Sauti nzuri asee!!

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 5 ปีที่แล้ว +3

    Huwa nakufwatilia sana kutoka hapa Nairobi, kazi nzuri ndugu yangu

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 5 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji upo safiii umeeleweka

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 ปีที่แล้ว +23

    MtangaZaji/Msimuliaji yupo Tofauti saaaana.......
    Gud Job.... MAMBO SWADAKTA

  • @Nyam033
    @Nyam033 5 ปีที่แล้ว +22

    Nilikua nasubiria muapload kwa hamu👍👍👍👍👍

  • @fistonkyuing9888
    @fistonkyuing9888 5 ปีที่แล้ว +13

    Asante kwa kazi nzuri na kutupatiya historia nzuri Mungu akubariki kwa kazi yako

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 ปีที่แล้ว +4

    Kaka mungu akupe maisha mema hakika unavutia sana utangazaji wako Ni zaidi ya grobal tv

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 5 ปีที่แล้ว +6

    Much Respect 🤔

  • @sol-ql1kt
    @sol-ql1kt 5 ปีที่แล้ว +6

    Hii ni nzuri Sana... Keep on

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 5 ปีที่แล้ว +4

    Msimuliaji yupo vizuri sanaaaa

  • @thomasbobtv7584
    @thomasbobtv7584 5 ปีที่แล้ว +18

    Huyu mhariri ndio anafaa kupewa utangazaji dunia nzima maanake yuafaham kazi yake vilivyo,pewa kinywaji mzee kwa bill yangu

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 5 ปีที่แล้ว +8

    Very informative and educative!Kudos Edgar!

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 ปีที่แล้ว

      This is just information intended in a hidden way...Neither is it educative nor imformative

  • @husseinkassimshehe4996
    @husseinkassimshehe4996 5 ปีที่แล้ว +23

    Nnachoshangaaa mimi story za Iddi Amin ambaz n mbaya n hku Tanzania i huk kwao Uganda wanamuelewa kam Shujaa wa Nchi yao. Hzo xtory za msingi il ukikua unajifunza unajua ukwel. Ndiio maaana hta ile triangle trade kule sekondari ni Hovyo t il ukixom unajua

    • @hashimutambala7730
      @hashimutambala7730 5 ปีที่แล้ว +4

      Iddi amini alikuwa ni mwema Sana sema kachafuliwa kwa chuki binafsi ya nyelele kwa ajili ya dini nyelele mkirsto Iddi ni muislam na Iddi alipenda Uganda iwe ni nchi ya kiislam

    • @asiliyakechuma7335
      @asiliyakechuma7335 5 ปีที่แล้ว +3

      Mm naomba unisimulie history ya Eid amin

    • @africangirls482
      @africangirls482 5 ปีที่แล้ว +2

      @@hashimutambala7730 huo ndo ukweli mkuu me sisemi tena kitu sema tu nyerere alitupandikiza chuki lakn idiamini nimtu poa sana

    • @kidundasalum4088
      @kidundasalum4088 5 ปีที่แล้ว

      Hueleweki ulichosema

    • @jastinimwita1028
      @jastinimwita1028 3 ปีที่แล้ว

      @@hashimutambala7730 kwani nyie mnapenda wakristo? Tumia ubongo kufikiri mkuu...

  • @lymoordeseeker7332
    @lymoordeseeker7332 5 ปีที่แล้ว +5

    I Appreciate ur voice

  • @fhdhilyhamidu4422
    @fhdhilyhamidu4422 5 ปีที่แล้ว

    Daaah shukran global kwa kunifunua akili na kunipa faida zaidi ya kuijua Africa na utawala wa kikoloni kwa sasa ni (watalii/wawekezaji) mmh Africa bado tuko utumwani

  • @rachellebahati7512
    @rachellebahati7512 5 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda ,unasema kweli

  • @silasjuma6569
    @silasjuma6569 3 ปีที่แล้ว +1

    am happy to be in this class learning has no end

  • @stevenalex9590
    @stevenalex9590 4 ปีที่แล้ว +2

    Msimuliaje congratulations....🙏

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akurehem Iddi Amini Akujaalie Jannat Firdausi ulikuwa kidume kweli kweli

  • @ruqiaothman3112
    @ruqiaothman3112 5 ปีที่แล้ว +8

    Duh! Asnten kwa kutujuza ya kale global tv mpo vzr sana hongereni ila msikae kimya muwe mnatuwekea mambo ya kale tuyajue vzr

  • @sidedirtylevel8483
    @sidedirtylevel8483 5 ปีที่แล้ว +4

    Naomba aongezewe mshahara huyu muandaaji na msimuliaji...yaani ana manjonjo uyo..

  • @razackkalanje5049
    @razackkalanje5049 5 ปีที่แล้ว +6

    Navutiwa sana na utangazaji wako very impressive

  • @jeffmsomali4264
    @jeffmsomali4264 2 หลายเดือนก่อน

    Waooo respect brother

  • @jimmykimaro8163
    @jimmykimaro8163 5 ปีที่แล้ว +6

    Hongereni sana Global tv

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic3326 5 ปีที่แล้ว +2

    tnx for enlighten

  • @mattaromar2624
    @mattaromar2624 5 ปีที่แล้ว +9

    Nakuku bali sn mzeebaba uko vzr sn

  • @suleimanmohammed7559
    @suleimanmohammed7559 5 ปีที่แล้ว +2

    Kizazi sana kamanda

  • @billyotienojuma9932
    @billyotienojuma9932 5 ปีที่แล้ว +3

    i loovw your information

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 5 ปีที่แล้ว +2

    unatangaza vizuri sana

  • @hemedsalim8837
    @hemedsalim8837 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Amrehemu Iddi Amini amlaze mahali pema peponi. Nyerere Mungu amlaani kwa udini aliokua akileta na ambao unaendelea mpaka sasa Mungu amchome tu...........

  • @papaaclements6439
    @papaaclements6439 5 ปีที่แล้ว +32

    TANZANIA ya enzi zile iliyokuwa na umoja siyo 'UPINGAJI' kila jambo ndo maana umoja uliiwezesha kushinda vita ingekuwa leo hii tungepigwa saana maana IDD AMINI angekuwa anapewa siri za nchi na watanzania.

    • @allywendo2553
      @allywendo2553 5 ปีที่แล้ว

      Gghuza migyango

    • @titothoya1618
      @titothoya1618 5 ปีที่แล้ว

      Pale tatizo linapo ingia nyumbani wenyeji huja wakatafuta suluhisho hata kama kuna utengano. Hivyo basi Tanzania ya sasa ina uwezo katika kila jambo litakalo kabili Taifa

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 4 ปีที่แล้ว

      Haahahaha sijui umewaza nn,siku hizi bongo kuna watoboa siri wengi sana

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka

  • @kennedyrubaza5846
    @kennedyrubaza5846 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana bro

  • @majidshaibsaid7389
    @majidshaibsaid7389 5 ปีที่แล้ว +2

    Nice for good story

  • @ivancharles578
    @ivancharles578 5 ปีที่แล้ว +1

    Iko pow sana

  • @godsonhance684
    @godsonhance684 5 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri sana msimulizi upo vizuri

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 5 ปีที่แล้ว

    thanks so much mr denis and ananias keep it up

  • @markwambura2113
    @markwambura2113 4 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuli asante kwa elimu

  • @user-um4dt5dn6l
    @user-um4dt5dn6l 2 หลายเดือนก่อน

    Dah noma sana

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 5 ปีที่แล้ว +2

    Historia ya Idi Amini Imepotoshwa wala hakua hivyo Mnavyoisimulia he was a Good man

    • @shabanimarijani662
      @shabanimarijani662 5 ปีที่แล้ว

      If he was a good man please tell us a good history of iddi amin.we hope that you know much better about IDD amin.

    • @ndagaujenzi1211
      @ndagaujenzi1211 4 ปีที่แล้ว

      Wapumbavu kama ninyi ndio mnaamini he was a good man....imagine the whole world to hate you...why then?

  • @veronicafredy4101
    @veronicafredy4101 4 ปีที่แล้ว

    Jamn nyerere baba amefanya kazi kubwa na naamini magufuli mungu amemleta kwa niaba yake

  • @nestospecial1412
    @nestospecial1412 5 ปีที่แล้ว +3

    Naipenda sauti yako hiko poa

  • @jacqulinechawala2494
    @jacqulinechawala2494 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtanqazaji uko vzr sana na sauti inaskika vzr sana

  • @chrissfadhaa216
    @chrissfadhaa216 5 ปีที่แล้ว +1

    Edgar Unajua sana unasauti nzur sana na maneno mazur sana

  • @frenklubago5748
    @frenklubago5748 5 ปีที่แล้ว +1

    Vzuri sana

  • @nikristee
    @nikristee 3 ปีที่แล้ว

    Ningependa Kuviona vizazi vya Iddi Amin

  • @hayatihkhadija1924
    @hayatihkhadija1924 5 ปีที่แล้ว +3

    simuulizi nzuri

  • @lugishoboy6280
    @lugishoboy6280 5 ปีที่แล้ว +26

    Hatar xana gonga like hapa kama mtu wa pili

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 ปีที่แล้ว

    Safiiiiiii sana Ananis Ediger kazi nzuri

  • @nyakinyaki1702
    @nyakinyaki1702 5 ปีที่แล้ว +4

    nimependa sana bro jinsi unavyo simulia vizur sana

  • @hemedsalim8837
    @hemedsalim8837 4 ปีที่แล้ว

    Nyerere mkatolik na iddi Amini muislamu anaejua haki hakuwez kuwa na salama apo.

    • @venasmlega6727
      @venasmlega6727 3 หลายเดือนก่อน

      Umeanza udin naww

  • @allyclassic1768
    @allyclassic1768 5 ปีที่แล้ว

    Uko vizuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii xanaaaaaaaa xafiiiiiiiii

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 5 ปีที่แล้ว +1

    Da unaelezea ka ulikwepo vile, safi sana

  • @abdulmkwawa2419
    @abdulmkwawa2419 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah huyu Jamaa kuna maneno mengi sana ya uhongo

  • @shaabandede4814
    @shaabandede4814 5 ปีที่แล้ว

    Umetisha San bro mungu akutangulie

  • @symonnduati5849
    @symonnduati5849 4 ปีที่แล้ว

    Hongera waelezea vyema sana

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +8

    Idd Amn dada

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 ปีที่แล้ว +12

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu majeshi yetu na viyongoz wote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza vyem taifa retu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @aishalyova5751
    @aishalyova5751 5 ปีที่แล้ว +1

    Kaka uko vizur mpka raha big up sana

  • @awadhhassan5353
    @awadhhassan5353 4 ปีที่แล้ว +1

    Niko kenya uko juu bosss👍

  • @PattiPattoz-Montana_254
    @PattiPattoz-Montana_254 3 ปีที่แล้ว +1

    I like the way you express the story & your voice so audible 😍

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 5 ปีที่แล้ว +1

    Mku uwezo wako mkubwa sana kusimulia. Napenda sana

  • @daudidaudijohnathani1474
    @daudidaudijohnathani1474 4 ปีที่แล้ว

    nzuri sana

  • @ilumbohaby3271
    @ilumbohaby3271 5 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri sn sijutii MB zangu

  • @purryselestine4000
    @purryselestine4000 5 ปีที่แล้ว +2

    Hivi hii story ukiisikiliza kwa makini na huu huongozaji wa magu kam nisaw magu nae nikatili km idd amini

  • @FinalMotors
    @FinalMotors 5 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizur aisee

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi8248 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana mkuu bigup sana

  • @OswardAndrea
    @OswardAndrea 2 หลายเดือนก่อน

    Hatar sana huyo Id amin

  • @countinguptoupthere5169
    @countinguptoupthere5169 4 ปีที่แล้ว +1

    Wasafi TV up in de air☝🏾☝🏾

  • @deogratiuskapulwa8874
    @deogratiuskapulwa8874 5 ปีที่แล้ว

    Kashmir shujaa wa mfano mwenyeakili ,mcha Mungu ,jasiri wa kuigwa...

  • @laurentbudu9862
    @laurentbudu9862 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubal sana kaka kwa kazi zako

  • @rashidbusanya883
    @rashidbusanya883 5 ปีที่แล้ว +2

    Hamna mwenye uhakika juu ya jambo lolote ispokua mungu ndio anajua
    yawezekana alikua mtu bomba bali akazuliwa uongo kama vitabu vya mungu vilichafuliwa iweje historia ya mwanadam ikaacha kuchafuliwa

    • @user-lt9sp7wv1j
      @user-lt9sp7wv1j 5 ปีที่แล้ว

      Kiukweli kwa hizi historia najihisi faraja mnooooo hadi najikuta nawoch mara kibao video moja

    • @user-lt9sp7wv1j
      @user-lt9sp7wv1j 5 ปีที่แล้ว

      Ila kama kuna uwezekano muanze kuleta na historia za makabila mbalimbali hapa bongo kwa kuonesha mila zao na destuli na chimbuko lake ila ni vzuri iwe ni kwa video inayoonesha moja kwa moja na sio picha

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 ปีที่แล้ว

    Naumia sana kwa nn nilipata D ya history o level.. unajua sana I feel you

  • @abdulrahmanhussein1644
    @abdulrahmanhussein1644 5 ปีที่แล้ว +1

    Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipenda na waganda

  • @raymondamosi9059
    @raymondamosi9059 5 ปีที่แล้ว +4

    Nime enjoy sana Thanks! Tuekeeni storia Kama izi mbona mtafraia maisha WENYEW na WATAKAO follow account wataongezeka Amini nawaambia

  • @davidowino4262
    @davidowino4262 5 ปีที่แล้ว +2

    Kaka mpaganzi upo vzr sana tena sana..never seen

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 4 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 5 ปีที่แล้ว

    Bro you are the best bro.. Nimenyoosha mikono

  • @jameslighton381
    @jameslighton381 5 ปีที่แล้ว +2

    Gud

  • @paterinejumbe7069
    @paterinejumbe7069 4 ปีที่แล้ว

    Nakukubali mzeeee

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 ปีที่แล้ว +1

    STORY NZURI SANAAA

  • @reyham1722
    @reyham1722 5 ปีที่แล้ว +2

    Sauti mashallah uwiiiii sipat picha ukiwa......😍😍😍😍

  • @erickmsallenge3724
    @erickmsallenge3724 5 ปีที่แล้ว

    U r great bro

  • @abdulrahmanhussein1644
    @abdulrahmanhussein1644 5 ปีที่แล้ว +4

    Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipendwa na waganda je mnajua kwann.kwann walitaka azikwe Uganda?

  • @bahatisamwel1147
    @bahatisamwel1147 5 ปีที่แล้ว +5

    Ananias Edger ww n unafaa upate mtu mweny macho ili apate kujua thamani yako kwny kazi inayokufaa ya usimulizi wenye mvuto.

  • @yusuphasenga8192
    @yusuphasenga8192 4 ปีที่แล้ว

    Safini sana